Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa...

50
Welcome to the Longman Kenya schemes of work We are delighted to bring you Kiswahili schemes of work ready for use. The Kiswahili schemes of work are in line with our mission which is to make your work easy so you can focus on the business of teaching. While preparing these schemes, careful consideration was given to the need to make your classes innovative, lively and inspiring. The Kiswahili schemes cover the entire secondary cycle, from form 1 to 4. You will need to scroll down the CD to get to your specific subject area. The subject areas are arranged alphabetically. We do hope you will find the suggested activities and resources motivating and in line with the curriculum requirements. The schemes are a guide and you should adapt them to suit your particular circumstances. The Kiswahili schemes of work are based on the following tried and tested Longman Kenya textbooks and supplementary books: Textbooks Hazina ya Kiswahili Kidato 1-4 Reference Books Marudio ya KCSE ya Kiswahili Zilizala na Kimani Njogu (New) To make the most of the schemes you need to have the books listed above.

Transcript of Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa...

Page 1: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

Welcome to the Longman Kenya schemes of work

We are delighted to bring you Kiswahili schemes of work ready for use.The Kiswahili schemes of work are in line with our mission which is to make your work easy so you can focus on the business of teaching. While preparing these schemes, careful consideration was given to the need to make your classes innovative, lively and inspiring. The Kiswahili schemes cover the entire secondary cycle, from form 1 to 4. You will need to scroll down the CD to get to your specific subject area. The subject areas are arranged alphabetically.We do hope you will find the suggested activities and resources motivating and in line with the curriculum requirements. The schemes are a guide and you should adapt them to suit your particular circumstances.The Kiswahili schemes of work are based on the following tried and tested Longman Kenya textbooks and supplementary books:

Textbooks Hazina ya Kiswahili Kidato 1-4

Reference Books Marudio ya KCSE ya Kiswahili Zilizala na Kimani Njogu (New)

To make the most of the schemes you need to have the books listed above.

We know that in this new era of multi-media technology the needs and expectations of your learners are constantly changing, and we aim to provide inspiring, innovating and high-value books that will keep them interested. Whatever your subject area or interest Longman Kenya has something for you.We look forward to supporting you and your learners over the coming years and hope you enjoy using our schemes of work.Do not hesitate to contact me for any clarifications.Best wishes

Jacob Macharia

Page 2: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

Sales Manager, Longman KenyaTel: Mobile – 0724 159770 Office – 020 2219177

Page 3: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

MUHULA 1KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

1 1 Ufahamikiaji Utangulizi wa Somo. Lugha ni nini?

Aweze kutaja na kueleza sehemu muhimu za somo la Kiswahili

Kujitambulisha Hazina ya Kiswahili Kidato 1Ukurasa wa 1

Kitabu

2 Kusikiliza na Kuongea

Matamshi bora- KiimboShadda

Aweze kufanya mazoezi ya kutosha ya kutamka na mahali ya kuweka shadda

Kutamka Hazina ya KiswahiliKidato 1Ukurasa 3

Kitabu

Kamusi

3 Kusoma UfahamuWasiwasi Kuhusu Mtihani

Aweze Kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ya Ufahamu vilivyo.

- Kusoma- Kujibu maswali

Hazina ya KiswahiliKidato 1Ukurasa 8

Kitabu

4 Sarufi Viambishi Aweze kutaja na kutambua aina za viambishi vya lugha ya Kiswahili

Kutambua mzizi kisha viambishi

Hazina ya Kiswahili Kidato 1Ukurasa 16

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika InshaMaelezo ya Utangulizi

Aweze kutaja sifa za insha bora na sehemu muhimu za insha hiyo.

Maelezo

Kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato 1 - Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Page 4: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

JUM

AKIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

2 1 Kusikiliza na kuongea

Matamushi bora-Vokali-Irabu

Aweze kutamka vizuri vokali na konsonati na kubainisha tofauti iliopo katika matamshi

- Kutamka

- Kuandika

Hazina ya KiswahiliKidato 1Ukurasa 14

Jedwali la irabu na vokali

2 Sarufi Silabi na Neno Aweze kubainisha maana ya silabi na kuitofautisha na neno

Kutamka Hazina ya KiswahiliKidato 1 Ukurasa 26

Vitabu

3 Sarufi Sentensi Aweze kubainisha sentensi ya Kiswahili

Kutunga Hazina ya KiswahiliKidato 1Ukurasa 26

Vitabu Daftari

4 Kusoma Ufahamu Ukale na usasa

Aweze kusoma kwa makini na kwa ufahamu na kujibu maswali vilivyo

Kusoma Hazina ya KiswahiliKidato 1Ukurasa 31

Vitabu vya kusoma

5 Kuandika Utungaji barua Aweze kutunga barua a kirafiki na kuiandika ipasavyo

Kutunga kuiandika

Hazina ya KiswahiliKidato cha 1Ukurasa 21

Karatasi

Page 5: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

3 1 Kusikiliza naKuongea

Maamkizi na mazungumzo kati ya majirani

Aweze kupanua uwezo wake wa kuzungumza na kujieleza kwa kushiriki katika maamkizi kati ya majirani

