ANNUUR 1177A.pdf

21
ISSN 0856 - 3861 Na. 1177 RAJAB 1436, IJUMAA , MEI 15-21, 2015 BEI TShs 800/=, Kshs 50/= Sauti ya Waislamu facebook: [email protected]  AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TR UST Hali za Masheikh mbaya Segerea Sheikh Mselem adhalilishwa vibaya Farid atoboa siri ya kukamatwa kwao Wamtaka Mwanasheria Mkuu wa Z’bar Tusiparamie vikosi v ya ATP U kama vile vya Uhuru Kenyatta Kasema kweli Askofu Lebulu Tusipojifunza kwa waliotangulia… Y akitukuta, tutulie, tusipige kelele RAIS Siad Bare wa Somali aliwakamata Maulamaa akawatesa na akawaua hadharani. Somalia ilikumbwa na vita na mauaji. Mpaka leo Wasomali wanauana wenyewe kwa wenyewe. Saddam Hussein aliua Masheikh na kuwatesa. Haikuchukua muda Iraq iliingia katika vita vilivyoua mamilioni ya watu na kuharibu makaazi na mpaka leo Iraq haijatulia. Rais Gadafi wa Libya naye alifanya kosa hilo hilo la kuwakamata Maulamaa kuwaweka ndani na kuwaua. Naye aliuliwa kama alivyowaua wenzake na nchi nzima imetumbukia katika umwagaji damu mkubwa usiomalizika. (Soma Uk. 4) Laana ya Siad Bare inatunyemelea Kuteswa Masheikh wasio na hatia… Maafa Zanzibar, Dar huo ni mwanzo Makosa ya laana, balaa lake linakuja T oka lini ‘Alamtara’ ikawa kasida ya dufu? RAIS wa zamani w a Somalia, Siad Bare. Kwa vile baadhi yetu wana uwezo na hawaendi Hijja, Allah Anaonesha hasira Zake kwa kusema, "Hana haja na viumbe sote" (Aal Imran:97). Hivyo, tuhimizane, wakienda wengi faida tunapata sote, na wasipokwenda hasara ni yetu sote! Muda unakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,5 00. Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibuni  Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara: 0765462022;0782804480; 0717224437. (10) HASARA ZA KUTOHIJI NI ZETU SOTE! MWANASHERIA Mkuu wa Zanzibar Saidi Hassan Said  Ja ji Mk uu wa Za nz ib ar Omar Othman Makungu. Sheikh Mselem Ali Mselem, kiongozi wa Jumuiya ya Uamsho. Kushoto Kadhi Mkuu Sheikh Khamis Haji akifuatiwa na Mufti Sheikh Saleh Omar Kabi

Transcript of ANNUUR 1177A.pdf

Page 1: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 1/20

ISSN 0856 - 3861 Na. 1177  RAJAB 1436, IJUMAA , MEI 15-21, 2015  BEI TShs 800/=, Kshs 50/=

Sauti ya Waislamu

facebook: [email protected] AHLU SUNNA WAL JAMAA HAJJ AND UMRA TRUS

Hali za Masheikh mbaya SegereaSheikh Mselem adhalilishwa vibayaFarid atoboa siri ya kukamatwa kwao

Wamtaka Mwanasheria Mkuu wa Z’bar 

Tusiparamie vikosi vya ATPUkama vile vya Uhuru Kenyatta

Kasema kweli Askofu LebuluTusipojifunza kwa waliotangulia…Yakitukuta, tutulie, tusipige kelele

RAIS Siad Bare wa Somalialiwakamata Maulamaaakawatesa na akawauahadharani.

S o m a l i a i l i k u m b w ana vita na mauaji. Mpakaleo Wasomali wanauanawenyewe kwa wenyewe.

Saddam Hussein aliuaMasheikh na kuwatesa.Haikuchukua muda Iraqiliingia katika vita vilivyouamamilioni ya watu nakuharibu makaazi na mpakaleo Iraq haijatulia.

Rais Gadafi wa Libyanaye alifanya kosa hilo hilola kuwakamata Maulamaakuwaweka ndani na kuwaua.

N aye a l iu l iw a kam aalivyowaua wenzake na nchinzima imetumbukia katikaumwagaji damu mkubwausiomalizika. (Soma Uk. 4)

Laana ya Siad Bareinatunyemelea

Kuteswa Masheikh wasio na hatia…

Maafa Zanzibar, Dar huo ni mwanzoMakosa ya laana, balaa lake linakujaToka lini ‘Alamtara’ ikawa kasida ya dufu?

RAIS wa zamani wa SomaliSiad Bare.

Kwa vile baadhi yetu wana uwezo na hawaendHijja, Allah Anaonesha hasira Zake kwa kusema

"Hana haja na viumbe sote" (Aal Imran:97). Hivyotuhimizane, wakienda wengi faida tunapata sotena wasipokwenda hasara ni yetu sote! Mudaunakwisha! Gharama zote kwa Hijja ni Dola 4,500Umra ya Ramadhani ni Dola 2,300. Karibun

 Ahlu Sunna Wal Jamaa kwa huduma nzuri na

uongozi bora. Wasiliana nasi: Tanzania Bara

0765462022;0782804480; 0717224437.

(10) HASARA ZA KUTOHIJI NI ZETU SOTE

MWANASHERIA Mkuu waZanzibar Saidi Hassan Said

 Ja ji Mkuu wa Zanz ib arOmar Othman Makungu.

Sheikh Mselem Ali Mselem,kiongozi wa Jumuiya yaUamsho.

Kushoto Kadhi Mkuu Sheikh Khamis Haji akifuatiwa na Mufti Sheikh Saleh Omar Kabi

Page 2: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 2/20

2  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201

AN-NUUR S.L.P. 55105, Simu: +022 2400786

Cel: 0784 370 208, 0713 110 148, 0755 260 087 , DSM.www.annuurpapers.co.t E-mail: [email protected]

Ofsi zetu zipo: Manzese Tip TopUsangi House, barabara ya Morogoro, D'Salaam

Tahariri

WIKI iliyopita tuligusiaj a m b o a m b a l o n imaarufu hivi sasa kwa

yoyote anayetaka kujuaukweli na ambay ehajageuzwa kuwa kifaacha mabeberu (Asset)cha kuwarahisishiakupata masilahi yaowala hajatekwa na kuwamsaliti wa nchi yake nawatu wake.

 Jambo lenyewe nik a m a a l i v y o s e m aZbigniew Brzezinski,kwamba ugaidi sio aduilakini mbinu chafu zakufikia malengo fulaniambapo watu wasio nahatia huuliwa. Zaidi

akasema kuwa msemohuo umefanywa usiwena maana inayoelewekasio kwa bahati mbaya,

 bali umefanywa hivyomakusudi na walioubunina wanaoendeleza vitahiyo ili kukia malengoyao ya kusimika kitisho(culture of fear).

Kwa nini imekuwani lazima kuwatishaw a t u ? K a c h e r o n am w a n a d i p l o m a s i a ,Zbigniew Brzezinskianafafanua akisemakuwa:

“Fear obscures reason,in t ens i f i e s emot i onsand makes it easier fordemagogic politicians toemotions mobilize the publicon behalf of the policies theywant to pursue.”

K w a m b aukishawatisha watu,unaondoa uwezo wao wakufikiri, unawaburuzaunavyotaka kwa sababu,

 badal a ya kuyatiza mamambo kwa akili naku ta fa ka r i , ku ho j i ,w a n a o n g o z w a n a

Tusiparamie vikosi vya ATPUkama vile vya Uhuru KenyattaKasema kweli Askofu LebuluTusipojifunza kwa waliotangulia…Yakitukuta, tutulie, tusipige kelele

mihemko (emotions).Tunachofahamishwa

h a p a n i k u w a

kinachoitwa ‘ugaidi’hivi leo na msamiati‘vita dhidi ya ugaidi’,h a u w a k i l i s h i a d u iyoyote anayetambulikaa u k w a m a a n anyingine, haiwakilishiadui wa kweli. Kamaw a l i v y o c h a m b u awasomi na wachambuziwengi ni kuwa, huoumekuwa tu ni moja yamikakati ya mabeberukataka kukia masilahiyao.

Na kama ambavyoimeelezwa pia kwa

ma r efu na ma pa naikiwemo kuandikiwavitabu, machapisho nakufanyiwa midahalom b a l i m b a l i k a t i k avyombo vya habariiliyohusisha wanazuonim a s h u h u r i w akuaminika kimataifa,kinachoitwa mbinu zakupambana na ugaidi,nacho inakuwa kiinimacho kingine ambacho,pamoja na kuwekewa

 bajet i kubwa, haisaidiilolote katika kutokomezahuo unaoitwa ugaidi.

Bali kuuchochea zaidina kutunisha mifuko yawana-usalama na vikosivya ulinzi. Namna yake nikama kuwepo kwa vikosihivyo kunachochea zaidikuwepo kwa ugaidi.Na hiyo huendana nahoja za wanazuonikuwa kinachotakiwani kuwepo huo ugaidii l i ipatikane sababuya kufanyika mambomengi ya kurahisishamikakati ya mabeberuikiwemo kusambaza

utando wa kijeshi nakikachero dunia nzimakutimiza lengo lao lau dhi bi t i wa du ni a‘Hegemony’. Na pilikupitia utando huo wakijeshi unaowawezeshakuwepo kila mahali kwakizingizio cha kusaidiakupambana na ugaidi,

waweze kuzidhibitinchi mbalimbali pamojana rasilimali zao hasamafuta, gesi na madini.

Baada ya miaka mingiya machafuko, kunawakati Somalia ilikuwaimefikia mahal i pakuondokana na vurumaihizo zilizoangamizamamia ya maelfu ya rohoza Wasomali. Ghaflamabeberu wakawaundiavikosi vya kupambanana magaidi. Vikawavinapewa mapesa mengina silaha nzito nzito.

Amani na hali ya utulivui l iyokuwa inanukiaSomalia, ikatoweka.Walipofikishwa ‘Allah’ndiye mjuzi watatokaje.

K e n y awametutangulia sanakatika mchezo huu wamabeberu. Waliundiwavikosi vya kupambanana magaidi-Anti TerrorPolice Unit (ATPU)na ma pema . ATP Undio wanaotuhumiwakuuwa Masheikh wengina vijana wa Kiislamukwa kisingiz io cha

kupambana na ugaidi.Kwa mujibu wa makalaya Jipo Pevu iliyokuwaikirushwa na kituo chatelevisheni cha KTN,hawa ATPU walikuwawakiwafuata Masheikhmajumbani mwao nakuwauwa kikatili kwakuwapiga risasi, kishahutoa taarifa za uwongok w a v y o m b o v y ahabari kuwa Masheikhhao waliuliwa wakatiwakipambana na polisi.

Lakini pia kwa mujibuwa makala ya Aljazeera,

hawa ATPU na vikosivingine vya namnahiyo, wao hutambakuwa ni vikosi vyawauwaji (elimination),s i o v y a k u k a m a t awatu na kuwapelekamahakamani. Na zaidiwanasema kuwa haohao mabeberu ambaon d i o w a l i m u n awafadhili wao, wao ndiohuwaambia nani wakumuuwa. Wakipewata a r i fa ka mu u weniFulani, humuuwa na

kutoa taarifa kwa vikosivya hao hao mabeberukuwa washatekelezakazi waliyowatuma.

Ni muda mrefu sasatoka uanze uhusianohuo kati ya Kenya namabeberu, lakini kadirisiku zinavyokwenda,ndio hali huwa mbayazaidi. Wala hizo ATPUzao na huo uhusianowao na mabeberu namipango yao ya ‘CounterTerrorism’, haijawezakuzuiya shambulio laGarissa.

K w a m u j i b u w aKTN, ukiangalia waleMasheikh walivyokuwawakiuliwa na kuteswa,inakupitikia kichwanikuwa ulikuwa ni mkakatiwa kuchochea hasiraza Waislamu na kuletaghasia katika nchi. Lakinitizama pia yalipotokea

m a s h a m b u l i z i y aWestgate, Manderana Garissa. Ilikuwa nivyombo vya habar ivya mabeberu hao haoviliokimbilia kutuambiak u w a ‘ m a g a i d i ’walikuwa wakiwatengaWaislamu mbali, kishahuwauwa Wakristokikati l i . Kama kunachombo cha habar icha Kenya au Tanzaniakiliripoti mambo kamahaya, ni kwa kunukuutaarifa za vyombo hivyovya mabeberu. Katika

moja ya matoleo yetu,tuliarifu jinsi televishenim o j a y a U f a r a n s ailivyokuwa ikipandikia

 jambo la kuzua kuwa‘magaidi wa Al-Shabaab’walikuwa wakiwachinjaWakristo Garissa.

N a h a p a n d i op a n a t a k i k a n atupazingatie vizuri .Gazeti la MsamariaMwema, la JumapiliMei 10, l i l ikuwa nahabari iliyonadi “KanisaKatoliki lafichua siri

mabomu Arusha”.K a t i k a h a b a r ihiyo kuna nasaha zaM h a s h a m u A s k o f uLebulu. Akirejea tukio lashambulio la bomu katikaKanisa Katoliki, Parokiaya Mtakatifu JosefuMfanyakazi, Olasiti,Arusha, Mei 5, 2013,Askofu Lebulu aliwatakawaumini wa Kikatolikina Watanzania kwaujumla kuheshimianan a k u p e n d a n a

k a m a b i n a d a m uA k a k u m b u s h a nk u s i s i t i z a k u wwanaofanya matendya kigaidi wanalengkutufarakanisha nkuleta f i tna mbaymiongoni mwetu lizuk

 balaa la machafuko.Alisema, waliorush

 bomu li le “wa litakkuliingiza Taifa kwenymigogoro ya kidinlakini kupitia nguvza Mwenyezi Munguwalishindwa.”

K w a h a k i k a h i ln i s o m o a m b a lWatanzania tunatakiwt u l i z i n g a t i e s a n aKenya watalaumiwk w a k u i n g i z wkichwakichwa katik

 biashara hii kichaaTunaweza kusema kuw

hawawezi kuepuklawama ya kuuziwmbuzi wa mikakati y‘Counter Terrorism’ ymabeberu na ATPU zakatika gunia.

Lakini sisi Watanzaniitabidi tujilaumu sankama hatutajifunza kwyanayowakuta wenzetKenya. Wameuwa nkutesa sana watu wakupitia mipango hii ykupewa ya ki- ATPUna kupit ia aki l i ykupewa na kushikiwna mabeberu. Lakinpia kadiri walivyopewmikakati, ndivyo damya Wakenya inavyozidkumwagika na kuwk a m a m i h a n g a ykulinawirisha ‘Subianugaidi.

Sisi tunaamini kuwhakuna gaidi si wkutoka Al-Shabaab aAlQaida au wa jina lolotlile, awe wa ndani awa nje, anayeweza kujkuipiga Tanzania, kamsio hao wa kutengenezwna mabeberu.

N a k w a m a a nhiyo, kama ikitokekupigwa, MwenyezMungu atuepushe n

 ba laa hi lo , si si imanyetu itabaki kuwa nugaidi wa kupangaNa kwa maana hiyhiyo, mipango yoyottutakayofanya ikipew

 jina lolote lile, maadhaitakuwa mithili ya ilya Kenya, itakuwa nya kutuangamiza zaidHaya ni maoni yetu ntutasimama nayo.

Page 3: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 3/20

3  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Habari

Hali za Masheikh mbaya Segerea“ S H E I KH (M s e le m )kafanyiwa udhalilishajimkubwa wa kuachwauchi wa mnyama hukuamening'inizwa kwapingu.”

“ H u y u n i S h e i k ha n a y e s o m a k i t a b ukitakatifu cha MwenyeziMungu, akisikika akisomaQur'an tukufu katika Redionyingi Afrika Mashariki,lakini anafanyiwa ushenzikama huo”-Sheikh Farid

Hali za watuhumiwa waugaidi mbaya. Hivi sasa

 baadhi yao wam egomakula.

Ni katika hali hiyo,Mahakama ya HakimuMkazi Kisutu Jijini Dar

es Salaam, imeambiwaisubiri kupokea maitiza watuhumiwa hao,ikiwa hatua za makusudihazitachukuliwa kunusuruafya zao ndani ya gereza laSegerea.

Kauli hiyo imetolewana Sheikh Farid HadAhmed, mbele ya Hakimuw a M a h a k a m a h i y oanayesikiliza kesi yao,Renatus Rutta, Jumatatuwiki hii.

S h e i k h F a r i d H a dakimpa Hakimu historifupi ya kesi yao iliyopombele yake, alisema kuwa,

wamebambikiziwa kesiya ugaidi kwa kudai nchiyao huru ya Zanzibarna kusema mfumo waM u u n g a n o u l i o p ohawautaki.

Alisema, kesi yao ni yakisiasa na si vinginevyona kwamba, walikamatwana kuletwa bara kujakudhalilishwa tu na polisiwa kike na wakiume.

S h e i k h F a r i dalimtambulisha Hakimuhuyo kuwa wao ni Viongoziwa Taasisi mbalimbali nayeye akiwa ni kiongoziUmoja wa Mihadhara naSheikh Mselem Ali Mselemni kiongozi wa Jumuiya ya

Uamsho, zote za Zanzibar.“Sheikh Kama huyu(Mselem) kafanyiwaudhalilishaji mkubwa wakuachwa uchi wa mnyamahuku amening'inizwakwa pingu, huyu niSheikh anayesoma kitabukitakatifu cha MwenyeziMungu, akisikika akisomaQur'an tukufu katikaRedio nyingi kat ikaAfrika ya Mashariki, lakinianafanyiwa ushenzi kamahuo” Alisema Sheikh Faridmbele ya hakimu huyo.

Naye mshitakiwa Salumalimkumbusha HakimuRua kuwa wiki iliyopita

Na Bakari Mwakangwale aliahidi kuwa atafuatiliahali zao gerezani na kuhojimbona hawakumuona?.

Alisema yeye ni mojawa wal iodhal i l i shwana Polisi kwa kutiwa

chupa na majiti, lakinialisikitishwa na Waziri waMambo ya Ndani, MathiasChikawe ambaye alisemahawajatendewa chochotehuku akijua sio kweli.

Awali, kabla ya kupandakizimbani watuhumiwahao, siku ya Jumamosi wikiiliyopita, zilienea taarifakuwa watuhumiwa waugaidi katika Gereza laSegerea wamegoma kula.

Wakati taarifa hizozikitoka, taarifa nyinginezilibainisha kuwa mmojawa watuhumiwa haoaliyetajwa kwa jina la Said,anaumwa jambo ambalol i m e i l a z i m u K a m a t i

ya Maafa ya Shura yaMaimamu kupambanak u t a k a k u s i m a m i amatibabu yake.

Sheikh Farid, ambayeni Amir wa Jumuiya yaUamsho Zanzibar, alisemaMahakamani hapo kuwak u n a w a t u h u m i w awamegoma kula hukuwengine wanne hali zaokiafya zikiwa sio nzurikiasi cha kuhifadhiwakatika chumba maalum.

Kulingana hali hiyoSheikh Farid, aliiombaMahakama kufika katikagereza hilo kuangalia halihalisi ya watuhumiwahao il i hatua stahiki

zichukuliwe.“Tunaiomba mahakamak u j a k u l e g e r e z a n imjionee hali halisi, ilihatua stahiki ziwezekuchukuliwa, vinginevyosubirini kupokea maiti namuingie katika historia yaZanzibar.” Alisema SheikhFarid Mahakani hapo bilakufafanua zaidi.

A s k a r i M a g e r e z aa m b a y e h a k u w e z akufahamika jina lake maramoja, alikiri kuwepo kwahali hiyo kwa watuhumiwahao wa ugaidi baada yaHakimu wa Mahakama yaKisutu jijini Dar es Salaamanayesikiliza kesi hiyo

Renatus Rutta, kupokeamaelezo na taarifa hiyo yaAmir Hadi na kumuhojiaskari huyo.

Hakimu alimtaka Osawa Magereza aeleze nikwa nini watuhumiwahao watatu hawakufikamahakamani.

