ANNUUR 1105
-
Upload
annurtanzania -
Category
Documents
-
view
1.059 -
download
0
Transcript of ANNUUR 1105
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
1/12
ISSN 0856 - 3861 Na. 1105 SAFAR 1435, IJUMAA , DESEMBA 27, , 2013 - JAN. 2, 2014 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=
Sauti ya Waislamu
www.annuurpapers.co.tz
Ni kweli dhulma kubwawamefanyiwa Madinah
Ila Elimu kwanza sio kutoa vijana shuleTutaumwa mara ngapi ndio tujifunze?
M A H A K A M A K u uZanzibar, imetakiwa
kufuta kesi ya mauwajiy a P a d i r i M u s h iinayomkabili OmarMusa Makame.
Akitoa hoja hiyo,Wakili anayesimamiakesi h iyo , Abdal la
Juma, al isema kuwamuda umeshakuwa nimwingi na ushahidibado haujakamilika,hivyo ni vyema kesi hiyokufutwa.
Akaongeza kusemakuwa, kama inabidi kesikuendelea kuwepo, basimtuhumiwa apatiwedhamana.
Kwa kuwa mudaumeshakuwa mwingina ushahidi hadi hii leohaujapatikana, basi kesiifutwe au Mtuhumiwaa p e w e d h a m a ,alisema Wakili huyoMahakamani hapo.
H a t a h i v y o ,mwendesha Mashitakawa Serikali, Issa Mgongo,alipingana na ombi hilola kutaka kesi ifutwena kusema ombi hilohakubaliani nalo kamalilivyotolewa na Wakili
Kesi ya mauwaji ya Padri
Mushi ifutwe-Wakili JumaMtuhumiwa nje kwa dhamana
Na Mwandishi Wetu
Inaendelea Uk. 3
Wananchi ndio waamuziwa mwisho Katiba mpya
Maalim Seif ataka viongozi bora CUF OMAR Musa Makame
SHURA YA MAIMAM (T)
Inawatangazia Waumini wote kuwa kutakuw
na Ibada ya Itkaaf.
Mahali: Masjid Mtambani, Kinondoni
Siku: Jumamosi, Desemba 28, 2013
Muda: Saa tatu (3:00) usiku. Baada ya Sala
ya Ishaai.
Inshaa Allah, usikose Ibada hii adhwiim.
Kny: Amir wa Shura ya Maimam.
Itkaaf Masjid Mtambani
MOJA ya nyumba iliyoteketezwa kwa moto kijiji cha Lwange, KilindiTanga.
Uk. 3
Uk. 6
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
2/12
2 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201
AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786
Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]
Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam
Tahariri/Habari
UKATILI uliotokea katikautekelezaji wa OperesheniTokomeza, ni matokeo yakulea mazoea ya baadhiya maosa wa ya vyombovya dola, kutumia nafasiza kufanya ukatili bilakuchukuliwa hatua.
R i p o t i i l i y o t o l ew aBungeni hivi karibuni naMwenyekiti Kamati yaKudumu ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Mazingira,
Jame s Da ud Lem be li ,kuhusu utekelezwaji waoperesheni TokomezaUjangili, imebaionishawananchi kupa madharamakubwa, huku kukiwah a k u n a t a a r i f a z akukamatwa majangi l iambao ndio waliokusudiwakatika operesheni hiyo.
Watu wasio na hatiawamepata ulemavu wakudumu, wengine kupotezamaisha kwa mfano ,marehemu Emi l i anaGasper Maro wa GallapoBabat i . Watuhumiwaw en g i n e w a l i od a i w akupoteza maisha wakatiwa Operesheni Tokomezani Bw. Wegesa Kirigitiwa Kijiji cha Remagwe,Bw. Peter Masea wa Kijijicha Mrito (Tarime), Bw.Mohamed Buto (Masasi)na Gervas Nzoya (Kasulu).
Nyumba za wananchizimechomwa moto, kwamfano katika Kijiji chaKabage Wilaya ya MpandaKatavi. Mifugo imeuliwakikatili kwa kuchomwamoto na kupigwa risasi,ngombe 60 wameuliwakwa kupigwa risasi.
Kat ika r ipo t i h i yoimeelezwa kuwa mali zaraia zilipotea au kuporwa,wananchi walifanyiwav i t endo vya k ikat i l iambavyo vilikiuka hakiza kibinadamu kamakubakwa, kucharazwabakora, kupewa adhabuza kijeshi nk.
Kwa ujumla tunawezatusema kuwa Operesheni
Tokomeza Majang i l i ,
iligeuka kuwa OperesheniTesa Wananc hi, hasawafugaji.
Kutokana na matokeo yauchunguzi wa kamati hiyo,inavyoonekana Operesheni
T okomeza , kab la yakusitishwa kupitia tamkola Serikali l i l i lotolewaBungeni Novemba 1 ,2013, ni kama iliwalengawananchi wasio na hatiana walipewa dhamanakujipatia mali kwa njiaharamu, huku ikiwaachawahusika halisi wa ujangili.
U k i a c h a j e s h i l aWananchi, vikosi vinginev i l i vyosh i r ik i kat ikaoperesheni hiyo ni Polisi,askari wa TANAPA, TSFna NCAA. Hawa ndio
Tukiwa na 'FBI' yetuuovu huu utakoma
wahusika wakuu waunyama uliobainika dhidi
ya wananchi.T u m e b a i n i s h w a
wazi kwamba baadhiy a w a t u h u m i w awal iokamatwa kat ikaoperesheni hiyo, walidaikudhalilishwa sana.
B a a d h i y a a k i n amama walidai kubakwana ku law i t iwa . Kwamfano; katika Kata yaIputi, Wilaya ya Ulanga,mwanamke mmoja alidaikubakwa na askari wawiliwa Operesheni TokomezaUjangili majira ya usiku.
Mama mmoja mkazi waKata ya Matongo WilayaniBariadi, alibakwa na askariwatatu wa Operesheni
Tokomeza Ujangili hukuakiwa ameshikiwa mtutuwa bunduki.
Bi. Neema Moses waBabati alidai kuvuliwanguo na kulazimishwaafanye mapenzi na wakwezake na pia kuingizwachupa sehemu zake za siri.
Bw. Al i Nyenge waKata ya Iputi, Wilaya yaUlanga alidai kuvuliwanguo, kumwagiwa maji
yal iyochanganywa nachumvi na kuchapwaviboko huku mwanaewa kiume wa miaka 11
akishuhudia.Aidha alilazimishwakuchora picha ya chatukwa kutumia wembekwenye paja lake.
W a t u h u m i w awaliokamatwa walifanyiwaupekuzi bila kuhusishaviongoz i wa Ser ikal iz a m a e n e o h u s i k ana kutokuwepo kwamashahidi na hati zaupekuzi.
Kwa mfano Bw. AbdallahPata na Bi. Flora Mwarabuwa Kata ya Iputi WilayaniUlanga na Bw. El iasCosmas Kibuga wa GallapoBabati, walipekuliwa bilakufuata utaratibu.
Baadhi ya watuhumiwawal i ope l ekwa kat ika
kambi za mahojiano,walidai kupewa adhabuzinazokiuka haki zabinadamu.
Kwa mfano, Diwaniwa Kata ya Sakasakawilaya ya Meatu Bw. PeterSamwel, alidai kuadhibiwaakiwa mtupu kwa kupewaadhabu za kijeshi kamakuninginizwa kichwa chinimiguu juu, kupigwa kwavyuma na kulazimishwakufanya mapenzi na mti.
Fedha ziliporwa. Kwamfano, katika Wilaya yaUlanga Kata ya Iputi,mwananchi alidai kuporwasanduku la VICOBA lenyeshilingi 750,000 pamoja nasimu ya mkononi na askariwa Operesheni Tokomeza
waliovamia nyumbanikwake.
Bw. Musa Masanja waSakasaka Wilaya ya Meatu,alidai kuporwa shilingi300,000 pamoja na simumbili za mkononi na askariwa Operesheni.
K a t i k a W i l a y a y aItilima,Kijiji cha Mbogo Bw.Sita Rumala alidai kupigwana kuvunjwa mkono.Alionesha wajumbe waKamatu mkono uliokuwa
umefungwa bandeji ngumu(P.O.P). Bw. MunankaMachumbe (24) ambaye nibubu alipigwa risasi tatuzilizomjeruhi mapajani nakuharibu sehemu za siriwakati akijaribu kuwahojiAskari wa Operesheni kwaishara sababu za kumtesababa yake.
Sheikh Mkuu wa Wilayaya Ulanga Ali Mohamed(70) wa kijiji cha Iputi,alidai kurushwa kichurana kutandikwa bakorana Askari wa Operesheni
Tokomeza.Hayo ni baadhi tu
y a m a t e n d o m a o v uyaliyobainishwa na Kamatiya Bunge, yaliyofanywa nawale waliopewa dhamana
ya kutekeleza opereshenihiyo.Bila shaka matendo
mengi machafu ya namnahii yamefanywa katikamaeneo mengine ya nchi,ambako Kamati ya Bungehaikuweza kufika na
kuyabaini.Tuseme tu kwamba
vitendo vya namna hii sivigeni kwa vyombo vyetuvya dola. Huu umekuwandio utaratibu wa vyombohivi tangu zamani na
yamekuwa ni mazoea.Tu meshuh ud ia mara
nyingi tu, maafisa wavyombo hivi wakipongezwa,wakipewa zawadi nahata kupandishwa vyeokilawanapofanya ukatili
dhidi ya raia wema.Tumezopa kuona hata
katika maandamano tuya kisiasa au ya kidini,askari wa kutuliza ghasia(FFU) hutumia fursahiyo kupekua mifuko yawatu wanaowakamatana kuwachukulia kilawalichokikuta.
Hil i La OperesheniT o k o m e z a p i alinatukumbusha yale yaMtwara katika sakata lagesi. Huko yapo madai
ya kuvunjwa haki zabinadamu kupitia vitendovya ukamataji na utesajidhidi ya raia. Pamojana kuelezwa mateso
yal iyopata raia, hakunaal iyechunguzwa wala
kuchukul iwa hatua ,zaidi ya wenye mamlakakuwatetea watesaji.
Hata hivyo, tunaungamkono mapendekezo
ya Kamat i ya Bungekwa Serikali, kwambaiunde chombo ambacho
kitakuwa na jukumu lkusimamia na kutathminutendaji kazi wa vyombvyake vya dola, hasa katikshughuli za opereshensisi tunasema hata katikmaandamano.
Iwapo utaratibu huutakuwepo, ni wazi kwambvitendo vya ukiukwaji whaki za binadamu wakawa opereshini za vyombvya dola vitadhibitiwa.
Ufuatiliaji wa karibu w
utekelezaji wa opereshenhizi za kijeshi utasaidikupunguza uzembe nkuondoa mazoea ya baadh
ya maaf isa wa vyombhivi vya dola kujichukulsher r i a mkonon i nkukiuka haki za watkutesa wananchi.
T u k u m b u s h e tkwamba tumeshawahkusema siku za nyumkwamba, kuna haja yserikali kuwa na FB
yao, ili kuwa na chombhuru kitakachokuwa n
ju ku mu la ku si ma mina kuchunguza vyombv ing ine vya do la ivinapofanya jinai, kiwepchombo huru cha kufuatilna kushughulikia jina
hizo.Hata hivyo tunaishauSerikali kuwabana wotwaliohusika na vitendvya kinyama, mateso nudhalilishaji dhidi ywatuhumiwa, iwachukulhatua stahiki.
JUMUIA ya Wanataalumawa Kiislamu (TAMPRO)wametakiwa kujivuniaUislamu wao na kufanyakazi kwa bidii.
Wito huo umetolewa naMkurugenzi wa Manispaaya Kinondoni MhandisiMussa Nat t i , kat ikamkutano wa mwaka wa
jumuia hiyo uliofanyikajuz i kat ika hote l i yaLamada, Ilala Jijini Dar esSalaam.