Kusikiliza

Kuzungumza

kuigiza

Hazina ya KiswahiliKidato 1Ukurasa 13

Kitabu

2 Sarufi Aina za maaneno Majina Kitenzi

Awezekutambua na kubainisha aina za maneno ya Kiswahili

Kutaja

kubainisha

Hazina ya KiswahiliKidato1Ukurasa 39

Kitabu

Chati

3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno

Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano wake

Kusoma

Kuandika

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.36

Kitabu

4 Kusoma Ufahamu Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ipasavyo

KusomaKuandika

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.41

Kitabu

5 Kuandika Insha ya Picha Aweze kuandika insha mwafaka ya picha kutokana na

Kuandika Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 9

Picha

Page 6: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

matukio anayoshuhudia

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

4 1 Kusikiliza na kuomgea

MazungumzoShuleni

Aweze kushiriki vilivyo katika mazungumzo ya kawaida shuleni

Kuzungumza Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.35

Kitabu

2 Sarufi Maneno Aweze kutaja na kutofaulisha aina mbalimbai za maneno

Kutaja

Kuandika

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. I5

Kitabu

Ubao

3 Sarufi Vivumishi Aweze kupambanua aina mbalimbali za vivumishi

Kutaja

Maelezo

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 39

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Kusoma kwa mapana

Aweze kupanua uwezo wake wa msamiati kwa kusoma kwa kina

Kusoma Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 172

Kitabu

Kamusi

5 Fasihi Vipera vya Fasihi

Aweze kubainisha vipera mbalimbali vya Fasihi simulizi

Kuchora

Kuandika

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.

Kitabu

Page 7: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

5 1 Kusikiliza na kuongea

Maamkizi na mazungumzo ya nyumbani

Aweze kushiriki maamkizi ya wakati wowote na kushiriki mazungumzo nyumbani

Maamkizi

Mazungumzo

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 13

Kitabu

2 Sarufi Vitenzi vya aina mbalimbali

Aweze kuvibainisha vitenzi mbalimbali na matumizi yake katika sentensi

Kubainisha Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 81

Jedwali

Kitabu

3 Sarufi VItenziAina mbalimbali

Aweze kutumia vitenzi vya aina yoyote katika sentensi ifaayo.

Kuandika

Kubainisha

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 43

Kitabu

4 Kusoma Muhtasari Aweze kusoma kwa makini kifungu cha habari na kukifupisha vilivyo

Kusoma Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 43

Kitabu

5 Kuandika Utenzi wa kisanii

Aweze kufanya utunzi wa hali ya juu ya kisanii

Kutunga Kuandika

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 21

Daftari

Page 8: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

6 1 Kusikiliza na kuongea

Ufahamu wa kusikiliza

Aweze kusoma kwa makini na kusikiliza kwa makini na kwa ufahamu

Kuigiza

Kusikiliza

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 65- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

2 Sarufi Viwakilishi Aweze kuvitambua na kuvibainisha viwakilishi katika sentensi

Kutaja

Maelezo

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 65- Mwongozo kwa mwalimu

Kitabu

Ubao

3 Sarufi Vielezi Aweze kumudu vyema matumizi ya vielezi katika sentensi na mazungumzo

Kutaja

Maelezo

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 62- Mwongozo kwa mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Ufahamu Aweze kusoma kwa makini na kwa ufahamu na kujibu maswali vilivyo.

Kusoma

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 74- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika Ufupisho Aweze kusoma kifungu cha habari na kukifupisha vilivyo

Kusoma

Kuandika

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1Uk 65- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu Kamusi

Page 9: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAZOEZI

7 1 Kusikiliza na kuongea

Fasihi Andishi Istilahi zake

Aweze kuvieleza vyema istilahi za fasihi andishi vilivyo

Maelezo Hazina ya Kiswahili Kidato 1Uk. 85

Kitabu cha Istilahi

2 Sarufi Wakati wa ‘ta’ Aweze kufanya matumizi mazuri ya wakati wa ‘ta’

Kutunga sentensi - Hazina ya Kiswahili Kidato 1Uk.60- Mwongozo wa Mwalimu.