Afisa huyo aliielezam a h a k a m a k u w awameshindwa kufikakutokana mgomo nawametoa masharti kuwawanahitaji MwanasheriaMkuu wa Serikali waZanzibar na wa Tanzania

 bara pamoja na Jaji Mkuu,

w a w a t e m be l e e h u k ogerezani.

Watuhumiwa ambaohawakuweza kufika niSaid Amour, Salum na Said

Shehe, Sharifu na AbdallahHassani Hassani.Hata hivyo Sheikh Farid

Had Ahmed, ambayendiye mshitakiwa nambamoja alimweleza Hakimuyale wanayohitaj i nakumwambia, washitakiwawatatu ambao hawakuwezakufika mahakamani nikwa sababu ya mgomona wengine hawakuwezakuka kwa maradhi.

H a k i m u R u t t aalipofanya juhudi zakuwasihi waliohudhuriam a h a k a m a n i h a p okuwasihi wal iogomawaache na kumtaka SheikhF a r i d a w a f a h a m i sh ekwamba waje mahakamani,

 j i bu l a Sh eikh Fa ri dlilikuwa kwamba wenzaow a m e a n z a n a w a owatakwenda kumaliza kwakuwa lao ni moja.

Akiongea na gazeti laAn-nuur kufuatia taarifa zawatuhumiwa hao kugomakula gerezani na wenginekuugua, Katibu wa Kamatiya Maafa ya Shura yaMaimamu, Ustadhi AllyMbaruku, alisema taarifahizo wamezipata nawanazifanyia kazi.

Alisema wanayo taarifaya kuugua kwa Said Amourna wapo katika mchakato

wa kumshughulikia.Kuhusu kugoma kula,alisema ni suala ambalo liponje ya uwezo wao kwanimadai yao yameelekezwakatika mamlaka husika.

Alisema baada ya kupatataarifa za kuugua kwaAmour, walilazimikak u u a n d i k i a u o n g o z iw a M a g e r e z a ba r u aya kupatiwa kibali chakumtibia chini ya uangaliziw a o ( m a g e r e z a ) n aWaislamu watagharamikiamatibabu yake.

Ust. Mbaruku, alisemakwa mujibu wa maelezowaliyo nayo kutoka kwamtuhumiwa huyo, anadai

kuwa sehemu zake zasiri zimevimba na zinadalili ya kuwa na usahakutokana na kuminywana askari wa usalama

 baada ya kukamatwa kablahajakishwa gerezani.

“Hiki ni kil io chaocha muda mrefu kuwawanahitaji kufanyiwauchunguzi afya zao kwaujumla kutokana namadhila waliyoyapatalakini hakuna anayejali,kwa sasa tunahitaji kibali(ruksa) ya uongozi waMagereza ili tumpatiematibabu.” Alisema Ust.Mbaruku.

A l i s e m a A m o u rn i m i o n g o n i m w aw a t u h u m i w awalioshindwa kuhudhuriaMahakamani siku ya

 Jumatatu (Mei 11, 2015)kutokana na maradhiyanayomsumbua, hukuwengine ikiripotiwa kuwawameshindwa kufikakutokana na kukosa nguvu.

Alisema Kamati ya Maafailikuwa inategemea kupatamajibu mapema wiki hii,lakini mpaka Jumannewiki hii bado hawajajibiwa,

 ja mbo am ba lo li na zi dikuchelewesha tiba yauhakika kwa mtuhumiwahuyo.

Hata hivyo kwa mujibuwa Ust. Mbaruku, alisemamke wa Said Amour, alikagerezani hapo kujua haliya mumewe na kuelezwak w a m b a J u m a t a n o(wiki hii) kuna daktariatakwenda kumwangaliakwa ajili ya kumpatiamatibabu.

“Pamoja na majibu hayolakini mle ndani wanapewahuduma za hapa napale ambazo kwakwelihazikidhi haja ya matatizowaliyonayo, ndio maanaathari zinazidi kujitokeza.

“Hata hivyo tunaendeleakuwasiliana na uongozimara kwa mara juu yakupatiwa majibu ya baruaya maombi yetu ya kutoahuduma kwa Muislamuhuyo”. Al isema Ust .Mbaruku.

Akizungumzia mgomowa watuhumiwa haokula gerezani humo, Ust.Mbaruk alisema waliuanzatangu Jumamosi ya wikiiliyopita na kutoa masharti

kadhaa.Alisema baadhi ya mad

yao ni kutaka wafutiwmashitaka ya ugaidkwa sababu ni tuhumza kubambikizwa zisizna ukweli wowote, ndimaana ushahidi mpaksasa hakuna.

 J ing ine ni kwa mbwamechoshwa kupigw

danadana kwa rufayao, wakihoji ni kwa ninhaitolewi maamuzi kwwakati huku wakiendelekunyimwa dhamana.

Ust. Mbaruku, alisemmgomo huo umeanzk w a w a t u h u m i ww a c h a c h e m i o n g o nmwa watuhumiwa hana kwamba, s i wotwaliogoma kwa sasa.

H a t a h i v y o U s tMbaruku alisema, tayaSheikh Farid Hadi, ametokauli kuwa watuhumiwwote wataungana nwenzao ikiwa madai yahayatotekelezwa.

W a k a t i h u o h u

kulikuwa na Kesi nyingininayomkabli mtuhumiwmwingine Ust. SharifS u l e i m a n S h a r i fkutoka Zanzibar nayimeahirishwa huku akiwkwenye mgomo wa kula

W a i s l a mwanaotuhumiwa kwUgaidi, wapo gerezanhumo kwa makundtofauti tofauti kulinganna tuhuma zinazowakabiambapo inakadiriwa kuwmpaka sasa wapo zaidi yarobaini katika gereza lSegerea. Kesi imeahirishwhadi Mei 24.

Sheikh Mselem Ali Mselem, kiongozi wa Jumuiya ya Uamsh

Page 4: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 4/20

4  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

KUENEA kwa mamboya laana kunasababishamaafa. Mfano rushwaikienea sana mpakakusajiliwa kwa vyombovya baharini itakuwakwa rushwa, kupandakwenye chombo kwarushwa hatimaye chombokinazama.

“Wamelaaniwa naAllah (SW) wanaotoa nawanaopokea rushwa” (Mj2313 T1337 AmesahihisaTirmidhy).

L a k i n i a t h a r i y arushwa wenye hakiwataporwa haki zao,wenye makosa ya kuuzaulevi na kokeni watatoarushwa na kusalimika,aliyebaka atatoa rushwana hatofungwa. Itaeneadhulma itakayomkasirishaAllah SW na mwishowataadhibiwa.

W a n a w a k e k u v a amasuruali na fulana,ni laana na hii ndiyo

sare katika makundi yamazoezi takriban yote.Amesimulia Abuu

Hurayra (RA) amesemaMtume (SAW) “amemlaaniM t u m e m w a n a m m eanayevaa nguo za kikena mwanamke anayevaanguo za kiume”(D 4098).Pamoja na wanawakekuchanganika ovyo nawanaume wakifanyam a z o e z i p a m o j a ,wanawake hujilaza miguu

 juu, huku wakibenuliwana wanume. Huko ngazimia mamia ya wanawakena wanaume kwenye

fukwe huchanganikaw a k i i k a r i b i a z i n a ak w a k u k a a pa m o j akufundishana kuogolea.K w e n y e f u k w eh a k u s e m e k i . Z i n a ahadharani. Wanawake nawanaume hukodi magariwakachukua na ulevi nawanawake walio uchi nakucheza ngoma na kuzinikwenye fukwe.

Wakati wa mchanamchanganiko mbaya wawanawake na wanaumek w e n y e se h e m u z awazi na bustani kama

 Jamhuri Garden ambayoimegeuzwa ni bustaniya mapenzi. Jinsia mbilihukaa faragha kukamatanana kuchezeana hadharani.Wakati wa usiku maeneoy a w a z i h u g e u z w akuwa viwanja vya zinaa.Wanawake na wanaumehuzini ovyo kwenyeviwanja, majengo ya shulena mambo hayo yakieneayanasababisha maafa kwaushahidi wa hadithi sahihiya Mtume SAW.

Aliuliza Zaynab binti Jahshi RA “Hivi tutahilikina miongoni mwetu wakowatu wema? Akasema

Mambo ya laana

ndiyo ikiwa yatakithiri

maovu” (Muafaq SB 3346SM 2880).Amesimulia Hudhayfa

(RA) kutoka kwa Mtume(SAW) amesema “Naapakwa Yule ambaye nafsiyangu iko mikononimwake, mtaamrishanamema na mtakatazanamaovu, laa s ivyo nik a r i b u n i A l l a h S Wa t a w a l e t e a a d h a b ukisha mumuombe naasikukubalieni.” (T 2169D4338 Mj 4008 ameisahishaAlbani).

Hadithi hizo mbili niushadidi tosha wa kuwayakikithiri maovu, basilazima majanga yatatokea.

Ama jambo la tatu nikukithiri maovu maalumuya liwati, riba, ulevi namuziki ambayo yakieneamadhambi hayo, basiAllah SW hasubiri akhera,ila atawaonja kwanza kwaadhabu kabla ya akhera.K u e n e a k w a m a ba aambayo hata wananchiwakiyapinga kisheria,

 bad o ya n aruh us i wa.Kuenea kwa wavutaji

 bangi na wa la unga,liwati, watoto kubakwa,wanaume kuoana nawanaume na wanawake

kuingiliwa kinyume namaubile, ndiyo mitindoiliyoenea sasa. Mamboh a y a y a k i f a n y i k aMuumba wa Ulimwenguhughadhibika na kuamuakuwaletea watu majanga.

Allah (SW) anasema“Basi ilipoka amri yetutuliifanya (ardhi hiyoiwe juu chini) juu yakekuwa chini yake, natukawanyeshea mvua yachangarawe za udongom g u m u w a m o t o n i .Zilizotiwa alama (kila mtukwa jina lake) na adhabu

hii haiko mbali kwa (kwa

wanaofanya uovu huukwa uma huu)” (Huud82-83).

A m e s i m u l i a A n a s(RA) amesema Mtume(SAW) ”watakapofanyaumma wangu mambomatano imewastahikiak u n g a m i z w a ,itakapodhihiri kulaaniana,(kuenea vitendo vyalaana na kulaaniana waowenyewe) ukanywewaulevi, (ukaenea ulevi nakunywewa hadharani)n a i k a v a l i w a h a r i r in a w a t a k a p o t u m i aa l a z a m u z i k i , n aw a t a k a p o i n g i l i a n awanaume kwa wanaumena wanawa ke kwawanawake.” (AmeipokeaBayhaq ST2054).

K u t o k a k w a A b i iMalik (RA), kwambaamemsikia Mtume (SAW)“Watakunywa watu ulevina watauita si kwa jinalake, zitapigwa juu yavichwa vichwa vyao, alaza muziki na wanawakewaimbaji, Allah (SW)atawadidimiza ardhini naatawajaalia masokwe namaguruwe”.(Mj 3384 ST2377, 2378).

Imepokewa kutoka kwa

Ubadah bn Samit(RA),kutoka kwa Mtume (SAW)amesema “Naapa kwaYule ambaye nafsi yanguiko mikononi mwakewatakesha watu katika

 batara na shari, na kuchezana pumbao, na wataamkaasubuhi wamegeuzwamasokwe na maguruwe,kwa kuhalalisha mamboyaliyayoharamishwa,na kuchukua wanawakewaimbaji, na kunywa ulevina kula riba na kuvaaharir i”. (Abdillahi bnAhmad ST2377). Batara ni

kufanya israfu na kuwa na

kibri katika mambo mbalimbali kama kula , kunywana mengineyo.

Amesimulia ImranIbnu Hussayn (R .A)kwamba katika ummahuu yatatokea (maafaya) kudidimizwa watuardhini, kugeuzwa sura zawanyama, kurembelewamvua ya mawe, akaulizwamtu katika Waislamuewe Mtume (SAW) liniyatatokea hayo? Akasema“Zitakapoenea ala za mzikina wanawake waimbaji nautakaponywewa ulevi”(imepokelewa T 2212Albany ameipa draja la

hasan).Yaliyotokea Indonesia nifunzo, kuwaachia wataliiwakafanya watakavyompaka wakaandaa haflaya kufanya liwati fukweni,

 basi hapo ndipo adhabuya Allah ilipokuja. Mtindowa liwati unatisha kiasikwamba watoto wengiwameingia katika masualahaya wengine kwa hiarina wengine wanabakwa.Kaseti za ngono na liwatizinauzwa bila kificho.Katika mitandao liwatina zinaa haisemeki nawatoto huangalia mambohayo. Humo Waislamuhujifundisha laana ya

kuwaingilia wanawakekinyume na maumbile nahawaelewi kuwa hiyo nilaana na ni liwati.

Am e s i m u l i a Abu uHurayra (R.A) kutokakwa Mtume (S.A.W)“ A t a k a e m u i n g i l i am w e n y e h e d h i a umwanamke kinyumen a m a u m bi l e , ( k w anyuma) au akamsadikik u h a n i a m e k a n u sh aa l i y o t e r e m s h i w aMuhammad (SAW)” (Mj639 T135, ameisahihishaAlbany).

Am e s i m u l i a Abu uHurayra (R.A) hutoka kwa

Mtume (SAW) amesema m e l a a n i w a m tatakayemuingilia mkewkinyume na maumbile(D 2162, ameisahihishAlbany).

Amesimulia Abdillah b n u A m r u ( R . Aamesema Mtume (SAW”Hiyo ni liwati ndogy a a n i m w a n a m matakayemuingilia mkewkwa nyuma”. (AhmaST2420).

Katika simu na kompumna michezo michafya zinaa na liwati. Pichza wanaofanya liwana zinaa husambazwkwenye mitandao na wathurushiana wakitizam

 b i l a k i f i c h o . Wa thuingiliana wakapiganpicha na kuzitia kwenym i t a n d a o a m b a pmamilioni wanazitizamhawaju i watu kuwkutizama picha za uchi nharamu.

A m e s i m u l i a A bS a i d i ( R A) k w a m b

Mtume (SAW) amesem“Asiangalie mwanammutupu wa mwanammwala mwanamke utupwa mwanamke walmwanamme asilale nmwanamme wakajifunikn g u o m o j a , w a lmwanamke asilale nmwanamke mwenziwwakajifunika nguo moj(SM 338).

Anasema Ibn HajaA s q a l a n y A m e s e mNawawy“ndani ya hadithhii (SM338), kuna makatazya mwamamme kutizamutupu wa mwanammna mwanamke kutizamutupu wa wamamkekat ika ho ja ambayh a i n a k h i t i l a f u , nmwanamme kutizamutupu wa mwanamkena mwanamke kutizamutupu wa mwanamme, nharamu kwa makubalianya Ulamaa wote”.

Imekosekana haya naibu tumewazidi wanyamkwa ufuska tutegemenini? Kama si mafurikau upepo uvumao kwkasi. Maafa ya mvuni madogo angalaulakini jee mawimbi y

 bahari yakatokea pandzote za visiwa wap

t u t a k i m b i l i a ? N a natamuokoa mwenzakeNi miundombinu iptutairekebisha wakahuo?.

Basi tahadhari kablya hatari. Ni wajibu wetkutubu kwa makosa yetuna tujiweke katika njiiliyosawa kabla ya adhabambayo hai tachagumwema na muovu hapduniani.

Hukumu kamili ikkesho akhera, kwa wawasiotubia.

(Mussa Ame Muss0773 834 795)

SHEIKH Farid Hadd. Sheikh Mselem Ali Mselem. RAIS wa zamani waSomalia, Siad Bare.

Page 5: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 5/20

5  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Habari za Kimataifa

WAZIRI wa Mambo ya Njewa Saudia, Adel al-Jubeir,amesema kuwa nchi yakeinafikiria kusimamisham a s h a m b u liz i y a k e

n c h i n i Y e m e n k w akipindi cha muda wa sikutano na kwamba, tayariRiyadh imewasilishapendekezo hilo kwaWaziri wa Mambo ya Njewa Marekani, John Kerry,ambaye alifanya safarinchini humo.

“Tumeiomba Marekanitusimamishe vita siku tanoYemen” Bw. Adel alisemahayo katika mkutano nawaandishi wa habari akiwana Waziri huyo mwenzakewa Marekani huko Riyadh,mji mkuu wa Saudia.

Kwa upande wakeWaziri wa Mambo ya Njewa Marekani John Kerry,alizitaka pande husikanchini Yemen kukubalipendekezo hilo la Saudia.

Hata hivyo Bw. Kerryalisema kuwa, hadi sasaWashington na Riyadhhazi ja jadi l i suala lakutumwa vikosi vyanchi kavu nchini Yemen,kufuatia Rais wa zamaniwa nchi hiyo aliyejiuzuluna kutoroka nchi, AbduRabuh Mansur Hadi,k u i t a k a S a u d i a n awashirika wake, kutumaaskari wa nchi kavu nchinihumo.

Baada ya kuwasili

mj ini R iyadh, Kerrya l i z u n g u m z a n aMuhammad bin Nayef

 bin Abdulaziz, mrithi wakiti cha Ufalme wa Saudia

 juu ya masuala tofaut iukiwemo mgogoro waYemen.

Hii ni kat ika hal iambayo licha ya Saudiakuendeleza mashambuliziyake Yemen ambayo sasayameingia wiki yake yasita, lakini imeshindwakufikia malengo yake,suala ambalo limedaiwakuibua mgogoro kati yawanafamilia wa ukoo waAal Saud nchini humo.

Wakati hali ya Yemenikiwa hivyo, Kamati yaMaulamaa nchini Yemennayo imeitaka Saudiaisitishe hujuma zakenchini Yemen bila mashartiyeyote.

Sheikh Abdus Salaamal Wajih, Katibu Mkuuwa Kamati hiyo alisemakwamba, mashambulizi yaSaudia lazima yasitishwena kusisitiza kwamba,wananchi wa Yemenw a t a k a b i l i a n a k w autukufu na izza na hujumahizo za ukoo wa Aal Saud.

Abdus Salaam alisema

Saudia yadhihirisha kuipiga Yemen kwa niaba ya Marekan

MAKUNDI 10 ya wabebasilaha huko Jamhuri yaAfrika ya Kati yametia sainimapatano ya kuweka chinisilaha na kumaliza mgogoroamb ao u mesab ab i sh amaelfu ya watu kupotezamaisha nchini humo.

Kundi la wanamgambowa Kikristo la Anti-Balakana lile la Waislamu la Selekani miongoni mwa makundihayo kumi yaliyosainimakubaliano ya kusalimishasilaha zao kwa serikali ya

mpito mjini Bangui.K w a m u j i b u w a

m a k u b a l i a n o h a y o ,w a n a m g a m b owatakaosalimisha silaha zaowatajumuishwa katika jeshila taifa na kwenye mashirikamengine ya kiraia.

Aprili 9 mwaka huu,v io n go z i w a m aku n diya Seleka na Anti-Balakaw a l i s a f i r i h a d i m j i n iNairobi Kenya na kusainimakubaliano ya usitishajivita pamoja na mpango wakuweka chini silaha.

Marais wote wa zamani

kuwa, kushambulia kaburila Sayyid Hussein BadrudDin al Huthi, Mwasisi waHarakati ya Answarullahya nchi hiyo, hakuwezikufuta hata kidogo kra

yake kwa Wayemen, balikutapelekea raia wengi wataifa hilo kuzidi kumuenzikiongozi wao huyo.

Licha ya Saudia nawashirika wake kama

Marekani, utawala waIsrael na nchi kadhaa zaKiarabu kuanzisha wimbikubwa la mashambulizid h i d i y a Ye m e n n akusababisha maelfu ya

watu wa taifa hilo kuuawna kuharibu miundombiny a k e , l a k i n i b a dimeonekana kushindwkufikia malengo yakhuko Yemen.

Seleka, Anti Balaka wakubaliana amaniw am e af ik i h a tu a h iyoya kusalimisha silaha nakumaliza uhasama nchinihumo, japo kuna wasiwasiwa utekelezwaji wa hatuahiyo.

Michel Djotodia, Kiongoziwa Seleka aliyempinduaRais Francois Bozize mweziMachi mwaka 2013 na kishakujitangaza Rais wa Jamhuriya Afrika ya Kati, ameakimpango wa kusalimishasilaha.