M k u r u g u n z i h u y oamewataka Viongozi wa
Jumuia kuwahamasishazaidi Waislamu kujiungakwa wingi na jumuiya hiyo,ili kujenga mshikamano naumoja wa wataalamu hao.
Aidha Mkurugenzi huyoamewataka Waislamukuacha kulalamika nakuwataka kuwa watendajizaidi, ili kuweza kukiamalengo yao na kuikoa
jamii na wimbi kubwa laumasikini.
Aidha alisema kuwamatajiri wengi nchinini Waislamu na iwapowakitumia utajiri waokatika kuusaidia Uislamu,uislamu na jamii nzimakwa ujumla itaka mbali.
Amewataka wasomiwa Kiislamu kujitambuan a k u j i v u n i a k u w aW a i s l a m u m a h a p apopote watakapokuwa nawaitumie bahati hiyokutenda yalio mema nakufuata maelekezo yamuumba wao.
Aliwakumbusha wasomohao kufanya kazi kwa bidiipopote watakapokuwakwani wapo kwenye Jihadi
Wasomi watakiwa kujiunga kwa wingi TAMPRNa Mwandishi wetu ya Kusimamisha Dini ya
Allah na ni Ibada.Naye Amiri wa Jumuia
hiyo Bw. Musa Mziya,katika r ipoti yake yam w a k a k w a m g e n irasmi, alisema Jumuia
hiyo ilianzishwa mwaka1997 kwa madhumuniy a k u w a u n g a n i s h awataalamu Waislamupopote walipo Tanzania,ili kuweza kuitumikiadini yao kuwa kutumiataaluma zao mbalimbaliwalizojaaliwa na MwenyeziMungu, kuusaidia ummakujiletea maendeleo.
Alisema Jumuiya hiyokwa sasa ina matawi 17na wanachama 900 nchinzima.
A l i s e m a l i c h a y akuongeza wanachama, piamatawi mengi ya TAMPRO
yameimarishwa na kufanyaidadi ya matawi yote kukia17. Aliyataja matawi hayokuwa ni Mwanza, Dodoma,Arusha, Tanga, Morogoro,
Iringa, Tabora, Kagera,S h i n yan ga , K i g om a ,Manyara, Lindi, Ruvuma,Mara, Singida, Mkurangana Kilosa.
Ilielezwa kuwa juhudizinafanyika kufunguamatawi katika mikoailiyosalia.
Katika taari fa yakekwa mgeni rasmi nawanachama, Bw. Mziyaalisema Jumuia iliendeleana mradi wa ujenzi wamajengo shule ya Soteleiliyopo Mkuranga mkoanipwani , mradi ambaounafadhiliwa na Benki yaMaendeleo ya Kiislamu(IDB) kwa kiasi cha dola289,000 na kumalizika
mwaka 2012.Akitoa mwelekeo w
TAMPRO 2013-2014Amir Mussa Kundechaamesema kuwa mwakujao Jumuia itaendelekujikita zaidi katika kubu
mikakati mbalimbali ykuharakisha maendeleo yjamii, ili kupata matokeya kuridhisha.
Amesema Jumuia hiyitaendelea kusimamimalengo yake kam
yalivyoain ishwa kwenykatiba, ili kujiimarishkiuchumi.
T u t a e n d e l e a nukusanyaji wa ada zwanachama na hapa nitowito kwa wanachama wowa TAMPRO kuhakikishwanalipa michango yakwa moyo moja, ili jumuiweze kutekeleza mipang
yake iliyojiwekea.Alisema kuwa TAMPR
inataraj ia kuz indurasmi mradi wake w
jengo (TAMPRO Houskwa kuwakaribisha wadambalimbali kuwekezkatika mradi huo.
Aliongeza kuwa mwakujao, TAMPRO itaimarishzaidi miradi iliyopo yBaiytulmaal, gazeti lNasaha, TAMPRO SACCOna mradi wa ufugaji wngombe uliopo wilaya yKisarawe mkoani Pwani.
A l i s e m a T A M P Rinatarajia kuunda taw
jingine la mkoa wa Dar esalaam mapema mwakujao ili kuyafanya makamakuu ya Jumuia hiykushughulika na mambmuhimu ya kitaifa.
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
3/12
3 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Habari/Tangazo
Kesi ya mauwaji ya PadriInatoka Uk. 1wa Mtuhumiwa.
Alisema, ombi la pili ladhamana lifanyiwe kazilikizingatia mashariti
ya takayowekwa namahakama.
Kufuatia hoja hizoza pande mbi l i zakesi, Mahakama Kuuilitoa dhamana kwamtuhumiwa wa Mauwaji
ya Padri Evaristus Mushi
wa Kanisa KatolikiZanzibar, Omar MusaMakame.
Ak i t oa dhamanahiyo, Jaji Mkuu OmarOthman Makungu,amesema mtuhumiwahuyo amepewa masharitimawili:
Moja kuwa atalazimkakupata wadhaminiwawil i watakowekadhamana ya laki tanokila mmoja wakiwana vitambulisho vyaMzanzibari Mkaazi (ZANID).
Sharti la pili ni kuwana barua ya shehana kuripot i kat ikaMahakama mbele yaMrajis Mkuu kila siku
ya Jumatatu.Mapema mwendesha
mashitaka wa serikali,Abdalla Issa Mgongo,alidai mahkamani hapokuwa upelelezi wa shaurihilo bado haujakamilikahivyo kesi hiyo ipangiwe
siku nyengine kwakutajwa.Mtuhumiwa Omar
Musa Makame anadaiwakumpiga r i sasi nakumuua Padre MushiFebruari 17 mwakahuu wakati akiendakuongoza Ibada ya
Jumapili asubuhi katikakanisa la Mtakatifu
Teresia lil iopo Beit elRaas nje kidogo ya Mjiwa Zanzibar .
Alitiwa mbaroni Machi17, mwezi mzima baada
ya tukio.
Wananchi ndio waamuzi wa mwisho Katiba mpyaCHAMA Cha WananchiC U F , k i m e s e m a
wananchi wa Jamhuriya Muungano waT a n z a n i a n d i owatakaokuwa waamuziwa mwisho katikakuipitisha au kuikataaKatiba mpya.
Hayo yamesemwa naKatibu Mkuu wa Chamahicho Maal im Sei fSharif Hamad, wakatiakiwahutubia wananchikatika mkutano wahadhara uliofanyikaviwanja vya Msonge,
Jimbo la Kawe, Jij iniDar es Salaam Ijumaa
ya wiki iliyopita.Maalim Seif alisema
hivi sasa mchakato
wa Tanzania kupataKatiba mpya unaendeleana kwamba, kunamatumaini mwishonimwa mwezi huu Tume
ya Jaji Joseph Warioba,itatoa rasimu ya mwishona kuikabidhi kwa Rais
Jakaya Kikwete naRais wa Zanzibar Dk.Mohammed Shein.
Alisema viongozi haowakishapokea rasimuhiyo, watashaurianaili waitishe Bunge laKatiba ambalo kazi
yake kubwa itakuwa nikuijadili rasimu hiyo,kisha kutoka na rasimu
ya mwisho ambayo
Na Bakari Mwakangwale itapigiwa kura ya maonina Watanzania wote.
Pamoja na mchakatohuo kupitia hatua zotehizo, lakini mwamuzi
wa mwisho katika hilini nyinyi wananchi,kwa kuwa hatua yamwisho itarudi kwenuna mtapiga kura yamaoni kusema ndiyo auhapana, lakini ili upigekura ni lazima utimizesifa. Alisema MaalimSeif.
Maalim Seif ambayepia ni Makamu waK w a n z a w a R a i sZanzibar, alisema hivisasa kuna Watanzaniaw e n g i h a w a n avitambulisho vya kupigakura na kwamba tangudaftari la kupigia kuraliboreshwe, kuna vijana
wengi ambao wamekiaumri wa miaka 18 nakuendelea, ambao wanasifa ya kupiga kura lakinihawana vitambulisho.
Maalim Seif, alisemaChama Cha WananchiC U F k i n a i t a k aSerikali ya Jamhuri yaMuungano kuhakikishaWatanzania wote wenyesifa ya kupiga kura,wanatumia haki yao yakuweza kupiga kura kwaBara na Visiwani.
Vijana ndio matarajioya Tai fa , kwa hiyoukiwanyima nafasimaana yake hukuwapafursa ya kuamua kama
Katiba hii inawaridhishaama haiwarizishi, sasaserikali itafanyaje katikahili itajua yenyewe.Alisema Maalim Seif.
Maalim Seif alisemakatika kuliendea sualahi l i kumekuwa namkanganyiko, alidaiawali serikali ilitangazakuwa hakutakuwa nasababu za kuwepo kwaDaftari la Kudumula Wapiga kura kwaupande wa TanzaniaBara, badala yakek i t a k a c h o t u m i k akatika kupiga kura nikitambulisho cha Uraiaambacho kinatolewa naNIDA.
Serikali imetangazakupitia Bunge kwambaDaftari la kudumul i t a k u w e p o n a
litaboreshwa, Tume yaUchaguzi ya TanzaniaBara (NEC) wamesemahawana uwezo wakuboresha Daftari hilo.
S a s a S e r i k a l iituambie lipi ni lipi.Lakini kwa vyovyoteitakavyokuwa, tunaitakaSerikal i ihakikishehakuna Mtanzaniaatakayenyimwa haki
yake ya kuamua hatmaya Katiba Mpya, wotelazima wapige kura.Alisema Maalim Seif.
A l i sema endapoWananchi wakipitishakwa asilimia sabini, auzaidi ya theluthi mbili
hiyo itatoa heshima kwaTanzania. Lakini endapoKatiba ikipitishwa kwaasilimi 50.1, maana
yake ni kwamba nusuwameikubali na nusuwameikataa na kwamba,ikiwa hivyo kutakuwahakuna katiba hapo.
Katika hatua nyingine,Maalim Seif anaungamkono wito wa Rais
Jakaya Kikwete wakuwakutanisha wadaumbalimbali kabla yaBunge la Katiba, kwalengo la kuipitia Rasimuhiyo ili kuondoa tofautimiongoni mwa makundi.
Alisema kikao hichokitaangal ia mambomakubwa ambayo yanamaslahi na Tanzania nakutolea mfano kuwapowananchi wanaotakakuendelea mfumo uliopowa Serikali mbili nawale wanaotaka kuingiaka t ika m fumo waShirikisho wa Serikalitatu.
Katiba tunayo itakasi katiba ya Chamachochote bali ni Katiba
ya Watanzania wote,tunataka Katiba ambayoMtanganyika aridhikenayo na katiba ambayoMzanzibar ataridhika
nayo.Kama tutakwenda
k a t i k a B u n g e l aKatiba na kila chamana msimamo wake,
waliowengi watashindana wakishinda Katibaitapat ikana, lakinihaitokuwa Katiba ya
Tanzania bali itakuwakatiba yao peke yao.Alitahadharisha MaalimSeif.
A k i z u n g u m z i akuhusu uchaguzi ndanikatika Chama chakeunaoendelea hivi sasa,aliwataka wanachamakushiriki katika chaguzih i zo na kuchaguaviongozi sa.
Al isema umakiniuna t ak i w a k a t i k az o e z i h i l o k w a n iviongozi watakaoingia
katika Chama, ndio
wanatarajiwa kuwmajemadal i kat ikuchaguzi wa Serikaza Vijiji, vitongoji nmitaa hapo mwakan
sambamba na uchaguMkuu 2015.
A k a w a t a kwanachama kuachmakundi miongoni mwakwa kuwa hayajengi zaid
ya kubomoa. Ali semmgombea mzuri ni yuanayejinadi kwa kuelezamekifanyia nini Chamna si kumpaka matopmgombea mwenzake.
M a a l i m S e ialiiongozana na viongombalimbali wa Chamhicho kufungua Ofisza Serikali za Mtawa Ununio Kata yKunduchi, pamoja nile ya Mtaa wa Basihaya
Kata ya Bunju.
Inawatangazia Waislamu wote kuwa kuimeandaa safarya Hijja mwaka 2014 sawa na mwaka 1435 Hijria kwUSD 3,600.