Kitabu

3 Fasihi Usimulizi‘Hurafa’

Aweze kueleza kipengele cha hurafa katika fasihi simulizi

Maelezo - Hazina ya Kiswahili Kidato 1Uk. 85- Mwongozo wa Mwalimu

KitabuKamusi

4 Kusoma Maktabani Aweze kusoma kwa kina maktabani na kupanua uwezo wake wa kimsamiati

Kusoma - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 64- Mwongozo wa Mwalimu

KitabuKamusi

5 Kuandika Mashairi mepesi

Awezekujimudu katika uandishi wa beti za mashiri

Kuandika

Kusoma

- Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk. 75

Kitabu

Kamusi

Page 10: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

mepesimepesi - Mwongozo wa mwalimu

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

8 1 Kusikiliza na kuongea

Mjadala Shule za Mseto ni bora

Awezekushiriki katika mjadala darasani na kujieleza vizuri.

Kusoma na kusikiliza

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 145.- Mwongozo wa mwalimu.

Kitabu

2 Sarufi Uakifishaji Aweze kuakifisha sentensi zote katika Kiswahili.

Kutunga sentensi - Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk 116- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu Kamusi

3 Udurusi Udurusu wa Jumla

Aweze kutafakari na kutathmini mambo muhimu yaliyopitiwa katika muhula.

Kumakinika - Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 97- Mwongozo wa Mwalimu

Vitabu

4 Kusoma Kusoma kwa kina Maktabani

Aweze kupanua ujuzi wake katika kusoma kwa kina maktabani.

Kusoma - Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk. 64- Mwongozo wa mwalimu Vitabu

5 Kuandika Insha Aweze kuandika insha ya kuvutia ya

Kuandika - Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 65 Daftari

Page 11: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

masimulizi - Mwongozo wa mwalimu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

9 1 Kusikiliza na kuongea MTIHANI

2 Sarufi3 Sarufi4 Kusoma5 Kuandika

Page 12: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

MUHULA 2

JUM

A

KIPNDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

1 1 Kudurusu mtihani wa awali

Marudio ya mtihani wa muhula wa kwanza

Aweze kurekebisha makosa aliyoyafanya katika mtihani huo

Mapitio ya kila swali

Mtihani wa muhula wa Kwanza Nakala za

Mtihani

2 Sarufi Mapitio ya aina za maneno-nominovivumishi vitenzi

Aweze kubainisha aina zote za maneno

Kubainisha maneno

kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 39- Mwongozo wa Mwalimu

KitabuKamusi

3 Ufahamu Kusoma kwa Ufahamu

Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ipasavyo

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliI Kidato 1Uk. 54--56- Mwongozo wa Mwalimu

Hazina

Daftari

4 Kuandika Muhtasari Ufupisho

Aweze kutambua mbinu zote za ufupisho.

Kusoma kufupisha

Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk 43

Kitabu Kamusi Daftari

Page 13: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

5 Kusikiliza na kuongea

Mazungumzo Shuleni

Aweze kushiriki mazungumzo kuhusu shida za watoto na wazazi wanapotokana

Kuzungumza

Kusikiliza

Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 35-56

Kitabu

Kamusi

JUM

A

KIPIMDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

2 1 Fasihi Vipera vya Fasihi Simulizi

Aweze kutaja vipera vya Fasihi na Vijipera vyake

Kutaja

Kueleza

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 18.- Mwongozo wa Mwalimu

Jedwali

Mchoro

2 Matamshi Bora

Vitatet/dk/g

Aweze kufanya mazoezi ya matamshi bora ya vitate- t/d

Kusoma vitate Kutamka

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 26.- Mwongozo wa Mwalimu.

Kitabu

Daftari

3 Sarufi Nyakati mbalimbaliLi-na- ta

Aweze kutumia nyakati mbalimbali vilivyo katika hali yakinifu na kanushi

Kusema Kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 60.- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Kusoma kifungu cha ufahamu

Aweze kusoma kwa makini na kwa ufahamu na kujibu maswali vilivyo

Kusoma

Kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 60- Mwongozo wa

Kitabu

Daftari

Page 14: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

Mwalimu5 Insha Insha Aweze kuandika

insha bora ya Kiswahili na ya kuvutia

Kusoma Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 67- Mwongozo wa Mwalimu

Daftari

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

3 1 Kusikiliza na kuzungumza

Maamkizi ya nyumbani

Aweze kushiriki mazungumzo ya maamkizi ya nyumbani ili kupanua ujuzi wao wa maamkizi

Kuzungumza

Kuingiza

- Hazina ya KiswahiliKidato1Uk. 13- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

2 Sarufi Ngeli ya A_Wa

Aweze kuimudu ipasavyo ngeli ya A—Wa katika mazungumzo na matumizi

Maelezo

Sentensi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 38- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Ngeli ya U---i

