ANNUUR 1060

download ANNUUR 1060

of 16

Transcript of ANNUUR 1060

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    1/16

    ISSN 0856 - 3861 Na. 1060 RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 2013 BEI TShs 500/=, Kshs 50/=

    Sauti ya Waislamu

    www.annuurpapers.co.tz

    Inaendelea Uk.

    Mtume (SAW) amesema kuwa Mwenyekuhiji amedhaminiwa na ni mgeni waAllah (SW).Tupende sana kuwa wageniwa Mola wetu na kupata dhamana yaMwenyezi Mungu. Tulishaitwa sotetangu zama za Nabii Ibrahim (AS),na hakuna wito mwengine binafsi.Gharama zote ni Dola 4,300 tu. KaribuAhlu Sunna wal Jamaa.Tafadhaliwasiliana nasi ifuatavyo: TanzaniaBara: 0717224437; 0777 462 022;

    Unguja: 0777 458 075; Pemba: 0776357 117.

    (3) HIJJI UDHAMINIWE NA ALLAH!

    Hofu ya vurugu za kidini nchini

    Mwinyi awataka Masheikh,

    Maaskofu kukutanaBassaleh, Kilemile, Abubakar Zuber, Juma Poli, wateuliwaAskofu Gamanywa, aomba apewe mudaLengo kurejesha utulivu na uhusiano mwema

    Al-jazeera kulipeleka

    Mtanzania Mahakamani

    Sheikh Jabir Yusuph Katura, mmoja wa viongozi wa taasisi ya Al-Jazeera IslamicCentre, Ukerewe akisisitiza jambo wakati akiongea na waandishi wa habari Jiji

    Mwanza.

    JAJI Mkuu wa MahakamaK u u y a Z a n z i b a r ,Abraham Mwampashi,

    Jaji akerwa upande wa mashtakakupoteza muda kesi ya UamshoAlghaithiyyah, Zanzibar amekataa hoja za upand

    wa mashataka za kutakkutokusikilizwa ombla upande wa watetez

    RAIS Mstaafu, Ali Hassan Mwiny

    Uk. 3

    WAKILI wa upande wawashtakiwa Bw. JumaN a s s o r o , a m e i e l e z aMahakama ya HakimuMkazi Kisutu jana kuwa,wateja wake hawana kesiya kujibu.

    Wakili huyo ameelezakuwa kwa mujibu wamaelezo ya mashahidiwa upande wa mashtaka,a m b a o m p a k a s a s a

    Wakili: Sheikh Ponda

    hawana kesi ya kujibuNa Mwandishi Wetu wameshakamilisha kutoushahidi wao, washtakiwhawana kesi ya kujibkulingana na mashtakwanayoshtakiwa nayo.

    Akitoa utetezi wakMahakamani hapo, alisemhakuna mahali ambapmashahidi wamedhihirishkwamba Sheikh Ponda nwenzanzake wameiba malkatika ardhi ya Marka

    Inaendelea Uk.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    2/16

    2AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 20

    AN-NUURS.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

    Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.tz E-mail: [email protected]

    Ofisi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House (Jengo dogo), barabara ya Morogoro, D'Salaam

    MAONI YETU

    Tahariri/Tangazo

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOL inatangaza kozi maalum yamaandalizi kwa wanaorudia kufanya mtihani wa Kidato cha IV, 2013.Programu hii itaanza tarehe 28/02/2013 hadi tarehe 28/08/2013Jumatatu hadi Jumamosi saa 2:00 kamili Asubuhi hadi saa 9:10 Alasir

    Masomo yatakayofundishwa ni:-Elimu ya Dini ya Kiislamu, English Language. Lugha ya Kiarabu. BasicMathematics, History, Geography, Civics, Physics, Chemistry, BiologyBook Keeping, Commerce.

    Fomu za kujiunga zinapatikana shuleni kwa Tshs 10,000/=

    Mlete mwanao apate Elimu bora itakayomwezesha kujiungana Kidato cha Tano.

    Kwa mawasiliano zaidi piga namba:0714 888557/0659 204013Wabillah Tawfiiq

    MKUU WA SHULE

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOOLP.O. Box 55105, Tel: 2450069, 0712 974428 Fax: 2450822 D Salaam

    E-mail: [email protected]

    Maandalizi kwa wanaorudia

    Kidato cha IV, 2013

    Kiswahili

    BAADA ya mazishi yaPadri Evarist Mushi waKanisa Katoliki Parokiaya M inara m iw i l iZanzibar, aliyeuliwaFebruari 17, Askofuwa Kanisa hilo Jimbola Zanzibar, Augustino

    Shayo, alitoa kauliambazo sisi tunaona niza msingi sana katikakukabiliana na haliilivyo huko Zanzibar.

    Askofu Shayo, alisemak u wa k u n a h i t a j ik au m a k i n i m k u b w akipindi hiki katikakuwasaka wauaji, najambo la msingi ni watuwasihusishe mauaji hayona chuki za kiimani,akimaanisha Waislamuna Wakristo.

    Askofu Shayo alisemaana miaka zaidi ya 25anaishi na kufanyakazi Zanzibar, lakinihakuwahi kukutanana matatizo ya kihalifuyanayotokanana chukiza kiimani.

    A m e s e m a a k i w aZanzibar, amekutana nakufahamiana na watuwengi, na anawafahamuwazee na vikongwe,ambao wamezaliwa nakukulia katika Uislamuwao, lakini hajawahi

    kuwasikia wakiwaleteawenzao Wakristo vuruguau kuhusika na uhalifuwowote kwa sababu yatofauti ya imani zao.

    A s k o f u S h a y oalifafanua zaidi kwamba,kama ni wahalifu, wapowa imani zote. Wapowahalifu Waislamuna wahalifu Wakristo.Ak a s e ma wa h a l i fuwachache ambao niWaislamu, hawawezik u h a l a l i s h a j a m i i

    Zizingatiwe kauli zaAskofu Shayo, Maalim Seif

    nzima ya Waislamuna imani yao kuwa yawahalifu na kuchukiwa.Na katika Ukristo,waha l i fu Wakris towachache hawawezikuwafanya Wakristowote waonekane kuwa

    ni wahalifu na kuletachuki dhidi ya jamiinzima ya Kikristo.

    Kwa maana hiyo,alisema si vizuri kuenezapropaganda chafu dhidiya Waislamu na imaniyao kwa sababu yawahalifu wachache, nakwamba jambo hilo nila hatari.

    A l i s e m a k a m aanayetuhumiwa namauaji ya Askofu Mushiatakuwa ni Muislamu,basi ashughulikiwe kwamujibu wa sheria kamamhalifu si kwa mtazamowa dini yake.

    Katika kipindi hichohicho, Makamu waKwanza wa Rais waSerikali ya Zanzibar,Maalim Seif SharifHamad, naye alitoa kauliyake kwa Wazanzibar.

    Maalim Seif alisemak i n a c h o o n e k a n aZanzibar, ni ajendailiyotayarishwa ya

    kutaka kulazimishachuki za kidini Zanzibar,licha ya kuwapo kwahistoria ya miaka mingiya watu kuvumilianana kuishi kwa pamojana kuwapo watu waimani tafauti. Alisemainasikitisha kuona wapobaa dhi ya vi on goz iwanakuwa na nia chafudhidi ya Zanzibar, kwakuwa na tabia ya kutoa

    kauli za kujenga chukina fitina miongoni mwaWazanzibari chini yakivuli cha matukio hayoya mauaji.

    Vitendo vya kuuawana kujeruhiwa viongoziwa kidini Zanzibar, nimambo mageni. Wengi

    wanafahamu historia yaZanzibar, imekuwa nimfano bora wa uvumilivuwa kiitikadi za kidinilicha ya kwamba asilimia98 ya wananchi wake niWaislamu.

    Wazanzibari ni wamoja,lakini wenye nia mbayawanayachukulia matukiohaya ya mauaji, kutakakuwagawa na kuleteamtafaruku kwa kujaribukuonyesha kuwa kuna

    tofauti za kidini Zanzibarwakati siyo kweli.Watu hawa wameamua

    kuyatumia matukio yakuuawa na kujeruhiwakwa viongozi wa kidiniili kuvunja umoja waWazanzibari , lakininasema hakuna ugaidiZanzibar, AlinukuliwaMakamu huyo wa Rais.

    M a a l i m S e i f p i aa l i s i k i t i s h w a n awa n a o b e b a a g e n d aya ugaidi. Serikaliimeshatoa maelekezoya kufanyika uchunguziwa kina, lakini wakatiuchunguzi wenyeweukiwa unaendelea, baadhiya viongozi na vyombovya habari wanachocheachuki za kidini na kusemakuwa Zanzibar kunaugaidi. Lakini ugaidihuu kwanini kipindi hikina hakikuwa kile chamauaji ya Januari 27,2000. Kipindi ambacho

    makumi ya Wazanzibarwaliuliwa na wenginekukimbilia ukimbiziniS h i m o n i K e n y a .Kwa bahati wenginewamereja hivi majuzi nakupokelewa na serikali,j apo awal i i l ika taakuwepo wakimbizi hao.

    Kwa ujumla tuseme tukwamba, wananchi wotewa Zanzibar wanatakiwakuwa macho na ajendazinazopenyezwa kipindi

    hiki kuwavuruga nakuwagawanya kiimani.Wanatakiwa kuendeleakuishi kwa mshikamanona umoja kama ambavyowamekuwa wakiishi.

    L a k i n i p i a t u n aimani kwamba serikaliya Zanzibar itasaidia

    kuhakikisha agenda chafuza kugawa watu kwamisingi ya imani, agendaza kujenga chuki kulikokupata utulivu wakatihuu hazifaulu.

    Kutokana na kaulialiyoitoa Maalim Seif,ambayo kimsingi ni kauliya serikali ya Zanzibar,

    ni imani yetu kwambuchunguzi dhidi ywauaji wa Padri Mushh a u ta g e u z wa k u wsababu ya Wazanzabawasio na hatia kuteswGu a n ta n a mo k whoja za ugaidi badalkuwabaini wauaji halis

    Tunaamini utafanyikuchunguz i wa hakdhidi ya wauaji, kamunavyofanyika kwwauaji wengine kwkutumia taratibu zetza kisheria na wahusikk u w a j i b i s h w a k wmujibu wa sheria zetza jinai.

    KATIKA toleo letu lililopita Uk.6, kwenyemakala iliyokuwa na somo Sheikh Said John

    (shariff) neno marhum liliingia kimakosawakati wa kunukuu jina la Sheikh HilalKipozeo, ambaye ametajwa katika makala hiyokama Marhum Sheikh Hilal Kipozeo.

    Tunapenda kuwajulisha wasomaji wetu kwambaSheikh Hilal Kipozeo ni hai na bukheri wa afya.Halikua kusudio letu kuingiza neno marhumwakati wa kuandika jina lake, bali limeingiakimakosa. Kwa msingi huo tunamuomba radhiShekh Hilal Said Kipozeo na familia yake kwausumbufu walioupata kutokana na makosa hayo.

    Lakini pia tunawaomba radhi ndugu jamaa namarafiki zake pamoja na wasomaji kwa ukakasiwalioupata kufuatia kuwepo neno hilo.

    Mhariri

    Kumradhi Sheikh Hilal Shaweji Kipozeo

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    3/16

    3AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201Habari

    Mwinyi awataka Masheikh, Maaskofu kukutanaRAIS Mstaafu, Ally HassanM w i n y i , a m e w a t a k aviongozi wa Dini nchinikukutana na kuzungumza

    kuhusu kuyumba haliya mahusiano ya kidiniinaotishia kuvuruga umojawa Kitaifa uliopo sasa.

    Alhaj Mwinyi, ametoa witohuo wakati akizungumza naviongozi wa dini ya Kiislamunchi za Afrika Mashriki naviongozi wa dini ya Kikristo,katika hoteli ya Serena,Jijini Dar es Salaam, katikamkutano uliandaliwa naTaasisi ya Jopo la Masheikhna Wanazuoni wa KiislamuTanzania, uliozungumziaamani na uvumilivu wa kidininchini.

    Ili kuondoa hali hiyo na

    kuleta mahusiano memabaina ya din i hizo nch ini ,iliamuliwa katika mkutanohuo iundwe Kamati Maalum,itakayopanga mkakati wakuwakutanisha viongozi wadini kuu mbili za Kiislamuna Kikristo, ili waweza kuwana mazungumzo ya pamojabaina yao.

    Katika mkutano huo,iliamuliwa kwamba iundweKamati ya watu kumi, watanokutoka upande wa Wakristona watano kutoka kwaWaislamu.

    Imefahamishwa kuwa baadaya makubaliano, waliteuliwab a a d h i y a w a j u m b emchanganyiko kutoka katikataasisi mbalimbali kwa ajiliya kuunda timu ya kutekelezasuala hilo.

    Kwa upande wa Waislamu,kutoka BAKWATA, aliteuliwaSheikh Abubakar Zuber,katika Taasisi ya HYAT,aliteuliwa Maalim Ally SaidBassaleh na kutoka BarazaKuu, aliteuliwa Sheikh MussaKundecha ambapo kutokaTaasisi ya Answar Sunna,aliteuliwa Sheikh Juma Polipamoja na mjumbe mmojakutoka Visiwani Zanzibar.

    Hata hivyo, alipotakiwaAskofu Gamanywa kutoa

    mapendekezo ya viongozikutoka kwa Wakristo, aliombaapewe muda akisema kwambaWakristo wana madhehebu naTaasisi mbalimbali hivyoaliomba muda ili wakalifanyiekazi suala hilo.

    Awali Rais Mstaafu AliHassan Mwinyi, alisemaviongozi wa dini wamekutanana kuzungumzia suala laamani katika jamii inayoishikatika mchanganyiko wa dinitofauti.

    Alisema mazungumzohayo yamekuja wakati kunahitilafu ambazo zimeendelea

    Na Bakari Mwakangwale kuji tokeza kat ika jamiiwanayoishi watu wa dinimchanganyiko na kuleta hofukatika jamii hivi sasa.