Kutakuwa na punguzo la asilimia 18 kuanzia muda huumpaka Machi 22, 2014 Itakuwa dola 952 tu.
Kuanzia 23 Machi 2014 kuna punguzo la asilimia 8mpaka Juni 2014 itakuwa dola 3,312 tu.
Mambo yatakayogharamiwa ni semina za Hijja, hudumza afya na kuchanja, airport charge na tiketi za ndegenyumba Makka na Madina, Ihram na kuchinja kwajili ya Tama-Tuu, chakula wakati wote, usari na ziarMakka na Madina, Mahema Mina na Arafa.
Umra mwezi wa Ramadhani itakuwa ni dola US 1975Fomu zinapatikana Osi ya AHLUL DAAWA Dar eSalaam Mtaa wa Dosi na Mkadini- nyumba namba 2mkabala na Showroom ya magari Tel: 0713 730444au 0773 804101au 0785 930444au 0773 930444
Osi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel: 0777 484982au 0777 413 987.
Abubakar Maulana wa Markaz Kiwalani Dar es SalaamTel: 0784453838.
Abdalla Saleh Mazrui (Hoko) Dar es Salaam Tel: 071724 444. Dukani kwa Abdalla Hadh Mazrui Wet
Pemba Tel: 0777 482 665. Dukani kwa MohammedHadh Mazrui Mkoani Pemba Tel: 0777 456 911Sheikh Daud Khamis Sheha Tel: 0777 679 692, MaalimSeif Humoud Hamed Kijichi Zanzibar Tel: 0777 417736.
Wahi kulipa osi ya Ahlul Daawa Dar es Salaam Tel0713 730 444 au 0773 804 101au 0785 930 444.
Osi ya Ahlul Daawa Zanzibar Rahaleo Tel: 0777 484982au0777 413 987.Maalim Seif Humoud Salim Tel0777 417 736.Sheikh Salim Mohamed Salim Tel: 0774412 974au Account No 048101000030NBC KariakooAtakayemaliza taratibu zote mwanzo ndiyeatakayeshughulikiwa mwanzo. Ukilipa kwa njia yaAccount kwanza piga simu 0774 412 975.Kumbuka kikundi cha AhlulDaawa kwa bei nafuukuliko wote na huduma bora kuliko wengi
Wabillah Tawq
AHLUL DAAWA HAJJ
AND TRAVEL AGENCY
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
4/12
4 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Maoni yangu
Assalaam alaykum wtw.Kaka Msangi makalayako ya leo (Ijumaailiyopita) ya: WaislamuTZ hatujachelewa Jihadimenichanganya. Ni vipiWaislamu wanawezakupambana na serikalii n a y o w a p e n d e l e a
Wakristo halafu Wakristowasichukizwe?...KakaMsangi, hii U-turn katikareporting kipindi hikivipi?
Huo ni ujumbe wamaneno ambao niliupokeak u t o k a m m o j a w awasomaji Ijumaa iliyopitamchana.
Msomaj i mwinginenaye alikuwa na haya yakuniambia, alisema:
Muambieni Muhaririwenu Bwana Omar Msangimajibu aliyopewa ukurasawa 8 An nuur ya janaanatakiwa abadilike naatafute habari katikavyombo vya habari kama
Somalimemo.net Swahili.com atapata habari zaWaislamu duniani siokutoa habari katika vyanzovya makari na akiendeleana kudhoofisha jihad,Allah atamuangamiza
yeye. Kwa sasa hatujamtoakatika dini ila akiendeleat u t a m k u f u r i s h a n akumuona ni munaki nakama anaogopa kuandikahabari za jihad aachesio kurudisha nyumaMujahidina.
Bado kuna ujumbemwingine ambao naoningependa kuunukuu:
AA ndugu Mharir im f a h a m i s h e O m a rMsangi kuwa Uislamuunatenguka kama udhu,
yeye anaipinga Jihad kwakuhofia kuviacha vituvyake vizuri kama mke,watoto, nyumba, gari n.kakumbuke kuwa vyotehivyo ataviacha kwa lazimana akumbuke Qaarunkatika suratu Qaswaswiaya ya 76, je, alienda namali zake kaburini? Aacheunaki. Yupo wapi Rais wawanaki duniani Abdallahibnu Ubaay ibnu Suluul?H a o w a n a o m t u m i ahawatomsaidia kitu siku
ya kisimamo. Aaangaliesuratu Abasa aya 34-37
Zimetajwa aya hapalabda na zenyewe niziweke
ili ionekane maana mtumaujumbe aliyoikusudia.
Hakika Karuni alikuwakatika watu wa Musa,lakini aliwafanyia dhulma.N a t u l i m p a h a z i n aambazo funguo zakezinawatopeza watu wenyenguvu (kuz ichukua) .Walimwambia watu wake:Usijione (usijigambe)hakika Mwenyezi Munguhawapendi wanaojiona.(28:76)
S iku ambayo mtuatamkimbia nduguye. Namamaye na babaye. Namkewe na wanawe. Kilamtu miongoni mwao siku
Tuna safari ndefuSuala ni kujua, tusifanye kwa ujingaYako wapi matawi Kossovo, Taliban
Ya Sensa vipi, tumeyatafakari vizuri?
Na Omar Msangi
hiyo atakuwa na lake lakumtosha. (80:34-37)
Al iwahi kulalamikaAugust ino LyatongaMrema kuwa wakati wauchaguzi mkuu, hatazile kura za watu wakealioamini kuwa walimpigiakura, hazikuonekana.Ziliibiwa.
Hivi sasa matawi yaCUF kama Chechnya,Kandahar, Gaza, Taliban,Bosnia, Kossovo, imekuwani historia.
H i zo z i l i kuwa z i l ezama ambapo vijana kwawazee na akina mama waKiislamu, walijitosa katikachama cha CUF kwa serazake za Haki Sawa kwaWote wakiamini kuwa hakiza Waislamu zitapatikanakupitia siasa za vyamavingi.
Kinyume na wana-CCMambao inadaiwa kuwakwenda katika mikutanowalikuwa wakikodishiwamagari na kupewa posho,hawa walikuwa wakitoapesa zao kukodi mafuso namabasi, ikawa ni msururuwa magari, kwenda katikamikutano.
L a k i n i b a a d a y akuona kuwa hata kurazao walizopiga, pamojana kuwa na mawakala,
bado ziliibiwa kiasi chakukosa Diwani/Mbungehata katika yale maeneoambayo waliamini kuwawao ni wengi na wakiwana uhakika wa kushinda,vijana wakaanza kurudinyuma. I l iwachukuamuda mrefu kujua kuwasiasa ni mchezo mchafuna ukiingia nawe ujuenamna ya kucheza huomchezo mchafu!
Wao walidhani, suala nikujiandikisha na kupigakura tu. Kura yakoinahesabiwa, umeshindaa u u m e s h i n d w a .Wakashangaa kuonahata kura zao walizopiga,
kwa maana kuwa kamawalikuwa 100 katikaeneo na wote walipigakura, lakini baada yakuhesabiwa, mgombeawao, hana hata kuramoja au ana 5 tu, 95ambazo wenyewe walipigahazionekani!
Hivi majuzi katikam k u t a n o w a C U Fu l i o f a n y i k a D o n g e ,walisimama makada waCCM waliohama chamahicho, wakitoa ushuhuda
j i n s i w a l i v y o k u w awakipiga kura zaidi ya10. Mtu anakaa Donge,anapewa kadi ya kupigia
kura Tumbatu, Bububu,Nungwi, Mji Mkongwe,Raha Leo n.k.
R u d i k a t i k a y a l emaandamano ya Januari2001 ambapo baadhi yawatu walitoka kwa kujitoakabisa mithili ya kupiganiaDini, lakini mgombea Uraismwenyewe ambaye watuwalikuwa wakimpiganiakuwa kaporwa Urais wake,wakati huo yeye yupo Ulayawakati watu wakipigwarisasi na virungu. Amerudibaadae kuja kutoa ubaniPemba akiandamana naMzee Kingunge NgombaleMwiru!
Ukiyajumlisha yotehaya, leo matawi ya CUF
ya Taliban, Gaza, Kossovo,Kandahar , Lebanon,Chechnya, imebaki nihistoria. Nguvu, mudana mali imepotea bure.Namkumbuka Sheikhwangu mmoja (marehemusasa Mungu amrehemu)alibubujikwa machozialiposikia mgombea Urais,Zanzibar, kupitia CUFkashindwa!
Kuyasema haya nakufanya tathmini hii,haina maana kupingaau kuwakatisha tamaaWaislamu wasiingie nakushiriki siasa za vyama.
Hoja hapa ni kuwa waingiehuku wakijua na kanunizake na michezo yakemichafu inayofanyikia iliwajiandae kupambananayo.
Katika sensa ya idadi yawatu iliyopita, Waislamuwalitaka kipengele cha dinikiingizwe katika sensa.
Swali ni hili: Kamakatika uchaguzi mkuu,ambapo kura zinahesabiwakituoni, kuna mawakalana matokeo hutolewahapo hapo, lakini kurazinaibiwa. Unapiga kura
yako, na huioni. Je, katikasensa ambapo wahesabujizaidi ya asilimia 80 labda
si Waislamu, lakini piahakuna mawakala nahao nao wakishahesabu,huwapa kamati maalumna kukaa na makaratasihayo kwa miezi kadhaakabla ya kutoa matokeo,na hao wengi pia sioWaislamu; tulikuwa nauhakika gani kwambai d ad i i t ak ayo t o l ew aingekuwa sahihi?
Kuhoji hivyo, hainamaana kupinga msimamowa Waislamu kutakakipengele cha dini kuwekwakatika sensa, wala siokudunisha umuhimu wakujulikana kwa uhakika,
idadi ya Waislamu naWakristo. Lakini swali ni
je, Waislamu walijiandaav ip i kukab i l i ana namichezo michafu kamaile inayofanyika katikauchaguzi mkuu?
Katika vita ya Iran naIraq, Saddam Husseinalikuwa akisaidiwa naMarekani. Akipewa mpakasilaha za sumu. Ambachoa l i k u w a h a f a h a m uSaddam ni kuwa Marekanihaikuwa inamsaidia iliashinde vita, bali ilitumiavita ile ili kuzidhooshanchi zote mbili ili hatimayeibakie Super Power mojatu Mashariki ya Kati;Israel.
La kus ik i t i sha n ikuwa mpaka sasa ziponchi za Kiarabu walasomo hili halijaeleweka.Wanaungana na nchiza Ulaya kuchagiza Iraniadhibiwe na izuiwe kuwana silaha za nyukilia.Lakini hazifunui mdomokuhoji silaha za Israel!Ndio hizo hizo zinazofadhilimakundi yanayojiita ya
Jihad yanayopigana Syria.Wenyewe hawana utawalabora wala kutawala kwaKitabu na Sunnah, lakiniwanafadhil i makundi
yanayodai kupigania
Shariah isimame Syria!I l ikuwepo Khilafah
ambayo i l i poromokawakati makao makuu
ya ke ya kiwa Is tanb ul ,Uturuki. Kipo kitabukimechapishwa mwaka2001 na kupewa jina:CONFESSIONS of A BritishSpy and British EnmityAgainst Islam.
Ndani ya kitabu hichokachero aliyetajwa kwa
jina moja la Hempher,anaeleza jinsi ilivyokuwakazi nyepesi kuiangushaK h i l a f a h h i y o k w akuwatumia Waislamuwenyewe . Anasema,
yeye ali jifanya ni mtoto
yatima asiye na nduguna aliyesilimu na kujiitaM u h a m m a d . H i y oilitosha kwa Masheikhkumkumbat ia hukuw ak i n u k u u A ya n aHadithi juu ya fadhilaza kumkirimu mgeni,na hasa mtu kama yeyealiyetoka katika Ukari nakusilimu. Hawakuingiwana wasiwasi wowotekabisa kuwa anawezakuwa ni adui aliyejifanyakusilimu. Akakaribishwahadi chumbani kwaSheikh aliyemtaja kwa jinala Sheikh Ahmed Efendina akapewa nyumba ya
kukaa jirani na Msikiti.Kuwamaliza kabis
Wais lamu, akafanyjuhudi kusoma na kujuQuran, lugha ya KirabuKi turuk i pamoja nKifursi. Na hivyo ndivywalivyofanya makacherw e n g i w a l i o t u m wkupitia Wizara maalumiliyoitwa Ministry of thCommonwealth ndan
ya serikali ya UingerezaWalisoma Kiarabu nKituruki na wajinya watwaliosilimu waliohamkuta fu ta mahal i pkusoma Quran.