Aweze kuimudu vilivyo ngeli ya U—I katika mazungumzo na matumizi

Maelezo

Kutunga sentensi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 52.- Mwongozo Wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Kusoma kwa ufahamu

Aweze kusoma kwa makini na kwa Ufahamu

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato 1

Kitabu

Kamusi

Page 15: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

kifungu cha habari

Uk 54- Mwongozo wa mwalimu

5 Kuandika Kuandika Ratiba

Aweze kuandika ratiba mwafaka kwa sherehe au tukio lolote

Kuandika maelezo

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 56.- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

4 1 Kusikiliza na kuongea

Matamshi borag/gh

Aweze kufanya mazoezi ya matamshi bora sauti za ‘g’ na ‘gh’

Matamshi

Maandishi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 70- Mwongozo wa mwalimu.

Kitabu

2 Sarufi Ngeli ya Ki—Vi

Aweze kutumia barabara maneno ya ngeli ya Ki—Vi katika sentensi.

Kutaja maneno

Kutunga sentensi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 70.- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Vielezi Aweze kutambua na kutumia vyema vielezi vya aina mbalimbali

Kutaja kuandika. - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 62- Mwongozo wa

JedwaliLa Michoro

Page 16: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

Mwalimu.4 Ufahamu Ufahamu Aweze kusoma

kwa ufahamu na kujibu maswali ipasavyo

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 84.- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kitabu

5 Matangazo Matangazo Aweze kuandika matangazo kwa njia mwafaka.

kuandika- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 87.- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

5 1 Kusoma Kusoma kwa kina – Mashairi

Aweze kusoma kwa kina mashairi mbalimbali na kuyabainisha vilivyo.

Kusoma

Kukariri

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 97- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

2 Sarufi Ngeli ya Ya—Ya

Aweze kufanya matumizi ya ngeli ya a—Ya katika sentensi na mazungumzo

Kutunga sentensi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 83- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Ngeli ya Li—Ya

Aweze kutumia ipasavyo ngeli ya i—Ya katika Kutunga sentensi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1

Kitabu

Page 17: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

sentensi na mazungumzo.

Uk. 96.- Mwongozo wa Mwalimu

Kamusi

4 Kusoma Ufahamu Ulevi

Aweze kusoma na kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo.

Kusoma

Kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 96.- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

5 Muhtasari Muhtasari Aweze kusoma kifungu cha habari na kukifupisha vilivyo.

Kusoma

Kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato1Uk. 100.- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

6 1 Kusikiliza na kusoma

Matamshi bora ya vitanza ndimi

Aweze kufanya mazoezi ya matamshi bora ya vitanza ndimi.

Kutamka

Kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 79 - Mwongozo wa mwalimu.

Kitabu

2 Sarufi Ngeli ya I—I Aweze kutumia vilivyo ngeli ya I—I katika sentensi na katika mazungumzo

Kutamka

Sentensi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk. 103- Mwongozo wa mwalimu

Kamusi

Kamusi

3 Sarufi Matumizi ya Aweze - Hazina ya

Page 18: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

lugha-Visisitizi

kuvitambua na kuvitumia visisitizi kwa njia mwafaka.

Maelezo

Kusema

KiswahiliKidato 1Uk. 94.- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Kusoma kwa ufahamu

Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali vilivyo.

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 121- Mwongozo wa mwalimu.

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika Ilani Aweze kuandika ilani vyema inayotoa maelezo maalum

kuandika - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 108- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

7 1 Kusikiliza na kuongea

Matamshi bora ‘ny’ na ‘ng’

Aweze kufanya matamshi ya kutosha ya ‘ny’ na ng’

KusomaMazoezi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 102- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Ubao

2 Sarufi Ngeli ya U—Zi

Aweze kuimudu ngeli ya U—Zi ipasavyo katika sentensi na

SentensiMazungumzo

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 127

Kitabu

Kamusi

Page 19: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

mazungumzo - Mwongozo wa Mwalimu

3 Sarufi Ukubwa na udogo

Aweze kubainisha udogo na ukubwa wa maneno na kuyatumia katika ngeli zifaazo.

Kusoma

Kusema

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 129- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma UfahamuDhuluma kwa wanawake

Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo.