    Alhaji Mwinyi alisemaili kurejesha amani, utulivu

    n a m a h u s i a n o m e m abaina ya wafuas i wa dinitofauti nchini, kuna haja yakuwepo mazungumzo bainaya viongozi wa dini hizokuzungumzia yanayoendeleakutokea hivi sasa nchini.

    Alisema kukutana viongoziwa pande mbili za dini kubwanchini, kutasaidia kutafutasababu za mpasuko wa kidiniunaolinyemelea Taifa.

    Kwamba mara nyingiu v u n j i f u w a a m a n iunapotokezea katika siasa,wenyewe wanasiasa huachwakushugh i l ik ia ku tafu taufumbuzi mgogoro huo.

    Lakini kunapotokea uvunjifuwa amani kutokana na Dini,huwa kuna hatari viongozi wasiasa kuingilia mambo hayo yakidini. Kutokana na hali hiyo,alisema inatakiwa viongoziwenyewe wa kidini waachiwewatafute ufumbuzi.

    Kwa upande wake, mgenirasmi katika mkutano huoDr. Abdallah Nasif, alielezak w a m b a w a t u k u i s h ipamoja ni jambo zito, hivyoinapotokea hitilafu bainayao katika jamii, ni vyemakufanya mazungumzo ambayoyanaweza kutatua migonganoinayoweza kutokea katikajamii.

    Dk. Nasif Akizungumziakuhusu kutokea uhalifu wamauaji na kisha yakahusishwana Uislamu moja kwa moja,inakuwa si sahihi kwaniUislamu hauruhusu kuuwamtu bila ya sababu yoyote yamsingi. Pia alisema si vizurikuhisi watu kufanya uovu kwakigezo cha imani yao.

    Dk. Nasif, alisema kwamujibu wa mafundisho yaUislamu, anayeua mtu bila yasababu akidhani kwa kufanyahivyo atakwenda peponi,ajue kwamba makazi yakeyatakuwa ni motoni, kwaniUislamu siku zote unafundisha

    juu ya mahusiano mema bainaya Waislamu na wasiokuwaWaislamu.

    Kwa upande wa AskofuGamanywa, alisema malengomakuu katika kila dini nimatatu, ambayo ni kuabudu,kueneza imani ya dini husikana tatu kutoa huduma zakiijamii kwa wanaohitaji.

    Lakini Askofu Gamanywa,alieza kwamba mambo hayo iliyaweze kufanyika yanahitajiusawa pasi na vikwazo.

    Alibainisha kwamba kutazilizopo baina ya dini hizombili, (Uislamu na Ukristo)

    ndio sababu kuu ya viashiriav inavyoshuhud iwa vyakuvunjika kwa mahusianokunakotokea hivi sasa.

    Ak i z u n g u m z a k a t i k amkutano huo mara baada ya

    mapendekezo ya kuundwakwa kamati hiyo, MaalimAlly Bassaleh, al isemaAskofu Gamanywa, amesemakwamba hakutarajia kusikiayale ambayo yamesemwakatika mkutano huo, kwambaUislamu haukubaliani navitendo vya kuuwa.

    A l i s e m a k u t o k a n ana hali inayoendelea hivisasa, picha inayotolewa nikwamba Waislamu ni watuhatari na watu wasiokuwana mahusiano mema nawasiokuwa Waislamu

    Jambo la Waislamu naWakristo kukaa pamoja nakujadiliana juu ya jambo

    ambalo ni sawa baina yaolilishaagizwa katika Qur antukufu. Alisema MaalimBassaleh.

    A k i f a f a n u a k w a

    kusherehesha aya ya Qur aninayozungumzia suala hilo,Maalim Bassaleh alisemaMwenyezi Mungu amewatakaWais lamu kusema kwa

    kuwaambia watu wa Kitab(Mayahudi na Wakristo) kuw(njooni) wakutane katika lijambo (neno) lililosawa bainya Waislamu na wao.

    SHEIKH Suleiman Kilemile

    Al-jazeera kulipeleka Mtanzania Mahakamani

    UONGOZI wa Chuo chaKiislamu cha Al-jazeera(Al Jazeera AslamicCentre) kilichopo visiwav y a U k e r e w e J i j i n iM w a n z a , u m e s e m a

    utalipeleka MahakamaniGazeti la Mtanzania,e n d a p o l i t a k a i d ikukanusha taarifa zakekuwa chuo hicho kinatoamafunzo ya kigaidi.

    Uongozi wa Taasisishiyo umekanusha habariilizochapishwa na gazeti laMtanzania toleo la tarehe13 Februari 2013, na toleola tarehe 20 februari 2013zikikitaja kituo hichokufadhiliwa na makundiya Al-Qaeda na Al-Shababyanayoaminika kuwa namtandao mkubwa wa ugaididuniani.

    A k i z u n g u m z a k w amasikitiko na mwandishiwa habari hizi, Sheikh JabirYusuph Katura, ambayeni mmoja wa viongozi waChuo hicho alisema uongozina wadau kwa ujumla waChuo hicho walizipokeataarifa hizo kwa mstukomkubwa.

    Al isema wao kamaviongozi wa bodi yak i t u o h i c h o , t a y a r iwamekutana kujadili kashfailiyoelekezwa dhidi ya chuohicho. Kwa kupitia kwa

    Na Bakari Mwakangwale wakili wao, wameuandikiaMhariri wa Gazeti hilowakimtaka akanushe taarifahizo au athibitishe ndani yasiku saba.

    Sheikh Jabir, alisemak a t i k a b a r u a h i y okuna mambo kadhaawameyaainisha, ikiwa nipamoja na kutaka kulipwafidia kwa kiasi cha pesakilichopangwa, ambachoni bilioni mbili, sambambana kumsafisha Mwenyekitiwao wa Bodi kwa kumuitaMuuaji.

    Tumelitaka gazeti hilo(Mtanzania) likanushetaarifa zao za uzushi dhidi yachuo chetu, au wathibitisheyo te wal iyoyar ipo t i .Tumewapa siku saba,wakanushe na watuomberadhi, kinyume chakewakikaidi tutawapelekaMahakamani. Alisema

    Sheikh Jabir.A l i s e m a h a b a r i

    zilizoripotiwa na gazetihilo ni za uongo, uzushina ufitini. Alisema kwauha l i s i a , k i tuo chaohakifanyi shughuli yeyoteyaliyo nje ya masuala yaelimu ya dini. Alisema hatahayo mazoezi ya karetina judo, pamoja na kuwasi kosa kufanya michezohiyo kisheria, lakini waohawatoi mafunzo hayo.

    Pia alisema kituo hichohakina watoto wadogo,

    kama ilivyoripotiwa bakuna vijana wenye umkati ya miaka 15-30. Hathivyo alisema wakazwanaoishi jirani na kituhicho wameshangaa kusiktaarifa hizo.

    Aliongeza kuwa waka

    hao wamesikika katikv y o m b o v y a h a b a rwakihojiwa wakisemkwamba, hawajawahi kuonwatu wakiingia chuoni kwmitumbwi wala Makontenkama ilivyoripotiwa, kwanhakuna mtumbwi unaowezkubeba Kontena.

    Maelezo ya gazela Mtanzania yalikuwyamejaa chuki za kidindhidi ya Uislamu kwanyote waliyoyasema nuzushi mtupu. Hata huuzio waliosema si kamwalivyoandika, bali ni w

    kawaida sana hata mtakitumia nguvu anawezkuuvunja. Alisema SheikJabir

    Na ye Sh ei kh e Mu sKunenge, ambaye naye nmiongoni mwa waanzilishwa Chuo hicho amesemkuwa, chuo chao kilipatidhini ya Waislamu kwenymsikiti, kisha kikafuattaratibu zote za kisheriikiwa ni pamoja na kupakiwanja na baadae usajili nshughuli zote zinatendekkwa haki na uhalali.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    4/16

    4AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 20Habari

    Jaji akerwa upande wa mashtaka kupoteza muda kesi ya UamshoInatoka Uk. 1

    wa washitakiwa kuhusupingamizi ya dhamana.

    Jaji Mwampasi alitoaufafanuzi huo wakatiakisikiliza kesi ya viongozi

    wa Jumuiya ya Uamshona Mihadhara ya KiislamuZanzibar (JUMIKI) na

    kusema, asingependakupoteza muda kutokana namadai ya kuwepo mamboya kiufundi (technicality)y a n a y o k w a m i s h aserikali kutoa maelezoya kuzuia dhamana kwawashatakiwa.

    Alifafanua kwamba,iwapo kuna maelezoyeyote juu ya pingamizilao, basi ni vizuri Serikaliikatoa maelezo yake sikuambayo kesi itasikiliwa

    mahakamani hapo.J a j i M w a m p a s h i

    alisemza mahakamanihapo kwamba, angependakujua sababu za upande wamashtaka kutoka ofisi yaMkurugenzi wa MashtakaZanzibar (DPP), kutoletautetezi wao mapema hukuikizingatiwa kuwa mudawa kesi hiyo ulikuwaukiendelea kuyoyomaambapo kisheria ingetakiwakesi kuanza kusikilizwa.

    Alisema kwa kuwakesi ya msingi tayariipo, ni vizuri mahakama

    ikaendelea kusikiliza hojaya serikali juu ya pingamizihilo na wala asingependakupoteza muda kuchrelewakupata maelezo hayo kwakuelezwa sababu zinadaiwakuwa ni za kiufundi,kwa kuwa ombi kuhojisababu za kuzuia dhamanalilitolewa na upande wautetezi tangu mwaka jana.

    Kesi ya msingi bado ipomahakamani. kilichotakiwakusikilizwa pale ni ombila kuondoa pingamizi,nisingependa kupoteza

    muda kwa maelezo yamambo ya kiufundi .Kimsingi nimepokea ombilakini sio jipya, sasa kamamna chochote mtakisemahiyo siku,alisema Jajihuyo na kuongeza kuwaanataka kufahamu kutokaupande wa serikali kuwani kitu gani wanakipingawakati hakuna kifungu chasheria kinachozuwia.

    Jaji Mwampashi alihojiupande wa serikali kamawanaona mahakama hiyohaina uwezo wa kusikiliza

    ombi hilo, na kujibiwa naMwanasheria wa serikalikutoka Ofisi ya Mkurugenziwa Mashtaka, RamadhanNase eb kuwa ni kwel iombi hilo limepokelewa

    tangu mwaka jana na siojipya.H i v y o a l i m t a k a

    mwendesha mashtakahuyo kuwasilisha maelezoyake ya kuweka pingamizihizo wakati ombi hilolitakaposikilizwa kwa kuwaombi hilo sio jipya dhidi yaupande wa serikali.

    Kusikiliza ombi niFebruari 28 mwaka huuserikali kama mtapingani siku hiyo hiyo na kamamtaleta ombi ni siku hiyo,Na sema nis ing epe nd akupo teza muda kwa

    maelezo ya mambo yakiufundi. Na kuahirisha kesihadi siyo hiyo niliyoitaja.Alisema Jaji Mwampashi

    Awal i MwendeshaMashitaka wa SerikaliR a m a d h a n i N a s e e b ,aliiomba Mahakama Kuuya Vuga kutosikiliza ombila kuondoa pingamizila dhamana katika kesiinayowakabili viongozi waJumuiya ya Uwamsho namihadhara ya Kiislamu.

    Naseeb alitoa ombi hilobaada ya upande wa utetezikuwasilisha barua yakuitaka Mahakama kufanya

    mapitio kuhusu pingamziiliyowekwa na upande waMashtaka ya kuzuia watejawao wasipewe dhamana,ambapo Mkurugenzi waMashitaka Zanzibar (DPP)kwa mamlaka aliyopewaamefuta dhamana zawashitakiwa hao.

    Washtakiwa hao niSheikh Farid Hadi Ahmed(41) mkaazi wa Mbuyuni,Mselem Ali Msellem (52),mkaazi wa Kwamtipura,Mussa Juma (37), mkaaziwa Makadara, AzzanKhalid Hamdani (43),mkaazi wa Mfenesini,Suleiman Juma, mkaaziwa Makadara, Khamis Alina Hassan Bakari (39),mkaazi wa Tomondo.

    Washitakiwa wote kwapomaja wanakabiliwa namashtaka matatu yakiwemoU h a r i b i f u w a m a l i ,Kushawishi, kuchochea nakuwarubuni watu kufanyafujo, huku mshitakiwaAzan akikabi l iwa namakosa manne moja likiwala uvunjifu wa amani.

    Mawakili wa upande wa

    utetezi wakiongozwa naSalim Towfiq, AbdallahJuma na Suleiman Salim,waliwasilisha mapemaombi la kuitaka mahakamakufanya mapitio kuhusu

    pingamizi iliyowekwa na

    Mkurugenzi wa Mashitakaya kuzuia dhamana yawashitakiwa hao.

    Toufik alisema kuwa nivyema mahakama ikatumiabusara ya kulisikiliza ombi

    hilo kwa sasa kutokana na

    wateja wake kuwa ndankwa muda mrefu sasa.

    W a s h i t a k i w a h awamerejeshwa rumandhadi Febuari 28 mwakhuu, kwa kusikilizw

    pingamizi yao.

    Wakili: Sheikh Ponda hawana kesi ya kujibuInatoka Uk. 1

    Changombe.Alisema kuwa hata

    anayedaiwa kumiliki eneohilo kupitia kampuni yaAgritanza, Bw. Suleimanalisema kuwa alilazimikakusimamisha ujenzi kwakuwa eneo husika linamgogoro wa ardhi.

    Hivyo ushahidi wakeulidhihirisha kwambakesi iliyokuwa inastahilikusikilizwa ni ya mgogorowa ardhi na sio uchochezi,kuiba mali au vinginevyo.

    Wakili Nassoro, alisemakesi hiyo ililetwa Mahakanihapo kwa jazba lakinihaikustahili kusikilizwakatika Mahakamani hiyo.

    Aidha alisema kuwaha ta mafund i u j enz iwa uzio uliowekwa nawamiliki wa Kampuni yaAgritanza, inayodaiwakumiliki kiwanja hicho,waliithihitishia Mahakamakwamba Sheikh Pondana wenzake, hawakuwahikuiba mali.