Uamuzi kama huo pia

umetangazwa na Bw. Bozizelakini wafuatiliaji wa siasaza CAR wanatilia shakautekelezwaji wa makubalianohayo. Hii inatokana na ukwelikwamba, Djotodia na Bozizewamepoteza ushawishiwao kwenye makundi yaSeleka na Anti Balaka nakwa mantiki hiyo, uamuziwa makundi hayo kusainimakubaliano hayo huendausiwe na athari yoyote.

Baadhi ya wachambuziw a n a s e m a k u s a i n i w amakubaliano ya Nairobipasina kuweko mwakilishi

wa Umoja wa Mataifapamoja na Rais wa serikaliya mpito ya Jamhuri yaAfrika ya Kati, Bi. CatherineSamba Panza, kunayafanyamaafikiano hayo kukosaitibari ya kimataifa na hatakutilia shaka uwezo wakewa kuhitimisha mapigano yakikabila na kidini katika nchihiyo ya kati mwa Afrika.

Makubaliano ya Nairobiya l iku w a m atu n da yamazungumzo kati ya pandehasimu chini ya upatanishi

wa serikali ya Kenya. Baadayeviongozi wa Jumuiya yaKiuchumi ya Kati mwa AfrikaECCAS walimteua DennisSaso Nguesso, Rais wa KongoBrazzaville kuwa mpatanishiwa mgogoro wa CAR.

Ni chini ya upatanishiwake ndipo pande hasimuzilipokutana mjini BrazzavilleMei 4 na kusaini makubalianomengine ya usitishaji vita nakuweka chini silaha.

 Jamhuri ya Afrika ya Katiilitumbukia katika mapiganoya wenyewe kwa wenyewemwaka 2013 wakati kiongozi

wa Seleka, Michel Djotodalipompindua dikteta wzamani, Francois Bozize.

Kundi la kikristo la AntBalaka lilianzisha vita nmauaji dhidi ya wanachamna wafuasi wa Seleka, ambawengi walikuwa WaislamVita hivyo vilibadilika nkuwa vya kidini ambapWaislamu wengi waliuawna wengine wakalazimikkuikimbia katika Taifa hilenywe wafuasi wengi wUkristo.

W a c h a m b u z i w e n gw a n a a m i n i k u w amakubaliano ya usitishavita na kusalimisha silahyaliyosainiwa na makunya wanamgambo wa CARhayatoshi kumaliza mgogowa nchi hiyo.

Wafuatiliaji wa mgogorwa nchi hiyo wanasemmuarubaini wa tatizo lililokni kukiwa maridhiano kaya jamii ya Waislamu nWakristo, kwani jamii hiz ba do zi na an ga li an a kw jicho la chuki na uhasamkutokana na yaliyojiri kayao miaka miwili iliyopita.

 MAUAJI nchini Yemen yanayofanywa na Saudi Arabia nchini humo.

Page 6: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 6/20

6  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

KATIKA safari zangu

nilikutana na mtotommoja wa Kitanzaniamwenye asili ya Kiarabua l i y e k u w a a k i s o m adarasa la tano. Katikakumwulizia kukhusumasomo ya utumwa,alibadilika sura yake,akanielezea manyanyasoanayoyapata darasaniwakati wa somo hilo.Moja ya manyanyasohayo ni kutambulishwadarasani kuwa babuyake ndiye aliyekuwamfanya biashara yautumwa, ingawa kuwa

ukoo wake haukukhusikana biashara ovu hiyo,lakini alikhusishwa kwasababu alikuwa na asiliya Kiarabu tu.

Naamini hii sio serarasmi Tanzania ambayoraia wake wote wanahaki sawa, lakini yulemwalimu mwenyewekapandikizwa khabari zauwongo kichwani tokeautotoni mwake na hivyochuki moyoni mwakena amepewa nyenzoza kuuonesha ubayaunaotokana na siasa kali

za udini na kuziendelezasiasa hizo katika bongoza watoto wadogo ambaowataendelea kuishi nazomaishani mwao na hivyokuendeleza chuki nchini.Tujiulize: Huyo mtoto washule wa leo, anakhusiananini na biashara yautumwa ya karne zilizopitahata aadhiriwe mbele yawenziwe darasani kuwaanakhusika na ni mtumuovu? Walio waovusi wanafunzi, bali nihao wenye kutapakaza

propaganda kali za udinishuleni, katika vitabuna magazeti na katikamajukwaa ya siasa.

Ukiwa unaelewa taarikhkwa kiasi tu na ni mtuunayetumia akili yako namantiki, hutaacha kuonapropaganda dhidi yaUislamu inavyotapakazwaTanzania. Hapana ubayakufikisha ujumbe, ikiwaujumbe wenyewe nisahihi, lakini ikiwa ujumbesi sahihi au umekusudiakupotosha ukweli aukuleta chuki au kuigawa

 jamii , basi ujumbe huoutakuwa unasikitisha nakutisha sana, na khasa

ikiwa wanaofikishiwaujumbe ni wanafunziwatoto wadogo na vijanaambao watakuwa viongoziwetu kesho.

Lakini basi, picha hiiiliyochorwa na CloudyChatanda inaelezea ukweliwa mambo yalivyokuwa?

 Jawabu ni kuwa mchorajiamebirua ukweli kabisana kuwanyooshea kidolec h a k e c h a l a w a m aasiowapenda, nao niWaislamu. Wakati wowotetunapoficha ukweli na

kuwakinga madhalimuna vitendo vyao vyad h u l m a n a w a k a t ihuohuo kuwalaumuwengineo wasiokhusikana kitendo hicho, uwongoh u o h u i n g i a k a t i k akumbo la propaganda,na propaganda ni silahambaya sana yenye kukuzachuki ambazo aghlabuhumalizikia kuulisha watuwengi bila ya sababu.

Hapana shaka yoyotekuwa propaganda hizizinazosomeshwa shuleniT a n z a n i a n a k a t i k amagazeti na majukwaaya siasa na katika khutbaza makanisa na misikiti,

z i m e sh a a n z a k u l e t akhasama kubwa baina yaWaislamu na Wakristo.Kwa sasa nakuachiliamwenyewe ufunguemasikio yako usikilizevizuri wanaokhubiri naufungue macho yakousome magazetini uangalievizuri sana Tanzaniainakotokomezwa. Kamaunaipenda Tanzaniak i k w e l i k w e l i , b a s iutatafuta kila njia yakuziondosha propagandakila mahala zinakotumiwa,

tena vibaya sana. Kunawachache kati ya Waislamuna Wakristo wanaofaidika

na propaganda hizi naninajua ka kuwa waovuhawa wasioipendeleamema Tanzania watatafutakila njia ya kuhakikishakuwa ukweli utaendeleakunyongwa na upotoshaji.

K a t i k a p i c h a h i it u n a y o i z u n g u m z i a ,hapana shaka yoyotekuwa mchoraji ametumiapicha zilezile zilizochorwazaidi ya miaka 130 nyumana kubadi-lisha, kwamakusudi, mkamatajiMzungu katika picha yakwanza na katika picha

ya pili akaona awatoeWazungu Wakristo naWaafrika wasiwemo na

 badala yake ampachikeMwarabu Mwislamu.Hapana shaka kuwaw a m e o n a M w a r a b uatawafaa zaidi katikapropaganda zao dhidi yaWaislamu.

 Je , watu kama ha wawenye kubirua ukweliwa kihistoria wanafaakuachiliwa wawe nau h u r u w a k u w a p avidonge vya propagandaza sumu vijana wa shule

Tanzania kwa kuandikana kuchora propagandaza fitna zitakazokujakuwaulisha watu wasiona hatia baadaye?

Iangalie vizuri na hiipicha ya zamani ambayoinaonesha wazi kabisakuwa wakamataji khasawa wanyonge ni kutokakatika makabila ya haoWaafrika yaliokuwa nanguvu. Angalia vizuri nautaona kuwa mkamatajiamevaa suruwali, yaani nimtu ambaye alikuwa naukhusiano na Wazungu

Wakristo na si WaarabuW a i s l a m u . A n g a l i apia ukweli wa mavaziwaliyovaa mateka utaonakama ilivyokuwa wakatihuo Waafrika wanawakekatika sehemu nyingiwalikuwa hawavai sidiriawala vitambaa kifuanikufunika maziwa yao kamautakavyoona baadae humukatika picha zilizochorwana wachoraji wa leo waKitanganyika wenye siasakali za udini (wa Kikristo)katika juhudi zao za

kupindua ukweli. Pichhii inaonesha mlolongwa watumwa wa kikwaliobebeshwa mizigo y

kwenda kuuziwa WarenMsumbiji pamoja na hamateka.

Kwa wenye kuijuhistoria ya ulimwengv i z u r i n a w e n yk u t u m i a a k i l i z awataelewa mara mojkuwa wanapropagandwenye s iasa kal i zu d i n i w a k i a c h i l i wkuendelea na mipangyao dhidi ya Uislamu nWaislamu isiyokhusianna kuelezea ya ukwewala kufuata mafunzya Ukristo wala Uislamu

 basi wataelewa mara mokuwa yanayosomeshwkatika shule hayatachukumuda mrefu yataileteTanzania maafa mapevuPicha za kipropagandna uzushi si hizo chachtu tulizozinakili kabla, lzipo nyingi tu. Angalimifano mingine michachinayofuata:

Hakuna Mwaraba l i y e k w e n d a b a rkukamata watumwna kuwapeleka PwanLakini wenye udini lazim

wamtwike MwarabMwislamu lawama zukamataji wanyonge pia

Tumeshaelezea kablkuwa Mwarabu walMswahili hakuwemkatika ukamataj i wwanyonge Bara, lakinwenye propaganda zakwa lengo lao maalumlinalotokana na siaskali za udini lazimwamshirikishe Mwarabna Mswahili. Picha hhakika ni ya kuchekeshKwanza anayeoneshwni Mwarabu aliyeva

agali kichwani, kivazambacho si cha Kiomanwala cha Kiyemen, nni Waarabu wenye asiya nchi mbili hizi ndiwaliokuweko Pwani yAfrika Mashariki kwwingi. Koti alilovishwni la baridi la Kiulaya nviatu vinashabihi vyKihindi. Mwarabu huyni wa wapi?

H a i d h u r u k i tk u w a c h o r e a w a t o tw a d o g o w a s h u l

Profesa Ibrahim Noor Shari

Propaganda za udini shuleni Tanzania-2

PICHA inaonesha Waafrika wamewakamata watumwa. Mkamataji amevaa suruali na shati inaonesha ametokeaupande uliotawaliwa na Wazungu.

Inaendelea Uk.

Page 7: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 7/20

7  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

Inatoka Uk. 6

Propaganda za udini shuleni Tanzania-2uwongo wowote! Yaani,wanazivuruga akili na

nyoyo za wanafunziwa shule Tanzaniana kuwaelekeza, kwamakusudi, kunako tinana mauwaji ya watu wa

 jamii Fulani. Jee, hayahayakuwa ya “wajingan d i o w a l i w a o ” ?Khalafu tusisahau kuwawanazungumzia Karneya 19 na labda kabla yahapo, sasa hii bundukialiyoishika “Mwarabu”ya “semi-automatic”kaipata wapi na bundukiza aina hiyo zilikuwa

 bado hazijaundwa?

M r a d i u c h o r a j iunapotosha ukwel ikwa kadiri kubwa sana,lakini pia ingelikuwani wa vichekesho sanaingelikuwa maudhuiyenyewe na athari zakesi za khatari ya kuwezakuulisha watu bure

 baada ya kujenga chukizisizokuwa na ukweli.

Halikadhalika, napicha hii inayofuata yakuchora kutoka ukurasawa 74 wa kitabu chaHistory for Secondary

Schools, Form Two, yawafanyabiashara yautumwa wanakiingiliakijiji inapingana sana nayale yaliyothibitishwakutoka

K w a m a b i n g w awa historia. Picha hiiinaonesha kuwa niWaarabu peke yaowaliokuwa wakiviingiliavijiji vya Kiafrika nakuwauwa Waafrikahao kiholela. Ukwelini kuwa kitendo hichokilifanywa sana, tenasanasana, na machifu

wa Kiafrika waliokuwana nguvu pamoja naWa por tu gi z i . Kwahivyo, inahitajia tupewe

 jawab u ya sa babu yakuwanyooshea kidolecha lawama WaarabuWaislamu peke yao kwavitendo vilivyofanywazaidi na makabila yaKiafrika yaliyokuwana nguvu pamoja naWaportugizi Wakristo?Nini lengo la wachorajikuucha ukweli huu?

Tena, na picha hii

PICHA hii ya juu inaonesha kuwa hakuna wa kulaumiwa katika ukamataji wawatumwa ila Waarabu Waislamu peke yao.

imechorwa kuoneshak u w a h a k u n a w a

k u l a u m i w a k a t i k aukamataji wa watumwaila Waarabu Waislamu.

N a h i i y a j u upia inamshir ikishaM w a r a b u k a t i k aukamataji. Na inayofuatai n a w a s h i r i k i s h aWaarabu na Waswahilik a t i k a k i t e n d ok i l i c h o f a n y w a n aWaafr ika wa Bara .Dhahiri kuwa ukhabithiwa wakamat aji wakweli, yaani makabilaya Waafrika wa Bara

yaliyokuwa na nguvuwanatupiwa Waarabu

na Waswahili. Kisa nikwa kuwa ni Waislamu. Na katika picha hii pia,

wenye kulaumiwa kwaukamataji wa wanyongewa Kiafrika ni Waarabuna Waswahili Waislamu.

N a h i z i p i c h azinazofuata kutokana navitabu vya kusomesheahistoria Tanzania halindiyo hiyohiyo. MtwikeM w a r a b u l a w a m azote za ukamataji wawanyonge wa Kiafrikana kuwatia utumwani

n a k w a k u f a n y ahivyo lengo khasa la

kuichukiza dini yaoya Kiislamu litafikiwakatika bongo za watotovijana katika shule zaTanzania. Lakini hilohalitakiwa kwa sababukila kukicha wengiwenye kutumia akilizao wanazidi kuuonaukweli. Lakini wenyelengo lao la siasa kaliza udini ni sawa kwaowanaona kuwa haidhurukitu wakija Waislamu naWakristo kuuwana sikuza mbele, na Tanzania

ikawa nchi isiyokalikSiasa zao kali za udinni masikitiko makubwkwa nchi nzima.

Mwarabu hajulikanwa wapi! Wanawake wKiafrika katika zama hizkweli walikuwa wakivavitambaa kifuani kamsidiria? Vichekesho kwmwenye kuujua ukwel

Angal ia na pichinayofuata. Tena ntena picha za kuchorzinamlaumu Mwarabk w a u k a m a t a jwanyonge wa Kiafrikna kuwatia utumwani

Na hii inayofuatndiyo naipa nishan

kubwa kabisa. Maelezyanasema, kwa tafsir“Watumwa wakiwkazini katika mashambya miwa katika WesIndies.”

West Indies ni visiwvilioko Amerika ambakWaarabu hawakuwekhuko. Sasa inakhusnini nokoa achorwM w a r a b u ? H a wwaandishi na wachorawenye siasa kali zpropaganda za udindhidi ya Waislamwamefikaje kuidhibi

manhaji (karikulamuya kusomeshea historiTa nz a ni a na hu ktunaambiwa Tanzanihaina dini?

H a t a k a t i kmashamba ya miwa yWest Indies ambakWaarabu hawakuwekwanawalaumu Waarabkuwa ndio waliokuwmanokowa!

H a p a n a u b a yk u f i k i s h a u j u m b eikiwa ujumbe wenyewni sahihi, lakini ikiwujumbe si sahihi a

umekusudia kupotoshukweli au kuleta chukau kuigawa jamii, baujumbe huo utakuwni wa khatari sana, nkila mpenda haki nusalama wa nchi n

 jamii zake anatakiwaupinge kwa kupazsauti yake, khasa ikiwwanaokishiwa ujumbni wanafunzi wadoga m b a o w a t a k u wviongozi wetu keshona wao ndio watakuwwanatuamulia mambyetu na kutuongoza.

Page 8: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 8/20

8  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

“ A M E T A K A S I K A ,Aliyemchukua mjaWake usiku mmojak u t o k a M s i k i t iM t u k u f u m p a k aMsikiti wa Mbali ,ambao Tumevibarikivilivyouzunguka, ili

Tumwonyeshe baadhiya Ishara Zetu. Hakikani Mwenye Kusikia naMwenye Kuona.” (Al-Israa 17: 1)

Allaah (Subhaanahuwa Ta’ala) AnaelezeaUtukufu Wake, UkubwaWake na Uwezo Wake,kuwa Yeye ni Mweza wakila kitu na Anafanyakila kitu Anachotakakukifanya. Yeye pekeeN d i y e M u n g u w akweli na Yeye pekeeYa ke Ndi ye Ml ez i(Muumba, Mtoaji wa

Riziki na Mwenye kutoaukimu wa kila kiumbe).Alimchukua mja WakeMuhammad (SwallaAllaahu ‘alayhi waaalihi wa sallam) kutokaMakkah na kumpelekakatika msikiti wa mbalihuko Jerusalem katikausiku mmoja. (KutokaTafsiyr ya Ibn Kathiyr)

M t u m e ( S w a l l aAllaahu ‘alayhi waa a l i h i w a s a l l a m )alipewa miujiza mingina Mola wake. Muujizawake mkubwa ni Kitabu

cha Qur-aan, kitabuambacho kiliteremshwamiaka 1400 iliyopita nahakuna hata mtu mmojaa m b a y e a m e w e z akubadilisha hata herumoja au kuleta kitabucha mfano wake. AllaahAmesema: “Hakika Sisindio TulioteremshaUkumbusho na hakikaSisi ndio Tutaoulinda”(Al-Hijr 15: 9).

A a y a h h i i n ichangamoto dhidi kwamakafiri kuwaambiakitu kinachofanana

na Qur-aan ambaowal i jar ibu kufanyamifano ya Qur-aanwakawa wameshindwavibaya sana. Vitabuvingine vya kutoka KwaAllaah (Subhaanahu waTa’ala) ni Taurati na Injiliambavyo viliharibiwa nakubadilishwa na ujumbekubadilika ama kwakuongeza maneno aukupunguza maneno namaana vile vile. AllaahAmesema juu ya Qur-aan kuwa “Atailinda”

Israi na Mi’raji

 MSIKITI wa Baytul Muqas uliopo Palestina ambao ulikuwa Kibla cha kwanza kwaWaislamu kabla ya Makkah. Katika safari ya Mi'raji Mtume (s.aw) alipita katika Msikiti huu.

na kweli Ameilinda naAtaendelea Kuilinda.