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato1 Uk. 103- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika Insha Aweze kuandika insha bora ya mdokezo

Kusoma Kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato1 Uk. 124.- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

8 1 Kusikiliza na kuongea

Aweze kufanya matamshi bora ya Vitanza ndimi’ ‘th’na ‘dh’

Aweze kufanya matamshi bora ya ‘th’ na ‘dh’

Kutamka

Mazoezi

- Hazina ya KiswahiliKidato1Uk. 126- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

2 Sarufi Ngeli ya U— Aweze kutumia - Hazina ya

Page 20: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

U ngeli ya U—U vizuri katika mazungumzo na sentensi

Kutamka

Kusoma sentensi

KiswahiliKidato 1 Uk 116 - Mwongozo waMwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Kuakifisha Aweze kufanya uwakifishaji ufaao katika maandishi ya Kiswahili

Kuwakifisha sentesnsi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 116- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Ufahamu Upishi

Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ipasavyo

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 116- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika Barua rasmi Aweze kuandika barua rasmi akizingatia kanuni zote zinazohitajika

Kuandika- Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk. 133- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

9 1 Kusikiliza na kuongea

Matamshi bora ‘l’ na ‘r’

Aweze kufanya mazoezi ya matamshi bora akizingatia herufi ‘l’ na ‘r’

Matamshi - Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk 111

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Mwongozo wa mwalimu

Page 21: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

2 Sarufi Ngeli ya ‘Ku’—‘Ku’

Aweze kuitumia ngeli ya Ku—Ku vilivyo katika sentensi na mazungumzo

Kutunga sentensi- Hazina ya

Kiswahili Kidato 1 Uk 137

- MwongozoWa Mwalimu

Kitabu

3 Sarufi Mnyambuliko wa vitenzi

Aweze kuyambua vitenzi katika kauli ya kutendwa kutendeka na kuvitunzia sentensi.

Unyambuzi- Hazina ya

Kiswahili Kidato 1 Uk.134

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Mwongozo wa Mwalimu

4 Kusoma Kusoma kwa ziada- maktabani

Aweze kufana masomo ya ziada maktabani ya ujuzi akisoma kwa mapana na marefu.

Kusoma‘Maktabani’

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 141

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

5 Kuandika Kujaza fomu Aweze kufanya mazoezi ya kutosha na mwafaka ya kujaza fomu

Kujaza fomu

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 137

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MBINU ASILIA VIFAA MAONI

10 1 Kusikiliza naKuongea

Mjadala Tohara ya wasichana ni utamaduni

Aweze kushiriki vilivyo kwa kutoa maoni yake katika mjadala

Majadiliano

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 127

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Page 22: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

2 Sarufi Ngeli ya Pa- Ku- Mu

Aweze kutumia viambishi awali vya vitenzi atungapo sentensi

Kutunga sentensi

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 81

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Mwongozo Wa mwalimu

3 Sarufi Mnyambuliko KutendeaKutendana

Aweze kunyambua viivyo vitenzi kwa kuzingatia minyambuiko kutendewa/kutendeana

KutungaSentensi

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 141

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

4 Kusoma Ufahamu Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ya ufahamu ipasavyo.

Kutunga sentensi

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 141

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

5 Insha ya mazungumzo

Insha ya mazungumzo

Aweze kuandika insha nzuri ya mazungumzo baina ya wahusika kadhaa

Maelezokuandika

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 141

- Mwongozo wa Mwalimu.

Kitabu

Mwongozo wa mwalimu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MBINU ASILIA VIFAA MAONI

11 1 Kusikiliza na kuongea

Semi Methali

Aweze kutambua vipengele vya semi kwa kushughulia methali

Kutoa Mifano ya methai

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 64

- Mwongozo

Kitabu

Kamusi

Page 23: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

wa Mwalimu2 Sarufi Hali ya

mazoeaAweze kutunga na kuandika sentensi wakitumia hali ya ‘ hu’ ya mazoea

Kutunga sentensi

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 65

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Maneno ya Kiswahili

Aweze kubainisha maneno katika sentensi huku wakitambua kila aina ya neno

Kutaja

Kuandika

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 64

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Ufahamu Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali vilivyo.

Kusoma kujibu maswali

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 64

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

5 Kusoma Kusoma kwa ziada

Aweze kusoma na kupanua uwezo wake wa kusoma kwa mapana na marefu

Kusoma

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

12 1 Kusikiliza na kuongea

Matamshi bora /m/ na /na/

Aweze kufanya mazoezi ya kutamka vyema herufi hizo husika

Kutamka

Kuandika

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 9

- Mwongozo Wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi2 Sarufi Vielezi Aweze kuvitambua,