M u i n g e r e z a h u ya n a s e m a a l i j i f a n yn i yat ima a l i yeku jkutafuta maisha Uturukna kuusoma UislamuSheikh Ahmed Efendaliyempokea akamtendewema kama Uislamunavyoagiza kuwafanywageni na waliosilimu.
Hapana shaka wakaule mtu angesimama nkuhoji, mnamuamini viphuyu Mzungu mpak
mnamkar ib isha hadchumbani, angesomewAya na Hadithi za fadhiza kuwakirimu wagenna kuwahudumia watwaliosilimu!
Hoja hapa ni tahadharKuchukua tahadhari! Skupinga takrima kwwageni na waliosilimuNa kule Syria hoja sikupinga Jihad, lakini jkinachofanyika ni Jihakweli au ndio yale ya
ya kumtoa Gadhaf i nkuwafungulia milangmabeberu waporaji nmaadui wa Uislamu?
Kach e r o H em p h eanasema anawaone
h u r u m a W a i s l a m uwatu wenye dini borkabisa, lakini wamekuwh a m n a z o . H a w a j ukinachotokea duniani kwhiyo inakuwa wepesi kwakughilibiwa na kutumiwkujidhuru wao wenyewe
What surprised me wathe fact that Islam, suca noble religion as it wawas being degeneratein the hands of thesconceited people who werquite unaware of what wagoing on in life.
Haya ndiyo anayosemH e m p h e r , k w a m bUislamu dini nzuri kabislakini imekuwa mikonon
mwa watu wajivuni ambalabda kwa kutokujuthamani ya kitu walichnacho, au kutokujusiasa chafu zinazoendeledun ian i , wamekuwhamnazo, hawana umakinwowote wala tahadhakiasi kwamba dini hiyinaangamizwa mikononmwao wakitizama.
Na hapa ndipo ilipnukta ya muhimu katikmakala zangu zo teUkiwa mwanaharakatadui wa Uislamu atakujna mbinu za kiharakatlakini za kukupotosha
Inaendelea Uk. 1
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
5/12
5 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Habari za Kimataifa
NEW YORKMwakilishi wa kudumuwa Syr i a ka t ikaUmoja wa MataifaBw. Bashar Jaafari,amesema kuwa baadaya kufungwa faili lasilaha za kemikali zanchi hiyo, Umoja waMataifa sasa unapasakuanza kushughulikiakikamil i fu s i lahaz a n y u k l i a n az i l e za v i j i du duzinazomilikiwa na
utawala wa Kizayuniwa Israel.
A k i z u n g u m z aJumatatu wiki hii wakatiwa kikao cha Baraza laUsalama la Umoja waMataifa mjini New York,kinachojadili matukio
ya Mashariki ya Katihasa mgogoro wa Syria,Bw. Jaafari alisemakuwa, Syria ilikubalikuwa mwanachamawa Taasisi ya Kuzuian a K u s a m b a z w aSilaha za Kemikali nailiandaa mazingira ya
Jaji wa mahakamakatika jimbo mojanch in i Mar ekan iJaji Richard Leon,amesema kuwa tabiaya shirika la ujasusi
la Marekani NSA,k u k u s a n y a d a t akwenye simu za watubinafsi ni kinyume nakatiba ya nchi hiyo.
Ja ji Le on al is emak uw a t ab i a h i y oinaingilia uhuru wataarifa za faragha zawatu na kuwa haistahilina kwamba hivi sasawamarekani hawaishikwa amani kwani simuzao zote zinadukuliwa.
Mmoja wa watuwaliolishitaki shirikahi lo kwa kufanyaudukuzi wa simu za
mkononi za watu nakukusanya data nyingiya watu binafasi, LaryKlayman, amesemakuwa shirika hilo shartilijue kuwa linakwendakinyume na sheria.
La r r y K l a y m an ,aliongea na BBC baada
ya Jaji Richard Leon,kuamua kuwa udukuziwa simu unaofanywa na
Udukuzi unakiuka katiba ya MarekaniShirika hilo la Ujasusila Marekani unakiukakatiba ya nchi, kwakukusanya taarifa kwanjia isiyofaa.
Baadhi ya taarifa
ambazo hukusanywa nashirika hilo ni namba zasimu za watu, nyakatiwalizopiga simu natarehe walizopiga simuzao.
Sakata kuhusu tabiaya serikali ya Marekanikufanyia simu za watuudukuzi, lilifichuliwana kachero mtoro waNSA Edward Snowdon,katika juhudi zao zakutafuta taarifa zakijasusi.
Jaji Leon alitoa agizo lamuda la kuzuia shirikahilo kuendeleza udukuziingawa anasuburiserikali kukata rufaa.
Ikulu ya White Housei l ipuuza pendelezola kupewa msamahaBw. Snowden ambayealikimbilia nchini Urusibaada ya kufichuataarifa hizo, ili awezekuacha kuendeleakuchua taarifa hizo.
UN yatakiwa ifuatilie
silaha za nyuklia za Israelkutokomezwa silahazake zote za kemikalikwa kushirikiana nawakaguzi wa Umoja waMataifa.
Bw. Jaafari aliongezakuwa, iwapo Umoja waMataifa unataka amani
ya kudumu ipatikanekatika eneo la Mashariki
ya Kat i , unapaswakuanza kuchukua hatuaza kutokomezwa silahaza kemikali na zile za
nyuklia zinazomilikiwana utawala wa Israel.Mwakilishi huyo wa
Syria katika Umojawa Mataifa aliongezakuwa, kuna migogoromingi iliyotokea katikaeneo la Mashariki yaKati imesababishwana taarifa za uwongona kusisitiza kwamba,m a s h a m b u l i o y aMarekani dhidi ya nchiza Iraq na Afghanistann i m i f ano m i w i l iinayothibitisha ukwelihuo.
JUBAJeshi la Sudan Kusinilimesema haliudhibititena mji muhimu waBor, hiyo ikiwa ni maraya kwanza kwa jeshihilo kukiri kushindwaka t ika map iganoyanayoendelea kwa
siku ya kadhaa sasakat i ya makundiy a W a n a j e s h iyanayopingana.
Mapigano hayo makalikati ya pande mbili zaRais Salva Kiir na yale
yanayomuunga mkonoaliyekuwa Makamu wakealiyefukuzwa serikalini,Riek Machar, yanatishiakuitumbukiza nchihiyo kwenye vita vyawenyewe kwa wenyewe.
Msemaji wa Jeshil a Sudan Kus in i ,Kanali Philip Aguer,alinukuliwa akisema
wiki iliyopita kuwaw a n a j e s h i w a a s iwanaomtii aliyekuwamakamu wa Rais wanchi hiyo Riek Machar,wameutwaa mji wa Bor.
Amesema viongozikatika mji huo ambaoni mji mkuu wa jimbola Jonglei, hivi sasahawapokei simu zao,hatua inayo i fanyaserikali kuu kuaminikwamba wamejiungana waasi.
Kanali Aguer amesemawamepoteza udhibiti wamji wa Bor na kwamba
RAIS Rohan wa Iran. RAIS Obama wa Marekani.
Waasi Sudan Kusini wadhibiti mji wa BorVikosi UN kupelekwa kulinda usalama
milio ya risasi imesikikausiku kucha, ingawabado hawana taarifakuhusu waathirika auwatu walioyakimbiamakazi yao kwa kuwaoperesheni za kijeshibado zinaendelea.
Msemaji wa KatibuMkuu wa Umoja wa
M a t a i f a , M a r t i nNesirky alisema raia 19wameuawa katika mjiwa Bor, kwa mujibuwa taarifa zimetolewana shirika la MsalabaMwekundu nch in iSudan Kusini.
Amesema wasiwasipia umeongezeka katikamajimbo ya Unity naUpper Nile na mji wa
Torit huku mapiganoyakisambaa katika mijimingine ya taifa hilotajiri kwa mafuta.
Waziri wa Habari waSudan Kusini, MichaelMakuei Lueth, amesemakiasi watu 500, wengi
wao wakiwa wanajeshi,wameuawa na wengine700 wamejeruhiwakatika mapigano hayo
yaliyoanza katika jaribiola mapinduzi mwishonimwa wiki iliyopita.
Ra i s Sa l va K i i r ,amesema yuko tayarikuanza mazungumzona Makamu wakealiyemfukuza kazi mwezi
Julai, Riek Machar. Kiiranamlaumu Macharkuhusika na jaribio lamapinduzi lililoshindwana kuanzisha mapigano.Hata hivyo Macharamekanusha madai
hayo.Wakat i huo hu
mawaziri wa mambya nje kutoka mataifmanne ya Jumuiya yMaendeleo ya nchi zMashariki na Pemb
y a A f r i k a - I G A Dwameelekea SudaKusini kuanza juhud
za kumaliza mapiganhayo yanayozushhofu ya kugeuka kuwvita vya wenyewe kwwenyewe.
M a w a z i r i h awanatokea KenyaDjibouti, Ethiopia nUganda.
Kwa upande wakeMarekani imeelezewasiwasi wake mkubwkuhusu mapigano ySudan Kusini, hukWaziri wake wa mamb
ya nje, John Kerry akitowito wa kuwepo utulivuMarekani na Uingerezzimeanza kuwaondowafanyakaz i wak
kutoka Juba.Kat ibu Mkuu wUmoja wa Mataifa, BaKi-Moon mapema wikhii aliitisha mkutano wBaraza la Uslama Ukujadili hali ya SudaKusini na imeazimiwkupelekwa majeshi ykusimamia usalamnchini humo.
M a e l f u y a r a iwa Sudan Kus inwameyakimbia maka
yao na kwenda kutafuthifadhi kwenye osi zUmoja wa Mataifa tang
yalipozuka mapigansiku ya Jumapili.
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
6/12
6 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Makala
B A D O y a n a z i d ikufichuka mamboya kutisha katikakile walichofanyiwaWaislamu wa Kilindikiasi miezi miwilii l i y o p i t a . K w ahakika ni mamboya kusikitisha na
kuhuzunisha ambayoh a y a k u t a r a j i w akufanyiwa mwananchikatika nchi yake huru.
Ni wazi kuwa kilam w e n y e c h e m b e
ya i man i , u tu naubinadamu, atalaanivitendo kama hivyovinavyodaiwa kufanywana walinzi wa usalamawa raiya na mali zao.
Inavyo fahamika ,hata kama ni jambazi,h u k a m a t w a n akukishwa mahakamaniakashitakiwa huku hakizake zote za kibinadamuzikizingatiwa. Lakini
ya li yo ji ri Ki li ndi , ni
hadithi nyingine kabisa.Watu wamepigwar i s a s i , m a l izimeharibiwa, nyumbazimechomwa moto namali kuporwa. Kwasasa hakuna la ziada lakusema ila kuunganana watu wote wemakulani ukatili huo. Kwatuhuma zozote zitakazokuwa, hakuna namna
ya kuhalalisha mambowaliyofanyiwa watu waMadina na vijiji vinginevya Kilindi.
Baada ya utangulizihuo, niseme kuwainabidi kila wakati kuwamakini tusiunganishemambo tukashindwakuyaelewa kila mojakwa muktadha wake.K w a m f a n o , m t uakipinga uingiliaji katiwa nchi za Marekani naNATO katika mgogorowa Syria, haina maanakuwa anaunga mkonoudikiteta na utawalambaya anaodaiwa kuwanao Bashar al Assad.
