16 - Shujaaz.FM - Chapta 16
-
Upload
well-told-story -
Category
Documents
-
view
503 -
download
12
description
Transcript of 16 - Shujaaz.FM - Chapta 16
inspiring kenyan youth
web fm sms comixchapta 16not for sale
Team gani ilishinda 2010 Kenya Premier League?
Last World Cup (2010) ilichezwa kwa country
gani?
Dennis Oliech anachezea Auxerre ambayo ni club
iko country gani?
Football game ya tournament iko na substitutions
ngapi?
Emanuel Adebayor wa Real Madrid ni wa country
gani Africa?
Bob Mugali, player wa Harambee na Sofapaka, ni
origin wa country gani?
AHA! kama unapenda futa kunIlIko, jarIbu
hII quiz yangu!good luck!
1. Ulinzi Stars2. South Africa3. France4.35. Togo6. Congo
maswali
MAJIBU:
1.2.
3.
4.
5.
6.Cheki majibu chini
Man Like Kalito!
3
4
5
6
Pata info juu ya kufuga
kuku kwa page 9
7
KuKu ni biz Poa ya Kufanya Kando:
1. unaweza fuga kienyeji, hybrid, broilers ama layers.2. Kama unataka kienyeji, unaweza nunua kwa jirani ama rafiki mwenye tayari anafuga.3. Kama unataka za grade, unaweza nunua kwa: • Muguku • ideal[Sigma] • Kim [wako nakuru] • Kenchic Hawa hu-provide kuku yenye ni 1 day old na ina-cost kshs 60 kwa chick moja. ya kienyeji moja ni kshs 80.4. ongea na agrovet aliye karibu na wewe juu ya risto za dawa za kuku.5. Hizo kuku unaweza uzia supermarket, hoteli, duka, butchery na ma-customer wengine.
Kama hauna space ya kuweka kuku kwa saa hizi, ongea na beste mwenye ana ka-ploti akuwekee
umpatie commission ausio?!
na kuku zote Kenya hutaga mayai 1.3 biLLion kwa
mwaka…yaani, ukizipanga side by side zote, zitazunguka dunia
mara mbili!!
Hebu fikiria: Kuku 3 layers,
zinaingiza kshs 500 kwa mwezi!
Biz ya kuku ndio imefikisha
Eunice penye ako saa hizi! Imagine thao kwa wiki! Kuweni wajanja!
Hebu try hii idea u-show DJ B kwa
3008!
EunicE Mainabase: Ruai
Wax: Radio Producer … lakini
kandokando, anafuga kuku…
Tangu nikuwe mtoi, nilitaka sana ku-do job ya radio. Lakini sikuwa na dooh za fare na ku-hustle. nilikuwa
na savings kiasi, nika-omba wazazi kuku moja. Then nika-buy zingine
mbili. Hizi kuku ndio zimefanya ni-achieve dream yangu ya kuwa
Radio PRoducER.
niliamua nifuge kuku za kienyeji juu hazina job mob.
Saa hizi nina kuku 65. Kwa wiki, mayai zinaingiza 1000, kukiwa
na sherehe, kuku wa nyama wanaleta kama 6,000!
ni biz poa, na imeniwezesha ku-hustle. Pia nikiwa na emergency,
najua kuna dooh iko spare place flani. Si ati ni risto za ocha, ni ujanja!
Mifugo itakuinua, na itakupeleka kwenye unataka.
8
9
Afya Yako, Haki Yako!
10
11
MALKIA!
Unaletwa kwa hiii hospitali ya wananchi na uko na
health insurance?!
Hapa hauwezi-treat-iwa vizuri! Wacha nikupeleke kwa private
clinic my daughter.
NURSE!! Kuja unisaidie kumbeba mtoto wangu
nimtoe hapa!
hospitaliuko na
Hapa hauwezi-treat-iwa vizuri! Wacha nikupeleke kwa private
KU-DUFF!!
12
Si uharakishe, hauoni mtoto wangu hajahudumiwa?! Heee! Mtajipanga!
At least tume-manage kuja kwa clinic. Doctor wa hapa ni mzuri sana,
atakupatia very good treatment.
Aki mum kwa ile hosi, hawakuwa wananiskia!
Nilingoja 3 hours kabla daktari afike. Hakunipima,
nurse amenitukana…
eh!wewe tena!