M t u m e ( S w a l l aAllaahu ‘alayhi wa aalihiwa sallam) alisema,“Kila mtume aliyekujakabla yangu alipewamuujiza na miujiza hiyoilibakia kuwa miujizawakati wa uhai waohao mitume.: Mfano‘Iysa (‘Alayhis-Salaam)alikuwa na muujiza wakutibu watu wagonjwana kufufua wafu. Muusa( ‘ A l a y h i s - S a l a a m )alipewa mbo ya miujizana mambo mengine.N a m i n i m e p e w amuujiza wa milele,Qur-aan itabakia kuwamuujiza hadi kusimamaQ i y a a m a h . H i v y onatarajia kuwa wafuasiwangu watakuwa niwengi kat ika idadizaidi ya wafuasi wa

Mitume wengine kwakuwa muujiza wanguutabakia na utakuwepohadi Siku ya Qiyaamahambao ni Qur-aan. Kilaanayekisoma Kitabu hikihata kama ni mpagani,

 basi yeye huvutika nakuona ukweli uliomondani yake na kuonahakuna aliyekiandikaisipokuwa Bwana waMbingu na Ardhi.”(Swahiyh Al-Bukhaariyna Swahiyh Muslim)

Muujiza mwingine

wa Mtume wa Allaahilikuwa ni kupasuka kwamwezi. Anas anasemakatika riwaya yake,kuwa watu wa Makkahw a l i m t a k a M t u m e(Swalla Allaahu ‘alayhiwa aalihi wa sallam)awaonyeshe muujiza naakawaonesha kupasukakwa mwezi. (SwahiyhAl-Bukhaariy, Juzuu ya4 Namba 831)

Kutoka Maji KutokaVidole Vya Mtume(Swalla Allaahu ‘AlayhiWa Aalihi Wa Sallam)

Imepokewa kutokakwa Jaabir ibn Abdullahakisema: “Nilikuwa naMtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa aalihi wasallam) na muda wakuswali Swalah ya Al-‘Aswr ukaka. Tulikuwahatuna maji isipokuwamaji kidogo tu ambayo

yal ikuwa ndani yac h o m b o a m b a y oyaliletwa kwa Mtume.Basi aliweka mkonowake ndani ya maji hayona kutandaza vidolevyake na huku akisema,“Njooni Haraka watuwote ambao wanatakak u t a w a d h a H i i n i

 baraka kutoka kwaAllaah” Nikaona majiyakibubujika kutokakatika vidole vyake.Hivyo watu walitawadhana wengine wakawa

w a n a k u n y w a m a j ihayo na mie nilitakakunywa maji mengikupita kiasi (kwa sababunilijua kuwa ilikuwa ni

 bar aka). Mpokeaji wahadiyth hii kutoka kwa

 Ja abir i al isema kuwanilimwuliza Jaabir Je,mlikuwa watu wangapiwakati huo? Akajibu,

“Tulikuwa watu elfumoja na mia nne.”(Swahiyh Al-Bukhaariy

 Juzuu 7 namba 543 naSwahiyh Muslim Juzuu4 namba 779)

M t u m e ( S w a l l aAllaahu ‘alayhi waa a l i h i w a s a l l a m )a l i k u w a a m e p e w amiujiza mingine mingi.Mu u j i z a mwi ngi nemkuu ni ule wa Israana Mi’iraaj au “Safariya Usiku” Makala hii nikujaribu kuonesha faidazinazopatikana katika

safari hii na mafunzoyanayopatikana katikamuujiza huu mkubwa.

Tukio la Israa naMi’iraaj lina hekimakubwa sana na mafunzomakubwa. Funzo lakekubwa ni kuwa mjahapaswi kukata tamaa,l a z i ma a we da i maanamtegemea Molawale na atamletea farajahata kama kutakuwan a m a m b o m a z i t oyanamkabi l i . Zaidiya hapo mwanadamu

anapaswa kuwa daimkaribu na Mola wakhasa wakati anapokuwanakabiliwa na mambmazito na vitendo vykuhuzunisha au mikasmizito, kwani matatizhayo hupotea kama vil

yalikuwa hayajatokea.Mwaka wa HuzuniTukio la Israa n

Mi’iraaj lilikuwa katikkipindi cha mwakwa huzuni. Mwakhuu ulipewa jina hilkutokana na sababz i fu a ta z o : Kwa nzni kifo cha ‘Ami yMtume, Abu TwaalibAbu Twaalib alikuwni mlinzi na mlezi wMtume (Swalla Allaah‘alayhi wa aalihi wsallam) wakati Waislam

wakiwa Makkah nyeye alimkinga dhidya mashambulizi ymakafiri wa MakkahW a t u w a M a k k awalipopinga ujumbwa Muhammad kwn g u v u n a k u a n zkumshambulia Mtumna Waislamu, AbTwaalib alikinga kifuchake na kumhammtoto wa nduguyeAlisema, “Tunapendkusaidia tunakubau s h a u r i w a k o ntunayakubali manen

yako. Hawa ni watwa jamii yako ambaumewakusanya na mimni miongoni mwaolakini mimi ni mwepekuliko wote kufanykile ukitakacho. Fanykila lile uliloamriwkufanya. Nitakulindna kukuhami, lakinsiwezi kuiacha dinyangu” Abu Lahaakapayuka: “Wallaah

 jambo hili ni jambo ovWewe lazima umkatazhayo ayafanyayo kably a w a t u w e n g i n

hawajamkanya”. AbT w a a l i b a k a s e m aNa a pa n i ta endel ekumlinda na kumhamkatika maisha yangyote”. (Ar-RahiyquMakhtuum).

Ameeleza Al-‘Abbaa bi n Ab du l- Mu twal i(Radhiya Allaahu ‘anhuk u w a a l i m w a m b iMtume (Swalla Allaah‘alayhi wa aalihi ws a l l a m ) , “ H u k u w

Inaendelea Uk. 1

Page 9: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 9/20

9  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

KWENYE makala iliyopitatuliona kwamba pamojana Mengineyo, mamboyafuatayo yanachangiakatika uduni na unyongewa misikiti yetu hivi leokwa kulinganisha na ulewajibu ambao msikiti

unatakiwa uutekelezekijamii: Kukosa Dirailiyodhahiri, Kukosekanakwa stadi/mbinu zau o n g o z i , M a z in g ir ayanayokatisha tamaa,Urasimu wa hali yajuu, Kukosa ubunifu,M a w a s i l i a n o d u n i ,Ushir ikiano mdogo,Udhaifu katika kufanyakazi kama timu, naUratibu dhaifu wa krana maarifa mbalimbali.

K a b l a y a k u a n z akuyajadili mambo hayo,zipo nukta ambazo nivema tukazijadili kwanza.Ni nukta ambazo huendazikaamsha fikra zetu

kuweza kuuangazia msikitiwetu kwa uoni stahiki.Uoni ambao umejengwa

 juu ya msingi imara waQur-an na Sunnah yaM t u m e M u h a m m a d(s.a.w).

W a k a t i m m o j anilipokuwa nikiendeshamafunzo kwa baadhiya viongozi wa misikitinilipata kuwauliza swalimoja. Ni swali ambaloliliibua mjadala mkalikidogo katika pandembil i z i l izopat ikanawakati wa kutafuta jibula swali lenyewe. Kilaupande ulionelea kwambamaelezo yake ni sahihi

zaidi kuliko ya upandewa pili. Na kwa manufaaya darasa tukahitimishakwamba tukubalianekutokukubaliana.

Swali lenyewe lilikuwani hili: “Kipi ni bora zaidi,msikiti kumiliki shuleau msikiti kumilikiwan a s h u l e ? ” N a m n autakavyoanza kutafakarimaj ibu ya swali hil i ,inahusika moja kwa mojana nafasi ya msikiti wakoitakavyokuwa katika jamiiyako. Unaweza kutumiataasisi badala ya shule iliuweze kutafakari swalihilo kwa upana zaidi.

Hivi leo, tunayo misikitimingi ambayo inamilikishule, zikiwa za ngazitofauti. Baadhi ya misikitiinamiliki shule za ngazifulani tu na mingineinamiliki shule za kuanziangazi ya awali hadi kidatocha sita.

K w a u p a n d e w apili, zipo shule nyingiza Ki is lamu ambazozinamiliki misikiti. Misikitihiyo inakuwa ni sehemuya majengo ya shule hizozikiwa chini ya uendeshajiwa kawaida wa utawalandani ya shule husika.Utaratibu unaoendeleandani ya misikiti kamahiyo, unazingatia ratibu

Nafasi ya Msikiti-2Na Abuu Numan Hassan

kuu ya shule.Unaweza kutumia, kama

tulivyotanguliza hapo

awali, taasisi badala yashule katika kuunogeshamjadala kwenye eneo lako.Kwa wakati tulionao, ipomisikiti mingi ambayoinamilikiwa na taasisi.Misikiti hiyo inatekelezakazi zake nyingi kwakuzingatia maelekezona usimamizi wa taasisimama.

Kwa nini viongoziWaliohudhuria mafunzoy a l e w a l i k u b a l i a n akutokukubaliana? Ilitokeahivyo kwa sababu yamvutano wa hoja uliojikitakatika mambo muhimum a t a n o ( 5 ) . M a m boyenyewe ni namna yakuyafikia malengo yam si k i t i / sh u l e / t a a s i s ikwa ufanisi, masualayanayohusu usimamiziwa fedha, utambuzi nautatuzi wa migogoro,mchakato wa ukuaji wamsikiti/shule/taasisi, namfumo wa mawasilianokiutendaji kati ya msikitina shule/taasisi.

M a m b o h a y oyaliwagawa wajumbekatika pande mbili zenyekuyatazama mambo hayokwa mitazamo mawilitofaut i . Hata hivyo,zingatia kwamba mjadalahuo haukubeba hisia zachuki wala uadui kati yapande mbili zilizokuwazikivutana kwa hoja.

Upande wa kwanzau l i s e m a k u w a ,mambo hayo hapo juuyatafanikiwa vizuri paleambapo msikiti utakuwandiyo mmiliki wa shule autaasisi. Na hali ya umilikiitakapokuwa tofauti ,

 basi ms ikiti ut aku wakwenye wakati mgumuwa kuweza kutekelezamajukumu yake kwaufanisi unaotakiwa.

U p a n d e w a p i l iwal ikuwa na maonikwamba ili shule/taasisii w e z e k u y a t e k e l e z am a m bo y a l i y o t a j w a

hapo juu, ni muhimumsikiti uwe ni sehemuya shule/taasisi hiyo.

Kwa maneno mengine,msikiti umilikiwe nashule/taasisi, vinginevyoitakuwa ngumu sana kamaitawezekana kuyatekelezamajukumu hayo hapo juukwa ufanisi unaotakiwa.

 Je , we we bin af si nawenzako kwenye msikitiwako mnatoa majibu ganikwa swali la kipi kinafaazaidi kati ya msikitikumiliki shule/taasisi,au msikiti kuwa chini yaumiliki wa shule/taasisi?

 J e , m n a t a f a k a r ikuchagua upande mmojamnaoona unawafaa kati yapande hizo mbili hapo juu;au mnatafuta majibu ya

kati na kati; au mnatafutamajibu mengine tofauti?Katika mchakato wa safuya uongozi wa msikitikutafuta majibu ya swalihilo, ndivyo ambavyowanazielekeza fikra zaokatika kutengeneza nafasiya msikiti wao katika jamii.

Nilipata kuzungumzana baadhi ya maimamwa misik i t i ambayoinamiliki shule wakiwawanalalamika kwambaviongozi wa shule ni jeurina hawana heshima kwaviongozi wa misikiti.Wanawachukulia kamawageni wanaoka shuleni

‘kulia njaa’. Wao kamaviongozi wa msik i t ihawapewi taarifa yamaandishi juu ya kilekinachoendelea shulenikila baada ya mudafulani…!

Mazungumzo yanguna baadhi ya wakuu washule ambazo ziko chiniya umiliki wa misikiti nayohayakukosa malalamiko.Wakuu wa shule hizowanalalamika kwambaviongozi wa misikitiwamekuwa na kawaida yakufanya mambo kiholela,‘wanapiga mno mizinga’kiasi kwamba wanapoingia

osini unapata wasiwasikwamba leo watataka kiasigani, na hata wanapopewa

taarifa za maendeleoy a s h u l e h a w a n amuda wa kuzisoma nakutafakari mapendekezoyaliyotolewa na uongoziwa shule na namnaya kuyatekeleza baliwanakimbilia kuangaliakiasi gani kimekusanywaili na wao wapate mgao

 bila kuzingatia wala kujali bajeti ya shule kwa kuwatu wao ndiyo wamiliki washule husika…!

N a d h a n i u n a o n anamna ambavyo nafasiya msikiti inaingia katikamkanganyiko mkubwa

kwa msikiti kuwa mmlikiwa shule, na kwa msingihuo huo, kumiliki taasisi.Kuna ulazima wa harakakupata ainisho zuri lanafasi ya msikiti katikamchakato wa utekelezajimipango ya msikiti paleambapo msikiti ni mmilikiwa shule/taasisi.

T a f a k u r i k u b w ai n a h i t a j i k a k a t i k amchakato huu wa kutafutaainisho zuri la nafasiambayo msikiti unatakiwakuibeba ili tutoke hapatul ipo, ambapo k i laupande – msikiti na shule/taasisi – wanalaumiana na

hivyo kuviza utendaji wao.Sasa tugeukia upande

wa wale waliojenga hojakuwa inafaa zaidi shule/taasisi kumiliki msikiti nakuwa sehemu ya utendajiwake wa kila siku.

Katika mazungumzoyangu na baadhi yamaimam wa misikitiiliyo chini ya umiliki washule/taasisi walikuwawakilalamika kwambauongozi wa shule/taasisihautengi kabisa fungu auunatenga fungu dogo lafedha kwa ajili ya msikiti

wakati wa kuandaa bajeya shule/taasisi husiki l i h a l i sh u l e / t a a s i sinatenga mafungu y

 bajeti kwa ajili ya maenemengine ya utendaji.

Halikadhalika, maimamhao walilalamika kuwshule/taasisi zinachukulkazi za misikiti kama ka

za ziada katika majukumya msingi ya shule/taasisNa tangu hapo msikiti uppale kwa ajili ya kupatukaribu wa sehemu ykutekelezea ibada ya swatano pekee.

K u m b u k a k u wmaimam hao aidha nwanafunzi wa shule/taasiau ni watendaji wa taasimama.

K w a u p a n d e wwamiliki wa shule/taasiniliopata kuzungumzn a o , w a l i k u w a nmtazamo kwamba msikini jambo ambalo ujenz

wake wanahitaji msaadwa fedha na vifaa kutokkwa Waislam. Jambla kustaajabisha hapni kwamba, baada ykukamilisha ujenzi wmadarasa, osi, mabwenn.k. mwenye shule anahitaWaislam wachangie ujenwa msikiti wa shule yakNa mara nyingi, jengo msikiti huwa ni la mwishkujengwa ndani ya eneo shule.

Katika mazungumzhayo na viongozi wa shulhawakuonesha kwambwanaitazama misikiti yshule zao kama ni kiung

muhimu kati ya shule zana jamii zinazowazungukukizingat ia kwambmisikiti hiyo mara nyinghujengwa pembezonmwa eneo la shule ikuwaruhusu Waislamwanaoishi jirani na shukuweza kuhudhuria swaza jamaa.

Tuhitimishe makalya leo kwa kuendelekuitafakari nafasi ymisikiti yetu hivi leo ndanya jamii yetu. Kwa upandmmoja tuna hali ya misikikuendeshwa kwa mazoena kuwa na uholela katik

usimamizi wa utendawa shule/taasisi ambazzinamilikiwa na misikihiyo.

Na kwa upande wpili, tunaikuta misikiikiwa inadogoshwa nkutelekezwa pale misikiinapokuwa iko kwenyumiliki wa shule/taasisi.

In sha Allah wiki ijaytutaendelea na kujadinukta zingine baada ykumalizia nafasi ya msikikati ya kumiliki shuletaasisi na msikiti kuwkwenye umiliki wa shultaasisi.

Page 10: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 10/20

10  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala/Tangazo

NIMERAGHIBIKAk u i t u m i a p i c h ah i i le o k u w a p an a s a h a v i j a n a

w a n a o c h i p u k i ak u p e n d a s i a s an a a m b a ow a n a d h i h i r i s h auzalendo mkubwak w a n c h i y e t uZanzibar kwambawasome na kukaa nawazee wenye hazinaya maarifa na historiaili waweze kuijuazaidi Zanzibar na piakuongeza maarifayao katika siasa nahistoria.

Picha hii ilikuwa nikatika mwaka 1993nikiwa na Maalim

Seif Sharif Hamadnyumbani kwakeMtoni, Zanzibar .Wakati huo MaalimS e i f a l i k u w a n iMakamu Mwenyekitiwa CUF na mimini l ikuwa Kat ibu(Private Secretary) waKatibu Mkuu wa CUFMarehemu ShaabanKhamis Mloo.

T o k e a n i k i w amwanafunzi nilikuwanapenda kujifunzas a n a m a m b oyanayohusu siasa nahistoria. Kutokanana kupenda hukokujifunza nilikuwan a k a w a i d a y akukaa sana na watuwalioshiriki harakatiza siasa Zanzibar napia kusoma vitabuna maandishi mbalimbali yanayohususiasa na historia.N a s h u k u r unimechota mengikwao.

Ni kwa sababu hiyoniliitumia kikamilifumiaka ya mwanzomwanzo wakati CUFinaundwa kukaana kuzungumza na

kumuuliza maswalimbali mbali MaalimS e i f n a k u p i t i amazungumzo kamah a y o n i l i j i f u n z amengi sana.

N i l i k u w an a k a w a i d a y akumtembelea Maalimnyumbani kwakeMtoni jioni baada yasaa za kazi na hukokulikuwa na barzaya mazungumzo yasiasa ambapo kwaaliyetaka kujifunzaaliyapata mengi.

Nasaha kutoka kwa Jussa kwa vijana

Ismail Jussa na Maalim Seif Sharif Hamad (pichani mwaka 1993) nyumbani kwa Maalim Sei Mtoni Unguja.

Watu wenginea m b a o n i l i p a t a

 bahati ya kukaa nao,kuzungumza nao na

kuchota mengi kwaoni pamoja na MzeeAli Haji Pandu, MzeeShaaban Khamis Mloo(Marehemu), MzeeMkubwa Makame( M a r e h e m u ) ,Mzee Said SalimBaes (Marehemu),Maalim Juma Ngwali(Marehemu), MaalimMasoud Omar Said(Marehemu), MzeeMachano KhamisAli, Juma Othman

 Juma, Hamad RashidMohamed, KhatibH a s s a n K h a t i b ,

Maalim Soud YussufMgeni (Marehemu),D k . M a u l i d iMakame Abdallah( M a r e h e m u ) , n aBwana Juma Hajiw a M c h a n g a n i(Marehemu).

Kat ika vipinditofauti nimepatapia fursa za pekeena bahati kubwakukaa na kujifunzakutoka kwa watukama Sheikh AliMuhsin Barwani(Marehemu), MaalimSalim Kombo Saleh(Marehemu), SheikhSule iman Sul tan

Malik (Marehemu),Sheikh Salim MasoudRiyami (Marehemu),Sheikh Issa NasserI ssa Al - I sm a i l y ,Mzee MohamedaliKarim Jinnah waMasomo Bookshop( M a r e h e m u ) ,Bwana Ali Nabwa( M a r e h e m u ) , B iInaya Himid Yahya(Marehemu), MaalimM o h a m e d I d r i s(Marehemu), Prof.Ibrahim Lipumba,Prof. Haroub Othman( M a r e h e m u ) ,S h e i k h A h m e dBadawi Qullatein

(Marehemu), Prof.A b d u l S h e r i f f ,Maalim Salim Mzee,Ali Ameir Mohamed,Mzee Hassan NassorMoyo, Sheikh SalimSaid Rashid, Dk.Salim Ahmed Salim,na sasa Dr. AmaniKarume.

Bila shaka wapo nawengi wengine ambaonimejichanganya nakujumuika nao kwamuda mfupi mfupina kufaidika nahazina na maarifa yaolakini hao niliowatajahapo juu ni katika

waliosarif mawazoyangu na mitazamoyangu kuhusiana namengi yanayohususiasa na historia yaZanzibar.

M o j a a m b a l ol i t a b a i n i k a n ikwamba nimekaana kujumuika nak u z u n g u m z a n awatu wa mirengotofauti ya siasa zaZ a n z i b a r ( A S P ,

ZNP, ZPPP, UmmaParty na ambaohawakujitambulishana vyama vya siasa) nahilo limenifundishakusikiliza mitazamoinayokinzana nakisha kuchambua nakupima mwenyeweyale niliyoyasikiahuku nikifanya rejeak w e n y e v y a n z ovyengine vya khabarik a m a v i t a bu n amaandiko menginembali mbali.

Nawaombea kheriwote walionipa nawanaoendelea kunipafursa kama hizi nawale waliokwishat a n g u l i a m b e l eya haki MwenyeziMungu Awalazemahala pema Peponi.Amin.

N a w a h i m i z avijana wa kizazi chaleo watumie fursazilizopo kukaa nawazee na watapatamengi kutoka kwaoyatakayowasaidiakupanua ufahamuwao wa mambo.

Ukiona vyaelea,vimeundwa

Ismail Jussa

Page 11: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 11/20

11  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 20111 AN-NUU

Makala

KUFUATIA kukithirighasia nchini Burundibaada ya Rais wanchi hiyo anayemalizamuda wake PierreNkurunziza, kutangazakusimama tena katikauchaguzi ujao, imeripotik u w a w a k i m b i z izaidi ya elifu hamsiniwamerundikana katikamji Kagunga, katikamwambao wa ZiwaTanganyika mkoaniKigoma, wakisubiritaratibu za kuingizwak a t i k a k a m b i y awakimbizi ya nyarugusu

wilayani Kasulu.Taar i fa z inaelezakuwa mpaka sasa niwakimbizi elfu sita tuambao wamekamilishataratibu na kupelekwakatika kambi hiyo.