Na ndio hivyo hivyo,kupinga baadhi yaWaislamu kujitengana kuanzisha vijiji vyakwao pekee wakidaikusimamisha utawalawa Kiislamu ndani yanchi, haina maanakuunga mkono ukatili,mauwaji na udhalimuunaodaiwa kufanywana polisi walipovamiabaadhi ya vijiji hivyo.
Ni kwel i SaddamHussein alikuwa dikitetakama ambavyo inawezakudaiwa kuwa alikuwaMuammar Gadha nasasa Bashar al Assad.Swali ni je, mtindouliotumika kumngoaSaddam, umeleta nafuu
yoyote kwa watu waIraq? Hilo ndio swalila kuhoji na kufanyiatathmini.
W a p o w a t ukatika Afghanistan
Ni kweli dhulma kubwawamefanyiwa Madinah
Ila Elimu kwanza sio kutoa vijana shuleTutaumwa mara ngapi ndio tujifunze?
Na Omar Msangi
walichekelea kungolewaTa l i ban . P i cha zavideo zikawaonyeshabaadhi ya Waislamuwa Afghanistan (hasawa madhehebu yaShia na Waislamu
wasiokuwa wakitakanchi hiyo itawaliweKiislamu) wakipigamateke maiti za askariwa Taliban waliouliwana makombora yaMarekani.
Lakini hali ikoje leo?Wapo pia waliochekeleakupigwa Saddam nawengine wakashikasilaha kushirikianana NATO KumngoaGadhaf i . Wenyewe
MIEZ I michacheiliyopita vyombo vyahabari vilishehenitaarifa ya magaidiwaliokuwa katika vijijivya Handeni.
T a a r i f a z i l i f i k aTanga kuwa kulikuwana magaidi wanaishikatika mahandaki naoperesheni maalumil ikuwa iki fanyikakuwateketeza.
Tunapiga vita ugaidi au
ni vita dhidi ya Uislamu?P r o p a g a n d a
i k a e n e z w a k u w awalikuwa hawaitambuiserikali ya Rais JakayaMrisho Kikwete.
Habari zilivuja Tangamj in i na v i tongo j ivyake kuwa kuna vijijivimeteketezwa.
Kwa hakika kunawatu waliletwa Hospitali
ya Bombo wakiwa namajeraha ya risasi.
Kwa watu waliofikaHospitali ya Bombo kwakweli waliwaona vijanawaliokuwa wamefungwapingu wakiwa katikavitanda vyao hukuwakilindwa na askari.
Taarifa zikaka vilevilekuwa kuna watotowadogo wamefikishwa
Tanga baada ya kukutwaporini.
Watoto hawa walikuwawamehifadhiwa katika
moja ya shule za hapomjini.Katika hali kama
hiyo, vilevile zikafikataarifa tofauti kwaWaislamu wa Tangakuwa hao walioletwaHospitali ya Bombo nawatoto waliookotwaporini, ni Waislamwa vijiji vya Madina,Dibungo na Lwandewalioshambuliwa naaskari pasi na sababu.
Juhudi za Umoja waTaasi si za Ki is la muTanga (SHITA) chini yaMayor Omari Guledina Katibu wake AhmedMustafa kukutana naMkuu wa Mkoa ChikuGalawa kupata ukwelizikagonga mwamba.
Ha l i i kawa t e t ebaada ya Sheikh RajabRamadhani Chambusommoja katika masheikhvijana mjini Tangakukamatwa na kuwekwar u m a n d e k i s h akuhamishwa Handeniambako alifunguliwakesi ya ''kushawishimauaji.''
I k a v u m a k u w a
wakidai kuwa wanamtodikiteta waliyemlankuwa hana Uislamu nhataki Libya itawaliwkwa Kitabu na SunnahSwali ni je, hivi sasLibya kinachotawala nKitabu? Je, hivi sasLibya kuna UkhalifahHali ya usalama kwraia nayo ikoje?
U k i a n g a l i
Afghanistan, I raqLibya na hata kulP ak i s t an am b apkunadaiwa kuna vitdhidi ya ugaidi, hakunwananchi walichovunila umwagikaji damumauwaji ya mamia ymaelfu ya watu wasina hatia. Na hata baad
ya vita kuma li zik aw a l i c h o v u n a nw a n a c h o e n d e l ekufaidi ni vita ywenyewe kwa wenyew(civil war).
Ni vita ya kikabilana kati ya makund
ya mirengo tofauti ykidini (Shia/Sunni
Hakuna salama tenaHakuna salama kwsababu mabeberuwaliopanga vita ndihatimaye walikusudiiwe hivyo. Yale madai yhuruma ya kibinadamilikuwa danganyatotoN a k w a b a h a tmbaya wakapatikanWaislamu wakawaungmkono wak idhanwakimpindua SaddamGadhafi , watapatfursa ya kusimamishUislamu!
Ni upumbafu huhuo unaojitokeza kwsuala la Syria hivi sasaIsingekuwa Urusi n
China kuweka Vetohivi sasa Marekani nNATO zingekwishaingiSyria na kumngoBashar al Assad kamzi l ivyofanya LibyaSwali ni je, Marekanna NATO wanafanyhivyo ili kutoa fursk w a Mu j ah i d i nakusimamisha Uislamu
Wanaojiita Al-NusrFront na Jeshi lUislamu (the Army oIslam), wanapigana Syrkupambana na jeshla serikali wakiaminkuwa wapo katika Jihana akingoka Bashaal Assad watasimaish
Khilafah.Wiki iliyopita wanaji had hao wa li fanymauwaji ya kutishkatika mji wa Andrulio kiasi cha kilomet20 kasikazini mwDamascus. Baadhi ytaarifa zinasema kuwzaidi ya watu 80 waliuliwwakat i wap iganajhao walipoteka mjhuo. Wal ichofanyni kuuwa kila aliywa kabila ya Basha(Alawites), Shia, Druzna kila anayeonekankumuunga mkono Ra
Inaendelea Uk. Inaendelea Uk. 7
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
7/12
7 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Makala
Ni kweli dhulma kubwawamefanyiwa Madinah
Inatoka Uk. 6
Bashar.Hivi sasa mamilioni
ya raia wasio na hatiawanataabika katikakambi za wakimbiziw a k i w a h a w a n amsaada wa kutoshakatika majira haya yabaridi kali. Yamewakamasaibu haya kutokanana vita ya wapinzaniwanaodai kupigana
Jihad kumngoa Basharal Assad.
L a m u h i m ukufahamika hapa nikuwa, hawa Al Nusra,hawakuanza katikamgogoro huu wa Syria.Na hawa a l -NusraFront, al Qaidah, Jeshila Kiislamu (Iraq) naLashkar-e-Taiba (LeT)katika Pakistan, nimakundi ya Kiislamu
y a n a y o f a d h i l i w ana baadhi ya nchiza Kiarabu na ndio
yanayotumika kutafutavisingizio vya kupigwaWaislamu yakidaiwakuwa ni ya kigaidi.Lak i n i i nap o k u j akusaidia kumpiga nakumtoa mtu asiyetakiwana Marekani kamaBashar, hawa hugeukak u w a m a s w a h i b awakawa wanapewasi laha na mafunzokutoka Marekani naNATO kupitia nchi zaKiarabu.
M a j i y a m e k u w amarefu kwa Free SyrianArmy. Kama ilivyokuwakwa Afghanistan, sasainaonekana wanaowezakupambana na jeshi laBashar ni Waislamu
walioaminishwa kuwawanapigana Jihad.Hapa ndio wanaingiahawa Al-Nusra Front nawenzao.
Kupitia kwa SaudiArabia/Qatar, sasahawa ndio watakuwawakipata misaada
y a s i l a h a , f e d h ana kuungwa mkonokidiplomasia.
Mapema mwaka 2010mtandao wa WikiLeaks,ulifichua mawasiliano
ya si ri ya tarehe 30Desemba 2009 yaaliyekuwa Waziri waMambo ya Nje waMarekani Hillary Clinton
kwa mabalozi wake (USembassies) akisemakuwa Saudi Arabiaimekuwa ndiye mfadhilimkubwa wa makundi ya
Jihad ya Kisuni ambayokwa msamia t i waKimarekani, ni magaidi.
Makundi hayo nipamoja na Al-Nusra,na ndiyo yanayotumiwakupigana Syria hivi leo.Wapo watu ndani ya Al-Nusra (hasa wale waliokatika mawasiliano yamoja kwa moja na PrinceBandar Ben Sultana.k.a. Bandar Bush)wanaweza wakajua
mchezo unaofanyika.Lak ini p ia wapo
vijana wengi wasio nahatia, ambao wataingiaS y r i a w a k i d h a n iwanapigana Jihad yakweli! Wana uchungukama anavyodhihirishamsomaji aliyenitumiaujumbe wa simu akilaaniwatu wanaowakatishatamaa na kuwavunjanguvu Mujahidina.
Hawa ndio mwandishimmoja anawasi f iaakisema wameigeuzaSyria kuwa machinjio yabrainwashed, trigger-happy Jihadi fighterseager to meet their
maker.A k i m a a n i s h a
machinjio ya vijanaw a l i o p u m b a z w awakadhani wanapigana
Jihad na katika kufanyahivyo, watakutanana Mola wao wakiwaMashaheed.
Anaongeza akisemakuwa kwa kupumbazwana kufanya h i vyowanauwa maelfu yawatu wasio na hatia.
Baada ya kuelezaukweli na kufichuauhusiano uliopo baina
ya makundi haya yaJihad, baadhi ya nchi zaKiarabu na Marekani,
mwandishi amewaitawapiganaji hawa kuwani fanatic groupsa m b a o m a a d h a l iwanapata misaada yafedha, silaha, logisticalsupport, unprecedenteddiplomatic clout andideological guidance,wataendelea kuisumbuana kuiangamiza Syriakufanikisha lengo lamabeberu. (Soma:Prince Bandars Reignof Terror By AhmadBarqawi, November 27,2013)
Hoja ya msingi hapasio kukubali au kukataa
Jihad. Kupinga ushirika
Tunapiga vita ugaidi auni vita dhidi ya Uislamu?Inatoka Uk. 6
p a t a k u w a n am a a n d a m a n okushinikiza kuachiwakwa Sheikh Chambuso.
A s k a r i w a F F Uwalizingira misikitikadhaa Ijumaa hiyo,lakini hapakuwa namaadamano yoyote.
Alipopata dhamanana kuachiwa SheikhChambuso a l ikuja
Tang a na haba ri zakutisha kuhusu dhulmailiyopita katika vijiji vyaMadina, Dibungo naLwande.
Habari hizi alielezwana mahabusi wenzake
kat ika h ivyo v i j i j ivilivyoshambuliwa.Sheikh Chambuso
k a t i k a h o t u b aaliyotoa katika moja
ya misi ki ti maarufu
Tanga, aliwafahamishaWais lamu kuhusumisikiti iliyovujwa nakuchomwa moto, Qur'anzilizochomwa moto nanyumba za Waislamuzilizoteketezwa kwa
kisingizio cha ugaidi.Wananchi jioneeniwenyewe yote hayokatika hizi picha.
(Maelezo ya msomajiAn nuur)
wa Marekani na Jeshi lKiislamu, haina maankumuunga mkonAssad na ubaya wotanaodaiwa kuwa nao.
Hoja n i kukatak u t u m i w aKupumbazwa ukadhanunap igana J ihadkumbe unatumiwa
U n a p i g a n a h u kanayekupa msaada n a p a n g a n a m n
y a k u ku an ga mi zbaada ya kumalizkazi aliyokutuma bilkutambua. Ujinga hundio inapasa Waislamwaepukane nao.