13
Pole sana Stella. Nilikuwa held-up kwa ile hospitali ya
wanachi. Lakini nimefika, hakuna kazi ya maana huko!
Mum, huyu ni yule daktari wa
ile hosi!
Shhh!
Hehe, em, er, sorry daktari, unajua watoto
siku hizi wanapenda kuongea ovyo ovyo…hehe
No problem Stella, naelewa ni madawa
zinamsumbua.
Thank you daktari. Umetusaidia sana. Labda tunaweza patana baadae
tukunywe kahawa au juice?
Ni sawa Stella. Ok, mkihitaji anything, nipigie simu anytime, 24 hours.
Unaezaje ongea hivyo mbele ya daktari? Haujui
yeye ni a very respectable professional?!
14
wananchi.
Niko lucky nina insurance, sasa wale wamebaki kwa public hospital sijui kama walihudumiwa? Wacha
niambie DJB vile ni lazima tu-demand better services kwa hosi zetu!
ya kujua ni ugonjwa gani umepatikana nayo, na ni matibabu gani daktari ana plan kukupa, na matajario ya daktari kulingana na matibabu.ya kuhudumiwa kwa vipoa bila kutukanwa au kudhulumiwa
KaMa uMEdHuLuMiWa HoSi:
0204343074 0728310983 0733689320 [ulizia alice]
Pata info zaidi juu ya hawa wasee kwa
web: www.cfk.unc.edu
Morris Moses foundation ni organization ambae nahimiza wasee wajue haki zao juu ya matibabu kwa hosi.
Medical Practitioners & dentists boardWoodlands Road , P.o box 44839 – 00100 nairobi
Tel: 0722631601
omba copy ya file yako ya matibabuandika barua na complaints zako na u-include copy ya file yako kwa:
Tuma copy ya hii complaint kwa
ili wakusaidie kufuatilia kesi yako.
Pia unaweza kuenda kortini na complaint yako!
usiogope kufuatilia haki yako! Pata info zaidi kutoka Morris Moses foundation:
una RiGHT:
uLiza quESTionS KaMa HauELEWi info aMbayo uMEPEWa KWa HoSi.
15
Wow! Congrats DJ B, people lyk u ought 2 live long. U r an inspiration n admiration 2 many. Thanx 4 ur articoz n creativity. BIG UPS 2 YA ALL. Love ya big!
Manze mna idea noma sana. Imagine nina 1 month tangu nianze kusoma hizi comic zenyu na zimenibenefit tu sana, so keep it up coz zita change Kenyans sana. If zingewafikia wasee wote na wasome, tunge-live in a new Kenya without tribalism. Chaoos! - Mary. *
DJ B u have changed ma life! The magazines zimeni-inspire so I will think of ideas n send it to u on Facebook. - Dicky, Kisii.
Niaje DJ B! Radio show yako imeni-teach lessons kibao na many have bin assisted especially ya traibo. Otherwise show iko fine. - Billow Abdi.
DJ B nimepata iyo stori ya rabbit kwamba naeza kuget chedaz, manure na
food kwa rabbit nita-spread gospel tuweze kujisaidia. - Marleen.
Nawa-thank sana kwa ku-start huu mradi wa kusaidia mayouths. Mimi
hufuga kuku wa kienyeji na bizna hii imeniinua sana. - Juma, Kibera.*
Niaje Boyie, show yako imeni-assist na nimeacha kugej nimeanza project ya kukeep rabbits . - Josef Mugo, Baricho.*
Niaje DJ B, mimi nafuga sungura na inani-benefit coz natumia tym yangu free viruzi kuzichunga na inanipa doo na food.
Hi DJ B, thanx alot nime read chapta 14 na iko mez poa kwa wasee kuhusu ukabila. Ope wata-change. - Monica Wambui.
Hapo sawa. Beauty is not seeing which tribe she belongs to plus the skin colour. Beauty is in some1’s heart n how both of u feel about each otha. - Humphrey Karanja.
Naona all the issues about tribalism almost 90% zinaletwa na ma-leaders wetu. Solution ni..mayuth waache kudanganywa na ma-leaders. - Brayo. *
For me, I would just follow what my heart tells me...shida ina-last lakini doo ni kitu utaspend iishe. Jiamulie ukijua kuna consequence! - Wendie Agumba. *
DJ B, gej inasumbua mayuts wetu huku mtaani. Machief wetu wakitake fast action, mayut watasaidika na familia zetu. - Brian Onyango, Tasiaa.