T a r a t i b uzinazofanyika kablaya wa ki mbi z i ha okuingizwa kambini nipamoja na kukaguliwakama kuna waliobebasi l a ha , ka ma ku nawanajeshi nk.

M a h a k a m a y aKatiba nchini Burundi

i m e m r u h u s u R a i sP i e r e N k u r u n z i z akuwania muhula watatu madarakani ambaoumegubikwa na utata.

M a h a k a m a h i y oi l i s e m a J u m a n n ekwamba Rais atawezakuwania tena kiti hicho

 bila kuk iuk a kat ibaya nchi inayosema“kurudia tena muhulaw a u r a i s k u p i t i akipengele cha moja kwamoja cha haki ya kupigakura katika uchaguzi wakisiasa” inaruhusiwa.

Lakini Naibu Raiswa Mahakama hiyoamepinga maamuzihayo na kukimbilian c h i n i R w a n d a .Sylvere Nimpagaritsealiwaambia waandishiwa habar i kwambadhana yake haimruhusukutia saini maamuziambayo ni kinyume chakatiba.

Muhula wa kwanza wautawala wa Nkurunzizakama Rais ulitokanana matokeo ya kura ya

Kufuatia machafuko Burundi maelfu ya raia wakimbilia TanzaniaKigoma imeelemewa

wabunge. Wafuasi waRais huyo wanasema Bw.Nkurunziza ametumikiamuhula mmoja pekeek w a k u c h a g u l i w a

 baada ya kuwa mshindikatika uchaguzi mkuuhivyo kwa misingi huoanastahi l i kuwaniamuhula mwingine.

Wakosoaji wanasemaB w . N k u r u n z i z aanakiuka katiba namkataba wa amaniwa Arusha wa mwaka2000, ambao ulisaidiaku ma l i z a v i ta vyawenyewe kwa wenyewe

nchini humo. J u h u d i z a R a i shuyo kuongeza mudaw a k e m a d a r a k a n iz i m e c h o c h e am a a n d a m a n o y amitaani kat ika mj im k u u , B u j u m b u r an a k u s a b a b i s h amapambano na polisi nayaliyozaa vifo vya watuwasiopungua 12.

Makamu Rais, ProsperBazombanza, alisema

 J u m a n n e i l i y o p i t akwamba serikali ipotayari kuwaachia mamia

y a w a a n d a m a n a j iinaowashikil ia kwazaidi ya wiki mbilisasa, kwa mashartikwamba maandamanoyasitishwe.

Ukiacha warundiwanaokadiriwa kukia50,000 waliokimbiliaTanzania, kiasi chaw a r u n d i 2 4 , 0 0 0wamekimbi l ia nchi

 jirani ya Rwanda tangughasia hizo zilipoanzaApril 26 huku maelfuya wengine wakiingia

 Jamhuri ya Kidemokrasi

ya Congo-DRC. (VOA).Tayari Serikali ya

Ubelgiji imesimamishamisaada yake kwa nchihiyo kwa kile ilichodaikuwa ni kuendeleamachafuko ndani yanchi hiyo.

AlexanderDe Croo,Waziri wa Ushirikianon a M a e n d e l e o w aUbelgiji, amesema kuwanchi yake imesimamishamisaada ya kifedhakwa Burundi ambayoingetumiwa kwa ajili ya

Rais wa Burundi, Pierre Nkurunziza.

uchaguzi mkuu ujao.A i d h a a l i s e m a

ku wa Br u sse l s p i ai m e s i m a m i s h aushirikiano wa pandembili hizo katika sektaya ku toa ma fu nz okwa polisi ya Burundikufuatia kuendeleamachafuko ndani yanchi hiyo.

Alisema uamzi huo

u meku ja ba a da yaripoti iliyotolewa naKamishna wa Haki zaBinadamu wa Umoja wa

Mataifa nchini Burundi.Kwa mujibu wa ripotiya hivi karibuni yaK a m i s h a n a h u y o ,waandamanaji 11 hadisasa wamekwishauawak a t i k a m a c h a f u k okufuatia hatua ya RaisNkurunziza wa nchihiyo kutangazwa nacha ma ta wa l a chaCNDD-FDD kugombea

uchaguzi mkuu mweziujao.W i k i i l i y o p i t a

waangalizi wa uchaguzi

wa Umoja wa Mataifwal i tangaza kuwahali inayotawala hivsasa nchini Burundhairuhusu kufanyikuchaguzi huo.

A w a l i B r u s s e li l i k u w a i m e t e n gmsaada wa Euro milionnne kwa ajili ya Burundhuku milioni mbili ka

ya fedha hizo zikiwta ya r i z i mekwi shkabidhiwa kwa serikaya Bujumbura.

DURU za kuaminikazimefichua kuwa,Saudi Arabia na Israel

z i m e t i l i a n a s a i n imkataba wa ushirikianowa kijasusi katika sualala Yemen pamoja nakutumiwa ndege zisizona rubani za Israelkatika anga ya Yemen.

Z i m e n u k u l i w aduru za kuaminikazilizochua kuwa, Mkuuwa Shirika la Kijasusi laSaudi Arabia, Khalid

 bin Ali bin Abdullah alHamidan, hivi karibunialielekea katika ardhi zaPalestina zinazokaliwa

Imebainika Saudia inashirikianakijasusi na Israel

k w a m a b a v u n aWazayuni na kutia sainimkataba wa ushirikiano

wa ki jasusi kati yaSaudia na utawala waKizayuni wa Israel.

Kabla ya hapo baadhiya vyombo vya habarikama vile televisheniya al Alam na gazetila Kizayuni la YediotAhronot, vilitangazahabari ya kutua ndegeya Saudi Arabia katikauwanja wa ndege waBen-Gurion huko TelAviv.

Mashirika ya habariyalisema kuwa ndege

hiyo ilikuwa ya mwanmmoja wa ukoo wkifalme wa Aal Saudingawa Saudia ilidak u w a n d e g e h i yilikuwa ya shirika lndege la Ureno.

Hii si mara ya kwanzkuripotiwa habari zushirikiano baina yutawala wa Kizayunwa Israel na ukoo wAal Saud.

Habari za kuwepushirikiano mpya bainya pande hizo mbidhidi ya wananchi wYemen zinatilia nguvushirikiano wa mudmrefu baina ya Saudina utawala wa Kizayunwa Israel.

Page 12: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 12/20

12  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 20112 MAKALA/MASHAIRI

Israi na Mi’rajiInatoka Uk. 8

mwenye kumsaidia‘ A m i y a k o , A b uTwaalib, japo kuwa yeyealikuwa ni mtu mwenyekukuhami sana naalikuwa anachukizwas a n a k w a m a m b ouliyokuwa unatendewana Makureshi.” Mtumeakasema, “Yuko katikamoto mwepesi, kamasi mimi angelikuwakwenye moto wa tabakala chini kabisa huko

 Ja ha na m. ” (S wahi yhAl-Bukhaariy Juzuu 5Namba 222); Hivyo AbuTwaalib licha ya kuwakari alimuunga mkonoMtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa aalihi wasallam) kwa nguvu zakena mali zake dhidi yamakafiri. Wakati AbuTwaalib alipokuwahai makari walikuwahawawezi kumdhuruMtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa aalihi wasallam). Hata hivyo,kifo cha Abu Twaalibkilikuwa ni mwanyam w a m a k a f i r i w akuendeleza vitimbivyao dhidi ya Mtumepamoja na Waislamukwa ujumla. Tabia yao ya

ukatili ilimfanya Mtumeaone maisha mj iniMakkah ni magumu.Kutoa shahada kwaMaswahaba wa Mtumemjini Makkah ilikuwani njia ya kujitangaziauadui wa wazi wazina wakawa wanapatamadhila na kuadhibiwavibaya. Kila aliyesilimualiambiwa afanye mojakati ya mambo mawili:aritadi au aondoke haponchini au sivyo basi rohoyake itafariki dunia;makafiri hawakutaka

njia nyingine zaidiy a h i y o . L a k i n iMaswahaba licha yakuwa hiki kilikuwa nikipindi kigumu sanana chenye taabu kubwasana katika maisha yaokutokana na adhabu namadhila waliyoyapata,waliendelea kusimamaimara juu ya imani yaUislamu na walisongambele na Mtume waokatika msimamo huo.Kupanuka kwa Uislamuk u l i w a u d h i s a n a

makari na wakajaribukila njia i l i kuzuiana kukinga Uislamuusiwepo katika nchiyao. Ulinganiaji wa dini

hii ukawa mzito kwaMtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa aalihi wasallam) na hata kuishimjini Makkah ikawa nihali ngumu sana kwakena kwa Waislamu.

 Jambo la pili lilikuwakifo cha mama waWaumini Khadiyjah(Radhiya Allaahu ‘anha)Ni miezi miwili tu baadaya kifo cha Abu Talib,Mtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa aalihi wasallam) alipata tatizo

lingine zito lililomhusuyeye binafsi. Mke wakena Mama ya waumini,Bi Khadiyjah (RadhiyaAllaahu ‘anha) alifariki.Mama huyu, mama waWaumini Khadiyjah,alikuwa ni rehma kwaMtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa aalihi wasallam) kutoka kwaAllaah (Subhaanahu waTa’ala). Daima alikuwana Mtu me wa ka t iakipata madhila na

maudhi ya makureshina alikuwa naye sikuzote wakati wa mitihanim i z i t o i l i p o k u w ainamwendea Mtumekutoka kwa mahasimuwake wa Kikureshina walikuwa pamojakatika hali hiyo kwamuda wa miaka 25. Nakwa yote hayo Mtume(Swalla Allaahu ‘alayhiwa aalihi wa sallam)k w a u k a r i b u h u oaliokuwa nao mamawa Waumini Khadiyjah

alisikitika sana kwa kifocha mkewe mpenzi nakuna wakati alisikikaakisema juu ya bibihuyu, “Al iniaminiw a k a t i w e n g i n ehawakufanya hivyo,Alijiunga na Uislamuwakati watu walikuwah a w a t a k i k u f a n y ahivyo. Pia alinisaida nakuniliwaza mwenyewena na kwa mali zakew a k a t i k u l i k u w ahakuna hata mtu wa

kuniunga mkono. Pinilipata watoto kutokk w a k e . ’ ’ ( M u s n aAhmad 6/118).

M a t u k i o h a y

m a w i l i y a l i t o k emfu l u l i z o . Mtu m(Swalla Allaahu ‘alayhwa aalihi wa sallamalikuwa amekia hali ykubabaika namna ganawaongoze Waarabw a M a k k a h , b a saliangalia upande wTwaaif mji ambao kwwakati huo ulikuwunahitajia msaada nuongozi. Lakini hathuko pia hakupokelewna hali hiyo kuongezmachungu moyon

mwake (Swalla Allaah‘alayhi wa aalihi wsallam) hata akaonkipindi hicho kuwa n“Mwaka wa Huzuni”.

Katikati ya huzunz o t e h i z o A l l a aAlimchukua mja Wakkatika muujiza mkubwwa Israa na Mi’iraaili amwoneshe AayaZake na kumpatimsaada na himayaAllaah Anasema, “ITumwoneshe baadhi y

Ishara Zetu…”Kwa muujiza wIsraa na Mi’ i raa j Allaah Aliweka msingkwa waja Wake kuwhata kama makafirwangelifunga mlangwa Mtume Muhamma(Swalla Allaahu ‘alayhwa aalihi wa sallamAllaah Ndiye MwenyKumhami na ndiMlezi Wake na milangya Peponi iko wazi kwajili ya Muhamma(Swalla Allaahu ‘alayh

wa aalihi wa sallamHakuna nguvu ambayinaweza kumteza akumdhuru yule ambayyuko chini ya ulinzi wAllaah. Israa na Mi’irailikuwa ni dalili ykuonesha kufanikiwkwa Da’wah ya MtumMuhammad (SwallAllaahu ‘alayhi waalihi wa sallam) nushindi wake juu ymaadui zake pamoja nkuwepo kwa matatizna huzuni zote hizo.

KARIBU MWEZI SHAABANI

"KATIBA SHERIA-MAMA", kauli-mbiu si ngeni,Kuinena lelemama, kuitenda 'uhaini',

Kwa HAKI kutosimama, MAMA huyu yu rehani,KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?

Yu rehani wetu MAMA, mnadiwa kaulini,Yavunjwa yake heshima, vitendoni bila soni,Yake chini taadhima, kwa hawaa ya insani,KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?

Adogoshwa huyu MAMA, si batini hadharani,DPP 'muadhama', yu JUU MAMA yu CHINI,Yapuuzwa yake dhima, na 'WANA' wa mwake ndani, KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?

DHAMANA haki adhima, si ngeni i katibani,Kutoitoa jarima, mtenziwe hatiani,Yu awe sawa yu mwema, au muwi yu 'haini',KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?

DHAMANA haki daima, ya 'mtovu' sheriani,Kwa yeyote kuizima, hachomoki hatiani,Kwa kuauni DHULUMA, yu DHALIMU orodhani, KULIKONI DPP, KUWA JUU YA SHERIA ?

DHAMANA haki ya zama, jana, leo na zamani,KWANINI sasa YAKWAMA, kwa MASHEKHE KULIKONI,Beti sita kaditama, MAHABUSU HADI LINI,U WAPI UADILIFU, WA DPP KWA HILI ?

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

RAJABU i ukingoni, aula kukujuzeni,Na SHABANI i njiani, wiki kesho si mwakani,Mbeleye i RAMADHANI, si baidi tambueni,SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.

Muhammad adinani, alikifunga Shabani,Pima wake uthamani, ujisaili kwanini,Thuma ujitathmini, kwa RAHMANI u nani?SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.

Hakuacha asilani, kuifunga maishani,Siku moja msidhani, bali tumbi tambueni,Mimi nawe kulikoni, kutoifunga Shabani?SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.

Twaridhika ikhiwani, tuna nini nijuzeni,Rasuli tumgezeni, kwa kuifunga Shabani,Kulikoni na kwanini, tusiifunge Shabani?SHABANI ikiwadia, tuienzi kwa kufunga.

Haya shime waumini, wa Bara na Visiwani,Sote nia tutieni, ya kuifunga Shabani,ILAHI tumuombeni, tuidiriki Shabani,SHABANI tuilakini, kwa swaumu waumini.

ABUU NYAMKOMOGI-MWANZA.

UADILIFU WA DPP !

Page 13: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 13/20

13  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Habari

NI masikitiko makubwakwa watu wanaojidai kuwani Waislamu wenye kutaka

kusimamisha Ukhalifah,kwa kuwashumu nduguz a o k a t i k a i m a n i n akuwapachika ukafiri kwashutuma za uwongo.

Mathalani , h ivi sasakwenye mtandao wa “SomalMemo”, binafsi na watuwengine, tumetuhumiwa kwamadai ya kwamba hatunaAkida (Tahweed na Man-Haj). Hizi ni shutuma mbayaza kutukufurisha na kututoakatika Uislamu.

Mimi binafsi kwenyem akala n i l izo z ian dikanimeelezea kwa mujibu wa“ukweli” (facts) nilizonayona kwa mtazamo wangu nanilivyomtathimini juu yaanayedaiwa “eti” ni Khalifahwa Uis lamu AbubakariBaghdadi.

Naam !!! Twaibu, baada yakuisoma na kuielewa makalahiyo, nimepata msukumo wakuwapa Nasaha ndugu zanguhao waliyotajwa kwa majinayao na kuwataka wawe nasubira, kwani hiyo ni mitihanikatika harakati za Daawah naAllah (Subhaanahu wa Ta’ala)na awalipe ujira mwema kwamtihani huo uliowaka.

Hali hii uzoefu wakeinaonyesha jinsi tulivyokw e n ye j am i i ye tu yaK i i s l a m u , k u k i t o k e asintofahamu yoyote kati yamtu na mtu, taasisi na mtu autaasisi kwa taasisi za Kiislamu

kadhia hiyo itaishia kutoleanatuhuma za kuchafuana kwavipeperushi, mitandaoni nakutiana motoni nk.

Abu Sa‘id na Abu Hureira(Radhiya Allaahu ‘anhu)wamepokea kutoka kwaMtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa sallam) kuwaamesema:

“Muislamu hatapatwana taabu, wala maradhi,wala huzuni, wala udhiana wala ghamu (sonenoko),mpaka mwiba unaomdungaisipokuwa Allah Hufutiadhambi zake kwa sababu yahayo.” (Muafaq).

Mtume (Swalla Allaahu‘alayhi wa sallam) amesema:

“Malipo makubwa yapopamoja na balaa kubwa,hakika Allah anapowapendawatu, Huwapa mitiani, ;atakaridhika, basi atapatar a d h i ( z a A l l a h ) , n aa takae ch u kia , u tap atahasara.” Tir imidhy, naamesema Hadithi hii niHasan.

Na kwenye jamii yetu yaKiislamu pale inapotokeakuhitilafiana/kutofautianaau kukosana rai, mtizamo namgongano wa mawazo juuya kutathimini mambo yaKiislamu ni kwamba kutatokeaW a i s l a m u k u f a n y i a n amambo maovu yanayo

Kushutumiana kwenye mitandao sio maadili ya Uislamu

vunja udugu na upendona kuweza kufarikianan a k u j e n g a u h a s a m a

 bai na yetu Wais lamu. Nakufanyiana mambo maovukama vile: Kuzulumiana,Kusengenyana, Kudhanianavibaya, Kuchunguzana,K u m c h u k i a m t u k w atuhuma za kusikia juu juu, Kudharaul iana nakutukanana, Kuvunjianaheshima, Na kusalitianakwa Matwaaghuut ama kwakupelekena Mahakamaniau kuvujisha siri kwa aduizetu kwa lengo kumuharibiamtu au taasisi au harakatizozote za Kiislamu ili ziwezekuangamia n.k.

Hali hii tuliyonayo nitofauti kabisa na mafunzoya Dini yetu, ambayo

imetufundisha namna yakumaliza tofauti zetu nakupata sulhu kwa lengola kujenga udugu wetuwa Kiimani. Ni kwelikwamba katika hulka za binadamu lazima kutatokeasintofahamu baina yetu kwa jambo hili au lile ichukuliwekam a ch an gam o to n akukabiliana nayo kamatulivyoekezwa na Dini yetukwa Nususi mbambali zakisheria.

Katika umri Wangu mpakasasa ni nadra kuona watuwa Dini Nyingine isiyokuwaya Uislamu humu mwetu,kwa kuwaona wakizozanah adh aran i kw a jam bo

linahusiana na michakatombalimbali ya harakati zadini zao na kukia kiasi chakutoleana vipeperushi vyatuhuma au kwenye “MassMedia” (Vyombo vya Habari)n.k. hawa ni binadamu kamasisi, mazingira na “culture”zetu ni moja na hawanaUfunuo kutoka kwa Allah(Subhaanahu wa Ta’ala) baliwana Nidhamu kwenye Diniyao na kufuata kanuni sahihiza kibinadamu kumalizatofauti zao.

Mtu kama sio mwelediwa “SERA” za harakatizetu za Kiislamu, anawezakupata taabu au kutatizika

ni kwa nini? Hali hii inatokeakwenye safu zetu hali yakuwa tunao Muongozo. Hali

hii inasababiswa na mamboyafuatayo:M o s i , k w e n y e

mikusanyinyiko yetu yaKiislamu hatuna lengo,“Vision” na “Mission” moja, ba li ki la mt u an a ja mb olake moyoni. Pili, hakunaNidhamu kwa Viongoziwengi kwenye mikusanyikoyetu kwa Maamuma/wafuasina wanakundi wenzaona au kinyume chake nihivyo hivyo. Bali mambomengi yanafanywa kwamsukumo wa jazba, ushabiki,kukumoana, kulipizana visasin.k. Tatu, Baadhi Madaiyah(Mudir, Rais, Mkurugenzi,Sheikh, Ustadh, Amir n.k.)

wengi kama sio wote, hakunawanaofanya Mipango yaK is t ra te j ia “S t ra te g icPlans” (Mipango Mkakati)kuwalea Waislamu kiasicha kuwawezesha kufuataNidhamu ya Kiis lamukatika mfumo wa maishayao katika kila kipengelecha kis iasa, kiuchumi,kimaadili, kitamadnni, nk.Bali wanawatengenezawatu kuwa washabiki wakama wa timu za mipirana sio kuwafanya wawe niwatumwa wa MwenyeziMungu. Kwa mtizamowangu ndio baadhi ya vyanzovya matatizo yetu ambayoyamesababishwa na mambo

yafuatayo: Ukosefu wa ElimuSahihi ya Uislamu, Mbinu zaufundishaji Uislamu, Maslahiya maisha binafsi na Ushabikikama watimu ya mpira nk.