kuvibainisha na Kutunga - Hazina ya

Kiswahili Kitabu

Page 24: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

kuvitumia vielezi kwa njia mwafaka

sentensi Kidato1 Uk. 64

- Mwongozo wa Mwalimu

Kamusi

3 Sarufi Viunganishi Aweze kuvibainisha viunganishi katika sentensi ya Kiswahili

Kuandika

Kusema

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 62

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi4 Kusoma Kusoma kwa

ziada maktabani

Aweze kubanua uwezo wake na maarifa kwa kusoma kwa mapana

Kusoma - Hazina ya

Kiswahili Kidato 1 Uk. 62

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

5 Kuandika Insha za methali

Aweze kuandika insha ya methali inayooana na methali

Kuandika- Hazina ya

Kiswahili Kidato 1 Uk. 64

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

MUHULA 3

Page 25: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

JU

MA

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

1 1 Kusikiliza na kuongea

Maamkizi kutega na kuunga maneno

Aweze kuzingatia mazungumzo husika na kutaja sifa za mazungumzo ya kawaida

Kuzungumza - Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 145

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

2 Sarufi Msamiati wa zana za vita.

Aweze kutaja misamiati kadhaa ya zana za vita kutungia sentensi

Kutaja zana za vita

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk130

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Upatanisho wa kisarufi

Aweze kukamilishajedwali kwa kutumia viambishi ngeli na pia kutunga sentensi sahihi

Kutaja viambishi ngeli

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 149

- Mwongzo Wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Ufahamu ‘Vita dhidi ya sigara’

Aweze kusoma kwa ufahamu kifungu cha habari na kujibu maswali ifaavyo

Kusoma Kuandika majibu

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 132

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika Insha ya methali

Aweze kuandika insha nzuri inaooana vyema na methali

Kuandika

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 145

Kitabu

Kamusi

Page 26: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

- Mwongozo wa mwalimu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

2 1 Kusikiliza na kuongea

Hadithi ‘utambaji hekaya’

Aweze kushiriki ipasavyo katika kusimulia hekaya za kuvutia

Kusikiliza

Kusimulia

- Hazina ya Kiswahili Uk. 136

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

2 Sarufi Uakifishaji Aweze kuakifisha ifaavyo kwa kutumia alama za kuakifisha

Kutunga sentensi

Kuziakifisha

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 116

- Mwongozo Wa Mwalimu

Kitabu

3 Kusoma Riwaya Aweze kusoma kwa mapana na marefu huku akipanua uwezo wake wa lugha na msamiati

Kusoma kwa makini

‘Rosa Mistika’ Riwaya

4 Kusoma Matumizi ya kamusi

Aweze kueleza maana ya kamusi, umuhimu wake na muuundo wake

Kutaja manufaa ya kutumia kamusi

Kamusi mbalimbali

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika Hotuba Aweze kuandika insha nzuri ya hotuba inayovutia msomaji.

Maelezo - Hazina ya

Kiswahili Kidato 1 Uk. 164

Kitabu

Page 27: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

3 1 Kusikiliza na kuongea

Mjadala Sare za shule zitupiliwe mbali

Aweze kushiriki vilivyo katika mjadala na kujieleza ifaavyo.

KuzungumzaKusikiliza

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 145

- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

2 Sarufi VimishiVimilikishi

Aweze kuvitaja na kuvitumia barabara vivumishi vimilikishi

Kutaja

Kutumia sentensi

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 94

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Riwaya Aweze kuongeza ujuzi wake wa lugha na msamiati kwa kusma kwa kina

Kusoma ‘Rosa Mistika’Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Kusoma kwa maktabani

Aweze kuongeza msamiati na ujuzi wake wa lugha kwa kusoma kwa mapana na marefu.

Kusoma kwa kina - Vitabu

- Magazeti

- Majarida

Kitabu

kamusi

5 Kuandika Utungaji tahadhari

Aweze kuandika tahadhari Kuandika

- Hazina ya Kiswahili Kitabu

Page 28: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

kamilifu kamilifu na toshelevu ipasavyo

Kidato 1 Uk.173

- Mwongozo wa Mwalimu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

4 1 Kusikiliza na kuongea

MisemoMisimuNahau

Aweze kutaja baadhi ya misemo nahau na misimu . kubainisha matumizi yake katika sentensi