Big-Ups To Shujaaz!
traibo!
Kufuga Kuku Na Sungura!
Unaweza Marry Kutoka Tribe Different?
Leaders Wasituhonge Tuki-Speak Out!
Story Za Alcoholism
FacebookDJ Boyie
SMS3008
Shujaaz
Vila Joy WambuiAka: TashaBase: Embu14 years
Chuo kwetu kulikuwa na madem wengi wana-harass-iwa na hawana place ya ku-report. Nilisoma juu ya
harassment in schools kutoka ShujaazFM comic. Hapo ndio niliamua kuanzisha
counselling club. Nilibonga na ma-teacher na nikaanzisha hii club.
Hii club inasaidia madem wengi huku Embu. ShujaazFM ime-help mayuts wabonge freely juu ya issues zao.
= t-sho winners!
Asanteni sana kwa
feedback yenu. Big up kwa winners wa
T-sho!!
Shujaaz FM radio show imeshinda award noma kutoka One World Media!
Big up kwa wasikilizaji wote! Endeleeni
kusikiliza!
16
Wow! Congrats DJ B, people lyk u ought 2 live long. U r an inspiration n admiration 2 many. Thanx 4 ur articoz n creativity. BIG UPS 2 YA ALL. Love ya big!
Manze mna idea noma sana. Imagine nina 1 month tangu nianze kusoma hizi comic zenyu na zimenibenefit tu sana, so keep it up coz zita change Kenyans sana. If zingewafikia wasee wote na wasome, tunge-live in a new Kenya without tribalism. Chaoos! - Mary. *
DJ B u have changed ma life! The magazines zimeni-inspire so I will think of ideas n send it to u on Facebook. - Dicky, Kisii.
Niaje DJ B! Radio show yako imeni-teach lessons kibao na many have bin assisted especially ya traibo. Otherwise show iko fine. - Billow Abdi.
DJ B nimepata iyo stori ya rabbit kwamba naeza kuget chedaz, manure na
food kwa rabbit nita-spread gospel tuweze kujisaidia. - Marleen.
Nawa-thank sana kwa ku-start huu mradi wa kusaidia mayouths. Mimi
hufuga kuku wa kienyeji na bizna hii imeniinua sana. - Juma, Kibera.*
Niaje Boyie, show yako imeni-assist na nimeacha kugej nimeanza project ya kukeep rabbits . - Josef Mugo, Baricho.*
Niaje DJ B, mimi nafuga sungura na inani-benefit coz natumia tym yangu free viruzi kuzichunga na inanipa doo na food.
Hi DJ B, thanx alot nime read chapta 14 na iko mez poa kwa wasee kuhusu ukabila. Ope wata-change. - Monica Wambui.
Hapo sawa. Beauty is not seeing which tribe she belongs to plus the skin colour. Beauty is in some1’s heart n how both of u feel about each otha. - Humphrey Karanja.
Naona all the issues about tribalism almost 90% zinaletwa na ma-leaders wetu. Solution ni..mayuth waache kudanganywa na ma-leaders. - Brayo. *
For me, I would just follow what my heart tells me...shida ina-last lakini doo ni kitu utaspend iishe. Jiamulie ukijua kuna consequence! - Wendie Agumba. *
DJ B, gej inasumbua mayuts wetu huku mtaani. Machief wetu wakitake fast action, mayut watasaidika na familia zetu. - Brian Onyango, Tasiaa.
Big-Ups To Shujaaz!
traibo!
Kufuga Kuku Na Sungura!
Unaweza Marry Kutoka Tribe Different?
Leaders Wasituhonge Tuki-Speak Out!
Story Za Alcoholism
FacebookDJ Boyie
SMS3008
Shujaaz
Vila Joy WambuiAka: TashaBase: Embu14 years
Chuo kwetu kulikuwa na madem wengi wana-harass-iwa na hawana place ya ku-report. Nilisoma juu ya
harassment in schools kutoka ShujaazFM comic. Hapo ndio niliamua kuanzisha
counselling club. Nilibonga na ma-teacher na nikaanzisha hii club.