MadinaMad ina n i k i j i j
kilichoanzishwa miakya 1990s, waanzilishwakidai kuwa kwkujitenga na kuishi hapwataweza kusimamishShariah ndani ya nchinayodaiwa haina dini
W a l i j e n g a nwakaj ishughul ish
na kilimo na biasharmbalimbali. Pamojna waanzilishi, baadawalipatikana pia watwa kuhamia. Hathivyo, baadae baadhwal iamua kuhambaada ya kuingia ser
ya kutaka watu watowato to wao shu likidaiwa kuwa kupelekwatoto shule ni ukar
Wapo wal iohambaada ya kushindwkukubaliana na serhiyo na wapo waliobaklak in i watoto wawakaendelea kusomaLakini wapo pia ambawalitoa watoto washule.
Hivi karibuni kunvijana waliacha shulewengine wakiwa kidatcha sita na baadhwakiwa vyuo vikuuH aw a i naam i n i kk u w a b a a d a yk u a c h a m a s o m owalikwenda Madinna kuanza maishhuko . Wa l i t owekkatika mazingira ykutatanisha, baadaikafahamika kuwa wapMadina.
Baadhi ya vijana hawwalitoka katika shulza vipaji maalum kwmaana kuwa walikuwvijana wenye akili nzuna kwa hivyo tarajio lummah wa Kiislamna nchi kwa ujumlaWapo pia baadhi ambawalikuwa wakimalizimasomo yao ya udakita(med i c ine ) ka t i kmoja ya vyuo vikunchini. Wanajulikankwa majina na walsio habari za aminukipenda.
Swali hapa ni jeukirejea ile amri ykwanza kwa Mtum( s . a . w ) y a I q r ainakubalika kuwazuiy
Inaendelea Uk.
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
8/12
8 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Makala
Na Mahitaji Size Idadi @ Tshs
1 Nondo 12 MM Pcs 120 18,000 2,160,000.00
2 Nondo 8 MM Pcs 60 8000 480,000.00
3 Binding Wire 20 Kg 1 52000 52,000.00
4 MAWE 200 CM Lori 20 250000 5,000,000.00
5 KOKOTO 70 CM Lori 7 750000 5,250,000.00
6 Mchanga 40 CM Lori 4 220,000 880,000.00
7 Cement Mifuko 350 13500 4,725,000.00
8 Mbao Cypruss 1 6 120 9000 1,080,000.00
9 Misumari Kg 10 3000 30,000.00
JUMLA NDOGO 19,657,000.00
Deni la Mkandarasi(mjenzi)
JUMLA KUU 35,657,000.00
Msaada ujenzi wa MsikitiMahitaji ya Vifaa yanayohitajika kukia hatua ya Zege la Jamvi
PLOT No. 152 Block A, Masjid Jumuiyatil Islamia Ubungo Darajani.
Nb: haya ni Mahitaji kwa ajili ya Zege la JamviKwa mawasiliano zaidi Tupigie Mwenyekiti 0754 462 050 Katibu 0719 760 777 Mwenyekiti Kamati ndogo ya ujenz
Goha) 0787 318 116.International Commercial Bank No A/c 00001/01/601059/01 au A/c 0000/01/ 0009/94/02.
Au tutembelee katika Msikiti wetu uliopo Ubungo Darajani.Wabillah Taufq
Ni kweli dhulma kubwawamefanyiwa Madinah
Inatoka Uk. 7
w a t o t o k u s o m a ?Inakubalika katikaUislamu kumtoa kijanaaliye kidato cha sita auChuo Kikuu ili aendeMadina kwa kumlaghaikuwa hayo ni maandalizi
y a k u s i m a m i s h aShariah?
K a t i k a j u m l a
ya ma la l amiko yaWaislamu nchini nikuwa wamebaguliwakatika elimu na ajira.
Je , mtu ambaye leokatika karne hii ya 21
ya sayansi, tekinolijia,IT na utandawazi ,anampumbaza kijanawa kidato cha sita/chuokikuu na kumtoa katikamasomo kwa madaikuwa huo ni ukafiri,ni kupoteza muda, baliakajitenge katika kijijicha pekee kungoja
Jihad, utasema huondio Uislamu? Au ndionamna ya kusimamishaUislamu?
Ieleweke vizuri hapakuwa hoja sio kukubaliau kupinga Jihad. Walasio kuunga mkono aukupinga kusimamishaKhilafah. Hoja ya msingihapa ni njia ya kupita.
Kama i l ivyokuwaRwanda, kule Bangui,Afrika ya Kati, chukiimetumbukizwa baina yaWaislamu na Wakristo,sasa wanachinjanakijiji kwa kijiji. Selekahaijaanzishwa kamakikundi cha kupiganiaUislamu, wala hawanampango kabisa nakusimamisha Shariah!Mabeberu wamepatamwanya wa kuletam a j e sh i y ao k w akisingizio cha kulindaamani. Wakati wananchiwakiuwana, mabeberuwanavuna dhahabu,almasi na uranium.Imekuwa Congo (DCR)nyingine.
H e b u n a t u p a t efundisho kama niwenye akili. Katikanch i zo t e ambazomabeberu wanatamanikuzikalia hivi sasakatika mtindo mpyawa ukoloni, uchochorow a o m u h i m u w akupita, ni kupandikizamachafuko.
Mahali pasipo naugaidi, watapiga sanapropaganda kuwakuna magaidi hukuwakitumia vyombo vyahabari mpaka ikubalikeil i wapate fursa yakusema wanaingiza FBIwao na Marine waona drone zao kusaidiakupambana na magaidi.
W a k i s h a i n g i ahawatok i . Na kwaupande mwing ine,uk i shapand ik i zwahuo ug a i d i , u j uehautakwisha. K i lasiku itakuwa watu nikulipuana tu. Ndio haliilivyo Yemen, Pakistan,
Afghanistan, I raq,Somalia, Libya na sasaKenya nayo inaelekeahuko huko. WestgateMall Shopping Centreattack na maguruneti,hayatakoma.
Hivi hatukumbuki ilekampeni yao ya kudaikila wakati kuwa AfrikaMashariki kuna kitishocha kushambuliwa
na magaidi wakionyawatu wao wasitembeleemij i ya nchi hizo?
Tumesahau yale madaikuwa mtoto wa shule yamsingi aliingia katikamoja ya balozi zao nakigeleni cha mafuta yataa akitaka kufanyaugaidi?
W a l e v i j a n awaliokatisha masomo
yao wakiwa kidato chasita, hawakufanya hivyoila baada ya kuhudhuriadarsa zinazoendeshwana watu ambao unawezakusema kuwa hawa nimawakala wanaotumiwak u p a n d i k i z a
v u r u g u / u g a i d i .Wanachoaminishwavijana hao ni kuwakusoma ni kupotezamuda bure. Muhimuk w a o n i k w e n d akupigana/kupambanana makari. Kwa hiyo,wao huacha shule kwaimani thabiti kuwawanalofanya ni jambo ladini. Lakini mwisho wa
yote ni kutumiwa kuletavurugu itakayoangamizaUislamu wenyewe nanchi.
Zipo taarifa za uhakikakuwa walipoingia vijanahawa Madina kati ya
mwezi wa sita na sabamwaka huu, biashara
ya mayai ya kuku wakienyeji ilikuwa kubwasana. Wenyeji walikuwahawana uwezo wakupata kifungua kinywakwa mayai . Lakinikuingia wao, ikawahakuna yai linalotagwaila, limepata mnunuzi.
H aw a n i v i j ana
waliokuwa shuleni navyuoni wakisoma kwamkopo wa serikali na
kwa kutumiwa pesaza matumizi na wazaziwao. Na wazazi waowanajulikana uwezowao wa kiuchumi.Huu uwezo wa kwendakuishi na kujitegemeahuko Madina, waliupatawapi?
Hata hivyo, pamojana kuhoji mambo haya,kama nilivyosema awali,
sote kwa pamoja kwahakika tunapaswakulani kwa nguvu zote
ukatil i na mauwajyanayodaiwa kufanywwakati i l ipofanyikoperesheni katika vijihivyo. Hata kama kun
jambo ovu lil ilokuwlimefanyika kat ikvijiji hivyo, lakini hiyhaihalal ishi kutoadhabu ya jumlambapo watu walipigwa
kuporwa mali, nyumbna mali kuchomwmoto.
Kutambua udhaifndio umadhubuti wmtu
K a t i k a m a m byanayomfanya mtkuwa madhubuti nkupiga hatua katikmaendeleo, ni kutambuna kukubali madhaif
yake. Kujua mapungufaliyonayo na kujitahidkuyaondoa. Ukifumbimacho makosa nmadhaifu yako, ni wahutaenda popote. N
pale mtu anabakikuwalaumu wenginekumbe tatizo ni yeymwenyewe.
Sasa katika hili nlazima tukubali kuwk u n a u p u m b a fumeingia miongonmwetu Wa i s l amuKutoa watoto shule skatika kupigania dinbali ni kuungamizummah wa KiislamuKuendesha darsa zkuwahimiza vi jankujichimbia mahali ikwenda Somalia/Syriau Madina kwa lengo lkujiandaa kwa namn
yoyote kuleta yal
yanayotokea Bangui, n
SHEIKH Rajab Chambuso (katikati).
Inaendelea Uk. 1
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
9/12
9 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Makala
NDIO utaratibu wetus i s i waumin i wadini iliyoletwa hapaduniani na MtumeMuhammad (s.a.w.),kumtanguliza kiongoziwetu kila tunapotakakutaja tabia njema aumtu yeyote mwenyetabia njema.
Kwa sababu hivyondivyo tulivyofundishwana Mola wetu na aidha
yeye Mtume Muhammad(s.a.w.), ndiye mkamilifuwa tabia njema. Hayo
ndio mafundisho yetukatika Uislamu walahayahitaji mjadala.
Hata hivyo, sio ajabukumpata mtu na walamtu huyo si Muislamukamwe, lakini akawaana tabia fulani njemana nzuri kinyume chaMuislamu mwenyeweambaye i l ikuwa niwajibu wake kuwa natabia hizo, kwa kuwandio mafundisho ya dini
yake.K u s a m e h e n i
t a b i a m a s h u h u r i
ya B wana Mtu meMuhammad (s.a.w.),hasa pale anapokuwana uwezo na amri yakuweza kumuadhibua n a y e s t a h i k ikuadhibiwa. Mfano haiwa hilo katika maisha
yake, unapat ikanakatika kipindi alipoitekaMakka pasina umwagajiwa damu na kuwa chini
ya himaya ya dola yakekikamilifu.
Aliwasamehe watuwal iomkosea hata
Kwa nini tunamkumbuka Mandela?
Na Sheikh Abdallah Bawazir
wale ambao alipatakuwatangazia adhabu
ya kifo kabla ya hapo.M f a n o m z u r i
aliouonyesha mzeeNelson Mandela, baadaya kuwa huru na Raismwenye madaraka namamlaka kamili yadola, ni kusamehe nakusafisha nafsi yakeisiwe na doa la chuki,hasira na kutaka kulipakisasi kwa wale ambaowalikuwa ni mahasimuwake wal iomfungana kumtesa jela kwatakriban miongo mitatu.
Mzee Mandela alikiahivyo, kwa sababu
yeye hakutaka Afrika
ya Kusini i j i tawalei l i ha t imaye y eyemwenyewe ndiye awemtawala . Al i fanyakazi ya kudai uhurukwa miaka mingi naakateseka gerezani kwamiaka mingi, lakiniakaishi madarakanikwa miaka michachemno na akawaachiawana wengine wa Afrika
ya Kusini kuendeshahatamu za uongozi wanchi yao.
Hilo lilitokea kwasababu Mzee Madiba
hakuingia madarakanikupitia kampeni zachama chake, kwak u m p i n d u a m t una wala si kwa kilekinachojulikana leonguvu ya umma.
Mandela ambayeal ikuwa aki j iaminina muumini wa kileal ichokipigania naambaye hakukubalianan a m t u y e y o t ekumchagulia rafikiau adui, lengo kuu laharakati zake lilikuwani kuwakomboa ndugu
zake wa Afrika ya Kusiniwote, kutokana nadhulma ya ubaguzi nautumwa.