    Alisema kuwa vifaa

    vinavyodaiwa kuibwa,vilitumika kwa ujenzi waMsikiti wa muda katikaeneo hilo.

    Hata mashahidi waupande wa mashtaka kutokaBakwata, hawakuthibishakuwepo wizi wa mali,na hata walipohojiwahawakuweza kutoa ushahidiwa moja kwa moja kuhusukiwanja hicho.

    Al isema hata eneol i n a l o d a i w a k u w awalipewa na Agritanza,ili kubadilishana na eneolil i lopo hapo MarkazC h a n g o m b e , n a l ohawalijui zaidi ya kusematu kuwa lipo Kisarawe.

    A l i o n g e z a k a t i k autetezi wake kuwa naomaofisa ardhi hawakuwezakufikishwa Mahakamanikuthibitisha ukweli wau m i l i k i w a k i w a n j ahicho kwa mlalamikaji,japo kuna barua ililetwakutoka ardhi, lakini WakiliNassoro alisema barua hiyo

    haitoshelezi, bali wahusikawalitakiwa kufika mbele yaMahakama ili kuthibitishammiliki halali wa eneo

    hilo.Naye waki li Yahy

    Nj am a, ali se ma kuwhata kat ika tukio lkukamatwa watuhumiwhalikufanyika katika eneo mgogoro, bali watuhumiwwalikamatwa wakiswausiku katika Msikitini wMarkazi, uliopo katikchuo kinachoongozwna Wamisri ambao ndiwamiliki wa chuo hich

    tofauti na ilivyodaiwk u w a w a l i k a m a t wwakiwa katika kiwanjkinacholalamikiwa.

    Hivyo mawakili hawa upande wa utetezwamedai kuwa, kulinganushahidi wa upande wmashtaka ambao tayau m e s h a w a s i l i s h wM a h a k a m a n i h a p ohaionekani watuhumiwwanashtakiwa kwa makosgani.

    Hakimu anayesikilizkesi hiyo Bi. VictoriNongwa, ameahirisha ke

    hiyo hadi Machi 4, 2013kwa ajili ya kuendelekusikil iza upande wutetezi.

    BAADHI ya washitakiwa katika kesi ya Sheikh Ponda wakiwa Mahakama yKisutu jana kusikiliza utetezi wao.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    5/16

    5AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201Habari za Kimataifa

    KHARTOUMKiongozi mwandamiziwa harakati ya IkhwanulMuslimiin nchini Sudan,Ali al Jawish, amesisitizahaja ya kuwepo udharura

    wa kutekelezwa sheria yaKiislamu nchini humo.A k i z u n g u m z a n a

    vyombo vya habari mjiniKhartoum, Ali al Jawish,ameongeza kuwa mfumowa kisekula hauna nafasiyoyote nchini Sudan nakwamba wananchi wanchi hiyo wanataka sheriaza Kiislamu zitekelezwekwa lengo la kukabilianana ufisadi, migogoroya kiuchumi, kisiasa nakijamii.

    Kiongozi huyo wa

    Shule za Kiislamu zangara Uingereza

    Uchaguzi wa Bunge la Misri kufanyika ApriliCAIRORais Mohammed Morsiwa Misri, ametangazakufanyika kwa uchaguziwa Baraza la Bunge lanchi hiyo Aprili 27 katika

    vipindi vinne, na kikao chakwanza cha Baraza hilokitafanyika Julai 6.

    Kwa mujibu wa amri hiyoya Rais, katika kipindi chakwanza, upigaji kura katikauchaguzi huo utafanyikakatika mikoa mitano ikiwemoCairo, Port Said na El-Minya,kuanzia tarehe 27 hadi 28Aprili, katika awamu yapili upigaji kura utafanyikak a t i k a m i k o a m i n a n eikiwemo Giza, Alexandriana Suez kuanzia Mei 15 hadi16, na awamu ya upigaji kurahuo utafanyika katika mikoamingine minane ikiwemo

    Luxor, Qena na South Sinaikuanzia Juni 2 hadi 3 mwakahuu. Awamu ya mwishoupigaji kura utafanyikakatika mikoa sita, ikiwemoAssiut na Fayoum kuanziaJuni 19 hadi 20.

    Mwezi Juni mwaka jana,Mahakama Kuu ya Misriilitoa uamuzi wa kupinga

    Rais Mohammed Morsi wa Misri

    uteuzi wa Baraza la chinila Bunge la nchi hiyolililochaguliwa mwanzonimwa mwaka jana na kutakalivunjwe kwa kuwa baadhiya vifungu vya sheria ya

    uchaguzi vinakiuka katiba.H a t a h i v y o t a a r i f a

    zinaeleza kwamba RaisM u h a m m a d M u r s i ,ametoa wito wa kufanyikamazungumzo na makundi yaupinzani kuhakikisha kuwakunapatikana uadilifu nauwazi katika uchaguzi ujaowa Bunge Aprili 22.

    Mursi ametupilia mbalimadai kwamba tarehe yauchaguzi hakupangwa katikamuda mwafaka na kusemakuwa, hali ya sasa ya Misriinafaa kwa uchaguzi.

    Rais Musri pia amesemakuwa yeye ni Rais wa Wamisri

    wote na kwamba, hanaugomvi na chama chochotecha kisiasa.

    Baadhi ya vyama vyaup inzan i nch in i humovimetishia kususia uchaguzihuo wa Bunge, vikimtuhumuMursi na chama chakecha Ikhwanul Musliminkungangania madaraka.

    TEHRANK i t e n g o

    k i n a c h o s h u g h u l i k i anishati za nyuklia chaJamhuri ya Kiislam yaIran, Atomic EnergyOrganisation (AEOI),kimetangaza azma yakeya kuendeleza teknolojiahiyo kwa kutengenezavituo vipya kumi na sitavya nyuklia katika sikuzijazo.

    J i t i h a d a h i z oz i n a e n d e l e a w a k a t iMarekani na rafiki zake

    wakiendelea kuishinikizaJamhuri hiyo ya Kiislamukuacha mpango wakew a n y u k l i a w e n y emalengo ya amani, ambaounafanya kazi zake chiniya wasimamizi wa umojawa mataifa.

    AEOI imeeleza katikataarifa yake mwishoni mwawiki kwamba, mitambohiyo mipya ya nishatiitajengwa kuzunguka nchi,yakiwemo maeneo yaupande wa jirani na bahariya Caspian Kaskazinina upande wa Ghuba na

    Iran kutengeneza vituovipya 16 vya nyuklia

    Bahari ya Oman Kusini.Jimbo la Kusini la

    Khuzestan na majimbom e n g i n e a m b a y ohayakutajwa KaskaziniMagharibi pia ni sehemu yamaneo mapya yalipangwakujengwa vinu hivyo.

    Wakati Iran ikiwa nampango wa kuongeza vinuvyake vya nishati, nchihiyo inajiandaa kuingiakatika mazungumzo juuya nishati ya nyuklia naMataifa sita ambayo niMarekani, Uingereza,

    Ufaransa, Urusi, Chinana Ujerumani Jumanne,baada ya mazungumzohayo kukwama kwa miezinane.

    Akizungumza katikamkutano wa maofisa wanyuklia jijini Tehran,Saeed Jalili, ambaye niOfisa wa ngazi za juu waMasuala ya Usalama namashauriano ya nyuklia,ameyataka mataifa hayosita kuja na mipango sahihina yenye hadhi, ambayohaina makosa ya siku zanyuma.

    LONDON

    SHULE za Kiislamu nchiniUingereza, zimetajwa kuwani miongoni mwa shule borakwenye orodha za taasisiza kielimu nchini humo,kufuatia wanafunzi washule hizo kufanya vyemakwenye masomo yao.

    Shirika la Habari zaQurani la Kimataifa IQNA,limemnukuu Hamid Patel,Mkuu wa shule ya Sekondariya Wasichana ya TawhidulIs lam ak i sema kuwa,wanafunzi Waislamu nchiniUingereza wanafanya vizurikwenye masomo yao lichaya kukabiliwa na matatizo

    mengi.Shule ya sekondari yawasichana ya TawhidulIslam, iliyopo katika mjiwa Blackburn pamoja nashule nyingine, zimeongozakwenye orodha ya shulezilizofanya vizuri kimasomokatika mji huo.

    Takwimu zilizotolewa naIdara ya Elimu ya Uingerezazinaonyesha kuwa, shule hiyondio bora zaidi nchini humokatika kuandaa mazingira yamafanikio kwa mwanafunzi,kufuatia kukosekana kiwangokizuri kwenye shule nyingi zamsingi.

    Mbali na shule ya Tawhidul

    Islam, zipo shule nyinginekadhaa za Kiislamu nchinihumo ambazo wanafunziwake wamefanya vizuri nakuongoza kwenye taasisi zakielimu nchini humo.

    Uingereza kuna karibu

    Waislamu milioni 2.5 mb

    kwa mujibu wa takwimu zBaraza la Waislamu nchi

    humo, ambapo kuna karib

    wanafunzi laki nne amba

    wanasoma kat ika shu

    mbalimbali.

    Wasudan wataka sheria za Kiislamuharakati ya IkhwanuMuslimiin nchini Sudanamesema kuwa kunudharura pia wa kuwepjitihada za kushirikianmakundi na matabaka yo

    nchini humo kwa lengla kukabiliana na njamza dola za kibeberu zMagharibi.

    Hivi karibuni vyamna makundi ya Kiislamnchini Sudan, yalitia sainmakubaliano yaliyopewjina la Faj rul Is lamia m b a y o y a m e t a kkupitishwa katiba yKiislamu ambayo marejeyake ni Qurani Tukufu nSuna za Mtume Muhamma(SAW).

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    6/16

    6AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 20Makala

    SHAMBA LA EKARI 14 LINAUZWAKWA HARAKA

    LIPO CHAMAZI-DOVYA DAR ESSALAAM

    BEI NI MAELEWANO

    KWA MAWASILIANO:

    PIGA SIMU: 0754 4797830784 4632070756 450425

    WAHI MAPEMA BAHATI NI YAKO

    TANGAZO! TANGAZO! TANGAZO!

    SHAMBA LINAUZWA

    J a n u a r i 3 1 , 2 0 1 3 -Mtandao wa kupashanahabariUVAMIZI wa jumlawa Afrika umeanza.Marekani inapelekaaskari katika nchi 35za Kiafrika, ukianza naLibya, Sudan, Algeriana Niger. Ikiripotiwana shirika la AssociatedPress siku ya Christmas,habari hii haikuonekanakatika vituo vya habari

    v y a M a r e k a n i n aUingereza.

    Uvamizi huo haunauhusiano na kinachoitwani harakati ya Uislamu,ila kila upande inahusianana kushika rasilimali,hasa madini, na ushindaniunaoendelea na China.

    Tofaut i na China,Marekani na washirikaw a k e w a k o t a y a r iku tumia nguvu kwakiwango kilichoonekananchini Irak, Afghanistan,P a k i s t a n , Y e m e n n aP a l e s t i n a . K a m a

    ilivyokuwa wakati wavita baridi, mgao wamajukumu unahitaji kuwauandishi wa habari wa nchiza Magharibi na sanaa za

    Uvamizi halisi wa Afrika si habari, leseni ya

    kusema uwongo ni zawadi ya HollywoodNa John Pilger maonyesho, zitoe mwavuli

    wa vita takatifu dhidi yaukanda wa hatari waugaidi wa Kiislamu, usio natofauti na porojo za hatarinyekundu ya mkakati waukomunisti kote duniani.

    Ikikumbushia vikumbovilivyopiganwa kugawanaAfrika mwisho wa karne ya19, Kamandi ya Marekanikwa Afrika (Africom)imeunda mtandao wavibaraka kati ya dolasikivu za Kiafrika zenyeuchu wa hongo na silaha

    za Marekani. Mwakajana , Af ri co m il if anyaOperesheni Juhudi yaAfrika na majeshi ya nchi34 za Afrika yakishiriki,yakiamrishwa na jeshi laMarekani.

    Kaulimbiu ya askarikwa askari ya Africominaunganisha maofisawa kijeshi wa Marekanikatika kila ngazi ya amrikutoka jenerali hadi ofisawa mnazi, saa mkononi.Ni kofia za safari za utaliindizo zinakosekana.

    Ni kama vile historia ya

    kujivunia ya ukombozi,kutoka Parrice Lumumbahadi Nelson Mandela,imefukiwa na kusahaliwa natabaka teule la watu weusi

    chini ya bwana mkubwampya ambao jukumu laokihistoria, alionya FrantzFanon nusu karne iliyopita,

    ni kushabikia ubepariiliojizatiti licha ya kuwaumejificha.

    Kielelezo kimojawapoc h a h a j a n i K o n g oMashariki, yenye utajiriwa kumwaga wa madiniyanye umuhimu mkubwakimataifa, inayoshikiliwana kundi katili la M23,ambalo linashikwa naUganda na Rwanda, ambaoni wasimamiaji wa mahitajiya Marekani.

    Ikiwa imepangwa kwamuda mrefu kama jukumula Na to , b i l a ku ta j a

    Ufaransa yenye shaukukali, ambayo agenda zakeza ukoloni zilizoshindwazipo kando kuinuliwawakati wowote, vita juuya Afrika ilifikia kuwaya haraka mwaka 2011wakati nchi za Kiarabuzilipoonyesha kujikomboakutoka kwa kina Mubarakna wateja wengine waWashington na Ulaya.

    Mfadhaiko ambao halihii ilisababisha katikatawala za kibeberu, hauwezikuongezewa chumvi. Ndege

    TAI alama ya jeshi la Marekani akitua Jangwani

    za kuangusha mabomuzilipelekwa siyo Tunis auCairo ila Libya, ambakoMuammar Gaddafi alikuwaakitawala juu ya hazinakubwa zaidi ya mafutakatika Afrika. Wakati mjiwa Sirte nchini Libya ukiwaumebaki magofu, vikosimaalum ya Uingereza vyaSAS vilielekeza mgambowaasi katika kile ambachosasa kimefuchuliwa kamauwagaji damu kwa misingiya rangi.