Hii club inasaidia madem wengi huku Embu. ShujaazFM ime-help mayuts wabonge freely juu ya issues zao.
= t-sho winners!
Asanteni sana kwa
feedback yenu. Big up kwa winners wa
T-sho!!
Shujaaz FM radio show imeshinda award noma kutoka One World Media!
Big up kwa wasikilizaji wote! Endeleeni
kusikiliza!
17
MCHONGOANO
SHENG DICTIONARY
* idda dickson umeshinda T-Sho kwa ku-contribute sheng noma!
arosto - Sotachiwawa - dogibakubaku - bag*Gathemba- father - “Gathemba wa charlie Pele anaamini utraibo.”Gafe/ngiai - chai* - “nimekunywa ngiai na mandazi kwa Mama Kago.”Lapa - danganya ngeso – English - “Si unajua chuxx hakuwangi poa risto za ngeso!”njweta - Sweta*Mongiso/aK- RifleMguu ya kuku- Pistolombitho- bangiPara - Kofia*Tonje- Laptop
Shuj
aaz(
TM) i
s pu
blis
hed
by W
ell T
old
Stor
y Lt
d. ,
P. O
. Box
170
0 00
502
Nairo
bi, K
enya
. Tel
: 02
0260
3214
ww
w.w
ts.c
o.ke
. Prin
ted
by C
olou
rprin
t Lim
ited,
P. O
. Box
444
66 -
0010
0 Na
irobi
GPO
. Pro
duce
d in
col
labo
ratio
n w
ith: S
afar
icom
, Tw
awez
a, R
IU.
Dist
ribut
ed b
y Sa
turd
ay N
atio
n an
d Sa
faric
om.
Cont
ent p
rodu
cer:
Audr
ey W
abw
ire
Cont
ent:
Paul
Pet
er K
ades
| Vi
ncen
t Mut
hini
| Da
vid
Oum
a
Art P
rodu
cer:
Fatim
a Al
y Ja
ffer
Lay
out
desi
gn: S
tefa
nie
Frec
cia
| Joe
Bar
asa
Ar
t: Da
niel
Mul
i | E
ric M
utho
ga |
Salim
Bu
suru
| No
ah M
ukon
o | J
oe B
aras
a R
adio
: Eun
ice
Mai
na
Spe
cial
than
ks to
Jus
t A B
and
for t
heir
fant
astic
mus
ic o
n Sh
ujaa
zFM
radi
o
Wel
l Tol
d St
ory
© 2
011
All r
ight
s re
serv
ed. N
o pa
rt of
this
pub
licat
ion
may
be
repr
oduc
ed, s
tore
d in
any
retri
eval
sys
tem
or b
e tra
nsm
itted
in a
ny fo
rm o
r by
any
mea
ns, e
lect
roni
c or
mec
hani
cal w
ithou
t prio
r per
mis
sion
of t
he
publ
ishe
rs. A
lthou
gh e
very
effo
rt ha
s be
en ta
ken
to e
nsur
e th
e ac
cura
cy o
f inf
orm
atio
n co
ntai
ned
in th
is p
ublic
atio
n, in
no
even
t sha
ll th
e pu
blis
hers
be
liabl
e fo
r any
inci
dent
al, i
ndire
ct, c
onse
quen
tial l
osse
s or
dam
ages
of a
ny
kind
with
out l
imita
tion
aris
ing
out o
f or i
n co
nnec
tion
with
the
use
of th
e in
form
atio
n in
this
pub
licat
ion.
18
una kichwa kikubwa hadi ukisimama at a distance mtu anadhani ni sign board ya lollipop. - ashley Peter
Wewe ni mchafu hadi una mashilingi kwa roho. - Raul G Machariaz
una siz mnono hadi chali yake humshow “u are two in a million”.
una sura mbaya ukicheka watoi wanalia! - ann Karendi
Kwenu shagz ni slopey hadi doggy hu-bark kaa zime-cling kwa mandizi. Linikony Gatimu
Shosh yenyu ni mzee hadi birth certificate yake isha kuwa diploma.
Mbuyu wako amesota hadi mlipovamiwa alitumia police ‘please call me’.
Kwenu mko wengi mpaka unatumia megarider kuingia.