Kuitaja

Kutumia katika sentensi

- Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk. 185

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

2 Sarufi Kuakifishaalama za mtajo. Alama za msharazi

Aweze kuakifisha vilivyo akitumia alama za mtajo na msharazi

Kuandika - Hazina ya

Kiswahili Kidato 1 Uk. 116

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Kusoma Kusoma kwa ziada

Aweze kupanua ujuzi wake wa msamiati kwa kusoma kwa kina

Kusoma - Rosa Mistika Kitabu

Kamusi 4 Kusoma Ufahamu

Ulevi Aweze kusoma kwa ufahamu akijibu maswali ipaswavyo

Kusoma - Hazina ya

Kiswahili Kidato 1 Uk 96

Kitabu

Kamusi 5 Sarufi Uakifishaji

Kistari-kifupiAweze kuakifisha vilivyo kutumia Kuandika

- Hazina ya Kiswahili

Page 29: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

kirefu vyema alama za kistari kifupi na kirefu

Kidato 1 Uk 116

Kitabu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

5 1 Kusikiliza na kuongea

Mazungumzo kuadisi

Aweze kushiriki vilivyo katika mjadala wa kudadisi

Kusema

- Hazina ya Kiswahili Kidato1 Uk. 165

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

kamusi2 Sarufi Mnyambuliko

wa vitenzi-kutendeana-kutendesha

Aweze kubainisha mtindo wa kunyabua ipasavyo hali ya kutendeana

Kunyambua

- Hazina ya Kiswahili Kidato1 Uk. 165

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

kamusi

3 Sarufi Kirejeshi amba Aweze kutumia vilivyo kirejeshi amba kulingana na ngei husika

Kutungfa sentensi

- Hazina ya Kiswahili Kidato1 Uk. 165

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

kamusi

4 Kusoma Kusoma kwa ziadaRiwaya

Aweze kupanua uwezo wake wa msamiati na lugha kwa kusoma kwa ziada

Kusoma

‘Rosa Mistika’Kitabu

kamusi

5 Kusoma ufahamu Aweze kusoma - Hazina ya

Page 30: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

kwa ufahamu na kujibu maswai ya ufahamu

Kusoma Kiswahili Kidato1 Uk. 165

- Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

kamusi

-

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

6 1 Kusikiliza na kuzungumza

Ushairi Aweze kutaja na kufafanua vipera vya utanzu wa ushairi wa fasihi simulizi.

Kusema kusikiliza

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 165- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

2 Sarufi Matumizi ya lugha

Aweze kutumia vilivyo viashiria katika sentensi na kuvibainisha ipasavyo.

Kutaja

Kutumia

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 165- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu Kamusi

3 Kusoma Ufahamu ajali za barabarani

Aweze kusoma kwa kina na kupanua msamiati wake ipasavyo.

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 170- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu kamusi

4 Kusoma Kusoma kwa kina maktabani

Aweze kusoma kwa kina na kupanua msamiati wke

Kusoma - Vitabu - Majarida - Magazeti

MagazetiMajaridaVitabu

Page 31: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

5 Kuandika Maagizo Aweze kubuni na kuandika maagizo ya kueleweka juu ya utendaji husika.

Kuandika- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 108- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

7 1 Kusikiliza na kuzungumza

Maagizo Aweze kushiriki vilivyo katika maagizo ya aina yoyote darasani

Kuigiza

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 165 - Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

2 Sarufi Sentensi za Kiswahili

Aweze kuzichanganua kwa wepesi sentensi za Kiswahili

Kuchanganua sentensi

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 175- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Kusoma Kusoma kwa ziada

Aweze kupanua msamiati wake kwa kusoma kwa mapana na marefu

Kusoma Kezilahabi

Rosa Mistika

Kitabu

Kamusi

4 Kusoma Ufahamu Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ipasavyo

kusoma

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 105

Kitabu

Kamusi

Page 32: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

- Mwongozo wa mwalimu

5 Kuandika Taarifa Aweze kuandika taarifa ya kubuni ipasavyo na kwa usahihi

Kusoma - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk 108- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

8 1 Kusikiliza na kuongea

Vipera vya Fasihi- ngonjera vichekesho

Aweze kutaja vipera mbalimbali vya fasihi simulizi

Kuongea - Hazina ya KiswahiliKidato1Uk165- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

2 Kusoma Matumizi mbalimbali ya kamusi

Aweze kutaja matumizi mbalimbali ya kamusi

Kusoma - Hazina ya Kiswahili Kidato 1 Uk 171- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi mbalimbali

3 Kusoma Kusoma kwa ziada rosa Mistika

Aweze kupanua msamiati wake kwa kusOma kwa sauti.

Kusoma Kezilahabi

Rsa mistika Kitabu

Kamusi 4 Sarufi Kikundi nomino

Kikundi tenziAweze kutaja sehemu muhimu za sentensi na

Kusoma - Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk 149- Mwongozo wa

Kitabu

Page 33: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

kuzibainisha ipasavyo

mwalimu - Kie: silabasi uk 26

Kamusi

5 Sarufi Muundo wa sentensi

Aweze kubainisha muundo wa sentensi na kuzichanganua vilivyo

Kutaja kubainisha - Hazina ya Kiswahili: Kidato 1 Uk - Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

9 1 Kusikiliza na kuongea

Tanakali za sauti

Aweze kutaja na kutumia vilivyo tanakali mbalimbali za sauti

Kutaja

- Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk. 174- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

2 Sarufi Matumizi ya lugha

Aweze kutaja na kubainisha vilivyo visawe mbalimbali vya sentensi

Kuandika- Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk.175- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Sarufi Uchunguzi wa sentensi ya Kiswahili sahili/ changamano