    W a k a z i a s i l i a w aSahara. wa-Tuareg ambaowapiganaji wake wa ki-Berber Gaddafi aliwalinda,walikimbilia nyumbanikupitia Algeria na Mali,

    a m b a k o w a - T u a r e gwamekuwa wakitaka nchiyao pekee tangu miakaya 1960. Kama mdadisimakini Patrick Cockburnanavyoonyesha, ni mzozohuu wa kikanda, siyo AlQaeda, ambao nchi zaMagharibi zinaogopa zaidikatika Afrika Kaskazini-Magharibi.

    Licha ya kuwa maskini,mara nyingi wanaishijuu ya hifadhi kubwa zamafuta, gesi, urani namadini mengine ya thamani

    kubwa.Ikiwa kwa uhakika n

    matokeo ya kushambuliwna Ufaransa na Marekan

    kwa Mali hapo Janua13, kuzingirwa kwa enela visima vya gesi nchinAlgeria kuliisha kwumwagaji damu, na kuinuhisia ya ki-Septemba 11 kwDavid Cameron. Mpambahuyo wa zamani wCarlton TV, alighadhibikkuhusu hatari kwa duniainapohitaji miongo kadhaya mapambano ya nchi zMagharibi (dhidi yake).

    Alikuwa na maana ykuingizwa kwa mipangya biashara ya nchi zMagharibi kwa Afrik

    pamoja na ubakaji wa nchya Syria yenye tamadunkadhaa tofauti, na kuangukkwa Iran iliyo huru.

    Cameron sasa ameamuraskar i wa Uingerezwapelekwe Mal i , nkupeleka ndege mojisiyo na rubani ya jeshi anga la Uingereza, ambaymkuu wake wa majeshanayependa kubwabwajJenerali Sir David Richarda m e p e l e k a u j u m bbayana kwa Mujahidin

    Inaendelea Uk.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    7/16

    7AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201Makala

    VITABU VIPYA VYA MIHADHARA,

    MASWALI NA MAJIBU BAINA

    YA WAHADHIRI WA KIISLAMU

    NA WACHUNGAJI, PAMOJA NA

    MAWAIDHA YA SHEIKH NURDIN

    KISHKI. VINAPATIKANA MSIKITI

    WA MTORO (DUKANI KWA SAIMU)

    KARIAKOO.

    PIA VINAPATIKA KATIKA MADUKA

    YOTE YA VITABU VYA DINI JIJINI

    DAR ES SALAAM, KWA JUMLA NA

    REJAREJA. PATA NAKALA YAKO

    SASA.

    0713 47 10 90, 0685 47 10 90,

    0773 19 46 6.

    TANGAZO

    Uvamizi halisi wa Afrika si habari, leseni ya

    kusema uwongo ni zawadi ya HollywoodInatoka Uk. 6

    kokote duniani: Msikaekaribu, kukabiliana nasi.Tutawashughulikia kwadhati - ambacho hasan d i c h o M u j a h i d i n aw a n a t a k a k u s i k i a .Walikopitia wahangawa vitendo vya kikatilivya jeshi la Uingereza,wote Waislamu, kuteswakwao kitaalamu ambakokesi hizo zinapelekwam a h a k a m a ni s a s a ,k u n a o n g e z a m z a h a

    usiohitajika katika manenoya jenerali.

    Ni liwa hi ku ona kw akaribu njia za dhati za

    Sir. David nilipomwulizakama aliwahi kusomamaelezo ya mwanamkemwanaharakat i jasi r iwa Afghanistan MalalaiJoya, akizungumzia hulkaza kishenzi za watu waMagharibi na vibarakawao nchini kwake. Weweni mtetezi wa Talibanndilo lilikuwa jibu lake.(Baadaye aliomba radhi).

    Waigizaji hawa wakukatisha tamaa wanatokamoja kwa moja kwa EvelynWaugh na kutuwezesha

    sisi kuhisi upepo baridiwa historia na unafiki.Huo ugaidi wa Kiislamuambao ndiyo kisingizio

    chao cha wizi unaodumuwa utajir i wa Afrikauliundwa takriban wote nawao. Hakuna haja iliyobakikumeza mstari wa BBC /CNN na siyo kujua ukweli.Soma kitabu cha MarkCurtis Mambo ya Siri:Ushirikiano wa Uingerezana Uislamu Mujahidina.(Serpents Tail, ambaoni wachapishaji) au chaJohn Cooley, Vita isiyotakatifu: Afghanistan.Amerika na ugaidi wakimataifa. (Pluto Press)

    au Meza kubwa ya chesscha Zbigniew Brzezinski(HarperCollins), ambayea l ikuwa mkunga wa

    kuzaliwa kwa ugaidi wakimataifa wa siasa kali.

    Kat ika hal i hal is i ,Mujahidina wa Al Qaedana Taliban waliundwana CIA, shirika dada laPakistan la ISI (mtandaowa ujasusi wa majeshiyote ya usalama) na MI6(mtandao wa ujasusi wajeshi la Uingereza).

    Brzezinski, aliyekuwamshauri wa usalama wataifa wa Rais Jimmy Carter,anaelezea elekezo la sirila Rais la 1979, ambalolilianzisha kile ambacho

    kimekuwa vita dhidi yaugaidi sasa. Kwa miaka17, Marekani kwa dhamirailiunda, kutoa fedha, silahana msasa wa propagandakwa Mujahidina wa siasakali ambako hulka yakutwaa silaha ilipenyakizazi chote (cha vijana) chawakati huo. Ikiwa inaitwaOperesheni Kimbunga,hii ndiyo ilikuwa mchezomkubwa kuiangushaUrusi lakini uliyaangushamajengo ya minara pacha.

    Kuanzia wakati huo,habar i ambazo watu

    w e r e v u , w a l i o s o m awanapata na kutumia

    zimekuwa uandishi kamsinema, ukiongezewnguvu kama ilivyo jadna Hollywood (eneo lkutengeneza filamu nchinMarekani), kuwa na lesenya kusema uwongo, tenna tena.

    Kuna sinema inayokujDreamworks (kazi zndoto) kuhusu WikiLeak(mtandao uliovujisha sinyingi za jeshi la Marekanna taarifa za kijasusi zMarekani), upikaji habau l i o h a m a s i s h w a nkitabu cha hujuma ch

    waandishi wawili wThe Guardian (gazeti Uingereza) waliojazwmapesa, na pia kuna ZerDark Thirty, ambachkinashabikia utesaji nmauaji, iliyoongozwa nKathryn Bigelow, m-LenRiefenstahl wa wakati wetkuikuza sauti ya mfadhiwake kama ilivyokuwa kwmtengenezaji filamu habithwa Adolf Hitler. Hichndicho kioo cha upandmmoja ambako hatupahata chembe ya pichya kile ambacho wenymadaraka wanafanya kwjina letu.

    www.johnpilger.com

    Pichani juu na chini ni washindi wa kuhifadhi Qur'an wakipokea zawadi zaokutoka kwa Sheikh Hijja (wa pili kutoka kushoto) katika Msikiti wa Makukura,

    Buguruni jijini Dar es Salaam. Mashindano hayo yaliandaliwa na taasisi ya AfricaMuslims Agency.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    8/16

    8AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 20TANGAZO

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    9/16

    9AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201Makala

    KUUWAWA kwa kupigwarisasi Padri Evarist Mushi,huko Zanzibar ni lazimakulaaniwe sana na kila mtuanayechukia uhalifu waaina yeyote ile katika jamiiyeyote, hasa ikiwa hapanyumbani Tanzanaia.

    Waislam wanafahamuSubhana wa Taala kasema

    nini kuhusu kutoa roho ya binAdam bila kuwa na uhalaliwowte. Ni wazi kabisa kuwakutolewa kwa roho ya PadriMushi, haukuwa na uhalaliwowote; kadhulumiwa hakiyake ya kuishi.

    Lakini hapo hapo wananchiwatafakari kwamba yeyehuyu hayati kuwa ni Mkristoni matokeo tu. Muhalifualiyefanya kitendo hicho nimuhalifu. Ikiwa atafikishwamahakamani pakiwa ushahidiwa kutosha, bila shakaatatiwa hatiani na atadhibiwainavyostahili. Haya bila shakahayana mjadala kwa vile hoja

    zote hapa zina mantiki.Lakini kufuatia uhalifu huukumekuwa na maneno mengisana ambayo yanaashiriakuwa, weng i wa walewaliotoa maneno hayo bilashaka wamechanganyikiwa.Sababu moja kubwa ya kuwawamechanganyikiwa ni kuwa,hoja zao zimezingirwa namaslahi binafsi ambayo hasa,hayana uhusiano na uhalifuuliotokea, bali wamewezakuutumia uhalifu huo kwamaslahi yao wenyewe.

    Kwanza hebu msomajiufikiri tu kidogo, haiwezekanikuwepo muhalifu aliyeMuislam na akafanya uhalifu

    kwa kuwa ni tabia yake amakatumwa.

    Idadi ya Wananchi waZanzibar ni takriban 92%ni Waislam, kwa hiyo kilauhalifu unaotokea humonchini aliyetenda uhalifu huokwa 92% atakuwa Muislam.Sasa itakuwa sawa kupigakelele kuwa kufanya uhalifukwa sababu ya Uislam wake?Ama Uislam ndio uliomtumaafanye uhalifu huo?

    Inaelekea kwamba katikahao waliopiga kelele sanajuu ya kifo cha Padri Mushi,wamezuka tu kuwa kauawa

    Masheikh na mauaji huko Zanzibar

    Na Khalid S Mtwangi

    kwa sababu ya Ukristo wakena aliyemuuwa ni Muislam, naUislam wake ndio uliomtumaafanye kitendo hicho chauhalifu wa hali ya juu sana.

    Inasikitisha sana kuonana kusikia kuwa baadhi yaMasheikh, hasa wa Barawamelivalia njuga jambohili na wao kuwa mstariwa mbele kuhusisha mauajihaya na Uislam ,ambao waowanasema ndio viongozi.Wakristo wamefarijika sanana matendo na maneno yaMasheikh hawa. Inabidimtu atafakari sana kuwawaliokuwa na kelele nyingini Masheikh wa Bara ilihaliwale wa Zanzibar kulikotokeamkasa huo wao walijichungasana na matamshi yao.

    Viongozi wa Kikristo hasawale wa Kanisa Katolikiwamejitokeza kwa nguvu

    na vitisho kuilaumu serekalikwa mauwaji hayo. Haowaliomuuwa mtumishi waMungu Padri Mushi, ni walewanaofanya vitendo vyaovya uhalifu kwa kuvizia nahakuna serekali yeyote ileduniani inayoweza kuzuiakitendo kama hicho kablahakijatokea.

    Pamoja na uwezo mkubwawa pesa na vifaa vya kilaaina, Marekani wameshindwakuwanyamazisha Talibanhuko Afghanistan kwa mudawa miaka zaidi ya kumisasa. Kama inavyofahamikawao wamewaua wananchi

    wasiokuwa na hatia wa nchihiyo wengi sana, lakini badoMarekani na washiriki wakewanauawa takriban kila sikuna watu ambao kwa kawaidahawana uwezo kama walionao Marekani na washirikiwake.

    Sasa kwa hawa viongoziwa Kanisa kutegemea Serikaliya Tanzania iweze mara mojakuzuia uhalifu wa kuviziani uonevu mkubwa sana.Hasa kwa vile kumekuwana rai zikitolewa kuwa, hayayote yanatokea kwa sababuwatu wa Zanzibar hawatakimuungano na Kanisa ni alamakubwa ya Muungano.

    Hakika ni lazima ikubalikekuwa Muungano wa Zanzibarna Tanganyika kwa kiasik i k u b w a u m e w e z e s h aUkristo kushamiri kwa kasisana huko Visiwani. KwanzaSerikali zenyewe za Zanzibarwa l i k u wa wa k i j i v u n i asana kuwa wao ni secular,bila kuwa upande wa diniyeyote.

    Lakini ukweli ni kwambaUkristo uliachiwa kutandakwa marefu na mapana, mpakawakaweza kutoa maswalisabini na moja yaliyokuwayakihoji sehemu kubwa za

    Padri Evarist Mushi

    Uislam. Inajulikana kuwawakati Mufti wa Zanzibara l i k u w a a k i w a r u h u s uMakanisa kuhubiri kwamarefu na mapana, wakatihuo huo Waislam walikuwawa k i z u i l i wa k u wa n a

    mihadhara ati inakashifudini zingine.

    Imetajwa rai ya kutotakamuungano, na kwa vilemakan isa n i a lama yam u u n g a n o , n d i o h a p owa h a l i fu wa m e c h u k u ahatua ya kuondoa alama yamuungano. Hebu tuikubalihoja hii ingawa ni dhaifukidogo. Ikiwa hivyo ndivyobasi, kiini cha uhal ifu huuwa kumuuwa Padri Mushi nisiasa kati ya baadhi ya watuwalioko Zanzibar na baadhiya walioko Tanganyika hasaMakanisa. Uislam unaingiajehapa?

    Hebu Masheikh wetu waTanganyika watuelimishe.Haiwezekan i aka tokeamuhalifu tu, ambaye nimuhalifu lakini akasema nimuumini wa Kiislam? Sasainakuwa vipi uhalifu wakeunahusishwa na imani yake?

    Ama damu ya mtu kamaPadri Evarist Mushi, ni nzitokuliko ya Sheikh Ali KhamisAli aliyepigwa mapangampaka kufa, ama SheikhSoraga aliyemwagiwa tindikali imdhuru na hakukuwana kelele nyingi , walahaikuonekana kulikuwa

    na haja ya kuwaita G-Menwenye historia ya ukatili kwaWaislam?