Kadhia ya kushutumianaina athari za kipropaganda,Upotoshaji wa taarifa/habarizisizo zenyewe, kutinisha nakufarakanisha Waislamu n.k.kwani ni kitendo ambachohuwa kimefanywa na mtukwa jazba na ushabiki aumaadui walio nje ya safu zaWaislamu katumia fursa yaudhaifu wetu wa kugomba aukwa kukusudia kuzusha Fitnakwenye safu za Waislamu iliwashughulikiane wenyewe

na huku wao wakitekelezamipango ya kuwaangamizaWaislamu.

Ndugu zangu, Allah(Subhaanahu wa Ta’ala)awasamehe (endapo mtaletaToba) kwa kitendo chenucha kughalika na kughalifu juu ya mafunzo ya Uislamuyanayoelekeza namna yakukosoana kwa nia yakujenga na kuleta umoja namshikamano wa udugu wakweli katika Imani. Bali kwadhahiri yenu mmeonyeshakusukumwa zaidi na Jazba,ghadhabu nk Hatuna budikuwakumbusha mtizamowa Uislamu juu ya kupokeana kutangaza habari kwaniUislamu umeweka sheria juu ya jambo hilo. AmesemaAllah (Subhaanahu wa

Ta’ala):“ E n y i m l i o a m i n i !A k i k u j i e n i F A S K I(mpotovu) na khabariyoyote, ichunguzeni, msijemkawasibu watu kwa kuto jua, na mkawa tena wenyekujuta kwa mliyo yatenda.”(49:6)

Na pia amesema Mtume(Swalla Allaahu ‘alayhi wasallam):

“Lau watu watapewakwa kila wanachokidai (BilaUshahidi), basi mali za watuzitapotea, damu zitamwagikasana, heshima zitapotea,hivyo basi kila anayedaina alete ushahidi, na anayekanusha alete Kiapo.”

(Muslim na Ahmad).A m e s e m a A l l a a h(Subhaanahu wa Ta’ala):

“ E n y i m l i o a m i n i ! Jiepusheni na dhana nyingi,kwani baadhi ya dhana nidhambi. Wala msipelelezane,wala msisengenyane nyinyikwa nyinyi. Je! Yupo katikanyinyi anayependa kuilanyama ya nduguye aliyekufa? Mnalichukia hilo! Namcheni Mwenyezi Mungu.Hakika Mwenyezi Munguni Mwenye kupokea toba,Mwenye kurehemu.” (49:12)

“Enyi watu! Hakika Sisitumekuumbeni kutokana namwanamume na mwanamke.

Na tumekujaalieni kuwni mataifa na makabilili mjuane. Hakika aliy

mtukufu zaidi kati yenu kwMwenyezi Mungu ni huyaliye mchamngu zaidi katiknyinyi. Hakika MwenyeMungu ni Mwenye kujuMwenye khabari.” (49:13)

 Mtume (Swalla Allaah‘alayhi wa sallam) amesem

“Anayevumisha manenambayo ameyasikia juu juhataingia Peponi”. (Bukhana Muslim).

Na Mtume (Swalla Allaah‘alayhi wa sallam) amesem

“Muovu zaidi katikwatumwa wa MwenyezMungu ni wale wanaotangazmaneno ya kufarakanishwatu wapendanao na kutakkutia ila wale wasiokuwa nmakosa (hatia).” (Ahmad).

Na Mwenyezi Mungametoa kemeo kali juu ykauli yake pale aliposema:

“ K w a h a k i k a w a lwanaopenda uenee uchafkwa walio amini, watapaadhabu chungu katika dunna Akhera. Na MwenyeMungu anajua na nyinyhamjui.” (24: 19).

Na Amesema Allaa(Subhaanahu wa Ta’ala):

“Na wale wanao waudhWaumini wanaume nwanawake pasina wakufanya kosa lolote, bila yshaka wamebeba dhulmkubwa na dhambi zilidhaahiri.” (33:58).

Abu Hureira (Radhiy

Allaahu ‘anhu) amesemMtume (Swalla Allaah‘alayhi wa sallam) amesem

“Nawahadharisha nTUHUMA, hakika TUHUMni mazungumzo ya uongWala m s ich u n gu zan ewala msifanyiane ujasuswala msishindane, walm s i h u s u d i a n e , w a lmsibughudhiane, walmsipane mgongo. Kuwenenyi waja wa Allah- Ndugmoja kama alivyowaamrishMuislamu ni ndugu yMuislamu, hamdhulumwala haachi kumnusuruwala hamdharau. UchaMungu uko hapa, UchaMungu uko hapa.”

Akaashiria kifuani mwakYatosha mtu kuwa ana shaanapomdharau ndugu yMuislamu. Kila Muislamni haramu juu ya Muislamm w e n z i e d a m u y a k eheshima yake na mali yakHakika Allah hatazami miyenu wala sura zetu, lakiAnatazama nyoyo zenu namamli zenu.” (Muslim).

Wabbilah Tawq.(Makala hii imeandiskw

na: Abu Saumu, KombHassani Kidumbu. [email protected]: 0714720965-MikanjunTanga-Tz)

Page 14: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 14/20

14  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

Na Ben Rijal

Na Ben Rijal

Mchango wa Waislmau katika maendeleo ya Dunia - 11

UWANJA WA VIJANA - JIONGEZEE MAARIF

CHEMSHA BONGO namba 6

MAJIBU CHEMSHA BONGO NO:51. Mtume gani alikabiliana na Mfalme Nimrod

Yusu, Ebrahim, Issa. Jawabu: Ebrahim2. Mwezi wa mwanzo wa mwaka Kiislamu n

mwezi wa : Muharram, Ramadhan, Mfungo Mos Jawabu: Muharram

3. Mtume Mussa alipoitupa Fimbo yake iligeukNge, Ndege, Nyoka. Jawabu: Nyoka4. Waliomfwata Mtume wakati yupo ha

wakiitwa: Maraki, Wenzani, Masahaba.JawabuMasahaba

5. Sura ngapi zimeanza na kalima BismillahRahman Rahim? 114, 113, 720 Jawabu:113

6. Harufu gani imetumika zaidi katika QuranAlif, Taa, Yee. Jawabu: Alif

7. Mwaka katika Uislamu una siku ngapi? 365.354, 365. Jawabu: 354

8. Mtume Muhamad SAW alihama Makkkwenda Madinah mwa kagani? Jawabu: 622

9. Mtume Younus alimezwa na: Nyangumi, PapNdowaro. Jawabu: Nyangumi

10. Ni Sahaba yupi mwanamue mtu mzimalikuwa wa mwanzo kumkubali Mtume SAW nSahaba yupi aliokuwa mtoto wa mwanzo kumfwaMtume SAW? Jawabu: Syd Abubakar mtu mzimna Syd Ali akiwa mtoto.

K a t i k a m a k a l az i l i z o k w i s h akutangulia nimejaribu

kuonyesha mchangom k u b w a a m b a oWaislamu waliutoakatika maendeleoy a s a y a n s i n am w a n a d a m u .Makala ya safari hiin i t amu el ezea Ib nKhaldun, ili kuwezakuelewa mchangow a I b n K h a l d u nkatika maendeleo yamwanadamu itakuwavyema kumuelezea kwamakala mbili tofauti.Makala ya kwanzaitamzungumzia juu yamaisha yake na makalaya pili itamzungumziakazi zake pamoja na

ile kazi yake kubwaijulikanayo kwa jinala Muqaddimah.

I b n K h a l d u n ji na lake kam ili niA b d a l - R a h m a n b i n M u h a m m a d bi n Mu hamm ad bi nMuhammad bin Al-H a s a n b i n J a b i r b i n M u h a m m a d b i n I b r a h i m b i nAbdurahman bin IbnKhaldun. Nasaba yakeinatokana na Hadharmiyaani watu wa Kusiniya Yemen, wenginewanasema kuwa juuya kuwa mizizi yakeyanatokana na nchiya Yemen lakini yeyeametokana na kooza Wail Hajar likiwakatika kabila la Azalnchini Yemen kamaalivyoelezea Ibn Hazamkatika kitabu chake Jamharat ansāb al-‘arab.

Kiasili Ibn Khalduna n a t o k e a Y e m e nkiuzawa amezaliwanchini Tunisia katikamwaka wa 732 AH(27 May 1332), ingawaalizaliwa Tunisia lakinifamilia yake ilikuwainaishi Uspani (Spain).Ilibidi kuhajiri kutokaUspain na kuhamiaT u n i s i a k u t o k a n a

na misukosuko yaWaislamu walioyakuta baada ya vi ta vyamsalaba. Katika utotowake kama watotowengi Wakiis lamukatika nchi mbalimbalia l i a n z a k w akusomeshwa Qur’anna aliianzia masomoyake nyumbani kwakusomeshwa na babakekisha akasoma kwawasomi mbalimbalimaarufu wa wakatiwake nchini Tunisia.Ibn Khaldun alikuwaHadh Qur’an aliwezakuusoma msahafu wotekwa ghibu alijifunza

sayansi ya hadith zaMtume SAW, akajifunzanahawi, fiqhi, ufundiw a as i l i ya lu gh amashairi, hesabati naelimu nyenginezo.

K at ika du ru yamasomo mara nyingik i j a n a a n a p o f i k am i a k a 1 9 h u w aamemaliza masomoya kati na kuelekeamasomo ya juu ikiwahuko nyuma wengiwalipokisha umri wamiaka 19 walikuwawashakubuhu katikauga wa elimu. IbnKhladun alipotimizaumri wa miaka 19

alikuwa kisha balighikielimi na kuajiriwakatika tawala kubwaza sehemu mbalimbalializokwenda kuishi.

Siasa za tawala zasiku za nyuma zilikuwamara kwa mara kuwak a t i k a m a p i g a n o ba in a ya nc hi mo jan a n y e n g i n e k w aminajili ya kutanuwamamlaka ya viongozihao. Matokeo kamahayo yalimpelekeaIbn Khaldun kuhamakutoka Tunisia kuhamiaAlgeria, kisha akahamiaM o r o c c o k u t o k aMorocco akaelekea

Misri na kuingia Uspaninchi walioishi wazeewake kabla ya kuhamiaTunisia na mwisho IbnKhaldun alimaliziakuishi nchini Misri nakua hapo.

Ibn Khaldun kamaw a s o m i w e n g i n ea l i f u n g w a n c h i n iMorocco kutokana nauungaji wake mkonoupande mmoja wauongozi. Alifungwakwa kipindi cha miakamiwili. Korokoronikuliweza kumsaidiakupanua fikra zakena kumfanya aweze

kukiria juu ya mbinuza utawala na uatawala bora uweje na kugawamadaraka ya utawala.

K u h a m a h a m akwake kulimfikishanchini Misri, huko Misrikulimfanya kujulikanakatika ngazi kuu zataifa na kupata sifakatika kila kona zamji wa Misri, sifa hizozilimpelekea SultanFarouk kumtaka asarinaye kueleka nchiniSyria katika mji mkuuwake wa Damascus.Sifa ya viongozi wam i a k a y a n y u m awalipokuwa wanasariw a k i p e n e d e l e akufwatana na wasomniili kuweza kuwasaidiakatika mazungumzo nawenyeji wao, taratibuh i z i z i n a e n d e l e ak u f w a t w a l a k i n ikinyume na za zamah i z o z i l i z o p i t a ,k w a n i v i o n g o z iwaliopita walikuwawakiwachagua wasomikufwatana nao katikasafari kwa uwezo wao bi la ya ue pe nd el eo ,wakiwachagua wasomisio kwa kabila zao audini zao au rangi zao.

Safari yake hiyo IbnKhaldun inaelezewana Wanahistoriwakuwa Sultan alibakiamjini Damascus kwakipindi cha wiki mbilitu na kurudi Misrikw a u w o ga ku w akulikuwa na tetesi zakupinduliwa, aliondokana kumwacha nyumaIbn Khaldun.

Kutokana na umahiriwake wa historia ,ufanisi wa lugha IbnKhaldun akateuliwaku w a m ju m be w aupatanishi baina yapande mbili zilizokuwazikizozana baina yau o n go zi u l io ku w a

ukitumia mkono wachuma Amir Timurwa Samarkand nchiinayojulikana kwa sasaUzbekistan na watuwa Syria. Nchi ya Syriawalitaka kuelewanana Amir Timur kwakumchagua Ibn Muihkuwa ni msuluhishi, bahati mbaya ka tikamakubaliano bainay a p a n d e m b i l imwakilishi wa SyriaIbn Muflih na AmirTumir walishindwak u k u b a l i a n a n ak u w e k e a n am k a t a b a i n g a w a

y a l i o z u n g u m z w ay a k a k u b a l i w a .Wananchi wa Syria

w a l i j i h i s i k u w awali ingia mtegonikwahio makubalianohayo wakayapingamoja kwa moja nakumtaka Ibn Khaldunawe mwakilishi waokatika mazungumzo yamapatano. Ibn Khaldunakaiona hio ni fursakuitumia taaluma yakeam bayo a l ian dikak a t i k a m a k a r t a s iwakati umefika kwayeye kuifanyia kazi.Kwa hio alikwendakuaonana na kambiya Amir Timur nakubakia katika ardhiya Samarkand kwasiku 35 huku akifanyamajadiliano.

Katika majadilianohayo alikuwa Abd al- Jabbar al-Khawarizmiakisaidia katika kufasiri,kati ya mambo ambayowalikuwa wakijadilianana kutaka kupatiwaufumbuzi yalikuwani mengi baadhi yakeambayo yamenukuliwana wanahistoria nikama ifwatavyo: Nchiza Maghreeb na ardhizao za asili, mashujaakatika historia, utabiriu n a o t e g e m e w ayatakayoweza kutokea, juu ya utaw ala waBani Abass, kuweza

kupewa himaya walewaliombatana na IbnKhaldun na kuwezaIbn Khaldun kubakiaTamerlane. Ibn Khaldunaliweza kufanikiwak u i z w e k a p a n d embili za Tamerale naSyria kuwa katikamasikilizano na baadaya mafanikio hayo,Ibn Khaldun aliamuakurejea Misri.

I b n K h a l d u namefanya kazi kubwakatika taaluma yasayansi ya historia na juu ya elimu ya jamii,aliweza kuikusanyahistoria ya Ulimwengu

mzima katika kitabuchenye juzuu tatu.Katika makala ya piliinitakielezea kitabuchake cha Muqaddimahkwa kifupi.

M u q a d d i m a hni neno la Kiarabulikimaanisha kuwa niutangulizi. Kitabu hichokina kumbukumbu yamambo ya kihistoria, juu ya aina mbalimbaliza ustaarabu dunianiuliotokana na athari zamazingira na hali yahewa tofauti, maishaya makazi ya mabeduiya kuhamahama na

ya kudumu pamojana tamaduni tofautiza jamii hizo na piataasisi tofauti za kijamii,sayansi na sanaa zao.

I b n K h a l d u nhakujikita tu juu yahistoria na ustaarabukatika Muqaddimahaliyachambua masualaya sayansi, hesabu,muziki na ala zake,kilimo na sanaa. IbnK h a l d u n a l i w e z akuzama katika historiana kuweza kuichambuakama ifwatavyo:

" H e bu tu tazam eundani wa somo laHistoria", anasemaIbn Khaldun kwamba,

n i u c h u n g u z i nuthibitisho wa taarifuchunguzi makini wsababu za kuwepkwa mambo (kamyalivyo) na uerevu wkina wa jinsi mambyalivyoweza kutokeHivyo, Historia n

mojawapo ya sehemza somo la Falsafa, ninapaswa kutambuliwkama mojawapo yelimu ya sayansi."

Hii kwa kweli ndiydhana ya kileo juya somo la Historikutokana na kuuonumuhimu na nafayake katika uchambuwa taarifa mbalimbana kutafuta chanzau sababu za mambHistoria inapaswa kuwni elimu ya kudumkatika ustaarabu wm w a n a d a m u nsaikolojia yake.

Baadhi ya misemo yIbn Khaldun

‘Wengi wa wasomwa Kiislamu hawakuwWaarabu.”

“K at ika h is to r imataifa mbalimbayameshindwa katikvita na kuathirika katikmaeneo yao, kushindwhuko hakujafanya kuwtaifa halipo, lakini tailikiwa ni mhanga wkushindwa kisaikoloj

Ibn Khaldun

Ibn Khaldun

 

M A S A H A B A W W

E B R A H I M 1 1 3

K I N Y A N G U M I

 A F E I N I M R O D

1 1 4 O Y H L A L I

U A E B O I A L I F

3 5 4 G K J M 6 2 2

C D E F A K N 3 6 5

 A B U B A K A R O A

M U H A R R A M P T

Page 15: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 15/20

Page 16: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 16/20

16  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala/SHAIRI

NIANZE makala haya

kwa kukiri ukweli uliodhahiri shahiri kwambamazingira ni dhanayenye mawanda mapanasana na yenye vipengeletumbi na anuwai nailiyosheheni mambomtambuka ndanimwe nainayoweza kutazamwa aukujadiliwa kupitia nyanjambalimbali za maisha;zikiwemo za kisiasa,kiuchumi, kiutamadunin a k a d h a l i k a ; k w ak u z in g a t ia k u s u d iola mtumiaji wa dhanahusika kulingana namahitaji ya wakati husikana aina ya hadhira husikakwa kadiri ya ufahamuna upeo wa kila mmojawetu kadri alivyojaaliwana Allah (s.w.).

Kwa kuzingatia ukwelihuo na kwa mujibu wamjadala wetu wa leo,tutaitazama dhana hiyokwa kuihusisha na 'u-mji'(umjini) na 'u-kijiji' na sivinginevyo kulingana nalengo la makala haya namahitaji ya maudhui yamada ya mjadala.

Mwaka 2007 nilipatafursa ya kuzungumza naaliyekuwa Afisa Elimuwa mkoa wa Mwanza

wa kipindi hicho Bw.Ramadhani Chomolaofisini mwake kuhususuala la changamoto yahofu iliyogubikwa natashwishi ya kucheleakukabiliana na mazingira,hasa ya vijijini, kwa walimuwetu wengi wa sasa. Kiinicha mazungumzo yetukilitokana na baadhi yawalimu kukosa utayariwa kwenda kufanya kazikatika mazingira ya vijijinina badala yake wengi waohufanya jitihada ya kilanamna kwa udi na uvumbana wakati mwingine hata

kujizushia magonjwana wengine kufikia hatakuangua kilio hadharani,hususan kina dada, maratu baada ya kupokea baruazao za kupangiwa vituovya kazi [posting leers]alimuradi tu wahurumiwena kubakizwa katikamazingira ya mijini.