Mandela kwa umriwake wote al io ishik a t i k a say a r i h i iDunia, hatukupatak u s i k i a k w a m b aalipata kushiriki katikaubaguzi wa kidini katikanchi yake. Na hiyo ndiosababu iliyowafanyaWaislamu wa Afrika
ya Kusini kumpendasana Mzee Mandela
na kumpa sifa nzurizinazomstahiki.
Tukitaka kulinganishabaina ya uongozi wa
Mzee Mande la naviongozi wengine waDunia, tutaona kwambaipo tofauti kubwa.Kwani hali hii tuliyonayo leo duniani, hali
ya ukosefu wa amani,vita vya wenyewe kwawenyewe vilivyotapakaakila pembe ya Dunia,sababu yake kuu niviongozi wabaya, warohowa madaraka waliopohapa duniani.
W a o h a o n d i owanaoshinikiza nakupalilia chuki za kidini
baina ya raia wao, vitavya kimadhehebu nawao ndio wanaoshabikiak u m d h a l i l i s h amwanaadamu kwakutaka kumnyanganyaustaarabu wake wa asilina badala yake kumleteaustaarabu wanao utakawao, kwa matakwa namatashi yao.
M i o n g o n i m w ahay o n i k am p en iwanayoifanya ili watuwote waikubali ndoa
ya jinsia moja, jamboambalo halikubaliwi na
dini zote za mbinguni, siUislamu, Ukristo walaUyahudi.
M z e e M a n d e l akwa umri wake wamiaka 95 aliyojaaliwakuishi hapa duniani,tunaona kwamba nimtu a l iyebahat ikasana, ukilinganishana maisha ya viongoziwengine wa kisiasawalioishi katika karne
yake. Aliyepata kuwa
Rais wa Misri GamalAbde Nasser, yeye piaalizaliwa mwaka huohuo wa 1918 mwakaaliozaliwa Mandela.Lakini Gamal alifarikimapema mwaka 1970akiwa na umri wamiaka 52 tu. Baadhi yaviongozi waliobahatikakuupata umri wa MzeeMadiba au karibu yakeni Habib Buurqiba 1903
20 00 wa Tu ni sia ,Aden Osman 1908 waSomalia, Dakta Azikiwe1904 1996 wa Nigeriana Ahmed Ben Bella waAlgeria 1916 2012.
Aidha Mzee Mandelaamebahatika kufarikiDunia katika hali hii,akiwa bado anapendwana kuheshimiwa nawatu, bila ya kupatamitihani na misukosukokatika kipindi chakekifupi cha uraisi mpakaanajiuzulu mwenyewe
kwa ridhaa yake. Bahakama hii wameikoswengi miongoni mwviongozi wa kisiasa wBara letu la Afrika nbadala yake, walikufkatika hali mbaya na ydhuluma.
M i o n g o n i m w ani Ahmed Ben Bellwa Algeria, PatricLumumba wa Congau Alhaji Aboubaka
Tafawa Balewa, katikdhuluma isiyosahaulikiliyomkuta mwaka 196huko Nigeria. Mfanmwingine wa karibu ndhuluma aliyofanyiwD k t . M o h a m m eMursi wa Misri, kwkunyanganywa Serikakihuni baada ya kushikmadaraka kwa mwakmmoja tu.
Sheikh AbdallaAhmad Bawazir
+255 767 215 898
MZEE Nelson Mandela.
Mwakilishi apendekeza liwati wanyongweInatoka Uk. 12mdogo.
Mwakilishi wa jimbola Wete, Asaa Othman,alisema ingawa mataifaya nje yataingilia katisheria hiyo kwa madaiya haki za binadamu,lakini watu wanaofanyavitendo hivyo ndiowanavunja haki hizo.
A k i c h a n g i a h o j abinafs i ya azimio lavitendo vya udhalishaji
watoto, mwakilishihuyo alisema, adhabukunyongwa ikiambatanana viboko 50, ndioitakayomaliza tatizo lavitendo vya udhalilishajiwatoto Zanzibar.
Aidha Bw. Hamadalipendekeza adhabuya kifungo cha miakakumi jela kwa wazaziwatakaobainika kufcha
vitendo vya ubakajiwatoto, kwa kuhofia
jamaa zao kupelekwkatika vyombo vysheria.
Hoja binafsi hiyiliyowasilishwa mapemwiki hii na mwakilishwa viti Maalum MgenHassan Juma, inatakkuanzishwa sheria nmikakati itayosaidikukomesha vitendvya udhalishaji watotv i n a v y o n g e z e kZanzibar.
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
10/12
10 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Makala
Inatoka Uk. 8
Ni kweli dhulma kubwa wamefanyiwa Madinahkuangamiza Uislamu naWaislamu.
Pak i s tan i l i anzakulipuliwa misikiti.Mara wa Shia, mara wa
Sunni, huku propagandainapigwa katika vyombovy a hab a r i k uw awahusika ni Sunni/Shia. Msikiti wa Shiaunalipuliwa wauminiwanauliwa, vyombovya habari vinadaikuwa waliohusika niAl Qaidah/Talaban aumagaidi wa Kisuni. MaraShia nao wanadaiwakufanya hivyo. Mitaanin a k o z i n a p i g w adarsa kuwa Sh iakafiri/Sunni kafiri!!!Matokeo yake Pakistan(nchi ya K i i s lamup ek ee y a k w anz akuwa na nyuki l ia)
imegeuzwa kuwa kamamwanasesere. Haiwezikukohoa tena mbele
ya India. Imekuwa niaibu kwa Waislamuwote duniani badala yakuwa nchi ya kuwatoakimasomaso Waislamu.
S iasa z i l i z oanzak u j i t o k e z a h a p anchini katika miaka
ya hi vi ka ri buni , nikupandikiza chuki/mauwaji ya Waislamu naWakristo. K w aupande mmoja inapigwapropaganda kuwaWaislamu ni magaidiwal iokamia kuuwaWakristo na kulipua
makanisa. Kwa upandemwingine, Wakristowanaaminishwa kuwaWaislamu ni maaduizao. Katika hali kamah i y o , i k i p a t i k anasababu, unadhani haliitakuwaje?
Bila shaka tulisomak a t i k a m a g a z e t i ,i l i v y o z u n g u m z w awalipokamatwa walevijana kule Mtwarawaliokuwa wakifanyamazoezi porini. Katikamazingira kama yale,akitokea mtu akatumikaau k ichaa tu kwabahati mbaya, akalipuakanisa, hapana shaka
yaweza kutosha kulipuamapigano ya Waislamu/Wakristo. Mabeberuwatakuwa pembeniwakichekelea. Huoutakuwa ndio mwanzowa kuserereka kuingiakatika tope ilipozamaCongo (DRC).
Lililo la muhimu na lakuzingatia hapa ni kuwakama ilivyo Pakistan naIraq, kwamba Uislamuhautasimama kwamauwaji yanayotokeabaina ya Sunni na Shia,hakuna pia Uislamuutakaosimama Tanzaniak w a m a u w a j i y a
Waislamu na Wakristo.Kinyume chake itakuwani Civil War (vita yawenyewe kwa wenyewe).Vita ya panzi furaha yakunguru. Civil War si
Jihad.K una ha j a k w a
wazazi wa Kiislamukatika kipindi hikitete, kila mmoja kujuamtoto wake yupo wapina anafanya nini. Siwakati wa kuamini kilampita njia anayedaikuwa mwanaharakati.Wanaharakati wengine,n i m a w a k a l a n awashenga wa ajali.
Marekani ilipotakak u m n g o a M r u s iAfghanistan, iliona watuwa kutumia ni Waislamu.U k i m u a m i n i s h aMuislamu kwambaanapigana Jihad, kaziitakuwa nyepesi. Nchiza Kiislamu zikatumika,hasa Saudi Arabia,kukusanya v i j anakutoka nchi mbalimbaliduniani, kutoa mafunzo,fedha na silaha kwaMujahid ina. Watuwaliacha familia zao,biashara zao na kila chaokupigana Jihad (Allahndiye Mjuzi atawalipavipi kwa nia yao njemana jinsi walivyojitoamuhanga). Walifanyahivyo wakiamini kuwa,akiondoka kari Mrusi,wanasimamisha Kitabuna Sunna k a t i k aAfghanistan. Lakiniwalichokuwa hawajui
ni kuwa wakati waowanapigana, Marekaniinayotumia nchi zaKiarabu kukusanyaMujahidina , nayoinapanga , vita ikiishawanashughulika vipi naMujahidina hao.
S e p t e m b a 1 1ikaja, Afghanistanikavamiwa, maelfu kwamaelfu ya Waislamuwakaangamizwa na B-52Stratofortres, mamiakwa maelfu wakateswak a t i k a g e r e z a l aAbuGhraib na wenginehadi sasa wanateswaGuantanamo. Ambaohawakupatikana ndani
ya Afghanistan, wakawawanasakwa popotewalipo. Makachero waMarekani wanaingiakatika nchi yoyotealipomtuhumiwa waow anam k am at a auwanaituma serikalihusika wanamkamatan a k u m k a b i d h ik w a M a r e k a n ik uw ashug hu l i k i a .Kenya wal ikamtwasana, mpaka sasawengine hawajulikaniwalipo.
K w a w a l ewanaoshabikia kwendak u p i g a n a S y r i a
wakiaminishwa kuwwanachopigania nkusimamisha utawalwa Allah, je, wanaelewn i n i w a n a p a n gmabeberu dhidi yabaada ya kumaliza ka
ya kumngoa Bashar?K a m a w a n a j u a
w am e j i and aa v i pk uk ab i l i ana naoHaya ndiyo maswa
ya ku jiul iz a. Wasijk u s h a n g a a k a malivyoshangaa SaddamHussein akaambiwakumbe we mjinga sana
Saddam alishangainakuwa vipi Marekaninamgeuka wakatalikuwa swahiba mpakakapewa silaha za sumkuipiga Iran, Marekannayo ikamshangakama alidhani kuwMarekani inampendna inamsaidia katikagenda zake.
(Saddam) Husseimust have been tostupid to understanhow the United Statewould react.
Alijisemea Balozi AprGlaspie akimshangaSaddam Hussein kwujinga wake uliokithia k a d h a n i k u wMarekani itamsaidikatika mipango yake ykuingia Kuwait.
Mpaka dakika ymwisho kabla hajaingiK u w a i t , S a d d a maliaminishwa kuwMarekani haitaingilikati na kwa upandmwingine alioneshwkuwa ana haki nkipande cha ardhalichokuwa akipiganiAkatoswa.
N i h i v y o h i v y owatakuwa waj ingsana ambao wanadhanMarekani, Ufaransa nUingereza zitakuwzinatoa misaada nkushinikiza Bashaangolewe madarakanili hatimaye Jeshi lKiislamu litawale Syria
H a l i k a d h a l i kwatakuwa wajinga sanwanaodhani kuwa hpropaganda ya kutichuki baina ya Waislamna Wakristo Tanzanikama ikiachwa nkuzaa mapambano ywenyewe kwa wenyew(Civil War), itakuwsababu ya kuondokdhulma na kusimamUislamu Tanzania.
Hakuna anayepingmadai ya Waislam
Tanzania. Wala hakunanay ep i ng a k uwinahi ta j ika juhudkusimamisha Dini yAllah. Suala ni je, haki zWaislamu zinapiganiwvipi? Hoja ni Uislamunasimamishwa vipi?
Tuna safari ndefuInatoka Uk. 4
Ndio nikawa najengah o j a k u w a w a p ovijana wanapotoshwaw a k i d h a n i w a p o
katika Jihad, lakiniukwel i wanatoswak a t i k a m a m b oambayo mwishowe
yatauangamiza Uislamuwenyewe.
Katika kilele cha kiliocha Waislamu Tanzaniakuwa wamedhulumiwakatika elimu, kijanaumebahatika umefikahadi kidato cha sita auChuo Kikuu, unaambiwaacha masomo nendaMadina kajiandae na
Jihad!!! Unakubali! Hiiakili gani?