    Sikumbuki kama kulitokeahata Sheikh mmoja hukuBara aliyejitokeza kwenyete lev i s ion au red io aum a g a z e t i n i k u l a a n ikitendo kile, lakini baadaya kuuawa Padri Mushi,w a n a o j i i t a M a s h e i k hkadhaa walihakikisha kuwawanajitokeza haraka kwenyet e l e v i s i o n wa o n e k a n ewao ndio Waislam hasa,wanaolaani vitendo vya jinaivinavyotendwa na Waislam

    kuwatendea wasiokuwaWaislam.

    Na mpaka wakati huohaijajulikana ni nani kamuuwaPadri Mushi wala sababuiliyomtuma amuuwe binadammwenzie. Walijuaje kamakitendo kile kilitendwa chiniya mwavuli wa Uislam?

    INAS T AAJ AB IS HA,INAELEKEA KUWA KWASABABU YA KITENDOHIKI CHA PADRE KUUAWANA MTU ASIYEJULIKANAIKAWA HATA VIONGOZIWA KIISLAM KUTOKA

    N C H I J I R A N I N A OWAALIKWE KUKILAANIKITENDO HICHO.

    Fedha zilizotumika kwasafari za viongozi hao nahafla iliyofanyika, bila shakailikuwa ya gharama kubwa.Hivi kweli ilistahili kuwahivyo wakati kuna sehemunyingi sana za Waislamnchini wanahitaji misaada,pengine ya kumalizia msikitiwanaoujenga, ama hatamadrasa na shule za Kiislam,lakini hawapati misaadahiyo.

    Wako vijana wengi sana waKiislam ambao wanashindwakuendelea na masomo kwasababu ya uwezo mdogokifedha. Lakini hakuna

    masheikha wanaojitokeza

    kuwasaidia kwa hilo. Haya

    m a p e s a y a l i y o t u m i k a

    kuwapoza moyo Wakristo

    kwa kuuliwa kiongozi waohazingeweza kutumika kwamaslahi ya Waislam?

    Tafadhalini Masheikhwetu, epukeni kutumiwakwa maslahi ya maadui waUislam.

    Lingekuwa ni jambo lamaana sana, kwa wale ambaowako mstari wa mbele kutoamatamshi ya kila aina kuhusumkasa huu, wawe wakifikirikwanza kabla ya kutoa hizonasaha zao.

    Kudai kuwa kule Zanzibarsasa kuna ugaidi kwa sababuPadre ameuawa, bila shaka nikutia chumvi sana. Itambulikekuwa labda kuliko Bara,

    Zanzibar imeendelea vizusana katika biashara yutalii; matamshi ya vitishyanaweza kuwa na athaya kuwatisha watalii wasikuamua kuitembelea.

    Kitendo kama hicho bishaka kinaweza kuathiu c h u m i wa Z a n z i b aWasemaji wawe waangalisana na hakika ni kupigzumari kwa sauti ya juu san

    kupiga kelele kuwa ugaiumeingia Zanzibar.

    Tanzania imewaingizthe Federa l Bureau oI n v e s t i g a t i o n ( F B Ikuchunguza mauwaji yPadri Evarist Mushi, kupotezroho yake ni kuzito kiacha kustahili hatua kamhiyo. Hawa wanaoitwa Gmen kwa ukatili wao, waktayari kutumia silaha kwharaka sana, maswali baadaWaislam wa Iraq, Afghanistana Mashariki ya Kati kwjumla wanayafahamu hayvizuri sana.

    Mpaka leo wengi ni vilem

    Mwanzilishi wa kikosi hichEdgar Hoover ,aliweka msinwa ukatili huo. Ni matarajkuwa watu wa Zanzibawatahudumiwa kiasi kwamblabda hawatasahau ujio whawa G-men.

    T a fa d h a l i M a s h e i kwatuambie nini khatmama hukmu ya Muislaanayeshirikiana na maadui wUislam kuuhujumu Uislana kuwahujumu Waislawenzake! Mwenyeezi MungSubhana Wa Taala atunusurWaislam wa Tanzania nmfumo usiowajali wao.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    10/16

    10AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 20Makala

    MAELFU ya waombolezajitarehe 25 Februari 2013walihudhuria maziko yaArafat Jaradat, ambayealikufa siku ya Jumamosi

    akiwa katika gereza laIsrael.Jaradat, mwenye miaka

    30, alikufa katika jela yaMegiddo wiki moja baadaya kukamatwa na majeshi yauvamizi ya Israel. Uchunguziwa mwili wake umeonyeshakuwa alikufa kutokana nakuteswa, wakati wavamiziwa Israel wakidai kuwa etialikufa kutokana na ugonjwawa moyo.

    Takriban wafungwa 3,000wa kipalestina wanaoshikiliwabi la ya mashtaka walakuhukumiwa walitangaza

    kugoma kula kwa muda wasiku moja, kama ishara yamshikamano wao na hasirazao kwa kifo cha Jaradat.

    Israel inadai Jaradat alikufatarehe 23 Februari 2013,kutokana na moyo kusimama.Lakini Wakuu wa Palestinapamoja na famil ia yake naasasi za haki za binadamu,wote wanadai kuwa kifochake kilitokana na matendoya utesaji aliyofanyiwa akiwakifungoni. Wanasema Arafathakuwa na udhaifu wa moyowakati alipokamatwa.

    Habari za kifo chake

    zilitangazwa siku moja baadaya Wapalestina 94 kujeruhiwakutokana na kushambuliwana majeshi ya Israel, wakatiwalipokuwa wakiandamanahuko Ukingo wa Magharibiwakidai kufunguliwa kwawafungwa wanne waliogomakula.

    Hali duni ya wafungwawa Kipalestina, hususanwafungwa waliogoma kulaimesababisha Wapalestinaw e n g i k a t i k a m a e n e oyaliyovamiwa na Israelkuandamana na ulimwenguumepatwa na wasiwasi.

    Mamlaka ya Pa les t inaimetangaza siku tatu zamaombolezo ili kuombolezakifo cha Arafat Jaradat.

    W a p a l e s t i n a w e n g iwameamua kuandamanakatika mitaa ya Ukingo waMagharibi, wakati hali yawafungwa ikizidi kuwa dunikatika jela za Israel. Zaidiya Wapalestina 4,500 wamokatika magereza hayo, wengiwao bila ya kuhukumiwawala kushtakiwa.

    Aidha haki zao za kimsingi

    Mpalestina auawa kwa mateso katika Gereza Israelzinazidi kudharauliwa,wak iwa wanateswa nakufungwa katika vyumbavya pekee bila ya kuruhusiwakutoka nje.

    Arafat Jaradat aliuliwawakati akihojiwa , alisemaIssa Qaraqaa, Waziri waPalestina anayehusika namasuala ya wafungwa.

    Tunataka iundwe Tumeya uchunguzi ya kimataifaili kuchunguza kifo chake,aliongeza.

    Na ye Wazir i Mkuu waPalestina Bw. Salam Fayyad,alielezea jinsi alivyohuzunikana kukasirishwa na kifo chaJaradat. Alisisitiza kuwa,Israel haiwezi kukwepalawama kwa vile Jaradatalifariki akiwa katika jela

    ya Israel. Huu ni uhalifuwa Mkataba wa Nne waGeneva.

    Fayyad akaitaka jumuiyaya kimataifa kutekelezawajibu wake wa kisheria nakimaadili, kwa kuilazimishaIsrael itekeleze sheria zakimataifa.

    Bibi Hanan Ashrawi,mjumbe wa Kamati Kuu yachama cha ukombozi waPalestina (PLO), naye alisemaIsrael inawajibika kwa kifocha Jaradat, na akaitaka UN najumuiya ya kimataifa pamojana mashirika ya kimataifa ya

    haki za binadamu kuingiliakati mara moja kwa kufanyauchunguzi wa kifo chake.

    Bibi Ashrawi, pia alitoamwito wa kuachiliwa maramoja na bila ya mashartikwa wafungwa wote waKipalestina walio katikamagereza ya Israel.

    Kifo cha Jaradat niushahidi tosha kuwa haliya wafungwa hao ni yenyehatari sana kwa maisha yao.Alisema Ashrawi.

    Arafat Jaradat, alikuwamkaazi wa Hebron mwenyewatoto wawili chini ya miaka

    mitatu, wakati mkewe anamimba ya miezi minne

    Uchunguzi wa mai t iumeonyesha kuwa alikufakutokana na utesaji wa haliya juu akiwa katika jelaya Israeli, na wala hakufakutokana na ugonjwa wamoyo kama wanavyosingiziawavamizi wa Israel.

    Zaidi ya hayo, uchunguziuliofanywa katika Israel,mbele ya maafisa wa Palestinaumedhihirisha kuwa Jaradatalikuwa na mifupa sitailiyovunjika katika sehemu zakoo, uti wa mgongo, mikono

    na miguu.Aidha alikuwa na majeraha

    kadha mgongoni mwakena jeraha jingine la duarakifuani.

    U c h u n g u z i w o t euliofanywa unathibitishawazi kuwa, Jaradat alikufakutokana na utesaji, hasa kwavile ilidhihirika kuwa moyowake haukuwa na udhaifuwowote. Hii inaoneshakuwa wavamizi wa Kisraeliwalikuwa wakidanganyawaliposema eti, alikufa

    kutokana na ugonjwa wamoyo.

    Kinyume chake, uchunguziumeonyesha kuwa Jaradatal ikuwa ameteswa sanampaka kupatwa na majerahamakubwa katika sehemu zamabega, mgongo, shingoni,mkononi na kifuani .

    R a i s w a s h i r i k alinaloshughulikia wafungwawa Kipalestina, Bw QadduraFares, aliongeza kwa kusemakuwa uchunguzi umeonyeshakuwa Jaradat alikuwa pia namajeraha ndani ya mdomo,usoni na alitokwa na damu

    puani.Wakili wa Jaradat, Bw.

    Kameel Sabbagh pia alisemamfungwa huyo aliteswa nawachunguzi wa Kiisraeli.Wakili huyo alikuwepowakati Jaradat alipofikishwam a h a k a m a n i s i k u y aAlkhamisi, wakati Jaji waIsrael alipoahirisha kesi hadibaada siku 12.

    Nilipoingia mahakamaninilimkuta Jaradat akiwaameketi juu ya kiti mbele yaJaji. Mgongo wake ulikuwaumepinda na alionekana

    akiwa mgonjwa na mdhaifu,alinena Sabbagh.

    Nilipokaa karibu nayea l in iambia a l ikuwa namaumivu makali mgongonina sehemu nyingine mwilinimwake, kutokana na kupigwana kun ing in izwa kwamuda wa saa nyingi wakatianapohojiwa

    Sabbagh alisema Jaradatalionekana kuwa katikahali ya maumivu makali.Hivyo alimueleza Jaji kuwa

    mfungwa huyo alikuwaakiteswa. Jaj i akaagizakuwa Jaradat achunguzwena daktari, lakini hakunahatua yoyote iliyochukuliwa,aliongeza wakili huyo.

    Maelfu ya Wapalestinawaliandamana wakilaanimauaji hayo katika maeneoya Ukingo wa Magharibina Ukanda wa Gaza. Katikamaadamano hayo watuwawili walijeruhiwa kwakupigwa risasi za motozilizofyatuliwa na majeshi yaIsraeli. Mmojawapo alikuwamtoto wa miaka 13. wenginewengi walijeruhiwa kwarisasi baridi.

    Nje ya jela kul ikw a naaskari wengi wa Israelwakijaribu kuwadhibi t iWapalestina waliokuwawakilaani kufungwa kwaWapalestina wenzao.

    Ripoti ya miezi mitatu(Septemba 2012 hadi Januari2013) iliyotolewa na shirikala misaada kwa wafungwa(Addameer) na Jumuia yaKutetea Haki za Binadamu,inasema kuna jumla yawafungwa wa Kipalestina4,743 katika magereza yaIsrael.

    Ni pamoja na wafungwa 17wasiohukumiwa, miongomwao wakiwemo wabung12 wafungwa kumi ni wkike, pamoja na msichanmmoja chini ya miaka 1Jumla ya wafungwa watoni 193, miongoni mwa21 wakiwa chini ya miak16. Takriban wafungwa 7wamekuwa kifungoni kwzaidi ya miaka 20.

    Ripoti hiyo ya Addameeinasema kuwa katika mudwa miezi mitatu hakun

    hata siku moja iliyopibila ya mfungwa mmoja wKipalestina kugoma kula.

    W a f u n g w a w a w iwasiohukumiwa, SamAl Barq na Hassan Safadwalitangaza mgomo wkula wakati watawala wIsrael walipokataa kutimizahadi yao ya kutorudia tenkifungo baada ya muda wakumalizika.

    Mgomo huo uliendelekupamba moto wakaAyman Sharawna na SamIssawi walipopinga amya kuwafunga tena bila y

    mashtaka, baada ya kuachiliwkatika makubaliano ykubadilishana wafungwyaliyofikiwa tarehe 1Oktoba 2011.

    Tarek Qaadan, JafaAzzidine na Yousef Yassiwalikamatwa katika mudhuu wa miezi mitatu. Nawalitangaza mgomo wkutokula mara tu walipopewamri ya kuwafunga bila ymashtaka.

    Kituo cha Habari chaPalestina (Tanzania)

    MMOJA wa Wapelestina waliouawa na majeshi ya Israel hivi karibuni.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    11/16

    11AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201Makala

    NAKUMBUKA ilikuwam w a k a 1 9 8 5 w a k a t inajiandaa kuingia Chuocha Ufundi cha Karume,nil ipojuana na ZahorAbdalla, ambaye nijuananaye sahibu yangu huyuna ushawishi wake ndioulionifanya nitie mkonokizani na kuamua kwendamsikiti wa Kikwajunikusikiliza darsa za SheikhNassor.

    Nasema hivi kwa sababusiku zile kwenda kwenyemsiki t i huo wa bidailikuwa sawa na kutia mguukanisani!