Wewe ni expert wa ku-beep wengine mpaka ukibeep simu hujiandika“almost a missed call”!
nyinyi ni wengi hadi mtoi wenyu wa mwisho anaitwa “etc”.
ati wewe ni mjinga, ulipanda mti ndio ukue branch manager. - collins njite
j.k tumeshinda hapa two hours na tuko na points mbili
pekee. hii assignment tutaimaliza leo?
ile website tulipata ilikuwa na points mob ukazikataa. sasa
it’s almost usiku.
hizo zilikuwa story za wasee wa america,
hazi-apply hapa.
i wish tungeweza kupata mtu
ameenda campo hapa atu-show
hizi story.
sasa maria kim
na j.k.? nimesikia mkiongea. kuna msee najua
anaweza kuwasaidia. naweza kuwapeleka
kwake.
ah, edna! utakuwa umetusaidia
sana, twende!
cindy, natoka mapema kidogo. si ikifika 7.30
ufunge cyber?
hakunanoma. tuchekiane
kesho!
Najua mimi ni orphan, na nime-grow-ia ghetto, lakini siwezi stand story za corruption. Niko ready kwa any challenge!
Beste Wa Elimu
19
huyu msee alini-show ati ali-graduate two years ago. unajua nilimaliza high
school sasa nangoja kuenda university kusomea
architecture.
so huyu msee alisema niki-get time
nimuone anishow stori za uni.
time kama hizi yeye huwa pale
eh, lazima nisaidie johny asome apite,
asiwahi fanya kazi kama hii.
poa.
NImekuja na mabeste zangu utu-show vile UNI kulikuwa.
oh! aaah...
chuxx?
chuxx!
oh, mnajuana?
sasa?
20
mimi sikudhania ati umewahi
kuona mlango ya uni.
hehe! so mnatakaje?
tuna-do research on “benefits of
going to university”, tungependa utu-help.
oh... benefisss...beneffff... benefists? nitawashow!
campo tulikuwanga tunakatika! bash kila
weekend! tulikuwa tunaletewa ma-dj wanoma nakuambia! madem kibao.
Kuku dance jo!
ulifanya course gani?
ah, wewe nawe! nani hukumbuka
course alifanya? acha niku-show... 21
Tilikuwa tunawasha
tuki-get dooh za student loan! Gej ilikuwa ina-flow
kama rive!
chuxx!! acha mchezo!
tuambie ukweli!
umm...
ok. ukweli sikuenda campo. nili-fail exams
primo, hata sikuenda university.
ni cousin yangu alikuwa uni,
ndio alikuwa akini-invite kwa
ma-bash.
nikiwa primo books zilikuwa zinanilemea. sikuwa na-understand.
nili-try kutafuta usaidizi...
22
ma odijo wako busy...
Mbuyu hakuwa na interestteacher, i have
a question about this problem. i don’t
understand...
not now, nduma. i’m busy marking the exams, ok?
dad, kuna hii project ya shule... unaweza kunisaidia
kuifanya...
nduma, mimi sina time ya hizo vitu za chule. unaona hii chamba yote inafaa ilimwe kabla mvua
ianze?
kama tu ningepata mtu wa
kunisaidia na my school work, ningeenda mpaka campo na saa hizi life
yangu ingekuwa different sana.
Sikujua kusoma inaeza
kuwa hard hivyo. Haikuwa
fault yako!
thanks...
life yangu imekuwa hard, lakini ukinipa hug moja tu nitakuwa poa...
get your hands off
me!
oh, puliiz! hebu
twende! hey, mimi ninaishi hapa. si tuonane
kesho basi?
sawa. good night!
kumbe ni poa kusaidia mtoi ako shule. Imagine Chuux angepata extra
help, angeendelea tu poa na masomo.
eeeish!
23
Lazima tufanye more kusaidia watoi wa hii area yetu na
masomo.
thanks kunifikisha home. tuchekiane
kesho cyber!
this sato ninasaidia bryo
ku-learn multiplication.
Hii homework lazima tumalize pamoja.
Bryo, uki-multiply unaweka hivi kando, halafu unaanza
kuhesabu. Na nyinyi ingieni hapa tusome
together...
Unafanya nini
kU-improve
elimU ?
rafiki wa elimu ni group yenye ina-involve wasee wote mtaani, wakuwe na interest kwa quality ya elimu.
Vitu ndogo kama kusaidia watoi na homework inaweza change future yao. Hivi ndio mayuts tuta-change quality ya elimu Kenya.