Nchi za K iarabundio zilizotumiwa na
Marekani kukusanyavijana kutoka nchimbalimbali kwendakupigana Afghanistankumtoa Mrusi. Huoukawa ndio mwanzowa al-Qaidah. Baada
ya vita kumalizika, nchihizo hizo za Kiarabuzikaungana na Marekanina NATO kuwapigana kuwaangamizaMujahidina waliokuwaAfghanistan. Ambaowalisalimika kutokanana carpet bombing yaB-52 Stratofortress,wakaishia Guantanamo
na w eng i ne b ad owanasakwa kupitiavisingizio mbalimbali,h u k a m a t w a n akupelekwa Marekaniambapo hutasik ianchi ya Kiarabu walanch i wanako toka ,wakisimama kuwatetea!
Ni nchi hizo hizo,zilizotumika kukusanyan a k u w a s a i d i awapiganaji walioshirikikatika kumtoa Gadha.Leo tena wanatumikakukusanya nguvu yakupigana Syria!
Kama somo la al Qaidah
halikueleweka, tunaonakutahadharisha juuy a uwez ekano wakutumiwa na maaduiwa Uislamu tukidhanitunapigania Dini, nikuwakatisha tamaana kuwadhoof ishaMujahid ina , basitutakuwa maadhura!Wala tusitarajie msaadawa Mwenyezi Mungukatika hal i hi i yakufanya mambo kwaujinga na mihemko.
Nimalizie kwa zilesiasa za Iran na Iraq.Wapo watu waliunga
mkono Iraq wakidhanikuwa kinachopigwavita ni Ushia. Na ziponchi pia za Kiarabuzi l iungana na Iraqiliyokuwa ikisaidiwa na
Marekani katika vitaya mwaka 1980 katiya Iraq na Iran kwasiasa hizo za Urabu naUfursi/Ushia na Usuni.
Lak ini Marekaniyenyewe haikuwa nampango wa kumsadiaSaddam kushinda vitahiyo.
Washington did notwant either side to win.We wanted to avoidvictory by both sides.
Liliripoti gazeti la NewYork Times la Januari26, 1992 likimnukuumsemaji mmoja katika
utawala wa Rais RonaldReagan.Aka l iweka uzur i
j ambo h i l o HenryKissinger aliponukuliwaakisema:
I hope they kill eachother and too badthey both cant lose.(Shahram Chubinl andCharles Trip, Iran andIraq at War (1988)
U k i a n g a l i apropaganda inayopigwa
juu ya mada i kuwakuna magaidi Tanzaniana wanaonyoshewakidole ni Waislamu.
Haya ukiyaunganishana chuki inayojengwakati ya Waislamu naWakristo ikidaiwa kuwaWaislamu wamepaniakuchoma makanisana kuuwa viongozi waKikristo; haitakuwavigumu kuona kuwakinachopandikizwahapa ni chuki na vita yawenyewe kwa wenyewe(civil war). Na Civil War,sio Jihad. Hii ndiyo hoja
yangu.Civil war sio Jihad.
Kinyume chake itakuwani ki le al ichosemaKissinger: I hope theykill each other.
Sy r i a h i v i s a sawanauwana wenyewekwa wenyewe. Mwishowa yote ni kudhookana kuiacha Israel ikiwaimebaki na mtu mmojatu wa kumhoa, Iran.
A f r i k a y a K a t iwanauwana Waislamuna Wakristo. Uislamuhautasimama katikanchi hiyo kupitia vitabaina ya Slka na"Anti-balaka". Huo ndioukweli.
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
11/12
11AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 201Habari/Tangazo
UNIVERSITY COLLEGE OF EDUCATION ZANZIBARINTERNATIONAL UNIVERSITY OF AFRICA - KHARTOUM
13THGRADUATIONThe Principal of the University College of Education, Zanzibar (UCEZ), cordially invites all graduandsof the academic year 2012/2013 to the 13thGraduation. The Ceremony will be held on Saturday18thJanuary 2014at the University College premises. The Second Vice-President of Zanzibar HON.EMBASSADOR SEIF ALI IDDwill be the Guest of Honour.
All graduands are required to conrm their participation to the Academic Ofce not later than onFriday 10thJanuary 2014. Graduands are reminded to pay Tzs. 10,000/=(non-refundable) beforeThursday 16thJanuary 2014 for graduation gowns.
Please note that travel, meals and boarding expenses will be met by the graduands themselves.All graduands are requested to report at the College by 3:00 pm on Friday 17thJanuary 2014 forrehearsal and logistical briengs. Graduands who will not participate in rehearsal will not be allowedto take part in the event.
For more information contact the University College on the following address:
The Academic Ofce,University College of Education Zanzibar
P.O. Box: 1933 Zanzibar.Tel: +255242234102
Email: [email protected] Website. www. ucez.ac.tzMobile: 0776-463405/ 0773-181786
Wawakilishi wataka mabadiliko zaidi Jeshi la Polisi ZanzibarInatoka Uk. 12
unaotumika kwenyemikutano ya nchiwanachama wa SAPCO.
Amesema kutokanakushindwa kuwakamatawahalifu hao na kuibwaupanga huo, ipo haja yakulifanyia mabadilikozaidi jeshi hilo, badala yakufanyiwa mabadiliko
ya kamishna pekee.Naye Waziri wa Nchi
Osi ya Makamu wa Piliwa Rais, MohammedA b o u d , a m e s e m akumetokea vi tendovingi vya uhalifu lakini
jeshi hilo limeshindwakuwakamata wahalifuhusika.
Amesema hali hiyobado inaonesha kuwa
jeshi hilo lina matatizona kuunga mkonoushauri ul iotolewana Mwakilishi huyowa kutaka jeshi hilokufanyiwa mabadiliko
ya uongoizi.Kuhusu wiz i wa
upanga wa dhahabuuliotokea mikononi mwa
Jeshi la Polisi Zanzibar,Bw. Aboud alisemauchunguzi unaendelea
huku nchi ya Bostwana,itakayokuwa Mwenyekitiwa mkutano wa SAPCOikijitolea kutoa upangamwengine bila malipo.Na Mwanishi Maalum,Zbar
A w a l i M a k a m uwa Kwanza wa RaisZanz ibar , Maa l imSeif Sharif Hamad,alilitaka Jeshi la polisiZanzibar kutekelezana kusimamia sheriaza nchi, ili wananchiw aend e l e e k u i sh ikatika hali ya amani nausalama.
Maalim Seif SharifHamad, alitoa rai hiyowakati akizungumzana Kamishna mpya wa
Jeshi la Polisi Zanzibar,H a m d a n i O m a rMakame, osini kwakeMigombani Zanzibar.
Katika mazungumzoyao, Maalim Seif alisemalicha ya polisi kuwana jukumu kubwa lakulinda usalama waraia na mali zao, jeshihilo pia linapaswa kuwamstari wa mbele katikautekelezaji na usimamiziwa sheria.
Alisema kuwa lichaya kuwepo sheria nzurikatika nchi, lakini kwamuda mrefu jeshi hilolimekuwa likisuasua
kat ika utekeleza j iwa sharia hizo haliinayosababisha kuwepokwa ukiukwaji mkubwawa sheria na vitendo vyauhalifu na ukiukwaji wahaki za binadamu.
Hivyo akalitaka jeshihilo kuondosha muhalikat ika kusimamiautekelezaji wa sheria, ilikuona kwamba sheriazilizotungwa zinafuatwana kuleta ufanisi katika
jeshi hilo na taifa kwaujumla.
Maalim Seif alisisitizakuwa iwapo sheria
zilizopo zitatekelezwai p a s a v y o , j a m i ii t a z i h e s h i m u n akuepukana na vitendovya uvunjaji wa shariahizo, na hat imayek u f i k i a m a l e n g o
yaliyokusudiwa.Hata haya matuta
yanayowekwa k i l apahala barabarani siodawa ya kuzuia ajali,lakini naamini alamaza barabarani iwapo
zitafuatwa pamoja nakudhibiti mwendo wamadereva, basi ajalinyingi zitaepukwa,alisema Maalim Seif.
Aidha al i l ishauriJeshi hilo kuimarishauhusiano wake naraia wema, ili kusaidiakuwachua wahalifu nawatu wanaojihusisha navitendo viovu, vikiwemouingizaji na utumiaji wadawa za kulevya.
Al i sema o f i s i yaK a m i s h n a h u y obado inakabiliwa nachangamoto ya dawa zakulevya, hivyo kulitaka
j eshi hi lo kufanyajuhudi za makusudi zakuondoa changamotoh i y o n a k u a h i d i
kuwa serikali itatoakila ushirikiano kwaKamishna huyo mpya,ili kuhakikisha kuwaanatekeleza majukumu
yake kwa ufanisi.Kwa upande wake,
Kamishna wa Jeshi laPolisi Zanzibar HamdaniO m a r M a k a m e ,am em uhak i k i sh i aMakamu wa Kwanza waRais kuwa atatekelezamajukumu yake ya
kusimamia sheria, iwananchi waendelekuishi katika hali yamani na usalama.
Al i sema jeshi l
polisi kupitia kitengchake cha uchunguzlitaimarisha utafitili kupata taarifa zuhakika za kuwezkukabiliana na wahalifna kuhakikisha usalamwa raia na mali zao.
Kamishna Makama l i o n g e z a k u w aa t a t u m i a u z o e fa l i o n a o k a t i kmasuala ya teknoloji
ya mawasil iano, ikuona kuwa kitenghicho kinafanya kazkwa uhakika na kuletufanisi uliokusudiwa.
Alisema mafanikial iyoyapata kat ikkipindi cha miak30 ndani ya jeshi lpolisi, yametokana nmashirikiano aliyopatkutoka kwa viongozn a w a n a n c h i nkuomba mashirikianzaidi, ili aweze kukimatumaini na mataraji
ya taifa katika ulinzi wraia na mali zao.
-
8/13/2019 ANNUUR 1105
12/12
12 AN-NUU
SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 20112MAKALA
AN-NUUR12 SAFAR 1435, IJUMAA DESEMBA 27 , 2013-JAN. 2, 2014
SomaGazeti la AN-NUUR
kila Ijumaa
S E R I K A L I yMapinduzi Zanzibaimeshauriwa kutungs h e r i a i t a k a y o t oadhabu ya kunyongwh a d i k u f a , m tatakayepatikana nhatia ya kumbakau kumlawiti mtot
WAJUMBE wa Baraza laWawakilishi wametaka
Jeshi la Polisi Zanzibarlifanyiwe mabadilikozaidi ya uongozi ,kutokana na kushindwakuwakamata wahalifuw a v i t e n d o v y amauwaji, tindikali nawalioiba upanga wadhahabu ndani ya jeshihilo.
Mwakilishi wa jimbola Chaani, Ussi Jecha,amesema jeshi la polisiZanzibar limeshindwakukabiliana na vitendohivyo na kuitia doa
Tanzania kwa kuibiwaupanga wa dhahabu
Wawakilishi wataka mabadilikozaidi Jeshi la Polisi Zanzibar
Maalim Seif akutana na Kamishna mpya
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif SharifHamad, akiwa pamoja na Kamishna mpya wa jeshi la polisi Zanzibar
Hamdani Omar Makame, baada ya mazungumzo yao ofsini kwakeMigombani.
Mwakilishi
apendekeza
liwati
wanyongweNa Mwandishi Wetu
Inaendelea Uk. Inaendelea Uk. 11
Mimi ni Skuli yaSekondari Kengeja.N i m e z a l i w amnamo mwaka
Hali ya Skuli ya Kengeja mbaya1922.
Nimetoa elimukwa watu wengisana wa Kengeja
na maeneo jiranikama vile Mwambe,Kiwani, Kanganikwa kipindi cha
n y u m a w a k a t iwa kuanzishwakwangu.
K w a s a s anaendelea kutoae l i m u b a d o ,ingawa nimechokasana kutokanana uchakavu wamajengo yangu.
Naomba msaadakwa Serikali nawasamaria wemakunifanyia alauu k a r a b a t i t una ik iwezekanakujengwa upya niwena sura mpya kamahii inayoonekanahapa chini.