    Hali niliyoihisi baada yakuhudhuria darsa chachetu za Tafsiri ya Qurani yaSheikh Nassor, sitoisahauhadi mwisho wa uhai wangu.Ni sawa kwamba nilikuwanimesoma Qurani chuonikama walivyokuwa watoto navijana wengi za Kizanzibari.Wakati huo nilikuwa tayarinimebahatika kupata tafsiriya Kiswahili ya Qurani yaSheikh Abdulla Saleh Farsy,lakini akili na moyo wanguulikuwa haujawahi kuhisiadhama ya Qurani na kudirikiwalau kwa uchache utukufu

    na utakatifu wa maneno yaMwenyezi Mungu kamanilivyohisi katika darsa zaTafsiri ya Qurani iliyokuwaikisomeshwa na SheikhNassor.

    Kama utaniuliza mimi, kwauoni wangu Sheikh Nassoralikuwa zaidi ni Ansarul-Qurani kuliko kuwa Ansaru-Sunna kutokana na mapinduzimakubwa ya kiimani nakifikra aliyoyaleta kupitiadarsa zake, yaliyotufanyavijana wa kawaida kamamimi kuelewa kwambaQurani kweli ni Katiba na

    mwongozo wa kivitendowa maisha ya kila siku yaMuislamu.

    Nil ikuwa nikihisi kamam u u j i z a p a l e S h e i k halipokuwa akifafanua ayafulani na kujengea hoja zayale yaliyomo ndani yaaya hiyo kwa kudondoa nakunukuu aya nyingine kadhawa kadha za Qurani, ambazoutadhani zi l i teremshwawakati mmoja na aya hiyo.Na al ik uw a ak il is is it iz ajambo hili kwamba mfasiribora wa Qurani ni Qurani

    Nilivyomjua Sheikh Nassor BachuNa Abdulfatah Mussa

    Iddi, Tehran-Iranyenyewe.

    Si tafsiri ya Qurani tuya Sheikh Nassor iliyoupamoyo na roho yangu halinyengine, lakini pia qiraa

    yake ya Qurani katika Salaza jamaa msikitini mle.Katika mazingira ya wakatiule (ambayo yangalikompaka leo hii katika baadhiya misikiti yetu) ya kusomwaQurani kwa hali ya kuitusina kuidhalilisha na Maimamuwetu wa sala za jamaa, mtualikuwa akistaladhi na kuhisiraha isiyo na kifani wakatiSheikh alipokuwa akiisomaQurani ndani ya Sala. Ningalininaihisi na kupitikiwa nayomasikioni mwangu sautiyenye mahadhi, yenye mvutona taathira kubwa ndani ya

    roho ya qiraa yake, hasa ileya sehemu za maqraa zamwishoni za Suratul Waaqiahna katikati ya Suratu HaamimSajdah.

    Kuna mambo mawil iyalikuja kujitokeza wakatiule, ambayo yalibadilisha ainaya mahusiano na maingilianoyangu na Sheikh Nassor. Lakwanza ni kwamba siku ziledarsa za Sheikh zilikuwazimestawi hasa. Ummamkubwa wa watu, wazee kwavijana, kike kiume, wakubwakwa wadogo, wasomi nawatu wa kawaida walikuwawakihudhuria darsa hizo zaQurani, ambazo mbali naKikwajuni zilifuatiwa pia naza msikiti wa Rahaleo pamojana mihadhara katika msikitiwa Magomeni.

    Ila kulikuwepo na tatizomoja kubwa kuhusiana nauendeshaji wa darsa hizo(pengine kwa zama hizilingeweza kwa kiasi fulanikutatuliwa japo kwa ujumbemfupi wa simu ya mkononi)nalo ni kwamba, pale Sheikhalipokuwa akipata udhuru wakushindwa kufika msikitini

    siku ya darsa, iwe ni kwakuumwa au kutokana naudhuru mwengine, ilibididarsa siku hiyo iakhirishwe.Wakati huo msikiti ulikuwaumefurika, tena basi baadhiya watu wakiwa wametokamaeneo ya mbali wakija hapokwa baiskeli au hata kwamiguu (daladala zilikuwabado). Ha li hiyo il ikuwaikiwatia unyonge wauminiw a l i o k u w a w a m e f i k amsikitini kwa hamu nashauku kubwa, wakiwa na kiuisiyokwisha ya kutaka kupata

    chakula bora cha roho, yaanimaneno ya Allah kutoka kwamtu aliyetunukiwa na Molakipaji cha kuwafikishia watuwakayafahamu. Minongonoiliyokuwa ikijitokeza haponi kwamba, kama Sheikhamepata udhuru ingekuwa

    aula kama angekuwepo mtuwa kutoa walau maa tayassarili watu waliohudhuria darsawasirudi majumbani kwaomikono mitupu.

    Lakini mbali na kuwepotatizo hilo, itakumbukwa piakuwa mnamo mwaka 1988yalifanyika maandamanomakubwa mjini Ungujandani ya mwezi mtukufuwa Ramadhani, baada yaSala ya Ijumaa, maandamanoambayo yalianzia msikiti waMchangani ya kulaani kauliya kikafiri aliyotoa SofiaKawawa, kwenye kikao chasemina ya chama tawala CCMdhidi ya sheria za ndoa namirathi za dini yetu tukufu yaUislamu. Maandamano yaleyalikabiliwa na ukandamizajimkubwa wa vyombo vyadola, ambavyo mbali nakusababisha vifo na kuwatiawatu vilema, ulisababishapia wanaf unz i kadha a wakar ibu na muhimu waSheikh, akiwemo Sheikh SaidSuleiman Masoud (Gwiji),Ustadh Khamis Yusuf,Ustadh Muhammed Suleiman

    na wengineo kukamatwa,kushtakiwa na kufungwajela kidhulma kwa sababuya kushiriki kwao katikamaandamano kuonyeshahisia zao za kulaani kitendokile cha Sofia Kawawa.

    Hali hizo mbili za hitajiola kuwepo mtu au watu wakushika darsa za Sheikhpale anapokuwa na udhuru,na kuondoka wanafunziwake muhimu na wa karibukulimfanya Sheikh aamuekuandaa mkupuo mwenginempya wa wanafunzi wakutoa darsa sambamba nakuwapa fursa wanafunzi haoya kufanya mazoezi ya utoajidarsa na mihadhara msikitinihata katika siku anazokuwepoyeye mwenyewe.

    Ilikuwa wakati huo ndipona mimi pia niliposhikwa

    mkono na kushajiishwa nawenzangu kadhaa tuliokuwapamoja kat ika haraka ti zadaawa, niwe miongoni mwawanafunzi hao. Kwa kuashiriatu niwataje hapa Maustadh(wakati huo) Msellem bin Ali,Ahmad Majid, MuhammedAhmada, Salum Abdulla, AliSaid na wengineo. Kinyumena nilivyokuwa nikijihisimimi mwenyewe, wenzanguhao walinipa moyo sana nakuniambia kwamba ninaouwezo mzuri wa kuwaKhatibu. Huo ulikuwa ndio

    mwanzo wa kujuana kwkaribu na Sheikh Nassor. Kwmuda mfupi sana nilizoeanna Sheikh.

    A l i a n z i s h a d a r s a zmazoezi ya uzungumzaji paSkuli ya Ngambo (Rahalesiku za Jumapili asubuhna tukawa pia na darsa zhifdhi na fiqhi pale msikiwa Rahaleo baada ya Sala yAlfajiri. Kwa kweli SheikNassor alinichunuka sanNakumbuka katika mwakule ule wa kwanza niliingizwkwenye orodha ya Maimamwa Sala za Tarawehe na Wikatika mwezi wa Ramadhapa le msikit i wa RahaleKatika kipindi kile ambapvitabu vya kidini vya lugha y

    Kiarabu vilikuwa adimu mnkupatikana Zanzibar, wakaSheikh alipoletewa nukshchache za kitabu cha FiqSunnah, nilibahatika kuwmiongoni mwa wanafunwachache aliowatunukhidaya ile.

    Kipindi kile cha kaya mwaka 1989 na 199kilikuwa kipindi cha harakakubwa za daawa msikiti wRahaleo ambapo kwa maya kwanza, Sala ya Ijumailianzishwa msikitini hapo nkama ilivyotarajiwa, Khatibna Imamu wake wa kwanz

    akawa ni yeye Sheikh NassoNa ku mb uk a ya li ku wa nmazoea yangu kumpitSheikh dukani kwake paEmpire ili kumjulia halkumuul iza masual i nkupata ushauri wake kuhumambo mbalimbali. Sikmoja aliniambia katika haya kawaida tu kwambAbdul, jamaa msikitinwanasema uanze kupandmimbari pale kwa ajiili ykhutba ya Ijumaa. Na huukawa mwanzo wa kupataufiki ya kuwa mmoja wwanafunzi wake wa mwanz

    kusaidiana naye katika kutokhutba katika Sala ya Ijumamsikitini pale.

    Kwa wanaokumbukwakati ule Waislamu wDar es Salaam walikuwna kiu kubwa ya kumwonna kumsikia Sheikh NassoBachu kwa karibu. Kwba ha ti nz ur i ms ik i ti wQiblatain mjini Dar ulikuwumeanzisha utaratibu wkuwaalika Mashekhe kutoksehemu mbalimbali, kwendkutoa mihadhara msikitin

    Inaendelea Uk. 1

    ALMARHUM Sheikh Nassor Bachu

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    12/16

    12AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201Mashairi/Barua

    VIWANJA VILIVYOPIMWAKONGOWE KIBAHA TOWNSHIP

    REGISTERED PLAN No. 70995 BLOCK H

    PLOT HATUA ENEO MRABA GHARAMA TSH

    H1 50 x 29 1341 Sqm 4,023,000/=

    H2 32 x 32 1136 Sqm 3408000/=

    H3 50 x 30 1470 Sqm 4410000/=

    H4 37 x 30 1115 Sqm 3345000/=H5 50 X 45 2259 Sqm 6750000/=

    H6 33 x 37 1566 Sqm 4695000/=

    H7 60 x 45 2423 Sqm 7269000/=

    H8 50 x 40 1984 Sqm 5952000/=

    H9 67 x 50 3564 Sqm 10692000/=

    H10 70 x 45 2842 Sqm 8526000/=

    H11 90 x 50 3780 Sqm 11340000/=

    Vipo Barabara ya Kongowe-Soga Kilomita mojtoka barabara ya Morogoro.

    Simu No.0755 090 754/0715 090 754.

    WITO leo IKHIWANI, nyote nakutoleeni,Mlo kule VISIWANI, na hapa BARA nyumbani,Lengo tutoke kizani, MIJINI na VIJIJINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    VYOMBO vingi vya NCHINI, hata vya UGHAIBUNI,

    VIMEJAA walakini, kwa HABARI ZA KUBUNI,Jambo hili kwa yakini, NATAMKA HADHARANI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    KWA HABARI ZA KUBUNI, DHIDETU VI NAMBA WANI,Siongei kwa kubuni, mithali nitakupeni,SEPTEMBA kumbukeni, MBILI ZIRO ZIRO WANI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    NDIVYO VILOKUITENI, MAGAIDI DUNIANI,VYOTE siyo vya NCHINI, wala vya UGHAIBUNI,Kwa pamoja VILIBUNI, PROPAGANDA ikawini,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    Yetu KWAVYO tambueni, i duni sana thamani,Kuenzi yetu thamani, cha kwetu tukithamini,Kulikoni na kwanini, chetu tusikithamini,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    ARUSHA nakuiteni, AN-NUUR mada mezani,WITO UZINGATIENI, na MANYARA wajuzeni,KILIMANJARO nendeni, na TANGA uenezeni,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    DAR nakujulisheni, AN- NUUR ni namba wani,WITO UZINGATIENI, na MORO wakumbusheni,Muwe pamoja safuni, KWA HABARI ZA YAKINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    GEITA shikamaneni, AN-NUUR sana someni,WITO UZINGATIENI, SIMIU wabarisheni,SHINYANGA ufikisheni, KWA HABARI ZA YAKINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    IRINGA nakujuzeni, AN-NUUR likamateni,WITO UZINGATIENI, wa MBEYA msiukhini,RUVUMA lipitieni, KWA HABARI ZA YAKINI,

    Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.KIGOMA ninaamini, AN-NUUR kwenu si geni,WITO UZINGATIENI, na RUKWA wanasihini,KATAVI lihuisheni, KWA HABARI ZA YAKINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    LINDI nanyi lisomeni, AN-NUUR kwa umakini,WITO UZINGATIENI, wa MTWARA waumini,Lisiwapite jamani, KWA HABARI ZA YAKINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    MWANZA wa kwetu ji jini, AN-NUUR lienzini,WITO UZINGATIENI, KAGERA kwangu ukweni,MARA wahamasisheni, KWA HABARI ZA YAKINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    TABORA liperuzini, AN-NUUR kwa undani,

    WITO UZINGATIENI, SINGIDA lipitieni,Nanyi DOM lisomeni, KWA HABARI ZA YAKINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    UNGUJA litaliini, AN-NUUR nje-ndani,WITO UZINGATIENI, nanyi PEMBA ikhiwani,Kikoa jumuikeni, KWA HABARI ZA YAKINI,Tusomeni AN-NUUR, kwa HABARI zenye NURU.

    WITO UZINGATIENI, wa BARA na VISIWANI,AN-NUUR lisomeni, MIJINI na VIJIJINI,Khamsashara mwishoni, kalamu naweka chini,KWA HABARI ZA HAKIKA, TUSOMENI AN-NUUR.

    ABUU NYAMKOMOGIMWANZA.

    TUSOMENI AN-NUUR

    N D U G U M h a r i r i ,naomba wasaa katikagazeti letu tulipendalola AN-NUUR naminitoe mchango wangu

    kutokana na hali teteinayoikabili nchi yetuhivi sasa.

    Hayat i Mwal imuNyerere alijenga msingimbovu sana wa nyumbahii iitwayo Tanzania.alikuwa na agenda ya siriya kuwabana waislamukatika elimu na maendeleoyao kwa ujumla. Baadhi yawaislamu walimshitukiawakamkabi l i , lakinihakuwajali rejea ni nyingilitoshe tu sakata la East

    Afrika Muslim WelfereSociety.Mwalimu nyerere

    aliamua kuwashughulikiawaislamu na kuwazima.Hata hivyo kilio cha hakisiku zote huwa kikali sanana hakizimwi mpaka hakiimepatikana. Ndio unaonahata hivi sasa waislamuwamepaza sauti zao zaidikulalamikia hujuma dhidiyao pale Necta, MoU, Oicuongozi N.K Sidhani kamaTume kuhusu matokeoya kidato cha Nne 2013

    itakuwa na la maana sanakiasi cha kubomoa hiyongome ya mfumo Kristokatika elimu.