A j i r a z a w a l i m uzilizotolewa na Serikalichini ya Wizara ya Elimuna Mafunzo ya Ufundi kwakushirikiana na Wizara yaTawala za Mikoa na Serikaliza Mitaa (TAMISEMI)hivi karibuni; na jinsi ya

Wasomi wetu na changamoto ya mazingiraNa Abuu Nyamkomogi

mwitiko wake ulivyokuwakwa baadhi ya walimuna hasa waliopangwakufundisha shule zavijijini; ndizo zilizonifanyanidhukuru mazungumzoyale niliyoyafanya naAfisa Elimu yule miakaminane iliyopita. Aidha,wiki mbili zi l izopitanilibahatika kusikilizakipindi cha 'Akisi yaMdadisi' kirushwacho naRedio Imaan kuanzia saa

mbili hadi saa nne asubuhi Jumamosi ya kila jumaa.Anuwani ya maudhuiya mada ya mjadalawa siku hiyo ilikuwa'Kushuka kwa Thamaniya Elimu', mjadala ambaoulikuwa ukiongozwa namwendeshaji wa kipindihicho Bw. Kassim Lyimokwa kuwashir ik ishaw a g e n i w a a l i k w akatika siku hiyo ambaowalikuwa ni Bw.Mrishoaliyejitambulisha kuwani mwalimu wa shule yasekondari ya Kiislaamuya Jabal-hiraa ya mkoani

Morogoro pamoja na Bw.Keshi aliyejitambulisha piakuwa ni mwalimu wa shuleya sekondari ya Kiislaamuya Imaan, ambayo hapoawali ilikuwa ikitambulikakwa jina la Daarul-arqam,inayomilikiwa na taasisi ya'The Islamic Foundation'ya mjini Morogoro.

Nakumbuka ni mwalimuMrisho aliyegusia katikamojawapo ya mifano yakekuhusu suala la wasomiwetu na changamoto yamazingira kwa kumtoleamfano mwalimu mmojawanayefahamiana naye

WAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dkt. Shukuru Kawambwa.

ambaye , hapo awal iulipotoka mgawanyo wavituo vya ajira ya kaziya ualimu, alipangiwakufundisha shule mojaya sekondari i l iyopoLindi mjini, lakini baadaya upangaji upya [kwamara ya pili] wa ajirahizo, mwalimu huyoal ibadi l ishiwa k i tuo[shule] cha chake cha kazicha awali na kupangiwakituo kingine kilichopo

Lindi vijijini kinyume nautashi na matarajio yake.

Kwa muktadha wa nuktahiyo hapo juu, ni vyemaikumbukwe kuwa ajira zawalimu kwa mwaka huuzilitolewa mara ya kwanzakisha kufutwa ndani yasiku chache, mara baadaya kutolewa kwake, nahatimaye kutolewa tenakutokana na kinachodaiwakuwa kubainika makosaya kiufundi, baada yakutolewa kwake kwamara ya kwanza, na hivyokulazimika kufutwa nakufanyiwa marekebisho

na hatimaye kutolewa kwamara ya pili na ya mwisho.K w a m u j i b u w a

maelezo ya MwalimuMrisho, mwalimu yulealipopangiwa kituo chakazi Lindi mjini katikamagawanyo wa awali,aliupokea mgawanyoule kwa furaha kubway u m k i n i k w a k u w auliendana na matarajio nashauku yake ya kutamanikupangiwa mazingiraya mjini, na kwa bahatindivyo ilivyokuwa!

K a t i k a m g a w a n y ouliotolewa mara ya pili,

m a m b o y a l i k w e n d akinyume na matarajiona shauku yake; kamai l i v y o t o k e a k a t i k amgawanyo wa awali;kwa kupangiwa Lindivijijini na kusababishaaingiwe na huzuni kubwak w a k u w a a l i k u w aamepangiwa kijijini nahapo ndipo alipomtakamwalimu Mrisho ushauriwa ama aende kuripoti nakupangiwa kituo chake

cha kazi huko kijijini au la!N a a m , i j a p o k u w a

wakati wa mgawanyowa awali, mwalimu yulehakuona umuhimu wakutaka ushaur i kwamwalimu Mrisho zaidi yakumwarifu na kushukurukupangiwa mjini yumkininjozi yake tangu awaliilikuwa ni kupangwa mjinina si vinginevyo huendandio maana hakuonaumuhimu kufanya hivyokwa hofu ya kupewaushauri ambao yumkiniungekinzana na njozi zakeza 'umjini' na matarajio

yake ya kufanyia kazimazingira ya mjini; lakini baada ya mgawanyo wapili, akalazimika kumtakaushauri mwalimu Mrishoyumkini kwa matarajiokwamba angelimuungamkono katika dhamirana utashi wake wa kuhisiuzito kwenda kuripoti nakupangiwa kituo chakecha kazi huko Lindi vijijini.

Alichokifanya mwalimuMrisho ni kumpa ushaurichanya wa kumtakaaende kuripoti hukoalikopangiwa. Mshaurialitimiza jukumu lake kwa

mshauriwa na hakuwa ndhima tena, kilichobakilikuwa ni kusuka akunyoa kwa mshauriwS i n a u h a k i k a k a mmshauriwa alizingatiushauri kwa kwendkupiga ripoti au aliupuuzkwa kutokwenda kupigripoti katika halmashauhusika kwa a j i l i ykupangiwa kituo cha kacha huko Lindi vijijinKwa ufupi wa manenosijui kama yule mwalimama alikwenda kuripoau la!

Hata hivyo, kujua hilsi muhimu kwa sasalililo muhimu hapa kwmuktadha wa mjadalhuu ni kutaka kubainish

namna ambavyo wasomwetu walivyo na hofu nwasivyokuwa na uwezwa uthubutu angalawa kujaribu tu japo kwkuonesha walau nia tya kuwa na utayari wkwenda kukabiliana nchangamoto ya mazingiry a k i j i j i n i y u m k i nkutokana na 'kulevywa ntembo' la kukoroga kra nlenye kupumbaza bongzao kwa kuwatumainishkuwa maisha ya mjinndio kila kitu kwa upandmmoja na kuwatamaushkuwa maisha ya kijijin

si chochote si lolotkwa upane mwingineilhali miongoni mwahawajawahi hata kuyaishili kutambua uasali wakau ushubiri wake.

Waaidha, Jumapiiliyopita mwendeshaji wkipindi, cha 'Mwangazkwa Jamii' kirushwacho nRedio Imaan jumapili ykila wiki majira ya asubuhBw.Muhammad Iyombalimuuliza Bw.AhmaMsamaha, kupitia madya mjadala iliyokuwikiwasilishwa mezani sikhiyo iliyobeba anuwan'Waj ibu wa Wal imkatika Jamii', kuhusianna suala la changamotya mazingira na hasa ykijijini kwa walimu wsasa.

Pamoja na maelezmazuri yaliyoambatann a sh e r e h e y a k i nkutoka kwa muulizwswali katika ujibuji wswali husika, nilivutiwzaidi na hitimisho laklililodokeza, kwa maonyake yeye, kiini chwalimu wengi kutotak

Inaendelea Uk. 1

Page 17: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 17/20

17  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201MAKALA 

Wasomi wetu na changamoto ya mazingiraInatoka Uk. 16

kwenda kufanyia kazimazingira ya vijijini ni zaola kile alichotanabahisha

kuwa ni fikra pandikiziama walizopandikizwa( w a l i z o l i s h w a ) a uw a n a z o p a n d i k i z a n a(wanazolishana) waokwa wao wakati wawapovyuoni kwamba mjini ndiokila kitu na kijiji si stahiliya wasomi!

N a a m , n i f i k r aambazo nami nimewahikuzisikia huko nyumazikipigiwa chapuo na

 baadhi ya wasomi wetuwakati nikiwa chuoni, nanimekuwa nikiendeleakuzisikia zikitamalaki nakuhanikiza katika jamiizetu huku mitaani hatasasa.

K w a u o m b w e w a bongo za vijana wetu nisahali kumezeshwa kraza sampuli hii pasi nakuhoji kwani mara nyingiwengi wao huongozwana hawaa nafsi na sikuzingatia ukweli wahali halisi na mantiki yakinachozungumzwa/kinachojadiliwa. Na hiini kutokana na ukwelikwamba wengi waohuruhusu wengine wakirikwa niaba yao huku waowakiwa wamewekezakra zao likizo!!!

L a b d a t u j i u l i z e ,tunapowapiga matekewadogo zetu kwa kukataakwenda kuwafundisha

h u k o v i j i j i n i , n a n ia k a w a f u n d i s h e ?Waliotufundisha sisi hukovijijini kwetu hadi kukiangazi ya kuwa walimu leohii, hawakuwa walimukama sisi?

H i v i w a l i m u w a owaliowafundisha waohuko vijijini kwao mpakanao wakawa walimu leo hiiwangelikuwa na 'uombwewa f ikra' kama waowangelikia huo ualimuunaowazuzua na hatimayekujinaki kadamnasinik w a m b a h a w a w e z ik w e n d a k u f u n d i sh av i j i j i n i ? K w a h i y owanataka kutuaminishakwamba wenye haki yakusomeshwa ni wanafunziwa mjini pekee, kama 'sio',nani wa kuwasomeshawatoto wa vijijini kamasi wao; vinginevyo labda

 jibu lao kwa swali hilo liwe'ndio'!

Isitoshe, wakati nikiwakat ika mchakato wamaandalizi ya kuandikamakala haya, nilipigiwasimu, na mwanafunzimwenzangu Bw.MussaRamadhani niliyepatakusoma naye shule mojaya sekondari jijini Mwanzamiaka ishirini na mojailiyopita, iliyotaka kujua

KATIBU Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof.. Sifuni Mchome(kushoto)

kama nina mtu (afisa)ninayefahamiana nayepale osi za makao makuuTAMISEMI. Nikamwelezakuwa sikuwa na mtuninayefahamiana nayek a t i k a z i l e o f i s i z aTAMISEMI.

Baada ya kumjibu ndiponami nikamuuliza swali,kulikoni huko TAMISEMI?Naye akanijibu kwambakuna swahibu wakeanayetokea mmojawapowa mikoa ya Pwanialiyepangiwa kwendakufundisha Kasulu vijijinina akaniweka wazi kuwaraki yake huyo hakuwatayari kwenda kuripoti kwakuwa ni kijijini na badalayake alikuwa anahahahuku na kule kupatamawasiliano ya maafisawa TAMISEMI ili kuonakama kuna uwezekano wakubadilishiwa kituo hichocha kijijini na badala yakeapangiwe mjini. Sijui kamampango wa harakati hizozilifanikiwa au la!

 Japo ku jua hi lo s imuhimu kwa sasa balilililo muhimu hapa kaman i l i v y o d o k e z a h u k onyuma ni kuoneshanamna wasomi wetuwalivyo waoga na wasivyona moyo wa u jasir ikatika kukabiliana nachangamoto ya 'ukijiji'.

Nihitimishe makalahaya kwa kurejelea kiporocha ufafanuzi nilioahidikuutoa katika aya ya nnehuko nyuma.

Alhamisi i l iyopitanikiwa katika ofisi zaHalmashauri ya wilaya

ya Ukerewe mkoaniMwanza nilishuhudiakiroja, ambacho sikuwahik u k i sh u h u d i a h a pokabla kat ika maishay a n g u , k u t o k a k w aw a l i m u w a l i o k u w atayari wameripoti katikaofisi hizo, kutoka mikoambalimbali hapa nchini,kwa ajili ya kupangiwavituo vyao vya kazi naMaafisa Elimu wa shuleza msingi na sekondari wa

Halmashauri hiyo.Nilipokuwa nikivinjarikatika moja ya eneo laofisi hizo nilikutana nadiwani wa kata ya Irugwa,iliyopo katika kisiwa chaIrugwa kisiwani Ukerewe,akiwa amezungukwa nakina dada wapatao wanne,watatu kati yao walikuwawakiangua vilio na mmojaalikuwa akizungumza nadiwani huyo.

N i l i w a s o g e l e a n akumsalimu diwani yulekwa kuwa ni l ikuwanikifahamiana naye vizuri,kisha nikawasalimu nawale kina dada watatuhata hivyo hawakuitikia

isipokuwa yule mmojana badala yake wakawawakifuta machozi hukuwakiondoka katika lileeneo nililowakuta nasikujua walikoelekea

 baada ya pale.Nilipomuuliza yule

diwani kulikoni kuhusianana kuangua kilio kwawale madada hadharani,alinidokeza kwamba walewalikuwa ni walimu wasekondari waliopangiwakwenda kufundisha katikashule iliyoko katika katayake lakini hawakuwatayari eti kwa kuwamahala walikopangiwa

ilikuwa kisiwani.Nilistaajabu kidogo

ingawa sikumwelezayule diwani kunakokustaajabu kwangu huko.Kilichonistaajabisha nikwamba wameweza kujakuripoti kisiwani yaanikisiwa kikuu (Ukerewe)lakini wakagoma kwendakisiwa kidogo (Irugwa)walikopangiwa.

N i l i p o e n d e l e a

kuzungumza na yuldiwani nilibaini kuwkilichowafanya wagomk w e n d a k u r i p o tkatika kituo cha kazw a l i k o pa n g i w a npengine hata kuangukilio si 'ukisiwa' wa kikijikisiwa kidogo kwanhata Ukerewe yenyewe nkisiwa bali ni lilelile zimwau pepo la mazingira y'umjini' ndilo lilokuwlimewapanda vichwanmwao na kuwanyimu w e z o w a k u f i k i rsawasawa na badala yakkuishia kuangua kilihadharani. Maskini!

Naam, hawa ndio ainya walimu tunaotarajikuwakabidhi dhima nyena dhamana adhimu yulezi wa watoto wetu iwasimamie malezi nmakuzi yao ya kimaadikimwili, kiakili huks h u l e n i p a m o j a nkuwajengea misingi yukombozi wa kweli katikkra zao, kwa mustakbawa maisha yao ya sasna ya baadaye; ilhali na

 bado wanahitaji ukombow a k i f i k r a k w a nwanaonekana kukukimwili lakini vichwanmwao hamnazo au kwmaneno mengine tusemkra zao bado ni matekwa mazingira!

(Mwandishi wa makahaya ni msomaji wa mudmrefu wa gazeti la ANNUUR anayeishi jijinMwanza.)

ILALA ISLAMIC SECONDARYUSAJIL

S.2401

KIDATO CHA TANO NA KURUDIA MITIHANI

KWA WASICHANA TUIPO: ILALA-AMANA-MTAA WA ARUSHA: MASJID SHAFII

SHULE YA BWENI NA KUTWA

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce,

B/keeping Islamic, Arabic na Tahdhul Qur’anCOMBINATION

PCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEAUFAULU 2014

KIWILAYA 3/76, KIMKOA 10/191, KITAIFA 118/2322Kwa shule za kiislam KIWILAYA (1) KIMKOA (2) KITAIFA (5)

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822,0714 381964

KWA WAVULANA TUIpo Ilala-Bungoni: Masjid Taqwa

DAR ES SALAAM ISLAMIC SEC.

MASOMOMath, Phy, Chem, Bios, Geo, Civ, Eng, Kisw, Commerce, B/

keeping Islamic, Arabic na Tahdhul Qur’an

COMBINATIONPCM,PCB,CDG,HGL,HGK,HGE,HKA,HEA

UFAULU 2014Kama Ilala Islamic, imetenganishwa toka Ilala Islamic

Zipo nafasi za kuhamia kidato cha II, III na IV, VMAWASILIANO

Simu: 0713 007586, 0715 187515, 0714 393822, 0714 381964

Ada ni nafuu na inalipwa kwa awamu nneMLETE MWANAO APATE ELIMU NA MALEZI BORA

USAJILIS.4384

Page 18: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 18/20

18  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

KUNA mtaro mrefukatika kijiji cha My Lai.Asubuhi ya Machi 16,1968, ulikuwa umejaamiili ya waliokufa –makundi ya wanawake,watoto, wazee, wotewakiwa wamepigwarisasi na askari vijanawa ki-Marekani.Sasa,miaka 47 baadaye, mtarowa My Lai unaonekanampana zaidi kulikon i n a v y o k u m b u k akatika picha za mauajihayo: mmomonyokona kusahau vinafanya

kazi zao. Wakati wa Vitavya Vietnam,, kulikuwana shamba la mpungakaribu na hapo, lakiniilikuwa imewekwa lamiili kuwezesha My Laiifikike na maelfu yawatalii wanaokuja kilamwaka kuzunguka eneohilo kuona vielelezohivyo vya kawaidakuelezea tukio hilo bayasana. Mauaji ya MyLai yalikuwa ni tukiomaalum la kubadilimwendo wa vita hivyovisivyokuwa na sababuya kuwepo: kikosi cha

wa-Marekani cha askari100 hivi, kikijulikanakama Kombania Charlie,baada ya kupata taarifapotofu za ujasusi, nawakidhania watakutanan a w a p i g a n a j i w akikomunisti au washirikawao, walikuwa tu kijijitulivu wakai wa chaiasubuhi. Hata hivyo,askari wa KombaniaC h a r l i e w a l i b a k awanawake, wakachomam o t o n y u m b a m akugeuza bunduki zaoza M-16 kwa raia wasiona silaha wa My Lai.Miongoni mwa viongoziwa shambulio alikuwaLuteni William L.Calley,mtoro wa chuo kutokaMiami.

M a p e m a 1 9 6 9 ,wengi kati ya askariwa Kombania Charliewalikuwa wamemalizamuda wao na kurudinyumbani. Wakati huonilikuwa mwandishi wakujitegemea wa miaka32 huko Washington,DC. Nikiwa napendasana kujua jinsi vijana– wavulana tu, kusemakweli – wangeweza kuwa

Uhalifu ulipofanyikaSafari ya mwandishi kwenda My Lai na siri za nyakati hizo

Na Seymour M. Hersh

RAIS wa Marekani, Barack Obama.

wamefanya jambo hilo,nil itumia wiki mbilikuwafuatilia.. Mara nyingiwalizungumza kwa uwazina, kwa sehemu kubwa,wakiniambia ukweli,

wakieleza walichokifanyapale My Lai na jinsiwalivyopanga kuishi nakumbukumbu ya jambolile.

K a t i k a u s h u h u d ambele ya uchunguzi wa

 Jeshi, baadhi ya askarih a o w a l i k i r i k u w akatika mtaro huo lakiniwakadai kuwa walikuwawakimtii Calley, ambayealikuwa anawaamrishakuua. Walisema kuwammoja wa waliopiga risasizaidi, pamoja na Calleymwenyewe, alikuwa niPrivate |Daraja la Kwanza

Paul Meadlo . Ukweli bado unateleza, lakiniaskari mmojaalinieleza

 j i n s i wa k a t i m mo j aaskari wenzake, nilisikia

 baada ye, ,walikumbuk avyema. Kwa amri yaCalley, Meadlo na wenzakewaliachia mkupuo baadaya mkupuo wa riasasina kutupa magurunetikadhaa.

Halafu ikatokea sautikali ya kilio, ambayoi l i o n g e z e k a w a k a t im v u l a n a w a m i a k amiwili au mitatu,, akiwaamefunikwa na tope

na damu, akitambaakuelekea miili ile nak u t e l e z e a k u e l e k e ashamba la mpunga.Mama yake anaelekeaalikuwa amemlinda kwa

mwili wake. Calley alionakilichotokea, na kufuatanana mashuhuda, alikimbiakumfuata yule mtoto,akamvuta katika mtaro,,akamtupa ndani yake, nakumpiga risasi.

A s u b u h i b a a d ay a m a u a j i , M e a d l oalikanyanga bomu lakutegwa akiwa katikadoria ya kawaida, namguu wake wa kuliaukalipuliwa. Akiwaanangoja kuondolewak u p e l e k w a k a t i k ahospitali ya medani ya vitakwa helikopta, alimlaani

Calley.“Mungu atakuadhimbukwa kile ulichonifanyanikifanye,” askari mmojaanakumbuka Meadloakisema.

“Mpeleke kwenyehelikopta!” Calley alifoka.

Meadlo aliendeleakutoa laana kwa Calleyhadi helikopa ilipoka.

Meadlo alikulia katikaeneo la shambani Indianam a g h a r i b i . . B a a d amuda mrefu uliotumikakuangusha visenti katikasimu za kulipia na kuwaitawatawanya habari katika

 ji mbo hi lo , ni li kuta nana familia ya Meadloikiwa imeorodheshwaNew Goshen,mji mdogokaribu na Terre Haute( e n e o l i l i l o i n u k a ) .M w a n a m k e a m ba y ekumbe ndiye mamayake Paul, Myrtle,alijibusimu..Nilisema kuwamimi ni mwandishina naandika kuhusuVietnam.Nikauliza Paulanaendeleaje, na kuelezawasiwasi kama nawezakuka na kuongea nayekesho yake. Alinijibukuwa ninakaribishwakujaribu.