Aweze kuichanganua kwa kifupi sentensi fupi ya Kiswahili

Kuchanganua- Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk.- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

Page 34: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

4 Kusoma Ufahamu Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali ipasavyo na kwa usahihi

Kusoma - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.165- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

5 Taarifa Taarifa Aweze kuandika insha nzuri ya kubuni ya taarifa

Kuandika - Hazina ya KiswahiliKidato 1 Uk.162- Mwongozo wa mwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

10 1 Kusikiliza na kuongea

Mjadala‘Baba ana majukumu mengi’

Aweze kushiriki vilivyo katika mjadala wa Kiswahili kwa kujieleza ipasavyo

Mjadala - Hazina ya KiswahiliKidato1Uk. - Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

2 Sarufi Matumizi ya lugha

Aweze kujibu maswali aliyonayo kwa njia mwafaka

Kusoma

Kujibu maswali

- Hazina ya KiswahiliKidato1Uk. - Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Kusoma Ufahamu Kusoma na kujibu maswali

Aweze kusoma kwa ufahamu na kujibu maswali vilivyo

Kusoma maswali - Hazina ya KiswahiliKidato1Uk.

Kitabu

Kamusi

Page 35: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

- Mwongozo wa Mwalimu

4 Kusoma Kusoma kwa kina

Aweze kupanua msamiati wake na uwezo wake wa lugha kwa kusema kwa kina

Kusoma Keziahabi

Rosa Mistika

Kitabu

Kamusi

5 Kuandika Muhtasari Aweze kusoma kifungu cha habari na kuandika ufupisho bila kupoteza maana

Kusoma kuandika

- Hazina ya KiswahiliKidato1Uk. - Mwongozo wa Mwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A

KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MAZOEZI ASILIA VIFAA MAONI

11 1 Kusikiiza na kuongea

Fasihi simulizi Aweze kushiriki vilivyo katika masimulizi ya hurafa na kubainisha maana ya Hurafa

Kuzungumza

Kusikiliza

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.135- Mwongozo wamwalimu

Kitabu

Kamusi

2 Ufahamu Ufahamu Aweze kusoma kwa makini na kwa ufahamu na kujibu maswali vilivyo

Kusoma - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.185- Mwongozo wamwalimu

Kitabu

Kamusi

3 Kusoma kwa kina

Kusoma kwa kina riwaya

Aweze kusoma kwa makini na kwa ufahamu na

Kusoma Kezilahabi

Rosa

Kitabu

Kamusi

Page 36: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

kujibu maswali vilivyo

Mistika

4 Uakifishaji-ritifaa-mabano

UakifishajiRitifaa Mabano

Aweze kusema na kubainisha maana ya ritifaa na mabano na kutumia vilivyo katika lugha

Kutunga sentensi - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk.165- Mwongozo waMwalimuSilabasi uk; 27

Kitabu

Kamusi

5 Methali Zinazooana kimaudhui

Methali zinazooana kimaudhui

Aweze kutaja kwa usahihi methali mbili au zaidi zinazooana kimaudhui

kutaja - Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk..- Mwongozo wamwalimu

Kitabu

Kamusi

JUM

A KIPINDI SOMO YALIYOMO SHABAHA MBINU ASILIA VIFAA MAONI

12 1 Kusikiliza na kuzungumza

Mazungumzo‘Ufisadi’

Aweze kushiriki vilivyo katika mazungumzo ya ufisadi na kubainisha msimamo wake

Kuzungumza Kusikiliza

- Hazina ya KiswahiliKidato 1Uk. 184- Mwongozo wamwalimu

Kitabu

2 Kusoma Kusoma kwa kina

Riwaya

Aweze kusoma kwa makini na kwa kina na kupanua uwezo wake wa kimsamiati

Kusoma Kezilahabi

Rosa Mistika

Kitabu kamusi

3 Kusoma Kwa kina Aweze kusoma Kusoma - Hazina ya Kitabu

Page 37: Juma - Wyzed Educational Media – ….Because Every … · Web viewChati 3 Sarufi Mpangilio wa sauti katika silabi na maneno Aweze kutaja na kutoa mfuatano wa silabi na mwambatano

Riwaya kwa makini huku akipanua uwezo wake wa msamiati na lugha

KiswahiliKidato 1- Mwongozo wamwalimu

kamusi

4

Fasihi Semi misemo

Aweze kutaja semi kuzieleza maana na kutoa matumizi yake

Kutaja

Kueleza

- Silabasi Kidato 1Uk 26- Mwongozo wa mwalimu

Kamusi za semi

5 Sarufi Aina za maneno Aweze kubainisha aina mbalimbai za maneno katika sentensi.

Kutaja Kueleza - Hazina ya KiswahiliKidato 1- Mwongozo wamwalimu

kitabu