    K w a u p a n d e w aZanzibar, hali ni hiyokupunguzwa wazanzibarwote viongozi wanasiasawasomi wafanya biasharana wananchi wa kawaidawamesha gundua kuwaNyerere aliwazunguka,akawapora nchi yaohawana mamlaka walasauti juu ya nchi yao. Kila

    jambo lao, kaburi lakeliko CCM Dodoma. Hiindiyo Sababu wanaonawaachwe wapumue.

    Kutokana na hujuman z i t o a l i y o i f a n y i aZanzibar, kamwe nyererehakuvumilia mtu yeyoteahoji muungano. Siri yakeingejulikana kwa wengikama ilivyo hivi sasa.Aibu yeyote aliyejaribuk u h o j i m u u n g a n o ,a l ikwenda na maj i .Mzee jumbe, Maalimu

    Dhambi ya Nyerere yaanza kututafunaSeif ni mifano mizurinyerere hakutoa nafasikwa mawazo mchanyikoyaendeshe nchi kila jamboaamue yeye na wengine

    wote wampongeze! Sifaanazopewa ni za bandiawatu wawe wakweli.

    Mungu ndiye fundiMkuu na Mjuzi, Zamazile zimepita na Nyererehayupo tena. Waislamu waBara na Zanzibar pamojana wananchi wote kwaujumla bado tupo Madaiyapo pale pale: Necta haki,Usawa na Heshima kwaZanzibar watu wanatakanchi yao huru kupitiaMuungano wa Mkataba.

    Dhambi kuu ya Nyerereinakuja hivi: Msimamowake wa kutovumiliamaoni, madai na maombiya Waislamu, Wanzanzibarpamoja na wengineowenye fikra tofauti nazake unaendelezwa naal ichowaaachia dola(Mfumo Kristo) Mpakasasa, hata kama wanaionahatari iliyopo machonipao! Wanaona wakiaddressk i u k w e l i m a d a i y awaislamu na wazanzibarwatakuwa wamevunja

    mfumo wa Nyerere wakudhibitiwa wananchihawa wazalendo wa tangudahari.

    Waona bora washinikizkuletwa FBI ( MOSADk w a m g o n g o wPropaganda ya UGAIDili wazime madai y

    Waislamu, wavuruge kujdola huru ya Zanzibar nIkiwezekana katiba Mpyisipatikane kabla 2015.

    Kina Sheikh Pond

    Azzan, Msellem Al

    Farid. Hawana kos

    lolote hawa ni wazalend

    wa kiwango cha ju

    sana kwa wakati huu w

    dhulma, ukandamizaji nunafiki.

    P r o f . S a f a r i nwachambuzi wote weledw a n a t o a w i t o k w

    serikali iitishe mdahalhuru wa kitaifa, watwote watoe ya mioyontaaluma, falsafa n.k ituende sawa kabla ykuharibikiwa zaidi.

    Makaburu walikubatume ya Upatanishna maridhiano s istuliojifanya Bin Adamsana, tunasubiri nini?

    U t a j i r i w e tunanyemelewa na mbwehTukibadi l ika haraktutanusurika. Wazalend

    wa kweli amkeni sasa.

    Mohamed Mohame- Dar es salaam

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    13/16

    13AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201MAKALA

    Nilivyomjua Sheikh Nassor BachuInatoka Uk. 11

    pale. Maalim Sheikh AliBasaleh pamoja na wenzakekadhaa (baadh i yao

    wameshatangulia mbeleya haki) ndio walioanzishasunna hiyo njema.

    Na kwa n j i a h iyoSheikh Nassor akawammoja wa Mashekhewal ioa l ikwa kwendakutoa mhadhara MasjidulQiblatain. ChambilechoWaswahili mchovya asalihaonji mara moja, baadaya mwaliko wa kwanzauliotoa msisimko mkubwakwa Waislamu wa Dar,Sheikh Bassaleh alikujatena Zanzibar kumwalika

    Sheikh akatoe mihadharakwenye misikiti mitatu yaDar, ambayo ni ya Temekekituo cha mwisho cha basi,Qiblatain na Idrisa. Kwakuwa wakati ule Sheikhalikuwa ametingwa nadarsa, mihadhara na khutbaza Ijumaa alinipendekezamimi n imwaki l i she .I n a v y o o n e k a n asikumwangusha Sheikhwangu, kwani baada yahapo Sheikh Ali Bassalehalirudi tena Zanzibar

    kumpa mwaliko Sheikhkwa mnasaba wa kukaribiamwezi wa Ramadhani,ili kwenda kutoa madaQiblatain kwa mnasaba huo.Sheikh akanipendekezatena kwa mara ya pili. Namara ya tatu Maalim AliBasaleh (Allah amzidishietaufiki ya kuupiganiaUislamu) alikuja kunifuatamimi moja kwa mojakwenda kutoa mhadharamsikiti wa Idrisa kwamnasaba wa Maulidi yaBwana Mtume SAW. Hiyo

    ilikuwa ni mwanzoni mwamwaka 1990.

    K w a h a k i k a h i s i aambazo nilipata ndani yamoyo wangu katika kipindihicho kifupi nilichokuwakaribu na Sheikh Nassor,n i k w a m b a S h e i k halikuwa amejenga imanina matumaini kwangu nahilo likanipa moyo wakujiamini na kuzidishamapenzi yangu kwake.

    Kama mwanafunzi waSheikh Nassor, lilikuwa

    jambo la fahari kwangukuweza kuiga fani nastaili ya uzungumzajiwake katika darsa namihadhara niliyokuwanikitoa. Nakumbuka sikumoja nilipokuwa nimetoadarsa jana yake msikitiwa Rahaleo, tulipoonanaaliniambia; jamaa janawaliniuliza ulikuwepoRahaleo? Nikawaambiahapana, nikahisi kwambakunieleza hivyo ilikuwaishara ya kupendezwa yeyena suala hilo.

    Ni l i vyomjua mimiSheikh Nassor, alikuwamtu wa kawaida kabisakatika tabia na mwenendowake. Hakuwa akijikwezakatu wala hakuwa na tabiaya kujitukuza. Nakumbukasiku moja tulipokuwa nadarsa ya fiqhi msikiti waRahaleo kabla ya Salaya Adhuhuri, wakati waadhana ulipoingia aliinuka

    yeye mwenyewe kwendakuadhini. Wakati waSala ulipowadia akakimukisha akaniambia, Abdulingia. Hili lilikuwa somola kivitendo kwangu juu yatawadhuu, kutojikweza nakujenga imani na moyo wakujiamini kwa wanafunzi,ambalo nilijifunza kwaSheikh Nassor.

    Katika kipindi chotecha karibu miaka 22 tangunilipoondoka Zanzibarsikukata mawasiliano

    yangu na Sheikh. Wakatiwa likizo zangu za kilamwaka nilikuwa nikimpitiakwenda kumjulia halipa le ny um ba ni kw ak eMichenzan i . Waka t im w e n g i n e n i l i k u w anikizungumza naye kwasimu kutoka huku Irann i l iko . Mawas i l i anoyangu ya mwisho na yeyeyalikuwa ya simu miezi

    michache kabla ya kupatastroke i l iyopelekeakutuacha mkono na kurejeakwa Mola.

    Mnamo mwezi Junimwaka jana, nilikwendaDar es Salaam kwenyemaziko na mazishi yamjomba wangu na hiyoikawa taufiki kwangu piaya kwenda Hospitali yaMuhimbili kumwona nakumwaga kwa mara yamwisho Sheikh wangu.

    Sipendi kusimulia hapalahadha i l e ambayoitabakia daima kwenyekumbukumbu zangu.

    Mimi s i mtaa lamuwa uandishi wala sinamazoea ya kufanya hivyo.Kwa kawaida hupendakubainisha hisia zangu kwanjia ya mazungumzo, lakininimehisi niandike hayamachache kumzungumzia

    al Marhum Sheikh NassorAbdulla Bachu, Sheikhwangu na mwalimu wangu

    ili iwe ni tabaruku ya upande

    wangu ya kumkumbuka na

    kulienzi jina lake. Na hasa

    baada ya kukosa bahati

    adhimu ya kuhudhuriamaziko yake kutokana nakuwa mbali na nyumbani.

    Niseme kwamba ilikuwataufiki na fahari kubwakwangu kupata kujuana

    na kuwa karibu na Sheikja po kuwa kw a ki pi ndkifupi, lakini kilichokuwna mengi. Na nimetak

    niyaseme haya hivi sasbaada ya yeye kuondokduniani nikiamini kwambhuu ndio wakati mwafakwa kufanya hivyo.

    Kama alivyo mwanwa Adam yeyote, SheikNassor, naye pia alikuwna kasoro zake na udhaifwake. Yeye hakuwa Mtumwala Malaika. Lakini hivndivyo unavyotufunz

    U i s l a m u , k w a m b

    mwenzetu anapotangul

    mbele ya haki tumkumbuk

    zaidi kwa mema yake.

    Kwa uoni wangu mdog

    wa dini na ufahamu w

    masuala ya daawa Zanziba

    katika zama zetu hizi z

    muongo wa 1980 kujhuku, ninahisi mchangaliotoa Sheikh Nassor kwUislamu Zanzibar ni wnadra kuwahi kushuhudiwmfano wake.

    A l i w a s h a c h e c hmuhimu ya mapinduzya kifikra na kiimani juya Uislamu na Quranhasa ndani ya tabaka

    vijana, tena basi wake kwwaume. Allah amrehemhuko alikotangulia mbeya haki, ampe malazi memkatika maisha ya mpitya Barzakh na amfufupamoja na Bwana MtumSAW (ambaye alikuwa nmapenzi naye makubwana amsamehe makosyake, na atupe mema sipia tunaofuatia baada yakAmin.

    WAISLAMU wakimswalia Marhuum Sheikh Nassor Bachu, Zanzibar.

    Inna lillahi wainna ilayhirajiuun.Taarifa zilizopatikanamwishoni mwa wiki nikwamba mtu mmojaanayeitwa Ali Khamis,ambaye ameelezwa kuwani Imamu wa Msikiti naMkaazi wa Mwakaje,

    Imamu apigwa mapanga ZanzibarNa Mwandishi Wetu,

    Zbara mepig wa ma pa ng ana watu wasiojulikanahuko Kidoto mkoa waKaskazini Unguja.

    Kamanda wa Polisiwa Mkoa wa KaskaziniUnguja, Ahmada Khamis,amethibitisha kutokea kwatukio hilo ambalo anasemalimetokea majira ya saa8:00 mchana huko Kitope,wakati Marehemu akiwa

    shambani kwake.Kwa mujibu wa taarif

    za polisi, inaelezwa kuwImamu huyo alipigwmapanga shingoni nkupoteza damu nyinghali iliyosababisha kifchake wakati akikimbizwhospitali.

    Jeshi la polisi linaendelena uchunguzi wa tukihilo.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    14/16

    14AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 20Makala

    SHUKURANI zote n iza Mwenyezi Mungu naRehema na Amani zimfikieyule aliyeletwa kuwa niRehema kwa viumbe wote,Bwana wetu Muhamad naJamaa zake na sahaba zakewote.

    Ama baada ya utangulizihuu, kwa hakika huruma namapenzi ni alama za Uislamu.Kwa hakika umekuja Uislamuili kupandikiza kanuni zaudugu na kusaidiana watu

    na ili waeneze huruma namapenzi kwa viumbe vyote.Ametuonyesha Allah (sw)

    katika Surat Al Imrami, juuya neema hii inayojulishautukufu wa jambo hili lakueneza udugu na huruma,mapenzi na kusogeleanana kuwa karibu badala yakukimbiana na kunyanyapaana na kuchukiana.

    Amesema MwenyeziM u n g u M t u k u fu , Na

    Huruma na mapenzi ni alama za Uislamu

    Dk. Emad Rabie AhmadMohamed

    shikamaneni katika kambaya Mwenyezi Mungu nyotena wala msifarikiane, nazikumbukeni neema zaMwenyezi Mungu kwenupa le ml ip okuwa ma ad ui ,

    na akaziunganisha nyoyozenu na mkawa ndugu,Hadi mwisho wa aya hiiamebainisha Mtume (S.A.W)mapenzi ya Muislamu kwanduguye.

    Muislamu ni ukamilifuwa imani. Amesema Mtume(S.A.W), haamini mmojawenu hadi apendelee kwanduguye lile analolipendayeye. Na amesema tenaMtume (S.A.W), ogopayaliyokatazwa utakuwamcha Mungu, na ridhia kwaalivyokupa Mwenyezi Munguutakuwa tajiri katika watu.

    Na Mfanyie mema jirani

    yako utakuwa mwenye imanina pendelea kwa nduguyo lileunalolipenda wewe utakuwamuislamu. Hebu tusikieneno la mshairi akifafanuasifa za ndugu wa kweli palealiposema.

    Hakika ya ndugu yakowa kweli ni yule anayekuwanawe, na yule aliye kwa mudaatakukimbia na hatakusanyikana yanayojulisha juu yaumuhimu wa mapenzi kati

    ya Waislamu na nduguye.Kwamba Mtume (S.A.W)

    amekataza ugomvi na chukina kununiana Waislamuna kutokuzungumza zaidiya s iku ta tu , akasema

    Mtume (S.A.W) Haifaikwa Muislam kumnuniaMuislamu mwenzie zaidi yasiku tatu, na mbora wao niyule anayemuanza mwenziekwa salamu. Unahimizasana Uislamu juu ya kuenezamapenzi na huruma kati yaWaislamu, kwamba Muislamuanapompenda Muislamumwenzie basi amwambiekuwa ninakupenda kwaajili ya Mungu. Alikujamtu mmoja kwa Mtume(S.A.W), anasema eweMtume (Mimi ninampendaFulani, Mtume akasemsanenda ukamwambaie juu yamapenzi na huruma hiyo iweni kwa ajili ya MwenyeziMungu Mtukufu.