Kina Medlo walikuwawakiishi katika nyumbamoja ndogo wakiwaw a n a f u g a k u k ukatika shamba chovu.Niliposimama na gari hiyoya kukodi,,Myrtle alitokakunisalimu na kusemakuwa Paul alikuwa ndani,licha ya kuwa alikuwahajui kama atazungumzaau ambacho angesema.Ilikuwa wazi alikuwahajamwambia mambomengi kuhusu Vietnam.Halafu Myrtle akasema

 jambo ambalo lilijumuishavita ambayo nilikuwa

nimezoea kuichukia.|”Niliwapelekea kijanamwema na wakamgeuzakuwa mwuaji.”

Meadlo alinikaribishan d a n i n a k u k u b a l ikuzungumza. Alikuwan a u m r i w a m i a k aishirini na mbili. Alikuwaameoa kabla ya kwendaVietnam, na yeye nemkewe walikuwa namtoto mvulana wa miakamiwili na nusu na kabintikachanga. Licha ya jerahalake, alikuwa akifanya kaziya kiwandani kusaidiafamilia. Nilimwambia

anonyeshe jeraha lake nakunieleza alivyotibiwa.A l i o n d o a v i s a i d i z ivyake vya kutembeaakaelezea yaliyomkuta.Haikuchukua mudamaongezi yakeelekea MyLai. Meadlo alizungumzan a k u z u n g u m z a ,akijaribu kwa kila njiakujirudishia heshima kiasifulani. Bila hisia ya wazi,alielezea amri za Calleyza kuua. Hakuhalalishaalichokifanya huko MyLai, isipokuwa kwambamauaji hayo "yaliondoamzigo katika hisia zangu,"

kwa sababu ya "wenzettuliowapoteza. Ilikuwa nkisasi, hakuna zaidi."

M e a d l o a l i e l e z ev i t e n d o v y a k e k wk i n a c h a k u s h t u a"Il ikuwa inaaminikkuna wapiganaj i wkikomunisti hapo (My Lana tukaanza kupafagiaalinieleza. "Tulipoka patulianza kuwakusanywatu... kuwaweka katikmakundi makubwaLazima kulikuwa nkiasi cha raia arobaini aarobaini na tano wakiwwamesimama katikmduara mmoja katikati y

kijiji. .... Calley aliniambna watu wengine wawtuwaangalie." Calleyalivyokumbuka, aliruddakika kumi baadaye nkumwambia "EndeleaN a t a k a k u w a o nwamekufa." Kutoka fukumi an kumi na tatkutoka hapo, Meadlalisema, Calley "alianzkuwapiga risasi. Halafa k a n i a m b i a n i a n zkuwapiga risasi. . .Nilianza kuwapiga risaslakini watu (askarwengine walikataa. Kwhiyo sisi - Meadlo n

Calley - tuliendelea nkuwaua. Meadlo anakiskuwa aliua takriban watkumi na tano katikmduara huo. "Wottulikuwa chini ya amrialisema. "Tulidhaniwote kuwa tunatendyanayopasa. Wakati uhilo halikunisumbuaKulikuwa na ushuhudrasmi unaoonyesha kuwMeadlo alipata mfadhaikmkubwa sana kutokanna amri ya Calley. Baadya kuambiwa na Calle"kumalizana na kundhilo," mmoja wa aska

wa Kombania Charlialieleza, Meadlo na askarmwingine "walikuwa haswanacheza na watothaom wakiwaambiwakae wapi na kuwapw a t o t o c h o c o l a t e .Aliporudi Calley akasemanataka aone wamekufaskari huyo alielezea"Meadlo alimwangalia tkama hakuwa anaaminanachosema. Al isem" w a po t e z e ? " C a l l ealipojibu ndiyo, askam w i n g i n e a l i s e m a

Inaendelea Uk. 1

Page 19: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 19/20

19  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 201Makala

Safari ya mwandishi kwenda My Lai na siri za nyakati hizoInatoka Uk. 18

M e a d l o n a C a l l e y"walianza kupiga risasi,"Lakini punde Meadlo"akaanza kulia."

Mike Wal lace , washirika la utangazaji laCBS, alikuwa na shaukuna mahojiano yangu,na Meadlo akakubalikuelezea upya habarizake, televisheni ya taifa.Nililala usiku huo kabla yakurekodi kipindi kwenyekochi nyumbani kwakina Meadlo na kusafirikwa ndege kwenda NewYork asubuhi iliyofuatapamoja na Meadlo namkewe. Kulikuwa namuda wa kuzungumza, nanikaariwa kuwa Meadloalitumia wiki kadhaa

akitibiwa na kurudia haliya kawaida katika hospitaliya Jeshi hulo Japan. Maraal ipof ika nyumbani ,hakusema lolote kuhusualichokiona Vietnam.Usiku mmoja, muda mfupi

 baada ya kurudi, mkewealiamshwa na kilio chasauti kali katika chumbacha mtoto mmojawapo.Aliharakisha akamkutaPaul akimtingisha kwanguvu huyo mtoto.

Nilitonywa kuhusuMy Lai na Geof f reyCowan, mwanasheriakijana mpinga vita jijiniWashington, DC. Cowanalikuwa hana taarifa halisilakini alikuwa amesikiahabari hizo kutoka kwaaskari asiyetajwa jina kuwaaskari mmoja wa Marekanialikuwa amepandwa naukichaa akaua raia wengiwa Vietnam. Miaka mitatu

 baadaye, wakati nikiripotimakao makuu ya jeshila Marekani kwa shirikala Assoc iated Press ,niliambiwa na maofisakadhaa waliorudi kutokavitani kuhusu mauaji yaraia wa Vietnam ambakokulikuwa kunaendelea.S i k u m o j a , w a k a t i

nikifuatilia dokezo laCowan, nikakumbana naKanali mmoja wa jeshikijana tu ambaye nilikuwanamfahamu nikiripotik u t o k a P e n t a g o n .Alikuwa amejeruhiwamguuni Vietnam na,a k u w a a n a e n d e l e akupona, akasikia kuwaangepandishwa cheokuwa jenerali. Alikuwas a s a a k i f a n y a k a z ikat ika of is i ambayoilikuwa na majukumu yasiku hadi siku kuhusuvita . Ni l ipomwuliza

anachokifahamu kuhusuaskari mmoja aliyeua raiawengi aliniangalia kwa

 jicho kali la hasi ra, nakuanza kupiga mkonowake kwenye goti. "Yulemtoto Calley hakupigarisasi mtu mrefu zaidi yahapa," alisema.

N i l i k u w a n a j i n a .K a t i k a m a k t a b a y amtaani, nikakuta habarii l iyochimbiwa katikagazeti la Times kuhusumtu ai twaye LuteniCalley ambaye alikuwaameshtakiwa na Jeshikwa mauaji ya idadiisiyothibitishwa ya raiahuko Vietnam Kusini.Nikamfuatilia Calley,ambaye Jeshi lilikuwalimemcha katika makaziya maofisa wa juu huko

Fort Benning, Columbus, jimbo la Georgia. Wakatihuo, mtu fulani katika Jeshialikuwa ameniruhusukusoma na kuandikakutoka hati ya siri yamashtaka kumshtakiCalley kwa mauaji yakukusudia ya 'binadamuwa Mashariki' mia nojana tisa.

Calley hakuonekanaki-shetani kwa lolote.Alikuwa mtu mwenyemwili mdogo, mwenyewasiwasi katika miaka ya25 na ziada hivi, na ngoziya kupauka. hata ndani

kuonekana kwa mbali.Alijitahidi kuonekana nimgumu. Juu ya bia nyingi,alinieleza jinsi yeye naaskari wake walivyokutanana adui na kupambananaye huko My Lai katikapambano kali. Tuliongeausiku wote. Wakati mmoja,Calley akainuka, kwenda

 bafuni . Ali acha mlangoumefunguka kidogo,na niliweza kuna kuwaalikuwa anatapika damu.

Mwezi Novemba 1969,nioliandika makala tanokuhusu Calley, Meadlo namauaji hayo. Nilikwendakuwaona wahariri wa 'Life'nas 'Look' bila mafanikio,h i v y o n i k a e l e k e ashirika dogo la habarilinalopinga vita, DispatchNews Service. Ilikuwani wakati wa wasiwasiunaoongezeka na vurugu.Richard Nizon alikuwaameshinda uchaguzimkuu wa mwaka 1968akiahidi kumaliza vita,lakini mpango wake halisiulikuwa ni kushinda vita,kwa kutumia ongezeko lamashambulio na upigajimabomu kwa siri. Mwaka1969, kiasi cha askari elfu

15 wa Marekani walikuwawanauawa kila mwezi,

 bila tofauti na ilivyokuwamwaka uliotangulia.

Waandishi wa habariza vita, kama HomerBigart, Bernard Fall, DavidHalberstam, Neil Sheehan,Malcolm Browne, FrancesF i t z G e r a l d , G l o r i aEmerson, Morley Saferna Ward Just walipelekahabari zisizohesabikakutoka uwanja wa vitaambazo zilionyesha zaidina zaidi kuwa vita hivyovilikuwa havina vilipoketikimaadili, vimepoteakimkakati, na siyo kileambacho maofisa wakijeshi na kisiasa walikuwawanawaambia watu hukoSaigon na Washington.Hapo Novemba 15, 1960,

siku mbili baada yakuchapishwa kwa taarifayangu ya kwanza kuhusuMy Lai, maandamanod h i d i y a v i t a j i j i n iWashington yalivutawatu nusu milioni. H.R.Haldeman, msaidiz iwa kuaminika zaidi waRais Richard Nixon,mfuatiliaji wa maelekezoyake, alipewa maelekezoofisini kwa rais ambayeyalichapishwa miakakumi na nane baadaye.Yalionyesha kuwa mnamoDesemba 1,1969, wakatiwa kilele cha upinzani

uliofuatia aliyochua PaulMeadlo, Nixon aliridhiakutumika kwa 'hila chafu'kumchafua shuhudamuhimu wa mauaji hayo.Pale, mwaka 1971. jopola mahakama ya kijeshililipomhukumu Calleykwa mauaj i ya watuwengi na kutoa adhabu yakifungo cha maisha na kazingumu, Nixon aliingilia,a k a a m r i s h a C a l l e yafunguliwe kutoka katika

 jela ya Jeshi na kuwekwakizuizini nyumbani kwakekungoja upitiaji mpyawa hukumu hiyo. Calleyaliachiliwa miezi mitatu

 baada ya Nixon kuondokamadarakani na kutumiamiaka iliyofuata akifanyakazi katika duka la vitovya thamani la baba mkwewake, huko Columbus,

 jimboni Georgia na kutoamaelezo ya kujikirimu yeyemwenyewe kwa waandishiwa habari waliokuwatayari kulipia mahojianoyao. Mwishowe, mwaka2009, katika hotuba klabuya Kiwanis , a l i sema"hakuna siku ambayosijisikii vibaya" kwa MyLai, lakini kuwa alikuwa

akifuata amri, "kijinga,nadhani." Calley ana umriwa miaka sabini na mojasasa. Ndiye osa wa jeshipeke yake aliyepatikanana hatia kwa nafasi yakekatika mauaji ya My Lai.

Mwezi Machi, 1970u p e l e l e z i w a J e s h iu l i pe l e k a m a sh t a k amaridhawa kutoka mauajiya kukusudia hadi utovum k u bw a w a w a j i budhidi ya maofisa 14 wa

 jeshi, ikiwa ni pamoja namajenerali na makanali,ambao wal ishtak iwakwa kufunikafunikamauaji hayo. Ni ofisammoja tu kuacha Calleyambaye alifikishwa jopola mahakama ya kijeshihatimaye, na akakutwahana hatia.

Miezi miwili baadaye,wakati harakati dhidi yavita inafurukuta katikavyuo vikuu - upinzania m b a o u l i k u w a n ipamoja na kuuawa kwawanafunzi wanne naaskari wa vikosi vya ulinziwa ndani jimboni Ohio -nilienda Chuo Kikuu chaMacalester. jiji la St Paul,

Minnesota, kutoa hotubadhidi ya vita. HubertH u m ph r e y , a m ba y ealikuwa makamu wa raismtiifu wa Lyndon Johnson,sasa alikuwa profesa wataaluma ya siasa katikachuo hicho. Alishindwakura na Nixon uchaguzimkuu wa mwaka 1968,sababu mojawapo ikiwa nikushindwa kujitenganishana sera za LBJ kuhusuVietnam. Baada ya hotubayangu, Humphrey akatakakuzungumza na mimi,"Sina tatizo na wewe, Bw,Hersh," alisema. "Ulikuwaunafanya kazi yako na

uliifanya vizuri. Lakinkwa hao vijana waliokuwwaliandamana na kusem'Hey, ni watoto wangapmmewaua leo?"sura ymviringo na mng'aro yHumphrey ilianza kuwnyekundu, na sauti yakkuongezeka kila kipandcha mameno alichosem"Nasema, wa...nge tuwase.... tu, wase.... tu."

N i l i t e m b e l e a MLai (kama kijiji hich

kilivyokuwa kinaitwa n Jeshi la Marekani) miezmichache iliyopita, nfamilia yangu.. Kurudkwenye eneo uhalifu l i k o f a n y i k a n d i ywanachopenda kufanywaandishi wa habark a t i k a u m r i f u l a nlakini sikuweza kujizuiNiliomba ruhusa kutokse irkal i ya Vie tnamKusini mapema kwam1970 lakini wakati huuchunguzi wa ndani wmakao makuu ya Jeshla Marekani ulikuwunaendelea na eneo hillilifungwa kwa wat

kutoka nje. Nilijiunga ngazeti la Times mwaka 197ma kutembelea HanoVietnam ya KaskazinMwaka 1980 , miakmitano baada ya kuangukSaigon, nilisafiri tenkwenda Vietnam kufanymahojiano kwa kuandikki tabu na kuandikhabari kadhaa kwa ajiya Times. Nilidhani najukila kitu, au karibu vyotvinavyoweza kufahamikkuhusu mauaji hayoN i w a z i n i l i k u wnimekosea.  (Imetafsiriwkwa Kiswahili kutokKiingereza na Anil Kija

 MAKAMU wa Rais wa zamani wa Marekani DicCheney.

Page 20: ANNUUR 1177A.pdf

8/9/2019 ANNUUR 1177A.pdf

http://slidepdf.com/reader/full/annuur-1177apdf 20/20

20  AN-NUU

RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-21, 20120MAKALA 

 AN-NUUR20 RAJAB 1436, IJUMAA MEI 15-16, 2015

Tanzania Muslim Hajj Trust, uandikishaji unaendeleagharama za Hijja ni US Dollar 4400, tarehe za Safari n11 na 13 Septemba, kurudi 7 Oktoba, 2015.

Wahi kujiandikisha sasa

Kwa mawasiliano:+255 2221815770786 3838200713 764636

Safari ya Hijja Hijiria 1436

+255 222 1823700754 261910; 0717 0000650784 272723website-www.hajjtrust.or.

E-mail:[email protected].

WALIMU wa Madrasawaliokuwa wakidaiwakushikiliwa na Polisiwameachiwa.

Aidha, madrasa zaozilizokuwa zimefungwan a z o s a s a h u r ukufanya kazi hukuikitolewa taarifa kuwahakutakuwa tena na

 bughudha.Hayo yamelezwana Ra ja b Ka t i mbaakisema kuwa hatuahiyo imefikiwa baadaya vikao kadhaa bainaya viongozi wa taasisiza Kiislamu na serikali.

Kwa mujibu wa taarifaya Katimba, maongezih a y o y a l i c h u k u asiku kadhaa, kablaya kufikia muafaka,a mba po Wa i s l a muwaliwaki l ishwa naMwenyekiti wa Jumuiya

na Taasisi za KiislamuSheikh Mussa Kundechapamoja na Sheikh RajabKatimba.

Kwa u pa nde waSer ikal i kul iwa naviongozi kutoka ofisiya DPP, MwanasheriaMkuu wa Ser ikal i ,Wi z a r a ya Ma mboya Ndani, pamoja namaafisa wa Jeshi laPolisi.

Akiongea na Gazeti laAn nuur, Jumatano wikihii, msemaji wa Jumuiyana Taasisi za Kiislamu,Sheikh Rajabu Katimba,alisema maongezi yaoyamekuwa na tija kwaniwamejenga msingi wamaelewano baina yaserikali na Waislamu.

Akielezea yaliyojirikatika maongezi yaoalisema, wamewekanasawa na wawakilishihao wa Serikali katikam a m b o a m b a y o

Walimu wa Madrasa wameachiliwa - KatimbaMadrasa zao sasa zafunguliwaHakutakuwa na bughudha tena

Na Bakari Mwakangwale

hivi karibuni, hukuwakionyesha kulikuwana hali ya uvunjwajimwi ngi wa sher i aunaofanywa katikaoperesheni iliyokuwaikifanyika ikidaiwakuwa ni katika jumla yakukabiliana na viashiriavya ugaidi.

Katika opereshenih i y o , i n a d a i w a

kuwa kuna madrasaz u i l i f u n g w ak i k a m o k o s a h u k uk u k i w a p i a n awalimu wa madrasawaliokamatwa bila yakuwa na makosa.

“Tuliongelea mambokadhaa, tulianza nahili suala la kuzifungiaMadrasa na kukamatwak w a W a l i m u w aMadrasa hizo, kwa

huko Mikoani kwambahilo zoezi lisitishwe.”Alisema Shkh Katimba.

A l i s e m a , m p a k asasa tayari Walimu waMadrasa waliokuwawameshikiliwa na Jeshila Polisi wameachiwana Madrasa zilizokuwaz i mesi t i shwa sa sazinaweza kuendelea.

“ M p a k a s a s aWalimu wetu wengiwameachiwa na sisitumehakikisha kuwawameachiwa ndani yawiki hii, katika Mikoaya Mtwara, Kirimanjaro,W i l a y a n i H a i ,Lyamungo, Dodoma,Kibaha, Lushoto nahumu Ji j ini Dar esSalaam, na Madrasaha z i ta bu ghu dhi wa

A m a k u h u s ud h a m a n a k w aMasheikh na Waislamu,K a t i m b a , a l i s e m amaasa hao wameahidikulishughulikia, ilawanahitaji muda kwakuwa suala hilo haliwezikutatuliwa mara mojakutokana na mambohayo kwa sasa kuwa niya kisheria zaidi.

“Walitueleza pamojana kupokea malalamikoya Waislamu na kwakuwa mambo hayo yapoMahakamani, kwa sasahawawezi kuyapatiaufumbuzi mara moja, ilawametuhakikishia kuwawatayashughulikia.”Alisema Shkh. Katimba.

A l i s e m a , m p a k amwisho wa maongezi

waliomba Waislamwasitishe maandamanili kuwapa muda wkuyafanyia kazi zaidi.

“ W a l i c h o t u o m bni s i s i ku wa ombWaislamu wawe nsubra na kusi t ishm a a n d a m a n o i lkuweza kutoa wasak w a o ( S e r i k a l i

kushughul ikia ki lambacho wamekiongena kutuahidi.” AlisemShkh. Katimba.

K u f u a t i a h a t uhiyo, Alhamisi (Janaviongozi wa Shura yMaimamu, walikutanna Maimamu katikMsikiti wa Mtambanili kupata taarifa y

 jumla ya kikao baianya Masheikh na Serikal

“Lengo la kukutanna Maimamu ni kuwapmrejesho kwa yaliyojir

kama wajumbe wakatika maongezi yetna Serikali.

Kwa kuwa Maimamndio wajumbe kwWaumini (Waislamuili waweze kuwakishitaarifa hizi ili wasubina kuipa muda Serikak w a y a l e a m b a ywametueleza”. AlisemShkh. Katimba.

April, 29, Mwenyekiwa Jumuiya na Taasiz a K i i s l a m u ( T )aliitaka Serikali kuach

kuziandama Madrasna kuwakamata walimwake, huku wakiitakkutolea ufanunuzkwa nini Masheikh nWaislamu, dhamanzao zimezuiliwa.

Al isema, endaphawatapata ufafanuzna maelezo juu ymasuala hayo, Ijumaya Mei 15, 2015 (LeoWaislamu watafany

 Mwenyekiti wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu Sheikh Mussa Kundecha (kulia) naSheikh Rajab Katimba (katikati).