KuWa RafiKi Wa ELiMu ndio: upate chance ya kuuliza maswali juu ya quality ya masomo ya area yenu kwa church, mosque ama community meetings. ukuwe na info zaidi juu ya vile education system inaendelea kwa area yenu.
Msee yeyote anaweza join rafiki wa elimu.
download form kwa www.uwezo.net na uitume kwa
P. o. box 10565-00100 nairobi.
ama sms kwa 3016.
facT: System yetu ya education ina shida kadhaa.
LaKini: Education ni responsibility yetu sisi wote. Kuwa beste ya elimu.
DJ B Ambia wasee wakuwe beste ya elimu, badala ya ku-complain kila
wakati!
24
...halafu na-get
ball mpya...
...plus njumu poa za ball...
...jersey ndio hiyo!
...pia na-buy
tractor!
...hata naeza buy
ndege!
aki siwezi ngoja!
na hii dooh yote... utapata
wapi?
sweet potato zimeiva! twende
tuzicheki!
Majuju Za Sangoma Tena?!
25
sasa taabu...
watasikizana aje? wataishi
aje?
hm...
labda niende
kwa wale jirani...
tukizingumza, labda tutapata suluhisho...
njia ya kusaidia watoto wetu...
mtego! bila shaka, maadui wangu
wanadhani wamenipata! lakini WAPi!
hahaha!
lakini... hii ni mtego ya aina
gani wameniachia?...
sio shimo la nyoka...
...na sio cage kama ya ndege...
labda ni...
anataka kuoa msichana wa
kabila ingine...
haiya!
sangoma saidiaaaa...
oho! charlie
amefurahi kweli kweli!
tazama sasa baba charlie, ambaye
wakati uo huo,
anaelekea nyumbani...
26
...nikaona hii shimo njiani kama trap
inaningojea...
...nilikuwa natembea
hivi...
nakuuliza, sangoma, hii ni uchawi
gani hii?!?!?!
kweli...
...ni karne mingi tangu nione uchawi
ya hii kiwango...
...naombea nguvu za kuikinga
inavyostahili...
27
muda si muda, charlie na rosie wanafika shambani!
...labda hata tunaweza kuonja
sweet potato moja saa hii...
aaaaaah! sweet potato
zote zimeharibika!!!
usijali, charlie--
uncle atakusaidia...
ndoto zangu...!
28
ulikuwa umeziacha shambani sana...
niliziacha hapa kwa sababu niliambiwa ukizitoa
mchangani ndio zinaoza
haraka...
hiyo ndio sababu sasa zimeoza...
naweza kukuonyesha
method yenye mimi natumia ku-store sweet potatoes ili zisioze shambani...
method yangu
inazikawisha...
kuja nikuonyeshe...
29
mnafanya nini?!?!?!?!
kanyanga yote,
sangoma!!!
hizo ni sweet
potatoes zangu!!!
...sema nini?
lipeni!
kujeni hapa
mnilipe!
Mnakumbuka vile tulipanda new variety
sweet potatoes? Cheki Chapta 5
www.shujaaz.fm
2. Weka nyasi imekauka ndani ya hiyo shimo. Hii nyasi itakuwa kama cushion ya sweet potatoes, na pia inanyonya moisture kwa shimo ndio sweet potatoes zisi-spoil.
1. chimba shimo kwa mchanga, penye maji haiwezi fikia.
3. Sasa panga sweet potatoes zako zote hapo ndani. Then, zifunike na nyasi imekauka.
4. Jazilia hii shimo na mchanga.
5. Mwishowe, jenga roof thatched [ile ya nyasi] ili pawe cool, pasipigwe na jua. Hiyo space imebaki katikati ya roof na mchanga ni ventilation.
TRy Hii idEa na u-SHoW dJb KWa
3008!
Usiache sweet potatoes kwa shamba
kama zimeshakuwa, zitao-za, zitakulwa na wadudu,
na utapata hasara. Jenga store kama yangu
na uta-make dooh juu utauzia wasee
during low season!
30
Art Kona
Abdullahi Ismail, 18 yrs from Huruma
Nancy Chalagat, 18 yrs from Rongai
Yohaan David
Asanteni sana kwa wale wote
walituma art work. Mko juu tu sana!
Wote mtapata t-sho!