    Kwa sahihi ya maneno yaMtume (S.A.W), amesemamambo matatu atakayekuwanayo, basi amepata utamuwa imani. Awe anawapendaMwenyezi Mungu na Mtumewake kuliko vitu vingine naampende mtu isipokuwa kwaajili ya mwenyezi Munguhadi mwisho wa hadithi hii

    tukufu.Kama isipokuwa muumini

    na awachukue waharibifuna mafisadi na waovu nayote hayo ni kwa ajili yaMwenyezi Mungu.

    N a k a t i k a h a d i t h iyenye maana hii, yeyoteMwenye kupenda kwa

    ajili ya Mwenyezi Mungna akachukia kwa ajili yMwenyezi Mungu na akato

    mali kwa ajili ya Mwenye

    Mungu na akazuia mali kw

    ajili ya Mwenyezi Mungkwa hakika amekamilikimani.

    WAISLAMU MNATANGAZIWA NAFASIZA MAFUNZO YA UALIMU NGAZI YACHETICHUO CHA UALIMU KIRINJ IKOISLAMIC

    A. SIFA:Muombaji awe na sifa zifuatazo:(a) Ufaulu wa kidato cha 4 usiopunguaalama 27 katika kikao kimoja cha mtihani,asiwe amekaa zaidi ya miaka mitano (5)tangu amalize kidato cha nne.(b) Awe na credits 4 kiwango cha Cendapo amekaa mtihani kwa vikao zaidiya kimoja.(c) Kuhitimu kidato cha 6 ni sifa yanyongeza.

    NAFASI ZA MASOMO YA UALIMU NGAZI YA CHETI 2013/2014

    B. MAELEKEZO MUHIMU KWA WAOMBAJIWOTE1. Fomu ya maombi iambatanishwe na vyeti(leaving and Academic certificates) vya kidatocha 4 pamoja na picha ya hivi karibuni.2. Fomu irudishwe siku ya kufanyiwa usailitarehe 8/6/2013 saa 2:00 asubuhi.3. Vituo vya usaili ni hivi vifuatavyo:(a) Kirinjiko Islamic T.C SAME(b) Ubungo Islamic T.C DSM(c) Nyasaka Islamic S.S. Mwanza4. Majibu yatatolewa kwa watakaochaguliwatu.5. Fomu zinapatikana kwa gharama yashilingi elfu kumi katika vituo vinavyoonekanaukurasa wa 15 katika tangazo la Shule.

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    15/16

    15AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 201TANGAZO

    Waislamu kote nchini mnatangaziwa nafasi za kidato cha Tano kwa shule zifuatazo:

    KIRINJIKO ISLAMIC SECONDARY SCHOOL SAME KILIMANJARO

    NYASAKA ISLAMIC SECONDARY SCHOOL MWANZA

    UBUNGO ISLAMIC HIGH SCHOO L DAR ES SALAAM

    1. Shule hizi ni za Kiislamu zenye lengo la kuwapa wanafunzi taaluma ya hali ya juu na malezi bora ya Kiislamu kwagharama nafuu. Shule hizi ni za mchanganyiko wa wavulana na wasichana na zinapokea wanafunzi wa bweni tu.

    2. Masomo yanayofundishwa ni Islamic knowledge, Combinations za SAYANSI, ARTS, BIASHARA pamoja naCOMPYUTA.

    3. Muombaji awe na Crediti 3 au zaidi na angalau D ya Elimu ya Dini ya Kiislamu katika matokeo ya kidato cha nneIkiwa ana F au hakufanya Elimu ya Dini ya Kiislamu, basi awe tayari kusoma programu maalum ya Maarifa ya Uislamuatakapokuwa kidato cha tano.4. Mwisho wa kuchukua na kurudisha fomu ni tarehe 18 /05 /20135. Fomu za Maombi zinapatikana kwa gharama ya shilingi 10,000/= katika vituo vilivyoorodheshwa hapa chini.

    Arusha - Ofisi ya Islamic Education Panel Jambo Plastic Ghorofa ya 2 mkabala na msikiti Mkuu Bondeni- 0763 282 371/ 0784 406 610

    Kilimanjaro - Moshi: Msikiti wa Riadha 0654 723 418- Same: Kirinjiko Islamic Secondry School: 0784 296424/0655 697 075

    Tanga - Uongofu Bookshop: - 0784 982525/- Mandia Shop - Lushoto: 0782257533

    Mwanza - Nyasaka Islamic Secondary School 0717 417685/0786 417685- Ofisi ya Islamic Education Panel - Mwanza - Mtaa wa Rufiji mkabala na Msikiti Al-Amin

    0785 086 770 Musoma - Duka la Kansolele -Stendi ya zamani sokoni - 0714587193 Kagera - Bukoba: Alhuda Caf Kwa mzee Kinobe karibu na ofisi za TRA. - 0688 479 667 Shinyanga - Msiikiti wa Majengo-0718866869

    - Kahama ofisi ya AN NUUR Karibu na msikiti wa Ibadhi: 0753 993930

    Dar es Salaam - Ubungo Islamic High School 0754 260 241/0712033556- Ofisi ya Islamic Ed. Panel Temeke -Msikiti wa Nurul Yakin 0655144474 Morogoro - Wasiliana na Ramadhani Chale :0715704380 Dodoma - Hijra Islamic Primary School : 0716 544757/0712 325086 Singida - Ofisis ya Islamic Ed. Panel karibu Nuru snack Hotel 0714285465 Manyara - Babati: Shule ya Msingi Hangoni: 0784 667575 Kigoma - Msikiti wa mwanga Kigoma: 0753 355224

    - Kibondo Islamic Nursery School: 0784 442860- Kasulu: Murubona Isl.SS. 0714710802

    Lindi - Wapemba Store: 0784 974041/0786 959663 Mtwara - Amana Islamic S.S 0786 729 973 Songea - Kwa Kawanga Karibu na Msikiti wa NURU 0715 681701/0716791113

    - Mkuzo Islamic High School. 0716 791113 Mbeya - Duka la vifaa vya Kiislamu nje ya Msikiti wa Uyole 0713 200209

    - Rexona Video mkabala na Mbeya RETICO: 0713 200209 Rukwa - Sumbawanga: Masjid TAQWA 0717082 073

    Tabora - Kituo cha Kiislamu Isevya: 0784 944566 Iringa - Madrastun Najah: 0714 522 122 Pemba - Wete: Wete Islamic Education Center: 0777 432331 Unguja - Madrasatul Fallah: 0777125074- Mafia - Ofisi ya ust. Yusufu Ally jirani na msikiti mkuu 0653705627

    6. Pia Fomu zinapatikana kwenye Tovuti: www.ipctz.org. Ikumbukwe kuwa watakaopata fomu kupitia tovuti (download)watatakiwa kuzilipia wakati wa kuzirejesha.

    USIKOSE NAFASI HII ADHIMU WAHI KUCHUKUA FOMU SASA!

    Wabillah Tawfiiq

    MKURUGENZI

    ISLAMIC PROPAGATION CENTRE

    NAFASI ZA KIDATO CHA TANO 2013/2014

  • 7/29/2019 ANNUUR 1060

    16/16

    16AN-NUU

    RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 20

    AN-NUUR16 RABBIUL THAN 1434, IJUMAA MACHI 1 - 7, 2013

    Usikose nakala yako ya

    AN-NUUR kila

    Ijumaa

    IMAMU wa Masjid NuruJijini Mwanza, HamzaOmari , amekamatwana kufikishwa katikaMahakama Kuu Jijinihumo, akikabiliwa namashtaka matatu likiwemola uchochezi.

    Akiongea na mwandishiwa habari hizi kwa njia yasimu Jumatano wiki hiikutoka Mwanza, kiongoziwa Kamati Maalumu yaWaislamu i l iyoteul iwakufatilia tukio hilo, SheikhJab i r Yusuph Katu ra ,amesema Imam Hamzaalifikishwa katika Mahakamahiyo na kusomewa mashtakamatatu.

    K w a m b a k a b l a y akufikishwa Mahakamani,Imam Hamza a l ikuwaameshikiliwa na jeshi laPolisi baada ya kukamatwasiku ya Jumanne wiki hii,akiwa Msikiti wa Ijumaamajira ya asubuhi.

    Alisema kiongozi huyo

    wa Waislamu Jijini hapo,alipelekwa Mhakamani sikuya Jumatano wiki hii, kishakusomewa mashtaka matatu.Hata hivyo alikumbuka

    Imam Hamza akamatwa Mwanza

    Sheikh Jabir Yusuph Katura

    Na Bakari Mwakangwale mashta mawili tu, kuwa niuchochezi na kuhalalishakuuaa Makafiri akiwa katikaMsikiti wa Thaqib, JijiniMwanza.

    Sheikh Katura, alisemakwamba baada ya kusomewamash taka , mwendesham a s h t a k a a l i i o m b aMahakama kutompatia Imamhuyo dhamana kwa madai yausalama wake.

    Kesi hiyo imeahirishwa

    hadi Machi 3, mwaka 2013.Shkh. Katura, alisema

    kufuatia hali hiyo wapokatika mchakato wa kumpatawakili atakayesimamia kesihiyo na masuala mazimaya kisheria juu ya mashtakahayo.

    Taarifa zaidi zinasema,kwamba Imam Hamza,al ichukuliwa Msiki t in ihapo, akielezwa kwambaanatakiwa kituo cha Polisicha kati kwa mahojiano naPolisi.

    Baada ya waumini kuonaImam huyo harejei, iliundwakamati chini ya Shkh. Jabiri

    Katura, aliye Imam Mkuu waMsikiti wa Ijumaa, Mwanza,kwa lengo la kufat i l iaPolisi na kujua sababu zakukamatwa kwake.

    MAHAKAMA ya Wilayay a M wa n a k we r e k wei m e o m b w a k u i f u t ak e s i i n a y o w a k a b i l i

    viongozi wa Jumuiya yaUamsho na Mihadharaya Kiislamu Zanzibar(JUMIKI), kutokana nakuchukua muda mrefubila ya ushahidi wakekukamilika.

    Wakili wa washitakiwah a o , S a l u m T o u f i k ,a l i m u o m b a h a k i m uanayesikiliza kesi hiyo,Ame Msaraka Pinja, kuwakutokana na taratibu zak imahakama, hususankatika makosa ya jinai, kesiinapokuwa imefikia kuanziamiezi mitatu na kuendeleabila yaupelelezi kukamilika

    Mahakama yaombwa kuwaachia huru viongozi wa UamshoNi kwa kushindwa kukamilika ushahidi

    Alghaithiyyah, Zanzibar Mheshimiwa mimi nahisini muda mrefu sasa watejawangu wapo rumande nakesi kila siku upelelezihaujakamilika. Naiombamahakama yako tukufu

    iangalie sheria na kanuniili iweze kuifuta kesi hii,alisema Towfik.

    Kesi hiyo inayowakabiliviongozi hao wakiongozwana Sheikh Farid Hadi Ahmed,ambao wanadaiwa kutendakosa la uchochezi na kufanyafujo kinyume na kifungu cha45 (1)(a) na (b) cha sherianamba 6 ya mwaka 2004,walifikishwa tena katikamahakama hiyo mapemawiki hii.

    A w a l i u p a n d e w am a s h a t a k a u l i o m b amahakamani hapo muda zaidiwa kuendelea na upelelezi

    Upande wa mashatakaukiongozwa na Khamis Jafar,umeiomba mahakama kuwapamuda zaidi wa upelelezibaada ya upande wa watetezikuiomba mahakama hiyokuifuta kesi hiyo kutokanakwa kuwa kimepita kipindikirefu pasipo upelelezikukamilika.

    Hata hivyo, hakimu wamahakama hiyo aliiahirishakesi hiyo hadi Machi 19mwaka huu, itakapoitishwakwa ajili ya kutajwa nawashitakiwa kurejeshwarumande hadi tarehe hiyo.

    Ukiacha Sheikh FaridHadi, washtakiwa wenginekatika kesi hiyo ni MselemAli, Mussa Juma, AzzaKhalid Hamdan, SuleimanJuma, Khamis Ali na HassanBakari.

    alidai mahakamani hapokuwa washitakiwa haowakiwa ni wahadhiri kutokaJumuiya ya Uamsho naMihadhara ya

    K i i s l a m u , w a l i t o amatamko ya uchocheziyanayoashiria uvunjifuwa amani na kusasabisha

    fujo, maafa mbalimbali namtafaruku kwa Serikali yaMapinduzi ya Zanzibar nauharibifu wa mali za watuna serikali.

    Wakati huo huo kesinyingine inayowakabiliviongozi wa Jumuiya hiyo,ilitajwa mbele ya hakimumpya baada ya HakimuMohammed Ali Shein kujitoakuisikiliza.

    Hakimu Shein alijitoak u s i k i l i z a k e s i h i y oa m b a p o w a s h t a k i w awanatuhumiwa kufanya fujoDesemba 27 mwaka jana.Kesi hiyo inayowakabili

    wenzake sita, ilifunguliwk a t i k a M a h a k a m a yMwanakwerekwe mjinZanzibar.

    Sasa kesi inasikilizwna Hakimu wa WilayKhamis Rashid, ambapwashitakiwa wanne wako nkwa dhamana na watatu bad

    wako mahabusu kutokana nkesi nyingine inayowakablWashitakiwa watatu

    yaani Masheikh FariHadi, Juma Suleiman nMussa Juma walipelekwmahakamani katika kehiyo wakitokea mahabuskufuatia kukabiliwa na kenyingine Mahakama Kuu yVuga, ambayo dhamana yaimefungwa.

    K e s i h i y o yMwanakwerekwe inatarajiwkutajwa Machi 4 na 5 na iya Mahakama Kuu itaendelekatika Mahakama ya Vug